Sina Hata 100 Mke wangu Kaenda Kuoga Nikasema Acha Nichungulie sim Yake katika harakat za kuangalia sms nikaona sms ya jamaa kama vile wanachat mambo ya love love Basi Kwakuwa wife atarudi kuoga Nikachukua Namba ya huyo jamaa kisha Nikamblock kwenye namba ya wife ili niendelee
Basi Nikwandikia Sms Yule jamaa kwa namba Yangu Samahani Naomba Tumia namba Hii Ila Tuchati Tu,Jamaa akasema Poa
Jamaa Akaniambia Niambie My
Nikamwambia Poa Akauliza Huyo Kiazi Anakuja Leo Au Tutatoa out ?
Nikajibu Leo Atachelewa Kanipa Yaarifa anakikao Ofisin
Akasema Sawa Leo Unahitaji matumizi
Nikajibu Ndio
Akauliza nitumie kwenye Namba Ipi Nikamwambia Nakutumia namba ya wakala
Basi Nikatuma Namba ya wakala Jamaa akatuma lak 1 na kumi na tano .........
Kumbuka Nina Hasira jamaa Kumbe anakula wife wangu Bado ananiita Kiazi Mimi!!! Ok Tukae kwenye story
Basi Akaniambia Tunaweza Kuonana Lini Nikamwambia Sema wewe Tu Mie nipo Free.
Wakati Najifariji Na huku Moyo Unauma Natamani Ni mwashe makofi Wife mara gafla wife ananiambia baby Unajua mzee kasema Ile Nyumba Ya mabibo ni yetu Lakin Pia kaniwekea Ml 100 kama sehemu ya Kujiendeleza Na kimaisha mimi na wewe
Siku Moja Nimelala Kwa Mdada Siku Ya kwanza! Saa 8 usiku nikasikia hod inagongwa kwa Nguvu Fungua wewe mwanamke,Daa nikasema hii balaa.Naangalia Kama Naweza Kupita Dirishan Wapi๐ Basi dada Wawatu Akafungua Mlango Kumbe ni mlevi Kasahau Mlango wake Akagonga wetu.
@Adventure_36
Kitu Kinaniambia Nimwambie Wife Au Nikae Kimya? Basi wife akaniambia Mume wangu Nakupenda sana Ni Sitokaa ni niwe mbali na wewe Natamani Hata kazini twende wote Daaa Mimi hasira juuu
Kidogo Inaingia sms Ya mwamba Vipi mamy Mbona Hujibu sms Kama haupo mazingira mazuri Niambie
Hapo Na bak Njiapanda nimjibu wifi Au nimejibu huyu mwamba Mpumbavu ananiharibia wife ๐๐
Akili Nilianza Kujiuliza ni wapi Na kosea Na Huyu mtu Ni nani Na ni kwa nini Wife aseme ananipenda na hataki Kukaa mbali Na Mimi?
Au usikute mtego Huuu
Ingekuwa Ni wewe?
Siku Moja Nimetoka iringa Na Privet car Nilitamani Kufika Mwanza Siku Hiyo Hiyo Ila Gar Niliopanda Ilikuwa Inaishia Dodoma
Majira Kama ya saa 2 usiku Tulifika dodoma Na Nikaelekezwa Kama Nataka gari za usiku Niende Njia nine Yan For way๐๐
Akil Moja Iliniambia Nipumzike Nisifanye maamuzi ya haraka Nitulie Na kujipa Muda.
Wakat nafikiri hilo Lile Lijamaa likatuma Sms Hi love? daaa hamu ya chakula iliisha maana Ndio tulikuwa mezani kwaajili ya chakula
Wife Akauliza Unashida Gan Mbona kama Vile Haupo Sawa Nikajibu Naomba Niache nahitaji Kupumzika sipo Sawa kabisa
Chakula Niwekรจe Nitakula baadae Basi Nikatoka kwenda had nnje na kutafakari Nini Cha Kufanya
Basi Kuna Jamaa yangu mmoja ni mtu wa it
Teckolojia Hivyo nikamuuliza Una akili gani Ya kutrak namba Ya mtu labda Nijue anaishi wapi Jamaa akasema Hiyo ni Ngumu Labda watu wa polisi lakn ni lazima Uwe na maelezo ya Kutosha na labda Iwe simu yako na sio ya mwingine hivyo no ngumu kumpata Huyo Mtu
Basi Haba na Haba Hujaza kibaba Akili Ikanijia kabla ya wife Nilikuwa na mahusiano Na dada Mmoja, Anajua Nimeoa Lakn Tunaongea Vizur Nikampigia Kumpa Mkanda mzima Lengo Nimpe namba Ili Awasiliane Nae Avute Karibu Ili Nimdake hivyo harakati zikaanza ๐๐
Nilimwomba Sana Yule Dada Mchepuko afanye Anavyoweza Ili baadae Amtafute ile lak jamaa aliotuma Nikamtumia Elfu 80 Ili apambane na hiyo.
Ok turudi nyumban Kwa Wife Nikaingia Ndani Sikutaka Kuongea Nikapitiliza Chumbani wife nae akaja chumbani na Kuuliza Una shida gan mbona
Unajua Hasira Ya mwaume Nilishindwa Kujizuia Hivyo Nikamwambia Wife Naomba Tuzungumze Nomba Uniambie Ukwel Kuna Mtu Unamahusiano nae Nnje Ya Mimi? Kumbuka Tupo Kitandani Tunazungumza hayo.
Wfe akajibu Hapana Sina kwani Kuna nn hadi Useme Hivyo?
