Madereva wa ratiba ya saa 9, wana hali ngumu maana anatakiwa aamke saa 7, afike parking akague gari😎
Sasa huyu dereva kalala muda wa kutosha?
Au mnadhani kujiegesha kwenye siti inatoa uchovu?
Madereva wanatembea na usingizi😎
Latra ondoeni hii ratiba🤝
#SCANIAGANG
Hizi tabia za kishenzi sana, hawa wanakuwepo kwenye check point, kama kuna mtu anafahamu wahusika moja kwa moja, awajulishe kuwa kila check point wanazoingia waangalie nani anasogelea gari🤝
Ila ifanyike kimya kimya atapatikana tu
Tupige hii hesabu leo😂
Una gari 10 zinapishana Dar-Mwanza, ila kila siku unatengeneza gari 8 kati ya 10😂
Alafu mtu ana Scania 3, ila yeye ni kupokea maokoto tu😎
Nani anafanya biashara ya faida hapo🤔
#SCANIAGANG
Hii gari ilianza kazi wakati wengine wapo vidudu(chekechea) alafu sahv unakuja kusema Scania hazikai😂😂😂
Haya leteni zile nyufosi za kwanza tuone leo zina hali gani😂😂😂
Scania inaishi🔥🔥🔥
Scania sio zao la mchina eleweni🤝
DXE wakati halionekani tuliambiwa lipo Zuberi na matusi tukatukanwa sana humu😂
Mwisho wa siku limeibukia Katarama, sahivi wanaona aibu🤝
Haya tusubiri kibenz nacho🤔
#SCANIAGANG
Nasemaje Nasemaje Nasemaje
Hizi Scania za Mwanza-Dar, zitamaliza hizo gari zenu za kichina😂😂😂
Scania iende🔥🔥🔥
Sauli Luxury kila siku🔥🔥🔥
Achana na zile za mtumba(Zuzuu)😂😂😂
Sahivi wateja ni wale ambao hawajawahi panda na wamepata sifa zake nyingi😂
Bila kuboresha kazini kutakuwa na kazi🤝
Ukweli nausema ikikupendeza tumia option ya block🤝
#SCANIAGANG
Hizi ndo bus maarufu kwa mwaka 2022🔥
DPC...Benz🔥🔥🔥
DPN...Scania🔥🔥🔥
DRH...Scania🔥🔥🔥
DTF...Scania🔥🔥🔥
DWF...Scania🔥🔥🔥
DWL...Scania🔥🔥🔥
DXE...Scania🔥🔥🔥
Zote ni Sauli Luxury zake tajiri wa dhahabu🔥🔥🔥
Tunaingia Mbeya saa 9, saa 10 jioni chuma inageuka🔥🔥🔥
Tunaingia MBT saa 9 na nusu, saa 10 na nusu chuma inageuka🔥🔥🔥
Hakuna kuzima Scania🔥🔥🔥
#SCANIAGANG
Hivi Kibaha hatuwezi tukapata location nzuri, tukawa tunakutana Wanazi ata mara moja kwa mwezi, tukacheza mpira, na mambo mengine🤝
Najua hii itatuunganisha Wanazi kuanzia Mbezi hadi Chalinze🤝
Mara moja kwa mwezi🤔
Uoga tu😂😂😂
Scania imewakimbiza siku kadhaa mmekimbilia kwa pilato😂😂😂
Mchina hawezi moto wa Scania ata siku moja😎
Sema mwambie aje tuongee, tuzipige stika ya pikipiki, chuma ziende Mbeya😎
Scania iende🔥🔥🔥