lapexproperties Profile
lapexproperties

@lapexproperties

Followers
969
Following
6
Media
269
Statuses
677

Certified real estate company deals with real estate activities on fee or contract basis and with own or leased property. We buy and sell properties.

Dar es salaam
Joined April 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@lapexproperties
lapexproperties
1 month
24
6
16
@lapexproperties
lapexproperties
7 months
@Lapexproperties kama mmoja wa wadhamini wa kilimarathon tumetangaza kutoa zawadi ya kiwanja kwa mshindi wa kike na wakiume mtanzania kwenye mbio za 42km zitakazofanyika moshi tarehe 25/2/02024. Hayo yamesemwa na mkurugenzi wetu kwenye mkutano na waandishi wa habari leo.
4
8
18
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
Njia za kujipatia ardhi nchini Tanzania 1. Kutwaa,inahusisha kusafisha pori na hii inatumika hasa kijijini 2.Kurithi kutoka kwa wazazi au ndugu 3. Kugawiwa kama zawadi na ndugu, rafiki au taasisi 4.Upangishaji au kukodi 5. Kununua Je, wewe ardhi yako umeipata kwa njia gani?
2
10
18
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
Je, Ungependa tukupeleke site gani? Tuna viwanja ✅Goba lastanza ✅Mapwepande ✅Kibaha pangani ✅Kiharaka Tunasubiri simu yako na karibu sana @lapexproperties #lapexproperties #viwanja #mashamba #nyumba #ardhi #hatimiliki
2
6
18
@lapexproperties
lapexproperties
6 months
Kuna aina mbili za hati miliki zinazotambulika na kutolewa na mamlaka ya ardhi nazo ni:- 1. hati miliki ya kiserikali 2. hati miliki ya kimila hii hutolewa kijijini Pia kuna nyaraka zinazotambulika na serikali nazo ni Ofa, leseni ya makazi . karibu sana @lapexproperties
1
8
17
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
Vitu muhimu vinavyotupa matumaini wakati wa kununua miradi,meneo,viwanja Tunazingatia sana maeneo yaliyopimwa, Huduma za kijamii lakini pia sehemu ambazo serikali imeweka miradi, inafanya maendeleo Karibu sana @lapexproperties kwa uwekezaji bora na masuala yote ya ardhi
0
7
16
@lapexproperties
lapexproperties
7 months
Mteja wetu ambae alilipia kiwanja cha Mbweni bila hata kuona site tulimpeleka kuona kiwanja chake ni kawaida yetu kuwa na viwanja,miradi bora, salama na yenye uhakika .Tunajivunia kutoa huduma bora na kuwawezesha wateja wetu kufurahia umiliki wa ardhi,karibu @lapexproperties
0
8
16
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
FINALLY WELCOME TO OUR NEW PROJECT KIGAMBONI TUNDWI SONGANI 🔥🔥kwa wale wateja wetu waliokuwa wakiuliza na kusubiria kwa hamu sasa rasmi mradi upo sokoni BEI ZA MRADI WETU Kwa Cash 1 sqm = 6,000 Tsh Kwa mkopo wa miezi 6 1Sqm = 7,000 Tsh kwa mkopo wa miezi 12 1sqm =8,000 Tsh
Tweet media one
Tweet media two
0
7
15
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
Msanii @rayvanny akifanyiwa uchunguzi wa eneo lake na watalaamu kutoka @lapexproperties , Ahsante sana kwa kuendelea kutuamini Boss Ukitaka kufanyiwa uchunguzi kabla ya kununua eneo ,kiwanja au shamba karibu sana @lapexproperties #lapexproperties #uchunguzi #ardhi
Tweet media one
Tweet media two
1
7
15
@lapexproperties
lapexproperties
7 months
AHSANTENI KWA KUENDELEA KUTUAMINI Kiwanja chetu cha Kigamboni, Changani kilichopo nyuma ya Aya Sophia hoteli , tayari kimeshachukuliwa. Karibu sana @lapexproperties kwa uwekezaji bora #ardhi #viwanja #mashamba #lapexproperties
Tweet media one
0
5
13
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
MRADI KIGAMBONI 🔥🔥 Baadhi ya wateja waliotembelea mradi wetu wa Kigamboni tundwi songani siku ya Jumamosi , bado hujachelewa siku za kwenda site ni JUMATANO na JUMAMOSI Karibu sana @lapexproperties kwa uwekezaji bora #lapexproperties #viwanja #mashamba #ardhi
0
7
13
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
Tumemaliza Viwanja vyetu vya Bagamoyo kiharaka , Ahsanteni sana kwa kuendelea kutuamini na kuifanya @lapexproperties kuwa kampuni namba 1 nchini Tanzania kwenye masuala ya ardhi. soon mradi wetu wa kigamboni tutatangaza rasmi, karibuni sana @lapexproperties kwa uwekezaji bora
0
7
13
