๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ Profile Banner
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ Profile
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ

@MasterluxExp

Followers
3,553
Following
311
Media
529
Statuses
3,536

๐™บ๐š ๐šŠ ๐šœ๐šŠ๐š๐šŠ๐š›๐š’ ๐šฃ๐šŠ ๐™ณ๐šŠ๐š›-๐™ผ๐š‹๐šŽ๐šข๐šŠ ๐™ฑ๐š˜๐š˜๐š”๐š’๐š—๐š 0753035720 |๐šƒ๐š›๐šŠ๐šŸ๐šŽ๐š•๐š• ๐šœ๐šŠ๐š๐šŽ, ๐™ต๐šŽ๐šŽ๐š• ๐šŒ๐š˜๐š–๐š๐š˜๐š›๐š๐šŠ๐š‹๐š•๐šŽ|

Urafiki,Dar es salaam Tanzania
Joined October 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Sina Hata 100 Mke wangu Kaenda Kuoga Nikasema Acha Nichungulie sim Yake katika harakat za kuangalia sms nikaona sms ya jamaa kama vile wanachat mambo ya love love Basi Kwakuwa wife atarudi kuoga Nikachukua Namba ya huyo jamaa kisha Nikamblock kwenye namba ya wife ili niendelee
Tweet media one
167
159
2K
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Basi Nikwandikia Sms Yule jamaa kwa namba Yangu Samahani Naomba Tumia namba Hii Ila Tuchati Tu,Jamaa akasema Poa Jamaa Akaniambia Niambie My Nikamwambia Poa Akauliza Huyo Kiazi Anakuja Leo Au Tutatoa out ? Nikajibu Leo Atachelewa Kanipa Yaarifa anakikao Ofisin
1
7
277
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Akasema Sawa Leo Unahitaji matumizi Nikajibu Ndio Akauliza nitumie kwenye Namba Ipi Nikamwambia Nakutumia namba ya wakala Basi Nikatuma Namba ya wakala Jamaa akatuma lak 1 na kumi na tano .........
2
7
266
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Mtu kazi
Tweet media one
9
9
256
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Kumbuka Nina Hasira jamaa Kumbe anakula wife wangu Bado ananiita Kiazi Mimi!!! Ok Tukae kwenye story Basi Akaniambia Tunaweza Kuonana Lini Nikamwambia Sema wewe Tu Mie nipo Free.
2
6
261
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Ni vile tu mafundi ni watu Kaambiwa ajiongeze kafanya hv ๐Ÿ˜‚
Tweet media one
35
14
239
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Wakati Najifariji Na huku Moyo Unauma Natamani Ni mwashe makofi Wife mara gafla wife ananiambia baby Unajua mzee kasema Ile Nyumba Ya mabibo ni yetu Lakin Pia kaniwekea Ml 100 kama sehemu ya Kujiendeleza Na kimaisha mimi na wewe
3
4
240
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Gooooooooooooooood iwe morning ledizi and jentolomen
Tweet media one
6
10
215
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Siku Moja Nimelala Kwa Mdada Siku Ya kwanza! Saa 8 usiku nikasikia hod inagongwa kwa Nguvu Fungua wewe mwanamke,Daa nikasema hii balaa.Naangalia Kama Naweza Kupita Dirishan Wapi๐Ÿ˜ Basi dada Wawatu Akafungua Mlango Kumbe ni mlevi Kasahau Mlango wake Akagonga wetu. @Adventure_36
Tweet media one
15
19
210
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Kitu Kinaniambia Nimwambie Wife Au Nikae Kimya? Basi wife akaniambia Mume wangu Nakupenda sana Ni Sitokaa ni niwe mbali na wewe Natamani Hata kazini twende wote Daaa Mimi hasira juuu
1
5
215
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Somewhere in Daselamu
Tweet media one
12
10
193
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Ndoto ya kila mnazi kwa mwanae ๐Ÿ˜‚
18
63
191
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Kidogo Inaingia sms Ya mwamba Vipi mamy Mbona Hujibu sms Kama haupo mazingira mazuri Niambie Hapo Na bak Njiapanda nimjibu wifi Au nimejibu huyu mwamba Mpumbavu ananiharibia wife ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
1
5
196
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Naweka bando Story Itaendeleaaa
2
4
195
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Akili Nilianza Kujiuliza ni wapi Na kosea Na Huyu mtu Ni nani Na ni kwa nini Wife aseme ananipenda na hataki Kukaa mbali Na Mimi? Au usikute mtego Huuu
1
6
191
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Ingekuwa Ni wewe? Siku Moja Nimetoka iringa Na Privet car Nilitamani Kufika Mwanza Siku Hiyo Hiyo Ila Gar Niliopanda Ilikuwa Inaishia Dodoma Majira Kama ya saa 2 usiku Tulifika dodoma Na Nikaelekezwa Kama Nataka gari za usiku Niende Njia nine Yan For way๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Tweet media one
14
14
186
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Ona huyu nae akidondosha pua jee Nani atamuokotoea?? ๐Ÿ˜Ž
Tweet media one
9
7
183
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Akil Moja Iliniambia Nipumzike Nisifanye maamuzi ya haraka Nitulie Na kujipa Muda. Wakat nafikiri hilo Lile Lijamaa likatuma Sms Hi love? daaa hamu ya chakula iliisha maana Ndio tulikuwa mezani kwaajili ya chakula
1
7
181
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Oyaa ilo geti lenyewe liko ap sasa tufungue mbona silion ?
