@Dr_James__
@nyuki_malkia
Sijakuelewa kuhusu Hilo coat ulovaa ,,wewe unafanya kazi kwenye BUTCHER ama DAKTARI,,,Kama ni daktari naomba nipe sababu3 za kitabibu za zitazomfanya mwanamke atoe mimba Kwa afya alio nayo😎,,ukishindwa endelea kukata NYAMA buchani kwako