NIPSEY HUSSLE 🕊️
Alizaliwa 15/8/1985 LA,California na kufariki 13/3/2019 LA, baada ya kupigwa risasi ,ambapo wengi walidai kifo chake kilikuwa affiliated na gangs activities lakini kuna wengine wanaenda mbali na kusema aliuawa na serikali ya USA.
Kwanini serikali?
Thread🧵🧵
( CIA WALIHUSIKA KUMUUA BOB MARLEY!!!)
Robert Nesta Marley Maarufu kama Bob Marley,Alizaliwa 6/2/1945 na kufariki 11/05/1981 baada ya kusumbuliwa na Ugonjwa wa Kansa ajabu ni kuwa mnamo mwaka 2019 habari zilivuja kuwa CIA ndio walio facilitate kifo chake.
Thread🧵🧵
MUSIC INDUSTRY & ILLUMINATI
Illuminati ni secret society iliyoanzishwa mwaka huu 1776 German chini ya Adam Weishaput ambapo walifahamika kama enlightenment-era secret society ikiwa ni muunganiko wa secret societies mbali mbali Ikumbukwe pia US ilipata uhuru mwaka huo huo 1776.
KIFO CHA TAKE OFF (Conspiracy theory)
Krisnick Khari Ball (Take Off),Alizaliwa 18/06/1994 Georgia US akafariki 1/11/2022 Huston Texas,Kifo chake kilileta maswali mengi vichwani mwa wadau kutokana na kuonekana kilikuwa predictive kwenye nyimbo aloimba na Quavo Messy.
Thread 🧵🧵
Na leo tena kama kawaida yako😂
-Unatafuta cha kujifutia🧻
-unazima taa💡
-unapanda kitandani🛌
-Unavaa EarPods 🎧
-Unawasha VPN🛜
-Unaingia chimbo kusaka kazi kali.🌎
-Unamwaga💦
-Unajuta🤦🏽♂️
Kesho tena upo mzigoni😂
FASHION NA MUSIC INDUSTRY
Kama ni mfatiliaji mzuri wa entertainment lazima utakuwa umekutana na sura ya huyu jamaa kwenye social Media au Televisión akiwa na baadhi ya stars wa Music duniani,Huyu jamaa anafahamika kama Rick Owens au Lord of darkness.
Thread 🧵🧵
KIFO CHA JUICE WRLD (conspiracy theory)
Jarad Anthony Higgins Alizaliwa 2/12/ 1998 akafariki 8/12/ 2019 kutokana na overdose ya madawa ya Oxycodone na Codeine,Hii ilikuwa ni natural death ila ajabu ni kuwa jamaa aliimba kifo chake kwenye nyimbo yake inayoitwa“BURN
Thread 🧵🧵
STORY STORY STORY
Kipindi nipo form (3) 2015 tulisoma na demu mmoja alikuwa bonge la pisi kila mtu darasani alikuwa anataman kupata hata kiss ya shavu,nlkuw hata mimi nlikuwa nataman siku litokee hata zari la mentali basi Mungu si Ochu siku nikapangwa nae group la kujisomea.
Kuna jamaa alisema “mademu wenye matako makubwa ukiwaweka doggy wananuka”,kuna jamaa akamuuliza “una uhakika na wewe tukikuweka hivyo hunuki?”!! Aisee humu tembea kwa tahadhari😂😂
XXX TENTACION VS DRAKE (BIFU & KIFO)
Jahseh Onfroy alizaliwa 23-01-1998 Florida na kufariki 18-06-2018 Florida baada ya kupigwa risasi shingoni,Kifo chake kimekuwa kikihusishwa na bifu baina yake na bwana Aubrey Graham (Drake).
Thread 🧵🧵
Umeliomba namba li jitu limekupa ume save jion linajipost lipo na bwana ake wanalambana kama mabaniani,Mpaka unajiuliza hili namba limenipa ya nini🤦🏽♂️
Judge aliomba scientific proof za mtu wa Ukimwi na zililetwa za kabla na baada ya kupata tiba,basi akashinda kesi kwa kipindi hicho.
Cheki hiyo video akisimulia alivyomueleza judge👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾
STORY STORY STORY
Kipindi nasoma sekondari Ikizu Adventist secondary school tulikuwa na mwanetu mmoja alikuwa anaitwa Kiiza,Huyu jamaa tulikuwa tunamuita “Bushman” kwa sababu ya lifestyle yake,mzee hakuwa hata na shuka alikuwa anazama kwenye cover ya godoro ndo analala.
Ermias Asghedom maarufu au Nipsey alikuwa rapper aliyekuwa na moyo wa kipekee aliijali sana jamii alikuwa mtu aliyetamani mabadiliko katika jamii,Ikumbukwe alifungua Store California ili kutoa ajira kwa vijana waliokuwa kwenye gangs activities mitaani waweze kufanya kazi halali .