POT Profile
POT

@zizujo01

Followers
2,977
Following
2,756
Media
186
Statuses
26,196

social! Liverpool fan/ /Simba fan #YNWA Musoma Hood mitumba OG//Electrical and Electronics Engineer//Baba Nigga naeamini katika malengo. #skyFamdrive

Joined December 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@zizujo01
POT
4 months
Followers wangu Kuna challenge nataka kuanzisha . Nyie ni familia kabisa , so kwa kujali umuhimu wenu ntakuwa natoa gave away kila wiki. Jinsi ya kupata hiyo gave away. 👉 Hakikisha umenifollow @zizujo01 👉 Tutaangalia watakaokuwa wanawahi kucomment kwenye post. 👉 Stay tuned
12
23
41
@zizujo01
POT
3 months
Wapwa drop handle tuwafollow chapu
Tweet media one
92
32
226
@zizujo01
POT
2 years
Ni neno gani la kumotivate huwa linakupa moyo sanah.? Me Yatapita
29
52
140
@zizujo01
POT
3 months
Wapwa wekeni handle niwafollow chapu
Tweet media one
52
28
147
@zizujo01
POT
3 years
Hivi kibongo bongo ni msanii gani wa trap ni bora mda wote na unamkubali??
15
16
95
@zizujo01
POT
2 years
Hivi huu utaratibu wa kuamka tunasalimiana uliletwa na nan?? Anyway GM mabrooo.
14
20
96
@zizujo01
POT
7 months
Ivi kikawaida kwa siku mwanaume unatakiwa utongoze mademu wangapi? Nisije kuwa navuka limit
22
38
93
@zizujo01
POT
22 days
Unahitaji mtu mmoja tu ,atakayekuamini kwenye kila kitu unachokifanya✍️
16
49
86
@zizujo01
POT
6 months
Kinachotufanya vijana tusiweke akiba Ni 1.Wanawake 2.Hali ya maisha 3. Kubeti 4. Starehe Ongeza zako👇👇
16
36
84
@zizujo01
POT
6 months
Oya wanangu , nyie ikiwezekana Kama bado mnajitafuta pigeni tuu Malaya💔 Ety huyu kashapiga simu asubuhi et Hana hela ya kula🚮🚮
13
30
74
@zizujo01
POT
3 years
Fanya kwa ajili ya familia yakoh. Maana upendo ni kwa familia kwanza GM FAM.🙏
12
18
65
@zizujo01
POT
7 months
Follow for immediately follow back🔥🔥🔥🔥
33
28
68
@zizujo01
POT
2 years
Naishi kwenye kanuni zangu. Usidharau. Ishi kwenye kanuni zako. GM FAM.
7
15
59
@zizujo01
POT
21 days
Mnapotwambia tutafute hela Sana ,msisasahau kutupa na namba za waganga zenu✌️
16
39
68
@zizujo01
POT
6 months
Ivi wanawake ni nguo gani ya kiume wanashindwa kuvaaa?? Yani nikiwa nayo hiyo nguo demu wangu hawez kuitamani
17
25
70
@zizujo01
POT
7 months
Ivi Kati ya wanawake weusi na weupe wapi ni watamu Sana? Mimi:wanawake weusi Ni watamu Sana Wewe je:
12
32
68
@zizujo01
POT
7 months
Tunamakovu ambayo hata kupona ni ngumu . Mkituongezeaa mengine mnatukomaza tuu✍️✍️
10
37
69
@zizujo01
POT
7 months
Mkinifollow tena mimi Sina hiyana ntawafollow back tena wanangu ✊. Mnifikishe 1k nipo active nafb
21
33
65
@zizujo01
POT
7 months
Night gain 🔥🔥🔥iam active ifb in a second💥💥💥
38
29
59
@zizujo01
POT
7 months
Haijalishi Ni mateso mangapi unapitiaa ila amka na Umushukuru Mungu. Maana Kuna wengine wanapitia magumu zaidi yako. Gm fam
25
46
64
@zizujo01
POT
3 months
Hao hao wanaokupa moyo ndio wanataka ufeli. Good morning family
23
26
64
@zizujo01
POT
6 months
Kesho yetu ni Bora kuliko Jana Good morning champ
23
40
61
@zizujo01
POT
17 days
Matarajio ya kupata kikubwa,yasikufanye ushindwe kufurahia kidogo ulichokipata Good morning
25
42
61
@zizujo01
POT
7 months
Wanangu , nimechukuaa namba ya mteja Ni Demu mkali mnipe tactics basi. Nimtongoze ama niache naye
15
12
63
@zizujo01
POT
6 months
Kumbuka kujinenea Maneno mazuri ,kwasababu ndio baraka zako pia. Mungu uwabariki wenye Maneno mema vinywani mwao🙏
9
41
58
@zizujo01
POT
6 months
Nataka kuanzisha biashara ya genge embu mnishauri wanangu inalipa?
