@FKihamu
Aondoke tu maana mm sion hata kitu amefanya ndani ya simba, nakukumbusha tu kaka wakati tunabeba ubingwa mara 4 mfululizo tulitumia makocha wa 3 tofauti 1.
@sven
2.
@uchebe
3.
@darosa
, so siwezi kushangaa sahivi yaani kwetu simba kawaida sana