Tweet media one
21
14
174
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Wife Akauliza Unashida Gan Mbona kama Vile Haupo Sawa Nikajibu Naomba Niache nahitaji Kupumzika sipo Sawa kabisa Chakula Niwekรจe Nitakula baadae Basi Nikatoka kwenda had nnje na kutafakari Nini Cha Kufanya Basi Kuna Jamaa yangu mmoja ni mtu wa it
1
5
178
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Dragon La ming'ao
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
19
13
175
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Teckolojia Hivyo nikamuuliza Una akili gani Ya kutrak namba Ya mtu labda Nijue anaishi wapi Jamaa akasema Hiyo ni Ngumu Labda watu wa polisi lakn ni lazima Uwe na maelezo ya Kutosha na labda Iwe simu yako na sio ya mwingine hivyo no ngumu kumpata Huyo Mtu
1
5
177
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Basi Yule Dada Akampigia Simu Nilimwomba Kila akimpigia aniunge Comfres Ili nam Nisikie Ila nilikuwa nakaa Kimya Niwasilikize. ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
1
3
177
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Basi Haba na Haba Hujaza kibaba Akili Ikanijia kabla ya wife Nilikuwa na mahusiano Na dada Mmoja, Anajua Nimeoa Lakn Tunaongea Vizur Nikampigia Kumpa Mkanda mzima Lengo Nimpe namba Ili Awasiliane Nae Avute Karibu Ili Nimdake hivyo harakati zikaanza ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
1
3
175
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Black and Red
Tweet media one
9
5
165
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Jamaa aloo nani Wewe Basi yule mchepuko wangu wazaman akjibu safi mie fulan jamaa akauliza Mimi unanifahamu? Dada akasema ndio unajua mbinu za kinadada za kujelegeza yule jamaa kama alilainika na kusema naomba tuongee baadae nipo kwenye Kikao ๐Ÿ‘‡
2
3
172
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Safari ni hatua, kila hatua Dua, Safiri nasi kutoka Dar- Mbeya na kutoka Mbeya - Dar Tupigie +255 757 160 808 kwa Tiket
Tweet media one
14
16
161
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Master Mwaisa
Tweet media one
6
8
160
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
10 months
Shwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Tweet media one
11
11
158
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Hatuwezi Kukuacha Nyuma Sababu Tumeamua Kutenga Muda wetu Kukuhudumia 24/Hr
Tweet media one
7
8
154
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Haya mambo haya unaeza jikuta unasahau pasword ๐Ÿ˜Ž
Tweet media one
16
7
159
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Nilimwomba Sana Yule Dada Mchepuko afanye Anavyoweza Ili baadae Amtafute ile lak jamaa aliotuma Nikamtumia Elfu 80 Ili apambane na hiyo. Ok turudi nyumban Kwa Wife Nikaingia Ndani Sikutaka Kuongea Nikapitiliza Chumbani wife nae akaja chumbani na Kuuliza Una shida gan mbona
4
3
166
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Higer lenu la mineso ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
Tweet media one
13
7
154
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Si tulisahau funguo tukaweka juu ya mlango tena mnazi kaamsha nalo ila tumemuwahi kabla hajafika mbali ๐Ÿ˜‚
Tweet media one
5
7
149
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Na hii ni timu itakayoanza safari kesho wakiwa na T279DSR kutoka Dar-Kwenda Mbeya 1.Hamidu 2.Njau (Kijana wenu tumewaleteeni ๐Ÿ˜‚) 3.Leila Wahi tiketi yako mapema Tupigie โ˜Ž๏ธ 0757 160 808 0753 110 808
Tweet media one
16
11
152
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Kesho Kuna story gani Kaa nasi Ukitaka Usafiri ni master
4
2
150
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Unachokiogopa kinaweza kuwa sahihi zaidi kwako kukifanya, vua uoga vaa ujasiri kifanye
Tweet media one
10
10
140
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Unajua Hasira Ya mwaume Nilishindwa Kujizuia Hivyo Nikamwambia Wife Naomba Tuzungumze Nomba Uniambie Ukwel Kuna Mtu Unamahusiano nae Nnje Ya Mimi? Kumbuka Tupo Kitandani Tunazungumza hayo. Wfe akajibu Hapana Sina kwani Kuna nn hadi Useme Hivyo?
