SCANIA GANG Profile Banner
SCANIA GANG Profile
SCANIA GANG

@skanyika_

Followers
3,585
Following
854
Media
2,020
Statuses
8,403

SCANIA GANG🔥

Zambia
Joined January 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@skanyika_
SCANIA GANG
2 years
Sauli Luxury Bus🔥🔥🔥 Scania Polo G7 Jeuri DXE🔥🔥🔥 Record iliwekwa na hakuna atakaekuja ivunja miaka yote🔥🔥🔥 Uyole 1722hours🔥🔥🔥
Tweet media one
21
9
263
@skanyika_
SCANIA GANG
2 months
Mtu amtag yule mtafuna majani😂 Aache kupangia matajiri cha kufanya, yeye kitu anaweza ni kupangia abiria siti za kukaa tu😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
41
35
411
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Madereva wa ratiba ya saa 9, wana hali ngumu maana anatakiwa aamke saa 7, afike parking akague gari😎 Sasa huyu dereva kalala muda wa kutosha? Au mnadhani kujiegesha kwenye siti inatoa uchovu? Madereva wanatembea na usingizi😎 Latra ondoeni hii ratiba🤝 #SCANIAGANG
Tweet media one
42
24
293
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
T 668 DTF💔 Umepigana vita vingi sana, na umeishia vitani😎 Mjeshi umeacha heshima kubwa kwetu Wanambeya na Scaniagang🤝 #SCANIAGANG
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
28
14
264
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Sauli Luxury DPC🔥🔥🔥 Hii sio Benz😎ni Scania🔥🔥🔥 Ukiiona unaweza ukajua inadekaga kumbe ni mwamba kabisa🔥🔥🔥
Tweet media one
13
4
236
@skanyika_
SCANIA GANG
6 months
Alielichokoza hili Polo G7 DXE awahi kuomba msamaha😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
10
17
240
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Hizi tabia za kishenzi sana, hawa wanakuwepo kwenye check point, kama kuna mtu anafahamu wahusika moja kwa moja, awajulishe kuwa kila check point wanazoingia waangalie nani anasogelea gari🤝 Ila ifanyike kimya kimya atapatikana tu
Tweet media one
Tweet media two
42
12
235
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Miamba iliobaki kwa sasa ni DRH na DPN🔥 Tajiri ndo muda wa kutupa majibu sasa, tunaongeza au tunamalizia🤝 Sauli Luxury kila siku🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
Tweet media two
19
18
234
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Tupige hii hesabu leo😂 Una gari 10 zinapishana Dar-Mwanza, ila kila siku unatengeneza gari 8 kati ya 10😂 Alafu mtu ana Scania 3, ila yeye ni kupokea maokoto tu😎 Nani anafanya biashara ya faida hapo🤔 #SCANIAGANG
Tweet media one
21
7
229
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Kwa namna huyu tajiri anakuja, kuna namna ataibeba Mbeya maana tajiri Sauli sijui anawaza nini🤔 #BaloziWaAchimwene #SCANIAGANG
Tweet media one
20
10
227
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Leo sioni Sauli kwenye mikeka🤔
Tweet media one
14
4
210
@skanyika_
SCANIA GANG
2 months
#SCANIAGANG Viyapii😂 VIP🔥
Tweet media one
Tweet media two
10
7
211
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
T300 DRH🔥 Watu wanalifata lakini hawalioni huko😂 Au leo anaendesha Tajiri mwenyewe😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
10
7
201
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Hii gari ilianza kazi wakati wengine wapo vidudu(chekechea) alafu sahv unakuja kusema Scania hazikai😂😂😂 Haya leteni zile nyufosi za kwanza tuone leo zina hali gani😂😂😂 Scania inaishi🔥🔥🔥 Scania sio zao la mchina eleweni🤝
Tweet media one
30
7
198
@skanyika_
SCANIA GANG
6 months
Huyu mwamba ana gari 4 tu, moja Benz inasuasua, ila kila siku yupo road na ruti ni ndefu Dar-MBY🔥🔥🔥 Kaa mbalii😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
9
7
198
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Acha nipush Scania ziende tu🔥 Polo Jeuri🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
