Leonardo alisoma PCM A level akapata F ya GS na F ya Pure Mathematic. Akapata D mbili za Chemistry na Physics, akaenda engineering chuo akatoka na GPA ya 4.5. Sasa hivi ni Comedian na Content Creator mkubwa. WHAT IS YOUR EXCUSE?
[✔] Sisi Simba🇹🇿, Al hilal 🇸🇩 na Tp Mazembe 🇨🇩 tumealikwa na Mamelod kucheza Bonanza huko South Africa.
Nyie si mabingwa? Alikweni sasa na nyinyi😀. Nyabudagala nyinyi.
Nakufikishia hapa THREAD ya MH. Nape Nnauye akitumia neno MJINGA, katika maandiko yake.
Shuka nayo utajifunza Mengi sana hapa .
#Thread
@Nnauye_Nape
@rollymsouth
Kabila la Wahama linalopatikana Kusini magharibi mwa Ethiopia wana utamaduni wa kumchapa fimbo mwali wakati wa sherehe ya harusi. Wanawake huomba wanaume wawachape kama ishara ya upendo na ujasiri.
AFRIKA AFRIKA ALIETULOGA NANI?
Wakati wananchi wa South Sudani wakiwa na maisha magumu, mtoto wa Rais Wa nchi hiyo, Salva Kiir anakula bata.
Wananchi vs. Mtoto wa rais
Ndoa ni agano (covenant) kati ya mume na mke. Ukifunga ndoa ukiwa na ujauzito mnaingia agano mkiwa watatu.
Usishangae baba kumtaka Binti yake na binti kumtaka Baba yake. Aridhi ni shahidi.
Bicephaly ni nyoka mwenye vichwa viwili. Kitu cha kushangaza kwa nyoka huyu ni kwamba vichwa vyake viwili hugombania chakula ili vipeleke kwenye mwili mmoja.
Tuache kulalamika jamani kuhusu kodi tupambane. Mfano mzuri wa kuigwa ni Mh. Mwigulu aliacha kulalamika akapambana kutoka kulinda utajiri(ng'ombe) wa baba yake na sasa analinda utajiri wa nchi yetu.
Kabila la Wahimba wanaoishi kwa kuhamahama lenye wakazi 50,000 huko kaskazini mwa nchi ya Namibia. Ukiacha ukweli kwamba ni wakulima ambao hutumia ng'ombe kama sarafu na kipimo cha utajiri, pia hukaribisha wageni kwa kuwamtu binti wa kulala nae.
@ExMayorUbungo
Hiyo ni timu au ni Ahmedally. Timu imeingiaje hapo? Hoja yako mayor ni dhaifu sana. Kama wewe ulivyo chadema na shabiki wa simba. Ahmedally pia ana haki ya kuwa mfanyakazi wa simba na mwanachama wa CCM. TUHESHIMU HAKI ZA WATU
Leo kuna mtu pengine anaenda kwenye interview, basi tunakukumbusha pale unapoingia piga hodi, halafu hata wakianza na swali kabla haujajibu anza na Salaam.
Ubongo wa Einstein uliibiwa alipokufa.
Mwanafizikia aliyeshinda Tuzo ya Nobel Albert Einstein alipofariki Aprili 18, 1955, aliacha maagizo ya kuchomwa mwili wake...
#UZI