Kwa safari za kutoka Dar es salaam kwenda Mbeya na kutoka Mbeya kwenda Dar es salaam kata tiketi katika ofisi zetu
๐ Mbeya - Stand kuu Geti la kuingilia
๐ Dar - Urafiki
Au Tupigie
0757 160 808
0753 110 808
Sitaki Kukuchosha Sana Namalizia Story
Basi Baada ya Kurudi Ndan Wife akauliza Nini Shida kwa Nini ufanye Hivyo.siku Jibu Chchote ila wife akasema kesho Kuna Wageni Naomba Usiende Kazini
Kwa hasira Nikajibu sawa
Basi Nikatoka Nnje Lakn Wife Anatabia ya utata akaanza Kusema eheee umeanza Huyo Atakuwa mwanamke wako Ndio Maana Unataka Kuongelea Nnje Hizo tabia mbaya sana Wewe mwanaume Nikapiga konde Nikatoka Nnje Tena Nnje ya get Sababu wife anatabia Ya kusikilizia
Hivyo mwngu Maisha Hayahitaji Kukurupuka Na ndoa Ni Uvumilivu Ukikrupuka Utapoteza ndoa yenu Basi leo nawakabidi ml 200 nyongeza ya ml 100 juu na muwe na maisha,Mema daa nilichoka sana
Japo yule mchepuko wangu namjua asije akaanza kupgia sim mzee alafu amteke kiakil๐๐Mwisho
Kidogo akapiga Sim Yule Mchepuko Wangu Na Kupokea Siwez sababu Wife Yupo tupo wote Kitandandani
Sababu Nilikuwa na sehem Ya hasira Sikusita Nilitaka Kutoka Nnje ili Kwenda kusikiliza taarifa Ninayopewa Juu ya Yule Jamaa
Akasema, Jana Ndie Nilituma sms Na tulikubaliana na bint yangu Ili kupima Upendo wako kwa mkeo Sio upendo bal nilitaka Kujua ni vipi Utaweza Kukabiliana na magumu Juu ya mwenzako Hivyo Zile sms zote alikuwa ni mimi na Hongera Kijana wangu Umefaul mtihan wetu๐
Akaanza Kwa Kusema Mimi na mama Yenu Tumeishi kwa Kuvumiliana Sana Ndio Maana Leo Tupo Na Tunapitia changamoto Na mambo lakn Tunavumilia,
Kimoyo nasema Huyu mzee vip mbona kama analeta story za ajabu muda huu japo unajua nina kauchungu sema Kinachonipooza
Baada Ya Chakula Baba Mkwe Akasema wanangu Leo Nina zawadi Kwenu Natumaini mkeo Alikuambia Kuwa Tunawakabidhi Nyumba na sh milion 100? Nikajibu ndio baba
Kumekucha asubuhi mida kama ya saa 4 Nilishangaa Kuona Ugeni Mkubwa Baba Mkwe Mama Mkwe na mashemeji zangu walikuja na vyakula na Vinywaji.Nilishtuka Sana Sherehe Gan Tena Hii Na mbona Sina Taarifa basi Nikapiga Moyo Konde
Nisikilize maelekezo
Ni kwamba Nimesikia Tunapeaa ml 100.basi Mzee akasema Jana Kijana wangu Nilituma shilingi laki moja kwenye Simu yako nafikiri Uliona ? Moyo Ulipasuka pwaaaa najiuliza jana alietuma ni yule jamaa niliekuta sms za mapenzi hakuna nyingine iweje huyu baba mkwe aseme katuma lak?
Najutia Mkono Wangu Wa Kulia,Pamoja na Mpenzi Wangu๐ญ๐ญ ilikuwa ni Siku Ya jumamosi Mimi Na mpenzi Wangu, Ofisi Yetu Tunafanya kazi Nusu Siku.Baada Ya Kurudi Nyumban Mpenz wangu Wa Kike,Aliniambia Anahitaji Kutoka Out Leo Roho Ilisita Lakn Mpenz wangu Alichukia na kusema๐
Ahsanten Sana Mbeya, hii ni yetu sote
Ahsanten sana wanazi wote kwa support yenu Masterlax ni yetu Sote,, TBB, WATIL, TBD, SHBF, Adventer, japo mmeniita mandonga freshii tu ๐๐
Tukutane tena kesho kutoka dar - Mbeya na kutoka Mbeya kwenda dar, na sasa ni rasmi tupo kila siku
Kuna picha za Golden Dragon zina graphic ya masterlax zimesambaa mitandaon zimeandikwa Mbeya-Dar,
Ni kweli sio photoshop, ukiliona usiache kupiga picha ๐
Hivi karani wa sensa akija asbh nikiwa nakunywa supu ya kongoro na mihogo ya kuchemsha naruhusiwa kumkaribisha ua itakua ni rushwa kazini?
@MsigwaGerson
Nilizidisha Dozi Kwa Mume Wangu
Najutaaa!!
Nimeolewa Nina Watoto wawili Kwenye Ndoa Yangu,Mume wangu Tumeishi Vizuri kwa mwongozo wa aman na Upendo,Baada ya Miaka mitatu Ya ndoa Mume wangu Alibadilika, Nilianza Kumtafuta kwa manati Ili hali Ni Mume wangu Tena Wa Ndoa๐
Siku zinatembea aisee na tayari ni wikiend
Kuna viumbe wanawaza kumwagilia moyo badala ya ibada ๐
Mwenyee ako au atapiga picha yetu leo anitumie WhatsApp plzz
kali kuliko zote ntabadirishana nayo na vocha ya mtandao anaotumia
0757 160 808
Kesho kutoka Dar es salaam kwenda Mbeya utahudumiwa na
1.Luca
2. Harun
3.Ramla
Na kesho ndo kwa mara ya kwanza staff wa master watasalimiana kwa horn na kupunga mikono tu wakiwa wanapishana na ndugu zao wanaotoka Mbeya ๐๐