Mjenzi Official 🇹🇿 Profile Banner
Mjenzi Official 🇹🇿 Profile
Mjenzi Official 🇹🇿

@mjenzi3

Followers
4,550
Following
3,542
Media
38
Statuses
581

Construction facts🪖🦺👷 #Darasa huru✨ Quantity Surveyor😎

Dar es Salaam, Tanzania
Joined March 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
Zinaitwa SAFETY NET‼️ Kunawatu wanajuaga zinawekwa Ili jengo lising'atwe na MBU🦟😂😂💥 KITAALAM 🪖🦺👷 zifuatazo ni sababu kuu4 za kuwekwa Kwa neti hizo THREAD⏬⏬
Tweet media one
Tweet media two
20
43
299
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@RealMrumaDrive 🖤🖤🖤
0
0
158
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
1 year
0
0
136
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
0
0
110
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@RealMrumaDrive 📍📍📍
0
0
100
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
0
0
98
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@RealMrumaDrive @mjenzi3 Following back 100%✔️✔️✔️
0
0
72
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@RealMrumaDrive @mjenzi3 IFB instantly📍✔️
0
0
61
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
0
0
57
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
3. CONCENTRATION Hii ni kuongeza umakini katka kazi especially pale jengo linapo kuwa refu,, Neti zinawapunguzia mafundi hali za kuconcretrate nakujihusisha na vitu vya nje ya site,, Bila net kuna mafundi wangekuwa wanaanguka kila akipita mwanamke mwenye matako makubwa😂😂🚮
4
2
61
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
SIGN BOARDS🪧 Ushawahi pita karibu na UJENZI wowote 🏘️🪖🦺ukakutana na bango kama hili ukatoka ZERO bila kuelewa kitu🤪💥😃?? Anyway shuka nayo hii ujue ni kina nani hao na wanafanyanin huko THREADS ⏬⏬
Tweet media one
Tweet media two
2
8
46
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
0
0
45
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
2. PRIVACY🔒 Sometimes projects znakua ni confidential which means sio kila kitu kiwe easily accessible, vitu kama ramani, materials for construction majambazi wanapenda kuvijua kabla ya kuvamia so vnahitajika kufichwa✔️✊
1
1
45
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
0
0
40
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
4. KUZUIA UOGA 🤪🥺( PHOBIA) Kila binadamu ana uwezo wake wa ku-handle vitu mfano namna jengo linapozidi kwenda juu watu hupata kizunguzungu. Net huja kusaidia kupunguza UOGA huo Kwa contents kali za UJENZI 🏘️🪖🦺 nifollow at @mjenzi3 nikufollow back chap📌 upate madini always
1
1
38
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
0
0
35
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
0
0
34
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@arusha_icon Mimi ni mjenzi by professional naomba niffolow uwe unapata facts/ideas tofauti tofauti kuhusu ujenzi NOTE!! Nafollow back immediately📌📌 👉 @mjenzi3
1
0
33
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
0
0
31
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
1. USALAMA Jengo linapo kuwa refu vitu kama Nyundo🔨, Tofali na misumari vnaweza kuanguka na kuumiza wapita njia then kuwaokoa ndo tunaweka hyo net ili vitu hvyo visitoke nje ya SITE ndomana unavyoingia site lazma uvae kofia🪖kwa sababu hyo na reflector🦺Ili uonekane kwa urahis✔️
2
1
33
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@JamalPacman @mjenzi3 IFB INSTANTLY 📌📌
0
0
29
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@nyuki_malkia Mimi ni mjenzi by professional naomba niffolow uwe unapata facts/ideas tofauti tofauti kuhusu ujenzi NOTE!! Nafollow back immediately📌📌 👉 @mjenzi3
0
1
31
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@RealMrumaDrive I follow back immediately✔️📍
0
0
28
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@sugakhay @mjenzi3 IFB instantly📍
0
0
20
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
‼️🤪Mshkaji alinunua jiwe kama KIWANJA 😂💥🙌 kweli bado hatujaona mengi Sijui ni MKOA gani huu🤔🥱
Tweet media one
2
3
21
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
CHAINAGE📍 Kunawatu wanajuaga hio ni namba ya simu ya fundi😂😂🤸 Anyway,,, shuka nayo hii kwa comments👇 Ili kujua ni nini hio haswa🍷
Tweet media one
3
4
26
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
1 year
@arusha_icon @mjenzi3 nakufollow back chap📍
1
0
25
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
