Followers wangu Kuna challenge nataka kuanzisha .
Nyie ni familia kabisa , so kwa kujali umuhimu wenu ntakuwa natoa gave away kila wiki.
Jinsi ya kupata hiyo gave away.
👉 Hakikisha umenifollow
@zizujo01
👉 Tutaangalia watakaokuwa wanawahi kucomment kwenye post.
👉 Stay tuned
Mafanikio sio bahati ,ni mchakato wa muda mrefu wenye changamoto nyingi.
Na ndio maana sio kila mtu anaweza kufanikiwa
Kinachotutesa vijana wengi tunataka mafanikio ya haraka hatuna subira Yani unataka uwekeze Leo kesho uone matokeo ya uwekazaji.
Tuweni na subira vijana.
Bandugu Mimi kama Engineer , nataka niapply nafasi za Polisi zilizotoka niukatae ujobless.
Nataka kuuliza ivi kwenye kigezo Cha Elimu hapo unaajiliwa Kama Askari wa kawaida au officer ? Na je mshahara unakuaje,?
Ivi kwanini mjini watu wenye biashara Tena kubwa , huwa hawapendi kuwasadia wale watu huwa wanapita na kuomba msaada.
Kwamba kwenye mbaga zao wanakosa hata miatano, ya kuwasaidia wenye huitaji.
Huwa najiuliza Sana icho kitu kwanini??
Ivi wahuni mnaweza tongoza demu siku ngapi?
Ukiona miyeyusho unampotezeaa ..
Maana Kuna huyu demu Ni siku ya pili Ila naona ni miyeyusho.
Mimi na abort mission au nakoseaa wanangu?
Wapwa x bila followers ni kujiongelesha .
Fanya ivi
✍️ Drop handle yako
✍️Repost
✍️Like handle zote
✍️Follow watakaolike handle yako
✍️Engage kwenye tweet
✍️Mwisho kabisa ni follow.
@zizujo01
ntakupa follow back
Kwa pamoja tutafika100k