8
5
197
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Ukitaka kupewa story nzuri ya hili Scania, nenda pale Shekilango watakuonesha idadi ya Engine za mchina zilizokufa😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
7
7
195
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Tajiri kumbe yupo Kenya🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
8
5
191
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Kwa wale wote ambao mkiona nimepost kitu mnakuja kulike kucomment ata kuretweet, muishi sana👊 Asanteni kwa muda wenu👊 Scania kila siku🔥🔥🔥
Tweet media one
10
17
191
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Walikimbilia kwenye Scania za Mwanza-Dar na kelele kibao, naambiwa wamenyimwa kazi napo😂😂😂 Wamerudi kwenye mizahaa yao😂😂😂 Hakuna Foko kwenye Scania😂😂😂
Tweet media one
11
4
186
@skanyika_
SCANIA GANG
11 months
Sasa itakuaje😂😂😂 Alafu kuna kichaa alisema hauwezi fanya biashara ya usafirishaji na Scania😂😂😂 2 nenda, 2 rudi🔥🔥🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
6
7
184
@skanyika_
SCANIA GANG
9 months
Haya mascania ni makali sana🔥🔥🔥 Kama kuna siku niliyasema vibaya mnisamehee tu🤝 #SCANIAGANG
Tweet media one
8
7
181
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
tbt😂😂😂 Angalia hiyo mishale😂😂😂 Hivi tulibaki wangapi🤔 Scania🔥🔥🔥 Sauli Luxury🔥🔥🔥
Tweet media one
Tweet media two
27
7
178
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Kaka @baloziNM sasa wataweka wapi sura zao😂😂😂 Ratiba ni 0500hours kama wao sahivi😂 Scania Marcopolo G7 yake Sauli Luxury🔥
Tweet media one
20
6
175
@skanyika_
SCANIA GANG
2 months
Tumewasha Scania🔥 Sauli Luxury kila siku🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
11
9
173
@skanyika_
SCANIA GANG
26 days
Sauli Luxury kila siku🔥 28/06/2024📌 #SCANIAGANG
Tweet media one
6
9
173
@skanyika_
SCANIA GANG
11 months
Wale wale waliosema hatofika mbali, ndo hao hao wanasifia leo😂😂😂 Kuweni na msimamo wakuu🤝 #SCANIAGANG
Tweet media one
9
4
172
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Sauli Luxury🔥 Sitawaambia kila kitu😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
6
3
171
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Nani yupo shekilango hapo? Scania Polo Jeuri G7 DXE🔥🔥🔥
Tweet media one
13
2
170
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
ECR🤔 Nataka mje na maelezo ya kutosha, Scania hatuwekagi mawe sisi🤝 #SCANIAGANG
Tweet media one
8
5
170
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Naambiwa watu wameshindwa kufata hii Scania Marcopolo G7 huko Mwanza😂 Scania iende🔥🔥🔥 Sauli Luxury kila siku🔥🔥🔥
Tweet media one
22
5
164
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Retweet😎 Like😎
Tweet media one
Tweet media two
1
9
166
@skanyika_
SCANIA GANG
2 months
Uyole imepoa😂 Sauli Luxury kila siku🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
6
3
166
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Nahesabu namba, nijue tupo wangapi tuliobaki🤔 1 @skanyika_ ..... ..... #SCANIAGANG
Tweet media one
41
8
164
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Sielewi kuna nini🤔 Ninywe mbege ya kufurahia au ya maumivu😂😂😂 Scania🔥🔥🔥 T 418 DWFire🔥🔥🔥
Tweet media one
Tweet media two
16
9
164
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Baada ya kushindwa kuimaliza DRH zinarudishwa kwao😂😂😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
9
3
165
@skanyika_
SCANIA GANG
4 months
Hii ndo biashara ambayo haina hasara mpaka sasa🤝 #SCANIAGANG
Tweet media one
Tweet media two
6
5
162
@skanyika_
SCANIA GANG
8 months
