motomotoni Profile Banner
wonderful life Profile
wonderful life

@motomotoni

Followers
126
Following
11K
Statuses
1K

source of happy for others...

Pwani, Tanzania
Joined August 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
@motomotoni
wonderful life
2 hours
RT @drstellanyanzi: Even when he is struggling to breathe as he sits in the suspect’s dock in the court at Buganda Road, Dr. @kizzabesigye1
0
79
0
@motomotoni
wonderful life
21 hours
@MwananchiNews Wajieleze kawapelekea fedha!!?
0
0
0
@motomotoni
wonderful life
22 hours
@rapcha_tz Valentine yenyewe ni mambo ya kizamani na ushamba sana!!
0
0
1
@motomotoni
wonderful life
22 hours
@kaliyango @zittokabwe @ACTwazalendo Zitto anawapoteza tu mwenyewe anajua hakuna mahakama itaamua maamuzi wasiyoyapenda CCM!!
0
0
0
@motomotoni
wonderful life
22 hours
@kwamekivaisi Kuna tupage humu tunapropaganda za uongo uongo!!!
0
0
0
@motomotoni
wonderful life
2 days
@MarekaMalili Yaan wao ndio wanaishi!!
0
0
3
@motomotoni
wonderful life
2 days
@MwanzoTvPlus Amani IPO wapi bhana wanaopotea kama upepo unasemaje!!!
0
0
0
@motomotoni
wonderful life
3 days
@j_kadutu @HecheJohn Chizi fresh.....usaili huu vyeti vinakaguliwa kuliko demu wako anavyokujua!!!
0
0
0
@motomotoni
wonderful life
3 days
@IAMartin_ @AirTanzania Sijui wanapata kigugumizi gan kuwapa sekta binafsi mashirika kama haya!!
5
1
8
@motomotoni
wonderful life
4 days
@Nnauye_Nape Lazima turudiii
0
0
0
@motomotoni
wonderful life
4 days
@Mwabuk2Boniface Hapo ni katiba Mh. Inatakiwa kusiwe na mtu mwenye kuzuia uwajibikaji wa polisi au mahakama ukitaka kujua Hilo angalia wanaopotea ni wa mlengo gani kwenye jamii!
0
0
1
@motomotoni
wonderful life
4 days
RT @HecheJohn: Unaita vijana kwamba kuna ajira za ualimu, wanaomba ajira vijana 15,136. Alafu eti waliochaguliwa kwenda kwenye usahili hatu…
0
384
0
@motomotoni
wonderful life
4 days
@k_mjege @HecheJohn Miaka ya nyuma waliajiri walimu Kwa miaka ya kuhitimu ulisikia mtu analalamika kama Sasa!!
0
0
1
@motomotoni
wonderful life
4 days
@JamiiForums Ilikuwa lazima iwe hivi CCM tena!!
0
0
0
@motomotoni
wonderful life
4 days
@CelinaNjau @HecheJohn Mambo ya msingi maisha ya watu ww unaleta utani wa siasa ndio maana inabidi mtumie dola kupora uchaguzi pamoja na mama kuupiga mwingi!!!
0
0
2
@motomotoni
wonderful life
4 days
@j_kadutu @HecheJohn Usaili upumbav tu hule....
1
0
0
@motomotoni
wonderful life
4 days
@FalesBoni64699 @HecheJohn Hivi ww unadhani wahitimu wa ualimu nchi hii wa miaka 8 nyuma ni wangap mpka uwaite wote wagombee nafasi 183 tu. Acha ushabiki wa siasa ongea ukweli.....
0
0
1
@motomotoni
wonderful life
4 days
@kaniugu @HecheJohn Atukatai mchujo kichwa box ww!!! Tunakataaa Kuta namba kubwa ya wahitimu wakati nafasi zenyewe huna!!
2
0
1
@motomotoni
wonderful life
4 days
@KMwimbula @HecheJohn Kwenye hili tumepoteza pesa sana Toka 2015 assume mtu umetumia Bei gan ajira zenyewe hawana masharti kibao!!
0
0
2