Tech kamau Profile Banner
Tech kamau Profile
Tech kamau

@techgeek_4

Followers
6,627
Following
3,789
Media
259
Statuses
76,464

Manners makes man|| Bubble Developer || Economists|| Data analyst|| Programmer||Proficient in Python &SQL|| Tutor|| I have a DREAM!

gym
Joined June 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@techgeek_4
Tech kamau
28 days
Unatembea mall unaona mshahara yako imeandikwa kwa kinyasa
224
1K
5K
@techgeek_4
Tech kamau
16 days
"Alafu Kesho unapanga kwenda saa ngapi,I need to go somewhere and I can't leave you here juu utakuwa bored" Boy child plan A of evacuation 😂😂
144
705
3K
@techgeek_4
Tech kamau
10 days
Nishai enda mjengo nikaanguka kutoka 5th floor foreman akasema anapenda vile naendea simiti 😂
147
726
4K
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Hii Kenya usipochat na Dem wako Daily utapata ameolewa
172
712
3K
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Siku hizi hawakurogi uwe wazimu,wanahakikisha umekunywa pombe anytime umepata pesa
197
877
3K
@techgeek_4
Tech kamau
20 days
Mtu asiwahi kudanganywa eti "after campus usirudi kwenu" huku Nje utakufa njaa
133
659
3K
@techgeek_4
Tech kamau
4 months
Kila ploti iko na Yule Msee Mmoja hatakangi Stori za watu
129
575
3K
@techgeek_4
Tech kamau
11 days
Msichana anadhani amakula pesa Yako kumbe ulibudgetia pesa ya umalaya
141
673
3K
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Heartbreak inashangaa nilienda wapi kumbe nilireplace wasichana na wamama
108
726
3K
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Sisi Ugly Niggas kazi yetu ni kukatia Madem warembo ili wabaki wakijiuliza kwani wana attract akina nani😂
156
668
3K
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Mtu uko single unacharge simu Hadi 100% kwani unataka kutulipua ,we 25% imekutosha ya kuangalia masaa na tarehe
115
633
3K
@techgeek_4
Tech kamau
2 months
Khalif Kairo ni mshenzi Sana alikuwa anadhani akituuzia uoga hatutatokea
140
676
2K
@techgeek_4
Tech kamau
17 days
Instead of Maandamano season 2 Mimi Nilikuwa Naona tungoje 2027 tutoe huyu jamaa nyinyi mnaonaje?
882
308
2K
@techgeek_4
Tech kamau
19 days
Fathers are the most unbothered creatures mnaeza pitana kwa njia kama hamjuani walai
189
433
2K
@techgeek_4
Tech kamau
24 days
Unaenda kuhama usiku usilipe rent unapata caretaker ndo msee wa nduthi
97
341
2K
@techgeek_4
Tech kamau
21 days
Kenya unasalimia Watchman 3 consecutive days ,4th Day unakuwa na Deni yake ya soda 😂😂
84
391
1K
@techgeek_4
Tech kamau
2 months
Mbona ukiambia polisi you now your rights wanaichukulianga kama matusi?
127
465
1K
@techgeek_4
Tech kamau
2 months
Bangi is another underrated Viagra Only legends can understand this
120
402
1K
@techgeek_4
Tech kamau
16 days
Kila ploti inakuanga na Yule Tu msee mmoja Mwenye hapendangi Stori za watu
182
339
1K
@techgeek_4
Tech kamau
29 days
A good wife hata bwana akiwa mgonjwa anafaa kumuuliza "nitoe uone ama utajaribu kidogo!" Sio kumpikia Tu uji pekee 😂
106
313
1K
@techgeek_4
Tech kamau
23 days
Mimi Naona 2027 Tupee Jimmy wanjigi mnaonaje ?
405
246
1K
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Ni rule gani pale kwa ploti ata warudie mara mia moja Huwezi fuata?
254
246
1K
@techgeek_4
Tech kamau
28 days
Utapata kuna msee hajui full meaning ya GIF na ako online
145
205
1K
@techgeek_4
Tech kamau
15 days
Kenya kila mtu akimaliza kufua Nguo lazima ajimwagilie hiyo maji kwa miguu😂
132
300
1K
@techgeek_4
Tech kamau
11 days
As much as people hate this , relationship needs money,usisumbue Msichana wa wenyewe kama huna pesa
135
253
970
@techgeek_4
Tech kamau
21 days
Zile uongo hukuwa talking stage hukuwa goated ...sijui nitatoa wapi Degree ya law walai.