Mjinga mmoja alisema anakopa, mjinga mwingine akasema hawezi toboa na Scania😂 Hapo utajua mawazo ya maskini na tajiri ni tofauti sana🤝 #SCANIAGANG
Tweet media one
9
6
161
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
DXE wakati halionekani tuliambiwa lipo Zuberi na matusi tukatukanwa sana humu😂 Mwisho wa siku limeibukia Katarama, sahivi wanaona aibu🤝 Haya tusubiri kibenz nacho🤔 #SCANIAGANG
Tweet media one
Tweet media two
5
5
157
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Picha ya zamani😂😂😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
7
7
157
@skanyika_
SCANIA GANG
13 days
DTFire🔥🔥🔥 Sauli Luxury kila siku🔥🔥🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
4
5
159
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
T 685 DPN🔥🔥🔥 Hii gari inafanya gari za mchina zionekane ni🚮🚮🚮 Imechakaza Dipikie, Diwaidi, Dazuu na Ebitoke anaelekea kuchakaa😂😂😂 Tunasubiri kifurushi kipya😂😂😂 Scania iende🔥🔥🔥 Sauli Luxury kila siku🔥🔥🔥
Tweet media one
11
5
152
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
25/04/2024📌 Sauli Luxury kila siku🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
7
8
154
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Sauli Luxury🔥🔥🔥 Hii ndo company iliosababisha watu wengi kujiunga twitter na kuwa wanazi wa mabus🤝
Tweet media one
19
4
150
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Mpaka sasa hakuna anaejua mpango wa Tajiri🤝 Ila tuna imani tu kwamba, haitaisha hivi kama tunavyoona😎 Sauli Luxury kila siku🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
9
9
154
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Asante tajiri🤝 Mbili zifike hadi chunya sahivi🤝 Sauli Luxury siku zote🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
5
8
152
@skanyika_
SCANIA GANG
2 years
T 418 DWFire🔥🔥🔥 Scania🔥🔥🔥
Tweet media one
22
3
152
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Dah!😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
18
7
150
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Nani yupo Shekilango hapa😎
Tweet media one
11
6
152
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Hii Scania itazimaliza gari za kichina hiyo njia ya Mwanza-Dar Au waache kukimbizana nayo tu😎
Tweet media one
12
4
150
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Scania Marcopolo G7 OG Tz nzima🔥🔥🔥 Ogopa matapeli zile zingine ni tata na yutong😂😂😂
Tweet media one
Tweet media two
8
8
149
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
T 300 DRH🔥🔥🔥 Inaelekea Mbeya, mpaka muda huu hakuna wa kuifuata🔥🔥🔥 Hii ndo Scania🔥🔥🔥
Tweet media one
13
6
145
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Sina cha kusema leo🤔 Nipate hela ya bia tu, maana sielewi😂 Sauli Luxury tutakufa na wewe🤝 #SCANIAGANG
Tweet media one
13
7
148
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Nasemaje Nasemaje Nasemaje Hizi Scania za Mwanza-Dar, zitamaliza hizo gari zenu za kichina😂😂😂 Scania iende🔥🔥🔥 Sauli Luxury kila siku🔥🔥🔥 Achana na zile za mtumba(Zuzuu)😂😂😂
Tweet media one
11
9
148
@skanyika_
SCANIA GANG
1 month
Usiempenda kaja😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
5
3
147
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Scania Marcopolo G7 Nyeupe⚪ Endelea kudanganywa/kudanganya kuwa kuna Scania za marangi rangi😂😂😂
Tweet media one
11
3
150
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Kipindi hicho dada Neema ndo konda🔥 Alikuwa dada poa sana, sahv sijui yupo wapi🤔 Rungwe Express💔 #SCANIAGANG
Tweet media one
3
5
147
@skanyika_
SCANIA GANG
6 months
Huyu wakumpa ata full tank siku moja🤝 Jamaa lazma ana ndoto ya kuendesha Scania🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
6
9
150
@skanyika_