1 year
@kephasjoe @mjenzi3 @cathbertallen Following back is 100%✌️🤝📍
0
0
24
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@TheMiddleBorn @mjenzi3 100%following back 📍✔️😊
0
0
19
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
1 year
0
0
19
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
0
0
19
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@nyuki_malkia @mjenzi3 mimi ni mjenzi by professional naomba niffolow uwe unapata facts/ideas tofauti tofauti kuhusu ujenzi NOTE!! Nafollow back immediately📌📌
0
0
19
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
1
0
18
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@nyuki_malkia @mjenzi3 Nafollow back chap✔️📍
0
0
16
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@nyuki_malkia Mimi ni mjenzi by professional naomba niffolow uwe unapata facts/ideas tofauti tofauti kuhusu ujenzi NOTE!! Nafollow back immediately📌📌 @mjenzi3
0
0
17
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@arusha_icon Njoo nikupe followers 1000 leo,, mimi hii account ina siku 15 ila followers ni 2K😎😁 Chakufanya nifollow @mjenzi3 then wa follow wote walio nifollow mm ila MAKE SURE UTAWAFOLLOW BACK WOTE WATAKAO KUFOLLOW📌📌 Aya nenda kagain huko then utanambia
Tweet media one
0
0
18
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
1 year
@RealMrumaDrive @mjenzi3 IFB instantly 🤝📍
0
0
16
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
0
0
16
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
ZEGE limeanguka kitandani 💥😔, KITAALAM 👷🦺🪖zifuatazo ni sababu kuu3 za kuanguka kwa ZEGE hilo NOTE‼️Nimuhimu kujua kabla ya kuangukiwa THREADS ⏬⏬
Tweet media one
3
2
14
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@Aduiwayanga Kuimba-75% Kucheza -55% KUSHIKA MAKALIO YA WATU 101%🤪 Anyway ASUBUHI na darasa huru ✨⏬ ⏬
1
1
16
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
A-FRAME STRUCTURES Zinaitwa A-frame houses🏘️, zifuatazo ni faida za kuwa na nyumba kama hizi. 1. Zinamwonekano mzuri sana✔️ 2. Zinagharama ndogo💰 compared to nyumba za tofali 3. Good insulators🌡️, zinatunza joto liliopo ndani ya jengo NOTE‼️Zinafaa tu sehem za baridi🌧️🥶
Tweet media one
Tweet media two
0
5
16
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@malkiia_nyuki @mjenzi3 nakufollow back chap
0
0
15
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
9 months
‼️HONG KONG APARTMENTSℹ️ Apo unaweza usielewe ni nini hicho 🤔ila cha kujua hapo hizo ni apartments zilizopo jijini HONGKONG✔️ Population ya wanaokaa kwenye hizo apartments kwa Tanzania utapata MKOA💥😁 Kadiria idadi ya wanaoishi katika apartments hizo na useme kwa comments🥱⏬☑️
Tweet media one
1
8
13
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
JIFUNZE MAMBO MUHIMU 5 YA KUZINGATIA WAKATI WA KUNUNUA KIWANJA KWAAJILI YA UJENZI🏘️📍
Tweet media one
Tweet media two
2
3
12
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
Hizo namba kitaalam huitwa CHAINAGE which means, mradi wa hio barabara ulipoanzia huitwa 0+000 mpaka hapo kwenye hio culvert mradi umefikia umbali wa kilometer 2 na meter 622 (2+622) Then kwa contents kali za UJENZI 🏘️🦺🪖 usisahau Kuni follow at @mjenzi3 nikufollow back chap 📌
0
2
14
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@sugakhay Just 18 days but 2000 followers What to do is just to follow ME @mjenzi3 and all that have FOLLOWING ME,, they are all active in following back immediately MAKE SURE YOU FOLLOW BACK 📌📍
Tweet media one
0
0
13
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@kibabi30 Kijani sio Sheria📌🙅
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
0
12
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
9 months
Thank you for being part of it🤝❤️
Tweet media one
0
1
8
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
1 year
@kephasjoe @mjenzi3 am following back immediately📍🤝✌️
0
0
11
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
ℹ️CHAGUA MOJA‼️ Kupanda kwa KAMBA ama kwa hizo ngazi🤪🥱💥
Tweet media one
0
1
9
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
9 months
@KennedyMmari @Psiteshio1 Umeongea vzuri ila hapo kwenye B jibu lako sio perfect😎,,hapo kwenye B inategemeana na factors nyingi sana ikiwa gari linatembea,,kama kimiminika kikiwa kina density ndogo ni ngumu sana kumaintain that level ata kama ni costant speed labda kiwe na density kubwa kama asali n.k😎