86
274
949
@techgeek_4
Tech kamau
5 months
No wonder DJ Joe mfalme hatoangi kofia
Tweet media one
57
87
904
@techgeek_4
Tech kamau
15 days
Nataka niassume Niko na watoto watano na Bibi mnono mjamzito nijikaze kisabuni nione kama nitatoka block .Raundi hii hakuna mchezo Bana!
98
272
918
@techgeek_4
Tech kamau
13 days
"Niaje Jonteh , nipigie simu saa hii useme mnakuja twende game ndo huyu ajitoe hapa Naona Hana Haraka ya kutoka " 😂😂💀
89
243
925
@techgeek_4
Tech kamau
10 days
Kuishi peke yako hufanya mtu lazy Sana ,Mimi kwangu huwa napika nikianza kutetemeka juu ya njaa😂
110
278
869
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
How do you deal na landlords wakikataa na deposit?
254
243
776
@techgeek_4
Tech kamau
13 days
Alafu tufike mbinguni tupate illuminati ilikuwa chama ya kusaidia watu hapa duniani
110
223
769
@techgeek_4
Tech kamau
2 months
Bigwig hawatahi taka kuona small wig akigrow.kazi Yao ni kututumia tupush Tag zao na wakati mmoja wa small small wigs ako missing they don't even RT out posters. Smallwigs we are on our own kitu kubwa wanatufanyianga ni kutulima block na kuignore Dms
230
281
701
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Utapata kuna mtu amelala saa hii na kitu babu Yake aliachia familia ni Diabetes
114
246
705
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Nasikia kama nitagive up na Maandamano, Tutatoboa kweli?
253
198
699
@techgeek_4
Tech kamau
29 days
Ukiombwa pesa na hauna..sema Tu sina,sasa sina kwa mpesa Niko na cash na mpesa iko mbali ndio nini nkt!
116
233
694
@techgeek_4
Tech kamau
21 days
Raha za Nairobi na juja zisifanye usahau nini ilikutoa bungoma,endelea kuanguka Nayo utarudi bila Audi
96
220
674
@techgeek_4
Tech kamau
16 days
Si nilijaribu kuoa wiki mbili ..I fainted the day niliona Kwa shopping list nimeandikiwa kitchen towel. Sabuni ya vyombo ,ya nguo na ya kuogea. I thought sabuni ni moja inazunguka kila Kona kama kanju💀 sijai taka hiyo mchezo tena
87
205
662
@techgeek_4
Tech kamau
23 days
A generation of men with no land,no cows,no investments,no homes just iPhones and pictures of Hennessy must be sad
102
238
646
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Tangu Morio wangu wa Forex aniombe chwani ya Jaba sijaitaka kujua hiyo kitu inahusu nini walai
89
216
636
@techgeek_4
Tech kamau
29 days
Lakini Nani alifunza wakenya kufufua ugali ya jana..iyo recipe haiko ata YouTube jameni
132
223
632
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Tufike mbinguni alafu Mungu aseme ingieni nyote na tusizoeane 😂watu wa sda watasikia vibaya sana navenye wanatakanga tuchomwe😂
93
212
588
@techgeek_4
Tech kamau
24 days
Enyewe Economy ni mbaya siku hizi ata mabibi hawatoroki
108
224
569
@techgeek_4
Tech kamau
28 days
Penye imefikia si ata nyinyi mnaona Tu Maandamano imeanza kupoteza interest
90
154
566
@techgeek_4
Tech kamau
26 days
Hakuna Madem hutwerk kwa club kama madem hawananga pesa ya Drinks wao hutingiza adi duodenum
115
204
541
@techgeek_4
Tech kamau
22 days
The worst Breakup is when it's announced by Watchman "Alisema tusikufungulie gate tena"😂
98
188
546
@techgeek_4
Tech kamau
28 days
Nani mwingine amenotice kuwithdraw 70k charges zimeongezeka from 412 to 520 ..tunafinywa Bana!