2
4
143
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Kwa safari za kutoka Dar es salaam kwenda Mbeya na kutoka Mbeya kwenda Dar es salaam kata tiketi katika ofisi zetu ๐Ÿ“ Mbeya - Stand kuu Geti la kuingilia ๐Ÿ“ Dar - Urafiki Au Tupigie 0757 160 808 0753 110 808
Tweet media one
16
15
136
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Sitaki Kukuchosha Sana Namalizia Story Basi Baada ya Kurudi Ndan Wife akauliza Nini Shida kwa Nini ufanye Hivyo.siku Jibu Chchote ila wife akasema kesho Kuna Wageni Naomba Usiende Kazini Kwa hasira Nikajibu sawa
1
2
140
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
10 months
Maamuzi ya Dereva
18
16
132
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Basi Nikatoka Nnje Lakn Wife Anatabia ya utata akaanza Kusema eheee umeanza Huyo Atakuwa mwanamke wako Ndio Maana Unataka Kuongelea Nnje Hizo tabia mbaya sana Wewe mwanaume Nikapiga konde Nikatoka Nnje Tena Nnje ya get Sababu wife anatabia Ya kusikilizia
3
2
137
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Hivyo mwngu Maisha Hayahitaji Kukurupuka Na ndoa Ni Uvumilivu Ukikrupuka Utapoteza ndoa yenu Basi leo nawakabidi ml 200 nyongeza ya ml 100 juu na muwe na maisha,Mema daa nilichoka sana Japo yule mchepuko wangu namjua asije akaanza kupgia sim mzee alafu amteke kiakil๐Ÿ˜๐Ÿ˜Mwisho
3
4
132
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Kila hatua dua DLE 134 T Hii ipo kwa wacherewaji kuamka kwenda Mbeya na kurudi Dar
Tweet media one
10
6
131
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Kidogo akapiga Sim Yule Mchepuko Wangu Na Kupokea Siwez sababu Wife Yupo tupo wote Kitandandani Sababu Nilikuwa na sehem Ya hasira Sikusita Nilitaka Kutoka Nnje ili Kwenda kusikiliza taarifa Ninayopewa Juu ya Yule Jamaa
1
2
135
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Mwaisa mtu mbad
Tweet media one
7
5
127
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Tweet media one
3
5
126
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Kesho Mbeya tutaenda na DPK 718 Zhongtong climber chini ya usimamizi wa Njau Master AKA Ng'olo Kante
Tweet media one
19
9
126
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Basi Taarifa Niliopiewa ni kwamba Jamaa Kakataa Kuonana Na yule yule Dada Niliomtuma Na baada ya kumwomba waonane Jamaa hakumpa ushirikiano wowote
4
3
134
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Akasema, Jana Ndie Nilituma sms Na tulikubaliana na bint yangu Ili kupima Upendo wako kwa mkeo Sio upendo bal nilitaka Kujua ni vipi Utaweza Kukabiliana na magumu Juu ya mwenzako Hivyo Zile sms zote alikuwa ni mimi na Hongera Kijana wangu Umefaul mtihan wetu๐Ÿ‘‡
1
1
133
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Akaanza Kwa Kusema Mimi na mama Yenu Tumeishi kwa Kuvumiliana Sana Ndio Maana Leo Tupo Na Tunapitia changamoto Na mambo lakn Tunavumilia, Kimoyo nasema Huyu mzee vip mbona kama analeta story za ajabu muda huu japo unajua nina kauchungu sema Kinachonipooza
1
1
129
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Bwana wewe na Mwaisa Ila wote wa ungonini
Tweet media one
11
7
120
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Baada Ya Chakula Baba Mkwe Akasema wanangu Leo Nina zawadi Kwenu Natumaini mkeo Alikuambia Kuwa Tunawakabidhi Nyumba na sh milion 100? Nikajibu ndio baba
1
1
127
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Kumekucha asubuhi mida kama ya saa 4 Nilishangaa Kuona Ugeni Mkubwa Baba Mkwe Mama Mkwe na mashemeji zangu walikuja na vyakula na Vinywaji.Nilishtuka Sana Sherehe Gan Tena Hii Na mbona Sina Taarifa basi Nikapiga Moyo Konde Nisikilize maelekezo
1
1
128
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Kuna mi mtu mibishi sana itabisha hapa sio uyole Na haitakua na sababu zozote za msingi kubisha
Tweet media one
9
5
118
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
