Lifehacker Profile Banner
Lifehacker Profile
Lifehacker

@sughe_jr

Followers
3,657
Following
4,144
Media
38
Statuses
330

@music & @soccer are my addictions, @SimbaSCTanzania & @realmadrid || farmer.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@sughe_jr
Lifehacker
4 months
@Rydx_017 @__abdulazack @athanas_pius @babalao__ @JayleenRickie @MissChelsea1221 @kabigwa_78 @kapeto98 Twende mbele turudi nyuma kama mwanamke wa kitanzania hajui kupika ugali yeye naweza nn ? wakati ugali nd chakula kilichotulea wengi wetu, yaan hata kama kwao n wakishua vp nd ashindwe kupika ugali Jaman alaf yy anaona n kawaida kweli? inafikirisha sana .
12
0
49
@sughe_jr
Lifehacker
8 months
@MickyJnr__ I remember simba wanted to sign him but he refused and know he is just looking for new team as if he is the agent
3
2
30
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
@fumbokhanJr Huyo alieuliza diamond hajaenda kwenye msiba je yy ameenda ?
2
0
14
@sughe_jr
Lifehacker
8 months
@MickyJnr__ If it's official I think all blames should be directed to leaders and not otherwise
0
0
14
@sughe_jr
Lifehacker
6 months
@MickyJnr__ Aise kama nd hvyo wamfate ayoub wao tu, inonga watuachie
0
0
12
@sughe_jr
Lifehacker
5 months
Hahaha na kunawale wenye followers 70 mtu unawa-follow kuinua account zao wanakuvungia hawatoi follow back aise unaweza kusema hawako online kumbe wapo, mda sio mrefu unaona post zao, nimwendo wa ku-unfollow tu
@blackculer
BARÇAKID
5 months
Kuna nyumbu wanaunfollow mchana kweupe na wana followers 70 ,,,kweli?😂😂OK!! Let there be carnage 🔥 to
Tweet media one
6
2
22
4
2
10
@sughe_jr
Lifehacker
5 months
@thenameis_Andro Hawachelew kukwambia et kundi lao lilikua gumu wakat huyo kinara wao cc tuliongoza mbele yake .
2
0
10
@sughe_jr
Lifehacker
5 months
Kadri unavyokua na wanawake wengi ndio unajiongezea shida na matatizo.
0
2
10
@sughe_jr
Lifehacker
4 months
Nikipewa nafasi ya kupangua kikosi chetu ntabakiza Hawa👇 Ayoub 🇲🇦 Ally Salim 🇹🇿 Mwenda 🇹🇿 Zimbwe 🇹🇿 H. kazi 🇹🇿 Ngoma 🇨🇩 Kanoute 🇲🇱 Chama 🇿🇲 Kibu 🇹🇿 Karabaka 🇹🇿 Chasambi 🇹🇿 NOTE: chama na zibwe ni kwaajili ya kuongeza uzoefu kwenye kikosi hata Kijiji hakikosagi wazee.
1
0
10
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Ukiona mpenzi wako hajawahi kukupost ujue mko wengi kwahiyo anashindwa aanze na nani.
0
1
9
@sughe_jr
Lifehacker
4 months
@SimbaSCTanzania pale kiongoz aliposema Moja ya malengo yake ni kuifunga yanga nlijua hatuna kiongoz tena, nlitaka kutukana but sion tuc la kuwatukana Kila tuc mshatukanwa mm nakaa kimya tu tunahitaji uwekezaji na viongoz wawe serious na timu sio kua serious kujaza mifuko na matumbo yao kwa pesa
1
0
9
@sughe_jr
Lifehacker
7 months
@eastafricatv Refa mbna Yuko vzur kabsa , mnashindwa kumlaumu kipa wa singida aliefanya kosa la kizemba na kusababsha Kona ya gori mnasema neno Moja kwa refa
7
0
8
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Wakati watu tunaamini mpra ni heavy investment, kumbe hata mahusiano nayo ni investment ukitaka kupata mwanamke wa ndoto yako lazima utoe pesa ya kumgharamia ukishindwa wenye financial muscles watamsajili.
1
0
7
@sughe_jr
Lifehacker
5 months
☑️ ukinenepa watu wanafikiri unakula sana. ☑️ Ukipungua uzito wanafikiri unaumwa . ☑️ Ukivaa vizuri wanafikiri una-show off. ☑️ Ukivaa Kawaida wanafikiri ww ni masikini. ☑️ Ukiwa serious unakera. ☑️ Ukiwa na furaha hujakomaa kihakili. ☑️ Ukiwa ukifanikiwa wanafikri unadharau.
1
3
6
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Watalamu wa kuuuza account naomba kuulza, account yangu ina 2.6k followers naweza kuiuza kwa bei gani? Madalali wa account msaada tafadhari.
2
1
7
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Demu wangu ananicheat, lakini mimi Kila nikijaribu kutafuta mbadala wake wanasema "Nina mtu wangu" najiuliza mbona wangu nae hasemi Nina mtu wangu?