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
Uchunguzi ni kitu muhimu sana unapotaka kununua kiwanja au shamba itakusaidia kuepuka changamoto za ardhi ikiwemo migogoro ya ardhi au kutapeliwa @lapexproperties ndio suluhu pekee unapotaka kufanya uchunguzi na majibu unapata ndani ya siku 3 tu
Tweet media one
0
5
13
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
✍🏻✍🏻 @mzeewakaliua piga 0672 826 826 Tukuhudumie
Tweet media one
0
5
12
@lapexproperties
lapexproperties
28 days
Tabiri na Ushinde 20,000 Tsh kutoka @lapexproperties MASHARTI 1. Hakikisha umefollow account ya @lapexproperties 2.Tag marafiki zako watatu 3. Weka utabiri wako (Nani atafunga goli la kwanza , Matokeo ya mwisho yaani Full time ) Mwisho wa kutabiri ni saa 1.00 Usiku
Tweet media one
15
3
12
@lapexproperties
lapexproperties
7 months
MEDIA TOUR KILI MARATHON 2024 Team yetu jana ilipata wasaa wa kutembelea @galaxyfmtz tunawakaribisha sana watu wa Moshi na Arusha tutakuwa Kwenye viwanja vya MoCu kwajili ya Kilimarathon 2024 Wekeza na @lapexproperties
0
7
12
@lapexproperties
lapexproperties
7 months
JE WAJUA KUWA HATI MILIKI HUISHA MUDA WAKE?Kwa kawaida hati miliki ya ardhi au makazi inatolewa ndani ya miaka 33,66 mpaka miaka 99 Baada ya hati kuisha muda wake mmiliki anapaswa kuanza mchakato wa kupata hati mpya au kushirikisha wataalamu kutoka @lapexproperties
0
3
11
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
HATI YENYE MAJINA MAWILI KWA WANANDOA🔥 Hii ni Kwa wanandoa wote mnaweza kupata hati miliki yenye majina mawili jina la mwanamke na Mwanaume Karibuni sana @lapexproperties kwa masuala yote ya Hati miliki #lapexproperties #viwanja #ardhi #mashamba #hatimiliki
Tweet media one
Tweet media two
0
6
11
@lapexproperties
lapexproperties
6 months
Sherekea siku ya wanawake Duniani ukiwa mmiliki wa kiwanja halali Usihangaike ni wapi utapata kiwanja , hati miliki , kufanya uchunguzi wa ardhi, kufanya transfer ya hati miliki fika @lapexproperties upate Huduma bora
2
7
12
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
Kwa kuwapenda na kuwajali wateja wetu bado tunaendelea na ofa katika Huduma ya kufanyiwa UCHUNGUZI NA HATI MILIKI Uchunguzi wa eneo 100,000 Tsh badala ya 300,000 Tsh Hati Miliki 300,000 Tsh badala ya 700,000 Tsh Mwisho wa Ofa tarehe 20 Mei karibuni sana @lapexproperties
0
9
12
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
0
6
11
@lapexproperties
lapexproperties
8 months
UPDATE;mradi wetu wa viwanja kigamboni kimbiji mtaa wa muhimbili, ramani ya kwanza tayari vimeisha vimebaki vichache kwenye ramani ya pili🔥🔥💪🏿 sqm 1 ni tsh 5000 cash, tsh 6000 kwa miezi sita na tsh 7000 kwa mwaka mzima HATI MILIKI BILA MALIPO YA ZIADA
Tweet media one
Tweet media two
1
4
12
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
Mapema leo tulimsindikiza Boss wizarani kuchukua hati miliki (2) moja Kiwanja cha Mbweni malindi na nyingine mradi wetu wa kigamboni Kimbiji Kwetu hati miliki haijawahi kuwa changamoto na furaha yetu ni kuona mteja akipata hati ,karibuni sana @lapexproperties
1
5
11
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
Mtaalamu wetu akikusanya taarifa za msingi Mbweni kwajili ya kuandaa valuation report ya mteja wetu ambae anataka kufanya transfer ya hati miliki Je, una kiwanja au eneo unataka kufanyiwa uchunguzi, transfer ya hati miliki ? Karibu @lapexproperties kwa huduma bora kabisa
5
7
11
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
KAWAIDA YETU KUTOA HATI KWA WAKATI 🔥🔥 Wateja wetu wa mradi wa Kigamboni Kimbiji Hati Miliki zinaendelea kutoka ni furaha yetu kuona mteja anamiliki kiwanja pamoja na hati miliki Karibu sana @lapexproperties hati miliki kwetu ni kipaumbele #lapexproperties #hatimiliki
0
4
11
@lapexproperties
lapexproperties
8 months
HATI MILIKI ZOTE MRADI WA KIMBIJI TUNALIPIA SISI Kwa wateja ambao mmeanza kupokea SMS (control number) kutoka nambari 15200, tutumie @lapexproperties tutashughulikia malipo yako ya hati miliki. Hati miliki haijawahi kuwa changamoto kwetu ndani ya siku 30 tu kama kawaida yetu.
