Unapokuwa unasali usiache kumwambia Mungu akukutanishe na watu wako sahihi, akukutanishe na DESTINY HELPERS wako. Kuna baadhi ya vitu vinachelewa kutekelezeka katika maisha yako kwasababu bado hujakutana na watu wako sahihi wasaidizi wa kusudi lako.
Mnaonaje tukaungana kwa pamoja, ku report hizi account za influencers ambao wanatumika kusifia serikali katika mambo yasiyo na uhalisia na yenye kukandamiza wananchi.
Hawa watu ni wabaya kuliko wasio amini.
So I went to eat sehemu Fulani just alone (i just wanted kuwa mwenyewe).
suddenly the waiter came and said “sister, there is a bro kule nyuma he said he will clear your bill and anaomba uhamie kwa meza yake” c’mon Bro, I'm not ombaomba and I pay my own bills.
I have chosen to no longer be apologetic for my femaleness and my femininity. And I want to be respected in all of my femaleness because I deserve to be.
~Chimamanda
Kwa wale ambao hawajaoa au kuolewa bado, Anza Kuombea ndoa yako, Mume/Mkeo watoto na familia yako kiujumla sasaivi.
Kuna vitu vingine unapaswa kuanza kuviombea mapema na kuviwekeza zaidi kwenye maombi kabla ya kuvipata.
Eneo la ndoa ni eneo ambalo shetani ANALIPIGA VITA SANA
There is a way that watu waliopo vijijini wanaishi maisha yao very coolly. I know watu watasema maisha ya mjini ni mazuri zaidi but based on my small experience ya kipindi kichache nilichokuwa vijijini I can say maisha ya ya kijijini ni bora zaidi.
Dear future Husband I’m not easy to love I’m stubborn and I breakdown constantly about the littlest things
But I promise to love you. I promise to give you all I possibly can give. I promise to hold you and show off to the world bcoz I’ll be luckiest woman if have you by my side
Kitu ambacho wanaume hawajui ni kwamba na sisi wanawake huwa hatuolewi na yeyote tu.
Linapokuja swala la ndoa, “Huyu atakuwa baba bora kwa watoto?” Ni moja ya vitu huwa tunazingatia
Hakuna aliyewahi kumtegemea Mungu akaaibika.
He is Good
He is Love
He is Able
Mwamini leo, mkabizi njia zako, mkabizi siku yako leo na HAUTO AIBIKA Kamwe.
Men!! Sometimes when we women complain about something you don't have to give a solution, in fact we don't need a solution all the time. Sometimes we just need someone to complain to and all you gotta do is listen and support us (Emotional Support)
Kushindwa kwako jana haimaanishi utashindwa na Leo
Kukosa kwako jana haimaanishi utakosa na Leo.
USIACHE KUJARIBU TENA. MUNGU HAJAKUACHA.
Baraka Za Mungu Zikaambatane Nawe Leo.
Mungu anapo kubariki anataka ufanyike mlango wa baraka kwa wengine na sio kuzuia milango ya Baraka ya wengine.
Unapo barikiwa, fanyika Baraka kwa wengine.
Nyieee is it wrong for a woman to want to be a housewife instead of a career woman 🥹🤔 deep down I want to be a housewife. I want to cook, clean and take care of my husband and kids Ila ukiliingalia life unajiambia acha niendelee kupambana 😂🤦🏻♀️🙌🏼
Who told men that marrying a woman is doing her a favor? And why "huyu ataolewa na nani” kinda questions and not "huyu atamuoa nani?”
Why do men really like to see women as ndo kundi linalouhitaji na ndoa zaidi kuliko wao 🤔 (Just thinking out loud)
Nimeona eti sehemu mtu anasema “unapokula hadharani unakera waliofunga”
kabisaaa? Yani me niwe nimefunga kweli kweli nikerekwe kisa unakula hadharani 🤔
#Jeans
from us Caryn Stores
Ladies Jeans Price: 10,000-15,000/= tu
Jumla: 8,000/= tu
Kindly Click The Link Below To Follow Our IG Account
📍Location, Yombo Kilakala
Lord, by Your strength, keep me out of the enemies' trap that would ensnare me. I affirm my dependence on You as I give my spirit into Your hand, trusting You to redeem my soul as my faithful God🙏🏽
Sometimes i stop communicating with someone not because i hate that person but for the peace of my mind and heart.
Sis! Unaona kabisa kuna feelings zinaanza kujengeka na huyo bro and haipaswi kuwa ivo ACHA HAYO MAWASILIANO before it reaches the point of no return.
Those who know me know that i am not the kind of person to do this but imagine, just imagine mtu anaingia kwa dm yako na kukuandikia hivi, humjui hakujui aisee unaishia tu kucheka na kumuhurumia tu.
Sasa hii nayo tutasema ni matatizo ya afya ya akili au ni nini 🤔
Someone told me that if you love someone, don't love them mazima and i think sio sawa i mean how can you love nusu nusu. If you get a chance to love someone, love with all your heart without holding back to the point of “if we jump we jump and if we die we die" no second thoughts
Kuna kijana kani-dm anasema “nimependa ulivyo pia goti” eti hakutegemea (refer to my previous video) sasa sisi watu wa vijijini swala la kupiga goti si ndo utaratibu wetu huo ni swala la kawaida sana kwetu
Yeye Apataye Mke amepata kitu chema.
Congratulations on your traditional wedding Bestie my heart is full of joy 🤩💃🏻❤️❤️
Nawafurahia Sana na Mungu awatunze
@najma_paul
@ItsKamala
Finally 💃🏻💃🏻
Shukrani sana my brother
@jaliluzaid
for the Holy Quran, this is very kind of you and I really appreciate
Kinanivuruga katika kufungua 😄 Ila hopefully mdogo mdogo nitazoea.
Hii ni Katika kuendelea kujifunza na kuongeza maarifa mapya ya kidini .
Earlier yesterday, as we headed towards the International Women Day We have launched the Malkia Maji Programme 1st cohort.I'm so honored,humbled and grateful to God to be among 30 selected young female leaders to lead action in solving water challenge in Tanzania as a Malkia Maji
I may not have done much for him, but being a part of him knowing God is a very big thing for me na mbele za Mungu🥹
From Muslim to Christian
Alimkiri Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa Maisha yake na Jana amebatizwa rasmi Lord nakutukuza 😭🙌🏼
Mbingu zinashangilia kwaajili yake.
And hii inafikirisha sana inamaana ladies hawezi kwenda sehemu wenyewe hadi asumbuliwe or can’t we pay our own bills jamanii, hii mentality imetoka wapi? Men should stop this
Sio kila anayeenda mwenyewe anatafuta mwanaume wengine ndo personality zetu we just love kuwa wenyewe