SCANIA GANG
7 months
Sahivi wateja ni wale ambao hawajawahi panda na wamepata sifa zake nyingi😂 Bila kuboresha kazini kutakuwa na kazi🤝 Ukweli nausema ikikupendeza tumia option ya block🤝 #SCANIAGANG
Tweet media one
8
7
149
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Tunachukua kibali cha Dar-South Africa🔥 Scania inaweza isizimwe ata week wanajua hilo🤝 #SCANIAGANG
Tweet media one
Tweet media two
7
4
147
@skanyika_
SCANIA GANG
7 months
Unatoka zako MBY jioni, asubuh upo DAR, unafunga mzigo Kkoo, jioni unaondoka kurudi MBY🔥 Sauli Luxury kila siku🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
3
6
146
@skanyika_
SCANIA GANG
2 years
Hizi ndo bus maarufu kwa mwaka 2022🔥 DPC...Benz🔥🔥🔥 DPN...Scania🔥🔥🔥 DRH...Scania🔥🔥🔥 DTF...Scania🔥🔥🔥 DWF...Scania🔥🔥🔥 DWL...Scania🔥🔥🔥 DXE...Scania🔥🔥🔥 Zote ni Sauli Luxury zake tajiri wa dhahabu🔥🔥🔥
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
16
13
144
@skanyika_
SCANIA GANG
2 years
Scania Marcopolo G7 yake Sauli Luxury🔥
Tweet media one
9
3
147
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Kwenye biashara zako usimuweke ndugu yako🤝 Scania Marcopolo G7 Jeuri DXE🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
7
147
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Mwalimu🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
3
1
145
@skanyika_
SCANIA GANG
4 months
Ndo mmeamua kumwita Bonge Mautam kweli😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
4
2
146
@skanyika_
SCANIA GANG
2 months
Yamepark lakini bado yanapendwa🔥 Sauli Luxury kila siku🔥 Tuliobaki tunatosha🤝 #SCANIAGANG
Tweet media one
13
5
146
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Sauli Luxury🔥🔥🔥 Unaweza ukadhani mwamba ana gari 30, kumbe zipo 7 tu, ila zinavyowatesa wanazi na matajiri wa gari za kichina(DCM&Yuzidi)😂😂😂
Tweet media one
18
3
142
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Nyeupe⚪ #SCANIAGANG
Tweet media one
7
2
141
@skanyika_
SCANIA GANG
2 months
Sema wenetu wa Songea hawashindwi kitu🤝 Wanaleta G8 zenye vioo vya DCM😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
6
4
144
@skanyika_
SCANIA GANG
23 days
Eti mjomba ni tapeli😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
8
4
145
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
VVIP😂😂😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
19
3
143
@skanyika_
SCANIA GANG
8 months
Ukiachana na Kilimanjaro Express, mwingine mwenye hii jeuri ni Katarama tu😎 Scania Og🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
Tweet media two
6
7
143
@skanyika_
SCANIA GANG
4 months
Sisi hatuna yard Dar, zinaenda nyumbani🔥 Mlikasema sana kabenz😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
9
2
143
@skanyika_
SCANIA GANG
4 months
Tumetukanana, tumezinguana na block zimetembea, sasa tuishi kwenye furaha🤝 Tuungane, na tupush mambo mengine🤝 #SCANIAGANG
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
12
142
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Kumbe zile za udongo mwekundu na zenyewe zina vioo vya DCM😂😂😂 Polo anayo Sauli na Kilimanjaro tu😎
Tweet media one
11
3
139
@skanyika_
SCANIA GANG
2 months
Mimi nipo salama na kistarlet changu😂 Aliewaagiza wamekosea gari😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
8
2
141
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Ushamba huu na upumbavu🚮 Tuheshimu pesa za watu Mnachokitengeneza kitaleta shida sana mbeleni
Tweet media one
16
5
139
@skanyika_
SCANIA GANG
9 months
Tunaingia Mbeya saa 9, saa 10 jioni chuma inageuka🔥🔥🔥 Tunaingia MBT saa 9 na nusu, saa 10 na nusu chuma inageuka🔥🔥🔥 Hakuna kuzima Scania🔥🔥🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