2
0
9
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
‼️Jamani UJENZI ni gharama💰,,kabla hujaanza kujenga unahitaji kujiandaa vizuri kiuchumi ili kupata jengo zuri na imara🏘️✔️ 👷Mafundi saiv hawana mchezo wanakujengea kwa ubora unaofanana na pesa ulioiandaa📌,, which means maandalizi mazuri yanahitajika🤝✊
Tweet media one
1
3
10
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
WARNING‼️ Hii picha inaonesha jengo ambalo ni kwaajili ya kubeba tank la maji,, Wakiliweka tank hapo USIPITE KARIBU NI HATARI KWA USALAMA WAKO🚷❌ 1. Fahamu sababu za hilo jengo kuwa ni HATARI 2. Fahamu namna ya kupunguza GHARAMA💰 katika ujenzi huu Threads ....kwa comments 👇👇
Tweet media one
1
3
10
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@sugakhay @RayMuham @mjenzi3 100 %following back ✔️📌
1
0
7
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@arusha_icon @CathbertAllen @mjenzi3 100%following back ✔️📍
0
0
5
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@master_plan88 Unajua nimepita sehem moja apa nmekuta WANAUME kabisa wanakula mgahawan serious man najua uwez amini lakin ni wanaume kabisa wanakula😳🤪😂
1
0
8
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
Jengo limeanguka 🏘️😔🤕 KITAALAMU zifuatazo ni sababu kuu 3 zinazoweza kuwa zimepelekea kuanguka kwa jengo kama hili 1. UIMARA WA MSINGI Msingi wa jengo ndo kilakitu katika jengo, ukiangalia jengo hilo licha ya kuwa limeanguka ila halija vunjika ikimaanisha Threads👇👇...
Tweet media one
1
1
7
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@nyuki_malkia Shida yenu mnasubiri kuwa followed kwanza ndo mfollow back,,, make sure unafollow handle ya mwenzako then yeye ndo akufollow back apo ndo tuta gain📌📌
0
0
8
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@nyuki_malkia @mjenzi3 following back 100%👍📍
0
0
7
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@mchachu_ @mjenzi3 Nafollow back immediately ✔️📍
0
0
8
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@JayleenRickie Mwanasheria wako kaiona hii??🥱😂😂 Darasa huru ✨ ⏬
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
‼️🤪Mshkaji alinunua jiwe kama KIWANJA 😂💥🙌 kweli bado hatujaona mengi Sijui ni MKOA gani huu🤔🥱
Tweet media one
2
3
21
0
0
7
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@Psiteshio1 mi na CASHOUT sinaga habari za kusubir subir🚮😂
1
0
7
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
‼️Kwaajili ya kuzuia kuharibika Kwa msingi wa nyumba kwa sababu ya mafuriko ama mmomonyoko wa udongo hasa Kwa majengo ambayo yapo katika mkondo wa maji ama mteremko mkali tunashauriwa kuweka GABIONS ama RETAINING WALLS👇🤝✊
Tweet media one
0
1
7
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
FUNDI AKIAMUA KUKUMALIZIA HELA NI FASTA2😂😂UJINGA ULIOFANYIKA HAPO NI HUU👇 1. Zimetumika ELBOW nyingi kwa ajili ya kuongeza cost💰📌 2. Hizo corner zilivokuwa nyingi znapelekea pressure ya maji kuwa kubwa mwisho leakages💥 zitatokea kila siku 3.Walitakiwa kufanya chasing 📌✔️
Tweet media one
0
1
7
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
1 year
@kikomasta Kama ni kweli ndege ya UKRAINE au US imefika kwenye paa la Kremlin basi ni wazi kama mifumo ya anga ya RUSSIA ni dhaifu sana🙄
0
0
7
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
MLIPE CONTRACTOR FULL PAYMENTS KABLA YA UJENZI KUISHA AKUFANYIE MIUJIZA💥😂 Hapo ukifika muda wa kufanya maintenance (marekebisho) ndo utajua hujui😂🥴 Usisahau Kuni follow at @mjenzi3 nikufollow back chap 📌📌 ukutane na different construction facts🏘️👷✔️
Tweet media one
0
1
7
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
9 months
@Noedson_tz @mjenzi3 Na follow back chap 📌✔️
1
0
5
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@chevi_masta Huu ni upande wa pili ambao watu huwa hawauongelei wakati wa kutushawishi tuingie katika ujasiriamali😔 anyway hakuna straight way katika success
Tweet media one
1
0
6
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
1. STABILITY AND SAFETY Frame members (columns & beams) zilitakiwa zifike mpaka juu kabisa sio kuishia apo kati hivo,, coz tofali lina compressive strength ndogo sana kuweza kuhimili load (tank) pekeake bila kuwa supported na columns. Then structure can fail
Tweet media one
1
2
6
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
9 months