178
234
540
@techgeek_4
Tech kamau
25 days
Mtu ako na tattoo alafu unaskia akisema kupumzika ni mbinguni ..hakuna mbinguni unaenda kang'ethe
58
162
533
@techgeek_4
Tech kamau
2 months
Wenye tulianza safari uku X pamoja walishapata badge kwani Mimi nilirogwa
45
108
523
@techgeek_4
Tech kamau
2 months
Utapata kuna mtu mahali anategemea pesa Elon kulipa Bills😂
94
184
523
@techgeek_4
Tech kamau
2 months
Huyu anaingia Box yangu na nilikuwa nimeacha Bot irun conversation enyewe women are cheap asf😂
87
183
521
@techgeek_4
Tech kamau
14 days
Hapa nafaa kuanza na gani 😂
Tweet media one
264
190
520
@techgeek_4
Tech kamau
13 days
What's the most polite way ya kuomba mechi ?
125
137
523
@techgeek_4
Tech kamau
16 days
Mbona security guard wa university wenye wanakuanga hapo kwa gate wanakuanga na Kiburi ivo?
146
169
510
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
"nimekuachia Mungu " was such a horrifying thing back then kwani kuliendaje
112
192
497
@techgeek_4
Tech kamau
10 days
Kupanda mat place hujai enda unashidanga ukiambia conductor "usisahau"😂
104
203
512
@techgeek_4
Tech kamau
30 days
Siku hizi unaenda kusalimia Rafiki unarudi ukiwa mlevi🥶
88
181
478
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
ile msoto hupiga msee Monday after Dem amekuja sleepover weekend hukuwa unmatched walai
95
179
474
@techgeek_4
Tech kamau
15 days
"I'm just a girl " ameangusha ten bob kwa matatu Karibu ang'oe viti akiitafuta
132
202
476
@techgeek_4
Tech kamau
18 days
Mkae mkijua wanawake ni wakora mnaeza lala Njaa na ghasia iko na Pesa
106
189
450
@techgeek_4
Tech kamau
28 days
Nimetoka kusoma revelation na chenye naweza waambia wakuu..msiinvest juu Tarumbeta inaeza Lia anytime
106
173
441
@techgeek_4
Tech kamau
27 days
Tufike mbinguni alafu Mungu aseme nyinyi wote mumeteswa na Ruto Sana ingieni Tu nimewasamehea yeye abebe mzigo yenu...wapi makofi jameni
91
169
442
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Nikipata pesa nitaenda nibuy Ile mkate kubwa ya brown ya naivas na yorghut Nikae chini nikule
104
160
434
@techgeek_4
Tech kamau
10 days
Instead of falling in love use that time to do something constructive like learning Chinese
118
180
446
@techgeek_4
Tech kamau
19 days
"Mimi Naona tukuwe Tu friends" amesema ivi after nimespend savings zangu na yeye
133
181
421
@techgeek_4
Tech kamau
2 months
Na hii Baridi single Niggas kushida kejani the whole Day ni tricky unaeza jipata umechukua Sheria Mkononi buana
93
171
406
@techgeek_4
Tech kamau
2 months
I used to think watu wenye wako na blue badge ni matajiri until I became one
118
178
401
@techgeek_4
Tech kamau
29 days
Guys Kesho ni nane nane kama Genz wa Bangladesh walitoa prime minister na wanakulanga indomie sembuse sisi watu wa Ugali 😂
92
185
408
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
I told polo kimani Stori zake za kuchimba dhahabu zinanikalianga jaba akaniblock Badala apromote joke yangu Niende Churchil
108
167
408
@techgeek_4
Tech kamau
10 days
Mimi mtu nakunywa strong tea na ndizi mbili nalala ndo mnataka nipate Mtoto?😂
114
185
412
@techgeek_4
Tech kamau
23 days
Si ata wewe umeona ni kiherehere ilikupeleka driving
97
156
399
@techgeek_4
Tech kamau
21 days
During my Simping Days saa hizi ningekuwa natype paragraph ya tatu alafu ajibu "mmh" ama "k"😂
102
163
396
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Unaeza pata Mungu alitupea kidney mbili tutumie moja kama investment na wewe uko hapo unatembea na zote mbili
96
183
396
