ᄂΛƬΛ𝒙 Profile Banner
ᄂΛƬΛ𝒙 Profile
ᄂΛƬΛ𝒙

@latax_

Followers
15,005
Following
5,389
Media
5,417
Statuses
80,088

Amateur at life🧬, expert at napping💤.

Joined January 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 months
Leonardo alisoma PCM A level akapata F ya GS na F ya Pure Mathematic. Akapata D mbili za Chemistry na Physics, akaenda engineering chuo akatoka na GPA ya 4.5. Sasa hivi ni Comedian na Content Creator mkubwa. WHAT IS YOUR EXCUSE?
Tweet media one
99
109
3K
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
1 year
"Ni rahisi kuigiza maisha ya kitajiri, lakini sio kuigiza maisha ya walalahoi" Majizzo
Tweet media one
38
72
2K
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
1 year
Huyu Jamaa anajua aisee nimecheka sana kipindi chake leo EFM😀🙌
Tweet media one
36
34
2K
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
1 year
Check skills za Kiungo Mshambuliaji wa simba mpya. Kramoooooo💥 Jamaa nayeye ananyunyiza hatari. Video chini hapo👇
Tweet media one
43
27
1K
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Umeona nini kwenye jezi ya Messi sio cha kawaida? Zawadi ipo.
Tweet media one
222
52
1K
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Tunampongeza Rais kwa kuingia nyumba ya ibaada na Mlinzi mmoja tu, tena akiwa mbali na bila ma-Bunduki.
Tweet media one
124
21
932
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Si unajua Manara ni kada, mara pap kavuta fomu, pap ubunge 2025, paaaap waziri wa michezo. Make hapo kwanza 😀
Tweet media one
73
54
920
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
6 months
Huyu Injinia mkuda sana ana ka kicheko fulani hivi halafu anasema Huwezi nielewa kama huna D mbili😀
Tweet media one
8
21
931
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
[✔] Sisi Simba🇹🇿, Al hilal 🇸🇩 na Tp Mazembe 🇨🇩 tumealikwa na Mamelod kucheza Bonanza huko South Africa. Nyie si mabingwa? Alikweni sasa na nyinyi😀. Nyabudagala nyinyi.
Tweet media one
90
46
887
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
1 year
Nakufikishia hapa THREAD ya MH. Nape Nnauye akitumia neno MJINGA, katika maandiko yake. Shuka nayo utajifunza Mengi sana hapa . #Thread @Nnauye_Nape @rollymsouth
Tweet media one
52
104
898
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
4 months
@TrollFootball Football family
5
65
840
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Ile press yote ya jana viongozi wote wanne ni Zao la Simba Sc. Simba imeupiga mwingi kwa miaka minne uwanjani na katika management.
Tweet media one
32
47
781
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 years
Zamani hawa jamaa juu ya haya magari tulikua tunawaita Walala hoi. Jumapili ya leo mungu atusamehe maana siku hizi nimekua, nalala hoi kuliko wao🙂
Tweet media one
42
37
736
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
1 year
Meja Kunta anasema yeye Timu yake hata akiwepo Ronaldo au Messi Ibrahim Ajibu panga pangua anaanza😁 Cheki bideo chini.
Tweet media one
8
11
746
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 months
Kagoma anakaba mpaka walanguzi wa tiketi. HALLELUJAH. |Ahmed Ally.
Tweet media one
8
30
710
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Hivi huyu jamaa hua ni nani?
Tweet media one
89
16
665
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
"Mme wangu tununue kiwanja ili likitokea lolote mimi na watoto tusikosea pa kukaa" Aiseee!
54
47
544
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 years
Mwanaume mkimya ni mwerevu na mwenye busara. Mwanamke mkimya ni Hatari na hatabiriki.
28
53
511
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
1 year
Halafu wewe kurudi Asubuhi tu unaogopa.😁
Tweet media one
55
44
515
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Mwakinyo leo atapigwa, lakini kama Taifa tusikate Tamaa.