0
1
7
@sughe_jr
Lifehacker
5 months
Hivi baadhi ya wadada wa chuo cha UDSM hua wana maana gani mtu anavaa ID barabara nzima akifika getini kwa auxiliary anavua ID alafu anasema hana ID , jamani tunajua mnasoma UDSM punguzeni ushamba basi .
1
0
7
@sughe_jr
Lifehacker
1 year
@KibwanaEdgar Arud kufanya nn huyo kaisha zeeka bna Simba tunahtaj watu wenye kiu ya mafanikio kwanza akachez hata ihefu huko
0
0
7
@sughe_jr
Lifehacker
7 months
@earadiofm Mbna mechi yakwanza pale CCM liti chama alkuepo na tulizidiwa akiwa ndan na akapewa sub wakna phiri na Luis nd walkuja kuamua game yy alicheza hovyo sana kwahyo mnataka kusema kabla hata chama hajaja simba pengo lake lilkuepo au hatakuja kuondka simba ?
1
0
7
@sughe_jr
Lifehacker
6 months
Kwenye maisha Ili upate pesa lazima utumie pesa , kama huna pesa ni ngumu kupata pesa .
0
2
6
@sughe_jr
Lifehacker
8 months
@MickyJnr__ Difficult game for both sides
0
0
5
@sughe_jr
Lifehacker
6 months
Sahv waarabu chamoto wanakiona , sio AFL, AFCON, CAFCL nmwendo wa vipogo tu had utawala wao kwenye soccer utaisha tu.
0
0
4
@sughe_jr
Lifehacker
5 months
Issue sio kuamka, je unaamka unaenda wap na kufanya Nini , kama mimi jobless acha tu niendelee kulala tu maana sina pakwenda .
1
2
6
@sughe_jr
Lifehacker
7 months
@MickyJnr__ Yeah, that's what I waited for , other were just rumors and gossip from unverified reporters, they write something that they don't know
0
0
5
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Kwhyo library yetu nd kituo chenu cha mwendokasi au sio hahaha sawa bna
@Engkabora141011
Engkabora
3 months
Tanzania tumeendelea kituo cha mwendokasi hapa Iringa
Tweet media one
2
2
7
2
0
6
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
@MsomiKhan18 kwani hawa mbna sahv wanawaza kuhusu chuo shida nn au ndio ilkua ndoto yao kubwa ?
1
0
6
@sughe_jr
Lifehacker
5 months
Kuna matokeo mawili tu kwenye mchezo wa leo either @simba kushinda or @jwaneng kufungwa.
1
2
6
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
@FKihamu Aondoke tu maana mm sion hata kitu amefanya ndani ya simba, nakukumbusha tu kaka wakati tunabeba ubingwa mara 4 mfululizo tulitumia makocha wa 3 tofauti 1. @sven 2. @uchebe 3. @darosa , so siwezi kushangaa sahivi yaani kwetu simba kawaida sana
3
0
5
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Naombeni kazi ya kuandkia majina ya wapiga kelele humu tweeter maana huyu @kazi1_mzee leo amesumbua sana humu ndani hahahahahah
1
2
5
@sughe_jr
Lifehacker
4 months
Kama viongozi wetu wako serious watuletee @kipre_jr na @feisal huyo @dube waachane nae tu watafute mshambuliaji wa viwango vya juu zaidi.
0
1
5
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Kunawale watu ambao wanapenda shule sana lakini hawajawahi kufaulu vizuri, ila kunawale, ambao shule wanaenda basi tu lakini kufaulu nikama maji ya kunywa kwao. #nyakatingumuhazidumu .
1
0
5
@sughe_jr
Lifehacker
5 months
ukiwa na moyo mzuri wa huruma na kutoa lazima pia uwe na kikomo maana wanaopokea hawesemi imetosha wanendelea kupoekea tu.
0
1
5
@sughe_jr
Lifehacker
6 months
Twitter nd miongon mwa mitandao michache ambayo ukiwa online au offline hakuna mtu anaejua
0
1
4
@sughe_jr
Lifehacker
7 months
@iamcleopatricia Ukwel mtupu hawa wanaojikuta warembo wanajitoaga ufaham sana , kwanza unakuta wanaringa alaf hata kupka tu hawajui et nao wanajikuta matawi ya juu .
1
1
5
@sughe_jr
Lifehacker
4 months
@George_Ambangil Hivi hii @Madrid nd @mancity anashangilia kukutana nayo ?
1
0
4
@sughe_jr
Lifehacker
6 months
Your direction is better than your speed so do what's right and not what's easy.
0
0
4
@sughe_jr
Lifehacker
4 months
ipi ni PC nzuri na bora kwa matumizi especially ya graphics?.