@MrDepalitto7 Kuna Wana niliwaambia kuwa we ni msenge hawakuamini ona sasa🫠🥱
0
1
6
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@nyuki_malkia Kwanini atukanwe??? Kutoa mimba sio direct mistake,,,,kuna kitu akinaitwa SAFE AND UNSAFE ABORTION ikimaanisha kuna time Kutoa mimba inakua ni right choice,,nikirud next time nitakupa circumstances zinazo fanya ABORTION kuwa jambo SAHIHI😎
5
0
5
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@siadevinci Sio muda utaskia Washington foreign affairs committee chairman Mc Caul anatuma silaha Finland😂😂 World War III itachangamka
0
0
5
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@OmwambaKE_ @mjenzi3 am following back immediately📍
0
0
5
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@nyuki_malkia Mkwere namkubali ni talented ila nnao wakubal sana ni watot wa Mkwere Pub👌😁
1
0
6
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@Ngarahood @mjenzi3 Nafollow back immediately 📍
0
0
6
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@odds2tu Edited Code:8FEB812 Odds: 1K Betpawa 💪🙏
0
0
5
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
5. CONSTRUCTION PERIOD Jambo la mwisho baada ya kukamilisha upatikanaji wa kiwanja ni kupanga muda SAHIHI kwaajili ya kuanza UJENZI, kuna mambo ya kuzingatia katika hili ikiwa pamoja hali ya hewa na kipato📌🙅✊
1
1
5
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@ZPlanmaster Kwan alikiba anafanya nini hapo au mnashindanisha nani anae pendeza akivaa miwani 🤪😁😎
1
1
5
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
4. KUWA NA UHALALI WA UMILIKI WA KIWANJA Hakikisha unapata kiwanja kilichopimwa na mamlaka husika ili kupata confidence katika kufanya UJENZI wako na utimize plan zako bila challenges✔️✔️✔️
1
0
5
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
1 year
@kikomasta Kwanini USA ulichukia utawala wa Fidel Castro nchini Cuba??
1
0
5
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@bbcswahili China hana nuclear bombs compared to that of US ila anajivunia kitu Knaitwa intercontinental ballistic missiles (ICBMs) against US,,, ngoja tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta kwa chini😊
1
0
3
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
‼️🤪Mshkaji alinunua jiwe kama KIWANJA 😂💥🙌 kweli bado hatujaona mengi Sijui ni MKOA gani huu🤔🥱
Tweet media one
2
3
21
1
0
5
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@gakalona Ooh nashukuru sana🤝 kama kuna points nyingne ukiachana na hizo unaweza kuziadd hapa,,, ‼️Construction ni somo Pana sana✔️
0
0
5
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
0
0
5
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@VWinjoson Yes brother in construction industry we have 4 main things to consider 1.Quality 2.Strength 3.Cost
1
0
5
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
FUNDI AKIAMUA KUKUMALIZIA HELA NI FASTA2😂😂UJINGA ULIOFANYIKA HAPO NI HUU👇 1. Zimetumika ELBOW nyingi kwa ajili ya kuongeza cost💰📌 2. Hizo corner zilivokuwa nyingi znapelekea pressure ya maji kuwa kubwa mwisho leakages💥 zitatokea kila siku 3.Walitakiwa kufanya chasing 📌✔️
Tweet media one
0
1
7
0
0
4
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@_zolendronic Uongo ndo kitu umegoma kabisa kuacha we jamaa😁🙌,, ,anha kumbe dalali okey endelea ni kama2 upo kazini
0
0
4
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
2 years
@maestrogodfrey8 Hiyo ni GONGO (infinity alcohol %) kama sio mnywaji ukiinusa unaJAMBA ukionja UNAJIHARISHIA weka mbali na watoto😎
1
0
4
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
Uwenda kuna sababu nyingne nyingi ni vile tumepata kipande cha picha tu🤌🙂,,, Anyway kwa contents kali za UJENZI 🏘️🪖 usisahau Kuni follow at @mjenzi3 📍 switch on notifications, nikufollow back chap 📌 ukutane na different construction facts ✔️✊🤝
1
0
4
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
@AziiLy 😂😂😂
0
0
4
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@nyuki_malkia Haya UJENZI na darasa huru ni hapa ⏬⏬
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
Zinaitwa SAFETY NET‼️ Kunawatu wanajuaga zinawekwa Ili jengo lising'atwe na MBU🦟😂😂💥 KITAALAM 🪖🦺👷 zifuatazo ni sababu kuu4 za kuwekwa Kwa neti hizo THREAD⏬⏬
Tweet media one
Tweet media two
20
43
299
0
1
4
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@Lizzie36021 Kamba tunafunga wapi??