Tweet media one
63
26
442
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Huyu jamaa alitabiri kifo cha rapa Take off😳
Tweet media one
33
29
444
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
4 months
Tweet media one
5
5
451
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Kabila la Wahama linalopatikana Kusini magharibi mwa Ethiopia wana utamaduni wa kumchapa fimbo mwali wakati wa sherehe ya harusi. Wanawake huomba wanaume wawachape kama ishara ya upendo na ujasiri.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
74
32
437
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
4 months
@ishowspeedsui Football is Love
4
19
444
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
4 months
@city_digest @IntlCrimCourt The lost souls hazitakuwa in vein🥺
Tweet media one
5
47
433
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Kuna wanawake wana maisha. Halafu kuna Irene Oprah, anaishi huyu mtu.🙌
Tweet media one
26
28
395
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 years
AFRIKA AFRIKA ALIETULOGA NANI? Wakati wananchi wa South Sudani wakiwa na maisha magumu, mtoto wa Rais Wa nchi hiyo, Salva Kiir anakula bata. Wananchi vs. Mtoto wa rais
Tweet media one
Tweet media two
70
36
389
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
African Peb Guardiola.⚽️
Tweet media one
22
35
389
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
4 months
@nocontextfooty ❤️💚💪🏿
Tweet media one
1
6
407
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Mugalu Mushimba tusamehe baba, tulijua umeondoka sababu huna uwezo, kumbe timu inapunguza mishahara haina pesa.
Tweet media one
5
14
390
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
4 months
Tweet media one
2
3
398
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Ni laana mzazi kumzika mtoto wake. Ni baraka mtoto mumzika mzazi. Maisha yetu vijana tuyaheshimu, Tunaumiza wazazi sana.
30
50
365
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Ndoa ni agano (covenant) kati ya mume na mke. Ukifunga ndoa ukiwa na ujauzito mnaingia agano mkiwa watatu. Usishangae baba kumtaka Binti yake na binti kumtaka Baba yake. Aridhi ni shahidi.
Tweet media one
70
34
365
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Kuzaliwa Dayamondi sio kosa lako, kosa lako litakuwa kufa ukiwa bado Dayamondi. Pigana kijana.
Tweet media one
28
46
360
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Maisha ni Mwalimu Bora. Yatupasa Sisi kuwa wanafunzi Bora.
12
61
348
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Mara nyingi hua wanarudi tena pale utakapo acha kuwahitaji kwenye maisha yako. Let them go.
14
54
362
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
First Born ni Naibu Mzazi.
16
34
344
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Nimepitwa na nini? 🤯 nijuzeni jmn.
Tweet media one
Tweet media two
15
24
360
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 months
@CFCMod_ @WelBeast He changes the subject
9
4
379
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Mara nyingine tumepoteza watu sababu ya kuwapenda kuzidi kiasi.
16
53
357
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
4 months
@elonmusk Did you know that Isaac Newton had a crow?
60
48
349
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Antony atavaa jezi namba 21. Mara ya mwisho unakumbuka ilivaliwa na nani, pale manutd?
Tweet media one
38
13
311
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Tuwathamini wanaotupa muda kwenye maisha yao. Huo sio muda tu wanaotupa, ila wanatupa sehemu ya maisha yao.
19
56
303
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Tatizo kubwa tulilonalo ni kuamini kuwa tuna matatizo. Amka.
10
48
287
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Kila mmoja hufanya makosa, lakini si kila mtu huvuka salama baada ya kufanya makosa .
14
40
293
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Japokua mama hampi nafasi haibadili ukweli kwamba Makonda ni kijana mchapa kazi sana.
Tweet media one
60
16
307
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Let's go mazafaka😁
Tweet media one
37
22
295
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
1 year
Baba mmoja, Mama mmoja ila Matumbo mbalimbali😁🙌💥
Tweet media one
7
12
290
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Unaweza ukapambana miaka mitano, mwaka wa sita ndio ukafanikiwa. Usijaribu kuidharau nguvu ya kutokata tamaa.