9 months
Burudani kwa wote Njoo na movie zako tu runinga utaikuta ndani ya gari
Tweet media one
6
11
126
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Ni kwamba Nimesikia Tunapeaa ml 100.basi Mzee akasema Jana Kijana wangu Nilituma shilingi laki moja kwenye Simu yako nafikiri Uliona ? Moyo Ulipasuka pwaaaa najiuliza jana alietuma ni yule jamaa niliekuta sms za mapenzi hakuna nyingine iweje huyu baba mkwe aseme katuma lak?
3
1
126
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Msinitishe na TBT zenu na mimi nimepata ya kupost sasa Niiten mandonga niko nimekaa pale ๐Ÿ˜‚
Tweet media one
11
7
113
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Public Service Vehicle Black and Red
Tweet media one
4
12
111
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Nawakumbusha chuma pamoja na funguo zake viko urafiki njoo na hela ya mafuta tu ๐Ÿ˜Ž
Tweet media one
5
8
116
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Najutia Mkono Wangu Wa Kulia,Pamoja na Mpenzi Wangu๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ ilikuwa ni Siku Ya jumamosi Mimi Na mpenzi Wangu, Ofisi Yetu Tunafanya kazi Nusu Siku.Baada Ya Kurudi Nyumban Mpenz wangu Wa Kike,Aliniambia Anahitaji Kutoka Out Leo Roho Ilisita Lakn Mpenz wangu Alichukia na kusema๐Ÿ‘‡
Tweet media one
6
12
118
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Mpwa mmoja na mabroo wa kutosha ๐Ÿ˜‚,, Niguse nikusemelee sasa
7
8
113
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
La wanazi wa scania Akina @skanyika_ na @PabloYende
15
11
111
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Malcom X wa wanazi
8
4
108
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Ila Scania Ina Karaha kake
Tweet media one
3
8
106
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Jumatatu :Dar es salaam, Kibaha, Moro, Iringa, Mafinga, Makambako, Igurusi, WEMBLEY, nane, mpka stand kuu ๐Ÿ˜‚ chuma la wanazi litakua kwa hewa Jumanne : ni Nyuma geuka mwendo ule ule ๐Ÿ˜‚
Tweet media one
16
12
107
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Kumbe Wife Alinitegea Kamtego wa kwenda bafuni ili nichungulie sms๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
3
2
108
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Spider Man wa mchongo A. K. A mzee kipara Njau Master
Tweet media one
4
8
103
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Lilete la wanazi, lilete la wanazi
Tweet media one
Tweet media two
9
7
103
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Ahsanten Sana Mbeya, hii ni yetu sote Ahsanten sana wanazi wote kwa support yenu Masterlax ni yetu Sote,, TBB, WATIL, TBD, SHBF, Adventer, japo mmeniita mandonga freshii tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Tukutane tena kesho kutoka dar - Mbeya na kutoka Mbeya kwenda dar, na sasa ni rasmi tupo kila siku
10
11
102
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Wanazi aka wa coco nut
Tweet media one
4
7
100
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Mwaga moto, nimwage ndonga Pampa tu Pampa ๐Ÿ˜‚
Tweet media one
5
1
100
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Tweet media one
9
4
98
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Stei Tiuni La wanazi izi kaming'i na muonekano mpya kiengereza kigumu sana ila mjue hvo linakuja
Tweet media one
13
5
97
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
3 years
Kila hatua Dua
Tweet media one
4
14
97
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Kwa mfano
Tweet media one
15
3
99
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
#TBT ya la wanazi Acha tuwachanganye joined 2023
Tweet media one
6
6
97
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Dragon la Ming'ao La kuwapeleka Mbeya na kuwarudisha Dar kila siku
Tweet media one
1
5
96