1
0
4
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@nyuki_malkia Endekezeni tu utelezi hamta jenga😊🤪
0
0
4
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
3. EXPERIENCE Fundi hakuna kitu anaweza sema HAWEZI,, kuna muda inatokea anafanya kazi ambayo hana hata uzoefunayo akifanya kwako umeisha lazma yakukute kama mwenzako😂😂 tusiishi Kwa mazoea kwa kutafta fundi atakae fanya kwa bei ndogo Nifollow @mjenzi3 Kwa construction facts✔️🤝
1
0
4
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@Dr_James__ @nyuki_malkia Sijakuelewa kuhusu Hilo coat ulovaa ,,wewe unafanya kazi kwenye BUTCHER ama DAKTARI,,,Kama ni daktari naomba nipe sababu3 za kitabibu za zitazomfanya mwanamke atoe mimba Kwa afya alio nayo😎,,ukishindwa endelea kukata NYAMA buchani kwako
2
0
3
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@nyuki_malkia Acha janjajanja mbless mwana😊🙅 Christmas na Darasa huru✨⏬
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
SIGN BOARDS🪧 Ushawahi pita karibu na UJENZI wowote 🏘️🪖🦺ukakutana na bango kama hili ukatoka ZERO bila kuelewa kitu🤪💥😃?? Anyway shuka nayo hii ujue ni kina nani hao na wanafanyanin huko THREADS ⏬⏬
Tweet media one
Tweet media two
2
8
46
0
0
4
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
@Millambo_ @Neypaul01 @SwahiliQuest_ @BwanaShilingi @abbycool2_ Tunatakiwa tuanze kulipia KODI Kwa kuwa na mtu kama wewe hapa Twitter anyway umesema kila kitu✊📌📌 Kwa contents kali za UJENZI usisahau Kuni follow @mjenzi3 NAKUFOLLOW BACK CHAP na utapata construction facts mbalimbali📌✊
2
1
4
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
11 months
3. TOPOGRAPHICAL RELIEF Hii ni hali ya kijografia ya eneo husika kujumuisha aina ya udongo nature ya mwinuko na uwepo wa chemchem katika site. Hivi vyote vina mchango katika kuongeza ama kupunguza gharama zitakazo tumika katika UJENZI📍
1
0
4
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@nyuki_malkia Achanen na mademu njooni tujenge🤪😊🏘️⏬
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
Zinaitwa SAFETY NET‼️ Kunawatu wanajuaga zinawekwa Ili jengo lising'atwe na MBU🦟😂😂💥 KITAALAM 🪖🦺👷 zifuatazo ni sababu kuu4 za kuwekwa Kwa neti hizo THREAD⏬⏬
Tweet media one
Tweet media two
20
43
299
0
0
4
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
@nyuki_malkia Watu wasianze mwaka mpya na contents za kudinyana🤪,,, waambie wafatilie contents za UJENZI 🏘️🪖🦺 wajenge mwaka ujao ⏬⏬
@mjenzi3
Mjenzi Official 🇹🇿
10 months
SIGN BOARDS🪧 Ushawahi pita karibu na UJENZI wowote 🏘️🪖🦺ukakutana na bango kama hili ukatoka ZERO bila kuelewa kitu🤪💥😃?? Anyway shuka nayo hii ujue ni kina nani hao na wanafanyanin huko THREADS ⏬⏬
Tweet media one
Tweet media two
2
8
46
0
0
1