9
4
141
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Haka kabenz kalifia wapi😂😂😂 Kanaingia Mbezi saa 5 asubuhi kweli😂😂😂 Alafu kalivyo kajinga eti kananyata ata honi hakapigi😂😂😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
14
0
140
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Wanazi wa mizahaa wote leo wameitaja Sauli Luxury😂😂😂 Sauli Luxury ni kubwa sana🔥🔥🔥
Tweet media one
8
6
135
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Hivi Kibaha hatuwezi tukapata location nzuri, tukawa tunakutana Wanazi ata mara moja kwa mwezi, tukacheza mpira, na mambo mengine🤝 Najua hii itatuunganisha Wanazi kuanzia Mbezi hadi Chalinze🤝 Mara moja kwa mwezi🤔
Tweet media one
9
6
136
@skanyika_
SCANIA GANG
8 months
Kwa faida ya wale wasiojua, hii ni body ya Marcopolo ila inaenda kuvaa Chassis ya Scania🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
8
10
138
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Uoga tu😂😂😂 Scania imewakimbiza siku kadhaa mmekimbilia kwa pilato😂😂😂 Mchina hawezi moto wa Scania ata siku moja😎 Sema mwambie aje tuongee, tuzipige stika ya pikipiki, chuma ziende Mbeya😎 Scania iende🔥🔥🔥
Tweet media one
11
2
137
@skanyika_
SCANIA GANG
11 months
Book Us Online🔥🔥🔥 Hii ndo inafanya watu wachukie hizi Scania😂😂😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
8
6
139
@skanyika_
SCANIA GANG
9 months
Kila mtu ana story yake juu ya hili dude🔥 Scania Marcopolo G7 Jeuri DXE🔥🔥🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
15
5
137
@skanyika_
SCANIA GANG
9 months
Tunafurahia mikeka ila moyoni tuna huzuni kubwa🤝 Tuna chuma 2 tu road, zikizingua ndo basi tena😎 #SCANIAGANG
Tweet media one
14
4
139
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Kwenye maisha yako angalia sana watu wasijue wewe ni "MPUMBAVU"😂😂😂 Sauli Luxury🔥🔥🔥 Scania ziende🔥🔥🔥
Tweet media one
11
3
133
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Alafu mtu kavuta uchafu wa ban*i wa jero anakuja kuongea mambo ya mkopo😂😂😂 Utakatwa makofi😂😂😂
Tweet media one
Tweet media two
12
5
136
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Yanga wanamsikiliza kocha, Simba wao wanamsikiliza Chama😂😂😂 DTF MJESHI💔 #SCANIAGANG
Tweet media one
1
4
134
@skanyika_
SCANIA GANG
4 months
Mwenye hile video ya fundi aiweke kwenye comment alafu tuwatag Classic #SCANIAGANG
Tweet media one
5
5
133
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
M pesa Tigopesa Airtel money Watoto wa 2000 kaeni mbali🤝
Tweet media one
14
4
136
@skanyika_
SCANIA GANG
1 year
Leo zimetoka ngapi😂😂😂 Soma kimya kimya hapo👇
Tweet media one
6
5
133
@skanyika_
SCANIA GANG
6 months
Huyu akipata muda apite Tabata kwa @MasterluxExp najua atakuwa na mengi ya kumueleza juu ya Polo DXE #SCANIAGANG
Tweet media one
10
7
133
@skanyika_
SCANIA GANG
2 months
Tweet media one
Tweet media two
5
7
135
@skanyika_
SCANIA GANG
3 months
Shida yenu hamnisalimiagi🤔 Anaecheka mwishoni ndo anacheka zaidi🤝 Sauli Luxury kila siku🔥 Mbeya ni nyeupe, si suala la muda tu😎 #SCANIAGANG
Tweet media one
7
2
133
@skanyika_
SCANIA GANG
8 months
Bado tuna imani kubwa sana kwa Sauli Luxury🤝 Sauli Luxury kila siku🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
11
5
131
@skanyika_
SCANIA GANG
9 months
Kilichotuponza ni.......... Nimekuta linakula stika mpya😂😂😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
9
1
133
@skanyika_
SCANIA GANG
5 months
Kuuliza sio ujinga, bro alipata dawa ya kuotesha ndevu kweli😂 #SCANIAGANG
Tweet media one
8
8
132
@skanyika_
SCANIA GANG
2 months
Mbeya tulipendelewa sana🔥 Vitu vizuri vilianzia njia yetu🔥 #SCANIAGANG
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
7
6
131