14
48
274
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Dawa ya mswaki ikiisha usitupe kopo lake mpaka ununue nyingine, litakusaidia kwa siku ishirini ambazo utakua unasahau kununua nyingine.
30
35
265
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Kati ya Upweke na kampani ya watu Feki. Ntachagua upweke.
16
35
270
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Upweke hautibiwi na kampani ya watu. Upweke unatibiwa kwa kuukubali ukweli kuwa Hauna Kampani.
22
56
265
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Ni mpumbavu tu ndiye anayeweza kumchagua Farasi sababu ya rangi yake.
12
40
268
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Ukweli ni kwamba. Kuna vipande vya maisha yako hakuna mtu mwingine atavielewa hata akijaribu. Vitabaki kueleweka kwako pekeyako.
7
42
265
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Samaki aliyefunga mdomo hashikwi kwa ndoano kamwe.
26
44
243
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Usimwamimi sana mtu, kila mtu anaweza kukubadilikia akikutana na watu wapya.
16
36
249
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Huyu ni mtu mmoja?
Tweet media one
Tweet media two
65
17
261
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Acha mawazo ya watu wengine kuyapa kiti cha dreva katika maisha yako. Yanaweza kuwa abiria mwema au yatafute usafiri mwingine.
13
49
256
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Diamond anatakiwa kushitakiwa kwa kutumia mtoto aliye chini ya miaka 18. Kwenye shoo yake Mbeya.
Tweet media one
30
17
259
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Heshima kwako👊🔰
Tweet media one
10
22
254
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Kama hauwezi kuwa taa ya kumulikia wengine. Basi angalau usiwe Giza kwao.
21
57
249
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Nafasi za Ajira ya Ualimu Kaizirege Schools.
Tweet media one
18
57
243
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Fedha huifuata thamani. Ongeza thamani ya bidhaa yako na fedha itaifuata thamani ya bidhaa.
15
35
246
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 years
Bicephaly ni nyoka mwenye vichwa viwili. Kitu cha kushangaza kwa nyoka huyu ni kwamba vichwa vyake viwili hugombania chakula ili vipeleke kwenye mwili mmoja.
Tweet media one
23
32
247
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Yaliyopita yamepita. Lilikua funzo na si kifungo cha maisha. Keep moving.
18
56
241
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Funga mlango vizuri wakati unatoka. Kumbuka kuna siku unaweza ukarudi.
7
42
239
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 years
Sema hii staili ya kushangilia ya yanga inakula muda sana, TFF waliangalie hili swala😀
24
18
237
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Inamaana chege aliamini manzi atamtunzia siri akamtumia video. Wanaume tuache u ngese, hawa watu toka bustani ya eden wanatuzidi akili.
21
33
244
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 years
Mungu mbariki tu huyu mtu anaeruka post zangu, usimuache. Amina
14
19
220
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Hizi timu zingine 12 za ligi kuu, pre-seasson zilienda wapi, mbona hawasemi au kwa mganga?
10
31
224
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Ukiweza ku-control udhaifu wako. Umefanikiwa pakubwa.
12
26
218
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Imefika wakati mashabiki wa mikoani tutakua tunatunza hela kwa mwaka mzima, ili tuende Dar Simba day. What a concert 😍
4
29
225
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Kuna haki ya kusema ukweli, ila inategemea na ukweli huo unasemea wapi.
16
39
216
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 years
Naomba jina la muvi ya action kali nimalizie weekend.
34
16
212
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Tuache kulalamika jamani kuhusu kodi tupambane. Mfano mzuri wa kuigwa ni Mh. Mwigulu aliacha kulalamika akapambana kutoka kulinda utajiri(ng'ombe) wa baba yake na sasa analinda utajiri wa nchi yetu.