14
35
60
@zizujo01
POT
7 months
I follow back immediately. Massive morning gain let us connect 🔥🔥🔥🔥
19
17
48
@zizujo01
POT
7 months
Massive Gain 🔥🔥🔥 , I follow back immediately
37
19
55
@zizujo01
POT
7 months
Tunajitahidi Sana kila wakati japo vitu tuu huwa haviko upande wetu. Ni asubuhi nyingine ya mapambano 💪 Gm fam
11
38
55
@zizujo01
POT
6 months
Valentine ndio hiyo inakuja , vip umeshampata wa kuvaa nae sare sare ? Au ndio tukuache na maisha yako😂😂
13
22
56
@zizujo01
POT
3 years
Nimemiss kuwa mtoto. Yani hizi stress nilikuwa sinah kabisa💔😓 Nyie utoto raha sanah.
2
7
51
@zizujo01
POT
3 years
Hivi huyu aliepoteza hela ni nani?? Ndioo anafanya kila siku tutafute 🤔💔💔
2
12
44
@zizujo01
POT
6 months
Kwenye mapambano na kujitafuta ,Kuna kufaulu au kufeli. Tukifeli msituone hatufanyi kazi kwa bidii.
14
31
54
@zizujo01
POT
7 months
Kuna mstari mdogo Sana unaotenganisha Kati ya ujanja na ulimbukeni. Sema wengi wetu Sisi ni limbukeni sio wajanja
11
26
53
@zizujo01
POT
7 months
Try me iam here I follow back🔥🔥🔥🔥
11
23
44
@zizujo01
POT
7 months
Ifb immediately .let us be mutuals 🔥🔥🔥
19
14
46
@zizujo01
POT
7 months
Small account , let us grow together @zizujo01 ifb immediately🔥🔥🔥
26
24
44
@zizujo01
POT
21 days
Kila aliyefanikiwa Kuna mahala aliunguka ,Ila akachagua kusimama tena. Unaweza isiwe Leo,Ila amini kesho ni Bora. Good morning X family
25
31
50
@zizujo01
POT
7 months
Unayetaka afeli katika mitikasi yake. Akatoboaa utakuja kwake kuomba msaada?
7
24
52
@zizujo01
POT
4 months
Sema mademu weupe jau Sana , Yani wako Kama freezer .
10
21
52
@zizujo01
POT
7 months
Uchovu wa siku nzima Nafsi inataka jipongeza. vipi wanangu nyie huwa mnajipongeza na nin Baada ya uchovu wa siku nzima
5
20
50
@zizujo01
POT
5 months
Ivi ukikataliwa Mara Ngapi,ndio huwa unaachana na huyo Demu...?
10
29
51
@zizujo01
POT
7 months
Turn on ur notification🔥🔥🔥,ifb in minute
13
23
48
@zizujo01
POT
7 months
Follow for follow back🔥🔥💥💥💥
21
25
45
@zizujo01
POT
4 months
Wapwa handle 10 za mwanzo nazifollow chap
Tweet media one
21
10
50
@zizujo01
POT
7 months
Yani humu watu mnajimaliza waziwazi😂😂😂. Ivi Ni kweli mnapata wachumba humu🙄🙄.
9
20
47
@zizujo01
POT
7 months
Follow for a follow back🔥🔥🔥🔥
14
15
40
@zizujo01
POT
2 years
Anyway ngoja nianze kwa salamu Ni kwa uwezo wa bwana 🙏 GM fam.