Dell
7
Hp
26
1
2
3
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Wale 9 wanaoondoka mm nmepata 7 tayar ☑️Kipa....... ☑️Beki, 1. inonga. 2....... ☑️Viungo, 1. Ntibanzokiza 2. Kanoute ☑️Winga 1. Onana 2. Luis ☑️Washambuliaji, 1. Jobe 2. Fredy
@MickyJnr__
Micky Jnr
3 months
Goals from Freddy Michael and Karabaka helped Simba to beat Mtibwa Sugar 2-0 today. ✨ • 23 games • 50 points • 3rd position …plus one more outstanding game left. 🇹🇿 Simba fans, who’s your man of the match from this game? 🤩 #AfricanFootball #NguvuMoja 🦁
Tweet media one
25
23
999
0
0
4
@sughe_jr
Lifehacker
5 months
Kama hujaalikwa usiende na usiombe kwenda.
0
1
4
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Nikigezo gani kikubwa kati ya hivi unazingatia kuchagua mwanamke wa kuoa. 👇
rangi
5
shape
23
dini
16
kabila
10
4
0
4
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Ni Mimi tu ndo nilikua naogopa kumtongoza mtoto wa jirani kwa kuogopa kua atanisema kwao au hata wewe?
0
0
4
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
@__abdulazack Huna hakili ww walotajwa wako kimya ww yamekukuta wapi tena punguza uchawa dini na kabila tumezikuta na tutaziacha ww sio mwanzilishi wa hovyo vitu so tulia .
0
1
3
@sughe_jr
Lifehacker
4 months
@SportsarenatzTz Admin unajua sana 🙌
0
0
3
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
bora hyo kulko ile ya kuweka cm chaji unalala alafu unaamka asbuh nd unakumbka kua hukuwasha switch.
@dijei777
Wapepaji_4life🍁
3 months
Hakuna kitu inakera kama ulaze simu chaji alafu uamke ina 10%😥
14
12
47
1
1
3
@sughe_jr
Lifehacker
6 months
Ukiona umeambiwa uckumwema ujue kunamtu anaambiwa nambie.
0
1
3
@sughe_jr
Lifehacker
6 months
Ukinunua gari lililotumika unalipia bei ya uharibifu uliofanyika na wengine elewa neno GARI LILILOTUMIKA.
0
1
3
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
@Metho_AI kumbe bongo kuna lukaku na hamsemi hahahah
1
0
3
@sughe_jr
Lifehacker
4 months
1
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
@MsomiKhan18 Kabisa angalau tuanzie degree sasa hii ya kusema kigezo awe mtu mwenye zaid ya miaka 18 na anaejitambua ifutwe
0
0
3
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Wadada wa sasahivi wanaamini kua mahusiano ni kazi na sehemu ambayo wanatakiwa kulipwa na kutunzwa vizuri hapo ndio wanafeli sana. #nyakatingumuhazidumu .
0
1
3
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Admin wa @sportsarenatzTz unachelewa ku tweet gori la simba bana wengine hatujaenda ukumbini tulikua bize naomba tweet gori tuone ilikuaje.
1
0
3
@sughe_jr
Lifehacker
4 months
@kazi1_mzee mara moja moja sio mbaya sana kaka inatakiwa n explore new idea hapa.
1
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Eeh!! aise usiombe ikukute hii isikie kwa jirani tu dalali wenyewe mda huu hawapokei cm.
@Yassin_Jiwe
Bwana JIWE 
3 months
#Repost : @allymyundu Usije Dar kama unaona huwezi kujitegemea,. Hii ni kigogo.
4
4
17
1
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Nimkoa gani unafaa kwaajili ya biashara hapa Tanzania?
Mbeya
7
Arusha
3
Dodoma
3
Dar es salaam
20
0
1
2
@sughe_jr
Lifehacker
5 months
@gharib_mzinga @Yanga n ndugu zetu kabsa walimfunga @CRB kwahyo sisi tumekua juu yake, maana kama @CRB angeenda robo sahv tungekua namba 7 pale pale
0
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
4 months
@kweyvo Hahahaha au sio =16 hii nayo haiwez kunishinda hatakama cna hakl
0
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
0
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
4 months
@Clyde97_ @miquissone Yeah Kila mchezaji apate dakika zakucheza Ili tusije tukaacha jumba bovu tena ndani ya msimu 4 mfululizo
1
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
4 months
@MickyJnr__ Kwanini ahly robo amemalizia nyumban na nusu pia anamalizia nyumban mbona kama kuna hujuma
1
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
@Metho_AI Hahahaha aisee hatar
0
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Ambae anajua kwanini timu nyingi za ulaya hua zinaingia uwanjani na watoto utusaidie jibu tafhadhari.
0
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
@saym10989917 @Rajabh_Samli @MsomiKhan18 Eeh inabd wawah kabsa watwambie chuo Chao kinafanya nn huku ?
0
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
1
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
@MsomiKhan18 Nme like, repost na kucoment kwako maan ww nd mtu wa pili mwenye blue tick ku like tweet yangu unani support sana mm kama underground.
0
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
4 months
@Muccitronix Sio kushinda tu hadi kufuzu nusu
1
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
0
0
2
@sughe_jr
Lifehacker
3 months
Timu yetu ya simba shida ikowapi?
Uongozi
20
wachezaji
6
Kocha
2
1
0
2