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Ze Ndinga kali ze ukumbi wa kinyamwezi wa ku enjoy akina mwaisa
Tweet media one
Tweet media two
8
8
99
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Tweet media one
2
7
91
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Hivi unajua mi ni nani?? Swali kama hili unajibu vp? Msaada kwenye tuta
Tweet media one
Tweet media two
14
6
94
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Neema za Mungu Zidumu Ndani Yetu Lukaย 11:28
Tweet media one
5
5
94
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
๐Ÿ˜‹
Tweet media one
3
2
91
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Hivi kesho ni lini? ๐Ÿ˜
Tweet media one
5
5
93
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
3 years
Groly to God
Tweet media one
4
7
91
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Dakika za mwisho za maandalizi ya kufuzu Afcon Higer is Good
Tweet media one
5
8
85
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Kuna picha za Golden Dragon zina graphic ya masterlax zimesambaa mitandaon zimeandikwa Mbeya-Dar, Ni kweli sio photoshop, ukiliona usiache kupiga picha ๐Ÿ˜Ž
Tweet media one
5
5
86
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Sa Sijui itakuaje ๐Ÿ˜‹
Tweet media one
5
3
85
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Picha la kuombea mkopo ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Wapiga picha wa mabasi mna nafasi kubwa sana kwenye kumbukumbu zetu ๐Ÿ“ธ @PorcarlP
Tweet media one
6
5
89
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Tunaanza Ruti mpya Ya Mbeya Muhimbili karibuni Sana @Adventure_36 @skanyika_ @PabloYende Karibu wote
Tweet media one
10
9
89
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Hivi karani wa sensa akija asbh nikiwa nakunywa supu ya kongoro na mihogo ya kuchemsha naruhusiwa kumkaribisha ua itakua ni rushwa kazini? @MsigwaGerson
Tweet media one
5
8
87
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Tukalale sasa tuwahi kujiandaa na safari ya kesho
Tweet media one
1
10
84
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Sina chochote cha kusema zaidi ya Karibu sana Masterlax tukuhudumie ukarimu ni utamaduni wetu
Tweet media one
5
8
85
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Imagine Mbeya na huu Unyama
Tweet media one
4
4
87
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
1 year
Nilizidisha Dozi Kwa Mume Wangu Najutaaa!! Nimeolewa Nina Watoto wawili Kwenye Ndoa Yangu,Mume wangu Tumeishi Vizuri kwa mwongozo wa aman na Upendo,Baada ya Miaka mitatu Ya ndoa Mume wangu Alibadilika, Nilianza Kumtafuta kwa manati Ili hali Ni Mume wangu Tena Wa Ndoa๐Ÿ‘‡
Tweet media one
3
8
81
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Kila siku
Tweet media one
8
5
85
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Ni kosa kubwa sana kukosa pesa na mikwara vyote kwa pamoja ๐Ÿ˜€ Mwaisa ๐Ÿ˜€
Tweet media one
7
2
80
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Siku zinatembea aisee na tayari ni wikiend Kuna viumbe wanawaza kumwagilia moyo badala ya ibada ๐Ÿ˜‚ Mwenyee ako au atapiga picha yetu leo anitumie WhatsApp plzz kali kuliko zote ntabadirishana nayo na vocha ya mtandao anaotumia 0757 160 808
Tweet media one
5
7
79
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Dereva namba 7 na dereva namba 11 kwenye picha ya pamoja tutakua nao chuma zikirud kila mtu anaendesha anachojua ๐Ÿ˜‚
Tweet media one
3
5
83
@MasterluxExp
๐Œ๐š๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ฅu๐ฑ ๐„๐ฑ๐ฉ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ
2 years
Kesho kutoka Dar es salaam kwenda Mbeya utahudumiwa na 1.Luca 2. Harun 3.Ramla Na kesho ndo kwa mara ya kwanza staff wa master watasalimiana kwa horn na kupunga mikono tu wakiwa wanapishana na ndugu zao wanaotoka Mbeya ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
5
6
79