7
13
44
@zizujo01
POT
21 days
Mafanikio sio bahati ,ni mchakato wa muda mrefu wenye changamoto nyingi. Na ndio maana sio kila mtu anaweza kufanikiwa Kinachotutesa vijana wengi tunataka mafanikio ya haraka hatuna subira Yani unataka uwekeze Leo kesho uone matokeo ya uwekazaji. Tuweni na subira vijana.
14
36
47
@zizujo01
POT
4 months
Ivi Kuna ulazima kwa mwanaume kunukia.??
9
26
47
@zizujo01
POT
7 months
Active now let us connect be mutuals I follow back immeditialy
22
27
41
@zizujo01
POT
7 months
Unavoamka asubuhi unakutana na Maneno mazuri ya Heshima, busara na ustaarabu. Unaweza fikiri watu humu hawaongei matusi kabisa😂🙌
10
23
45
@zizujo01
POT
7 months
Kama Leo sio weekend, ni siku ya kufua kwako. Jua bado unasafari ndefu ya kupambana. Good morning champ💪
13
33
46
@zizujo01
POT
11 days
Mitaa ina tactics zake ,hatutafuti pesa kwa elimu ya degree ✌️
9
37
46
@zizujo01
POT
16 days
Wanatuombea mabaya,lakini Mungu anatuepusha nayo Good morning X family.
14
27
46
@zizujo01
POT
9 days
Asante Mungu kwa siku nyingine Tena. Tunakuomba na Sisi utupe kama wao,wale tunaowapenda tuwafanye wapate furaha. Good morning
Tweet media one
20
25
46
@zizujo01
POT
7 months
Ivi Demu mko Kama age sawa Ila kila ukipita anapenda kusalimiaa hii inashilia Nini wakuu?
8
20
45
@zizujo01
POT
7 months
Kuna vitu vingi haviko sawa. Hivi ni sahihi kuendelea kuvumilia? Hii Vita Ni yetu vijana tunatakiwa kuipigana
7
29
43
@zizujo01
POT
6 months
Jitegemee wewe mwenyewe kuliko unavyowategemea wanadamu wenzioo✍️✍️. Hii itakusaidiaa kuishi na amani Sana.
9
30
42
@zizujo01
POT
3 months
Bandugu Mimi kama Engineer , nataka niapply nafasi za Polisi zilizotoka niukatae ujobless. Nataka kuuliza ivi kwenye kigezo Cha Elimu hapo unaajiliwa Kama Askari wa kawaida au officer ? Na je mshahara unakuaje,?
5
13
45
@zizujo01
POT
3 years
Mimi huwa sipo seriously hivyo kuna mda tuuu huwa najaribu kupima mbinu kama badoh zipo🔞 Asa unanikataa unadhani ntapata makasiriko😁😁
3
8
39
@zizujo01
POT
22 days
Jobless tuamke mapema tutweet af baadae turudi kulala wazee😂😂😂
11
25
46
@zizujo01
POT
4 months
Ivi Kuna porn star mwingine zaidi ya Mia khalifa?
10
25
44
@zizujo01
POT
7 months
Night gain follow for follow back🔥🔥🔥
14
14
39
@zizujo01
POT
3 months
Ivi kwanini mjini watu wenye biashara Tena kubwa , huwa hawapendi kuwasadia wale watu huwa wanapita na kuomba msaada. Kwamba kwenye mbaga zao wanakosa hata miatano, ya kuwasaidia wenye huitaji. Huwa najiuliza Sana icho kitu kwanini??
7
10
46
@zizujo01
POT
5 months
Good morning family
25
32
45
@zizujo01
POT
3 years
Hakuna mademu wanaojiona wamemaliza maisha kama hawa wanaomiliki smart phone aisee. Yani unaweza kuta anatembea kwa mguu af anamdharau bodaboda
1
11
32
@zizujo01
POT
7 months
Good morning X family
21
23
44
@zizujo01
POT
4 months
Follow for follow back
20
22
44
@zizujo01
POT
3 years
Ila Hii nchi. Jibu kama mtu uliyepewa lift kwa gari.