Tweet media one
Tweet media two
40
24
225
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
1 year
Kramo ni Left Footer
7
12
227
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 months
Tajiri yeye ndio analetewa Tshirt Grade A.
Tweet media one
12
15
231
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 years
Usije ukawafananisha watu humu na post zao. Mimi sikuamini nilipogundua @nyuki_malkia ni mama mchungaji.
32
15
209
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Utakuwa na muda mwingi wa kulala siku Ukifa.
26
41
215
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Kamwe Usiuumize moyo unaokupenda, maana moyo huo unaweza usikupende tena.
4
28
216
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Maamuzi ni yako, japo maoni ni mengi.
3
27
219
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Kabila la Wahimba wanaoishi kwa kuhamahama lenye wakazi 50,000 huko kaskazini mwa nchi ya Namibia. Ukiacha ukweli kwamba ni wakulima ambao hutumia ng'ombe kama sarafu na kipimo cha utajiri, pia hukaribisha wageni kwa kuwamtu binti wa kulala nae.
Tweet media one
15
14
214
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Wewe ni Mtanzania uko na Lugha yako, usiseme Good morning sema Shikamoni wazee wa twita. Wacha uzungu, Hakuna mahali utaenda.
23
32
205
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Fake it Till you make it.
10
30
200
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Huyu sio @Cristiano Ronaldo. Huyu ni Dejangeorgejevic, striker Moto sana la @SimbaSCTanzania
Tweet media one
4
23
219
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 years
Sherehe kubwa inaweza kuharibiwa kwa neno moja tu lisilo la muhimu.
17
29
201
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Matarajio ndio chanzo kikubwa cha maumivu ya Moyo.
10
33
206
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 years
Paka hua huwa wanaingia mpaka kwenye nyumba za watawa na makanisani, lakini bado hubaki kuwa Paka tu.
10
23
194
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Kazi Mbaya zaidi kwa Vijana kwa sasa Nchini, ni Kazi za kuteuliwa.
11
40
206
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Jaribu ushindwe lakini usishindwe kujajibu.
16
40
196
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Anza leo, shindwa mapema. Jifunze kutoka katika kushndwa.
9
42
199
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
4 months
@ExMayorUbungo Hiyo ni timu au ni Ahmedally. Timu imeingiaje hapo? Hoja yako mayor ni dhaifu sana. Kama wewe ulivyo chadema na shabiki wa simba. Ahmedally pia ana haki ya kuwa mfanyakazi wa simba na mwanachama wa CCM. TUHESHIMU HAKI ZA WATU
64
8
217
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Nyinyi naota au? Meya wa ukweli ukweli amenifollow🙏 huu mwaka umeanza vizuri. Asante Ex mayor @ExMayorUbungo ubarikiwe.
Tweet media one
19
4
218
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Leo kuna mtu pengine anaenda kwenye interview, basi tunakukumbusha pale unapoingia piga hodi, halafu hata wakianza na swali kabla haujajibu anza na Salaam.
Tweet media one
17
34
194
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Mahusiano yako yanapaswa kuchagiza maendeleo na ukuaji wako, si kuwa Mzigo.
10
32
206
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 years
Ubongo wa Einstein uliibiwa alipokufa. Mwanafizikia aliyeshinda Tuzo ya Nobel Albert Einstein alipofariki Aprili 18, 1955, aliacha maagizo ya kuchomwa mwili wake... #UZI
Tweet media one
17
40
204
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Kukubali makosa yako sio kujishusha. Ni kuonyesha kuwa unajitambua na umekua.
9
40
199
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
2 years
Kwenye maisha utaangukia pua sana, na hiyo ni kawaida. Badili mbinu usibadili malengo.
Tweet media one
13
41
205
@latax_
ᄂΛƬΛ𝒙
3 years
Wanawake ambao hujifanya kama hawana hisia za mapenzi, ndio ambao hupenda zaidi. Na hutumia hiyo kitu kama defence mechanism.
11
26
191