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Stima kupotea Tu kidogo tushalimani Hedii na Mzae kwa Mlango ya maid namna gani bana
95
153
392
@techgeek_4
Tech kamau
24 days
Adulting is realising that classes za kufunzwa na ulimwengu haziwezi bounce
91
207
389
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Dem anakuomba 2k urgently unamtumia, kumbe alikuwa na 78k na alikuwa anataka kubuy kitu ya 80k na wewe ulikuwa na 2500😅
96
172
384
@techgeek_4
Tech kamau
21 days
During my Prime masaa kama haya ningekuwa kwa 5 relationship na wote wangekuwa wakipata girlfriend allowance sikuwa najua mambo yatabadilika walai
78
141
383
@techgeek_4
Tech kamau
25 days
Yaani Disiyai walitafuta Jimmy wanjigi kwa nyumba Yote wakamkosa na ako Ndani .Mimi ukinikosa chini ya Bed Niko nyuma ya mlango
85
174
374
@techgeek_4
Tech kamau
19 days
Nimeona "send money for nails 💅" nikablock hiyo number upesi Sana kumbe ni fundi alikuwa anaitisha pesa ya misumari
83
147
371
@techgeek_4
Tech kamau
18 days
Unashangaa Leo ni tight aje kumbe umeingia na Bedsheet😂😂
105
164
364
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Hakuna kitu hunibooh kama Dem ako Mbele yangu skirt inapanda na yeye anateremsha
82
139
360
@techgeek_4
Tech kamau
14 days
Unatokwa Dem,unaenda vita unavunjwa Mkono ya kunyonga🥶
114
174
357
@techgeek_4
Tech kamau
2 months
Hata polisi wote warudishwe wamalize Shule ,Beef ya Raia na polisi haitawahi isha Kenya
76
157
350
@techgeek_4
Tech kamau
12 days
Ni nini hiyo ukipewa ata kama umekasirika aje Huwezi kataa?
176
166
353
@techgeek_4
Tech kamau
30 days
Hakuna kitu hutoa mtu hangover vizuri kama uamke asubuhi after Sherehe previous night upate huna simu
111
173
343
@techgeek_4
Tech kamau
4 months
Mbona Sisi smallwigs tusidrop handles zetu hapa and we follow each other 😂akili jameni
172
52
335
@techgeek_4
Tech kamau
24 days
Nini ushaiona kwa Rafiki yako ukajiuliza "sasa hii alitoa wapi?"
135
138
342
@techgeek_4
Tech kamau
25 days
My mom be like "huyu aliacha kunyonya akiwa na miezi tano na nusu😂" laiti angalijua
66
161
341
@techgeek_4
Tech kamau
2 months
Nangoja Elon alipe nipeleke Manzi Yangu Diani Love is a beautiful thing wadauu😁
86
137
327
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Venye Madem wanakuanga waongo unaeza pata ata kushuka nywele ni Bure!
79
145
335
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Dem anakupenda hawezi kuomba pesa
101
156
330
@techgeek_4
Tech kamau
20 days
Relatives ni frauds Sana wanapenda kuuliza your whereabouts ili wajue umefika wapi kuteseka
83
152
338
@techgeek_4
Tech kamau
25 days
Hakuna mtu hukuwa na Stori tamu kama mtu anangoja kukula kwako
82
153
334
@techgeek_4
Tech kamau
2 months
Mbona caretaker wanakuanga na Kiburi ivo na nyumba si zao?
104
141
314
@techgeek_4
Tech kamau
20 days
Ukinyimwa pesa wacha kutishia watu "Eti hakuna ajuaye Kesho" Kesho ni Sato na tutapiga Sherehe na pesa tukikunyima
64
133
312
@techgeek_4
Tech kamau
19 days
Slapping me is the highest form of disrespect Heri unikate na panga nitakusamehea
96
148
310
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Mimi napatanga pesa ya Bangi na pombe lakini ya kubuyia Msichana Maua labda mnichangie
95
155
308
@techgeek_4
Tech kamau
13 days
Na kwani wale wasee walipita Shule na flying colours walienda wapi?
145
132
307
@techgeek_4
Tech kamau
27 days
Weather imechange Tu mara moja kama sura ya Huyo mtu wako ukimwomba Pesa
50
135
301
@techgeek_4
Tech kamau
1 month
Shida ya Madem kufikiria ni wao Tu wanataka mtu ako pesa
78
166
297