1
7
35
@zizujo01
POT
7 months
Kuna mzee hapa kijiweni Anainiambia kijana "Uaminifu ndioo Mali yakoh" Maneno yake yameniingiaa sanah✊.
2
11
43
@zizujo01
POT
4 months
Bila pesa hakuna mwanamke hatakupenda. Good morning wakuungwa
17
23
40
@zizujo01
POT
6 months
Ivi wahuni mnaweza tongoza demu siku ngapi? Ukiona miyeyusho unampotezeaa .. Maana Kuna huyu demu Ni siku ya pili Ila naona ni miyeyusho. Mimi na abort mission au nakoseaa wanangu?
6
26
41
@zizujo01
POT
6 months
Good morning X family
20
18
41
@zizujo01
POT
3 years
Mimi siwezi penda mtoto wa mtu Kama nilikwambiaa hivyo nilikudanganya😂😂
3
7
38
@zizujo01
POT
7 months
Let us connect ,I follow back immediately 🔥🔥🔥
15
15
39
@zizujo01
POT
7 months
Kama huna mtu Mimi nipo kwa ajili yako🙏
Tweet media one
7
6
39
@zizujo01
POT
13 days
Kwa ambao hatuna weekend,tukapambane kutafuta kitu ambacho matatizo yake hayaishi. Good morning
17
19
42
@zizujo01
POT
6 months
I follow back in a second 🔥🔥🔥, iam not star
15
6
33
@zizujo01
POT
4 months
Tufike 10k pamoja wapwa , Kama sijakufollow weka handle chap
Tweet media one
21
11
41
@zizujo01
POT
6 months
Kila kitu kina muda wake, usikate tamaa ni labda tu muda wako hujafika
6
15
38
@zizujo01
POT
6 months
Usitamani maisha ya watu , Kama hujui pesa zao wanatoa wapi. Wewe furahiaa tuu maisha yako watu wanapitia magumu Sana.
6
21
41
@zizujo01
POT
6 months
Ivi mwanamke akikulilia kabisa ,ndio anamaanisha anakupenda Sana au huwa Ni drama tuu
14
28
42
@zizujo01
POT
7 months
Active gain🔥🔥🔥 I follow back immediately
9
12
34
@zizujo01
POT
10 days
Wapwa x bila followers ni kujiongelesha . Fanya ivi ✍️ Drop handle yako ✍️Repost ✍️Like handle zote ✍️Follow watakaolike handle yako ✍️Engage kwenye tweet ✍️Mwisho kabisa ni follow. @zizujo01 ntakupa follow back Kwa pamoja tutafika100k
24
26
42
@zizujo01
POT
7 months
Ivi pisi zinazouza duka nyie huwa mnaishi nazo vipi mnipe madini wanangu. Kuna kimoja nimepata kila siku kinaniambia Niko busy kuonana.
6
13
40
@zizujo01
POT
6 months
Kila asubuhi ni Baraka ukiwa hai, amka muombe mwenyezi MUNGU, ingiaa kwenye mapambano ,amini tuu siku yako itafika. Good morning fam
20
23
37
@zizujo01
POT
7 months
Take me to 2k fam. iam active I follow back🔥🔥🔥
18
11
34
@zizujo01
POT
7 months
Sisi watafutaji huwa tunasema siku hazilingani . Mkiona bado hatujawa Kama nyie mjue hatujatoboa bado. Kwahiyo msituone wazembe💔
3
14
40
@zizujo01
POT
7 months
Ivi Ni mkoa gani unaongoza kwa kuwa na pisi Kali?
14
10
37
@zizujo01
POT
7 months
Let us connect each other .follow for fb🔥🔥🔥
11
11
30
@zizujo01
POT
7 months
Ivi Nini husababisha mtu kukuchukiaa bila sababu Huwa nashangaa Sana💔 .
3
13
40
@zizujo01
POT
2 months
Baraka kubwa ni uhai ,Mungu anaweza kukubariki mpaka ukashangaa. Good morning X family
15
16
40
@zizujo01
POT
4 months
Kiburi Cha uhai kisikufanye ukasahau ukuu wa mwenyezi MUNGU. Za asubuhi.
11
21
40