1
5
11
@lapexproperties
lapexproperties
1 month
*WEWE UNANUNUA KIWANJA WAPI KWANI..? MBONA HUPATI HATI MILIKI..?* Watanzania wengi wananunua viwanja @lapexproperties kwasababu ya bei nafuu,miradi mizuri na hupata hati miliki kwa wakati.Kama wote wananunua na kugombaniana viwanja , kaa kijanja nunua kiwanja na LAPEX PROPERTIES
0
3
10
@lapexproperties
lapexproperties
1 month
Stay turned, Soon tutawaletea mradi wa Bagamoyo Makurunge kama kawaida yetu @LapexProperties Kabla ya kununua maeneo na kuweka sokoni lazima tufanye uchunguzi kwanza ili kujua mmiliki halali ,matumizi ya eneo, kama eneo halina mgogoro wowote Mradi mzuri unakuja usipange kukosa!
0
6
12
@lapexproperties
lapexproperties
6 months
Ukiachana na kuuza viwanja nyumba na mashamba ,Tunatoa huduma ya Elimu na Ushauri bure kabisa kuhusu masuala ya ardhi , kufatatilia hati Miliki, kufanya uchunguzi n.k Usihangaike tena ni wapi utapata wataalam na washauri kuhusu ardhi Karibu @lapexproperties kwa uwekezaji bora
0
5
11
@lapexproperties
lapexproperties
7 months
Wishing you all happy Valentine's Day! Mnasherekea valentine day mnakiwanja? kama jibu ni HAPANA basi @lapexproperties Tuna ofa nzuri ya kulipia kidogo kidogo hadi ifikapo Valentine ijayo tayari mnafurahia umiliki wenu. Karibuni sana
Tweet media one
0
8
10
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
ZOEZI HILI NI BURE KWA WATEJA WETU Kama umenunua kiwanja @lapexproperties na unataka kulipa Kodi ya pango la ardhi na hujui chochote tutumie namba ya kiwanja tukutumie deni lako pamoja na Control number ya kulipia Kwa wateja wote wa @lapexproperties ni bure karibuni sana
0
5
11
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
KIGAMBONI PROJECT🔥🔥🔥 Wateja wetu tunapenda kuwakumbusha kesho Jumamosi ni siku ya kutembelea site , mradi wetu wa Kigamboni Tundwi songani Makutano ni Ofisini kwetu savei plaza Lufungila Saa 8:30 Asubuhi Usafiri ni bure kwenda na kurudi karibuni sana @lapexproperties
Tweet media one
Tweet media two
0
5
10
@lapexproperties
lapexproperties
6 months
Kama @lapexproperties ni jukumu letu kuweka ulinzi kwenye viwanja ambavyo tuliuza mpaka pale mteja atakapofanya maendeleo na hii tunafanya kuhakikisha hakuna uvamizi wala shida yoyote JE? UNAPONUNUA KIWANJA WANAKUWEKEA ULINZI? #lapexproperties #ulinziwaviwanja #viwanja
1
6
10
@lapexproperties
lapexproperties
7 months
READY FOR KILIMARATHON Tayari tumefika hapa Moshi kwajili ya Kilimarathon 2024 , tutakuwa kwenye Viwanja vya MoCu kwenye Banda letu Tutatoa Elimu na Ushauri Bure kuhusu maswala yote ya ardhi na kwa wale wanataka kuwekeza Dar es salaam, Dodoma na pwani .Karibu @lapexproperties
0
3
10
@lapexproperties
lapexproperties
7 months
BEACH PLOT NYUMA YA AYA SOPHIA HOTELI, HAPA USHINDWE KUPIGA HELA TU. @lapexproperties tunakusogezea Kiwanja cha Ufukweni (Beach plot) Kigamboni, Changani kwa Bei ya Tshs 44,480,000 tu gharama hizo ni pamoja na Hati Miliki, kiwanja kipo nyuma ya Hoteli ya Aya Sophia Karibu sana
1
6
10
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
Mradi wetu wa Kigamboni tundwi songani , Utaratibu wa malipo kwa njia ya mkopo wa miezi 6 na miezi 12 , unaanza na malipo ya awali 20% baada ya kumaliza malipo Hati miliki tunakupatia bure ndani ya mwezi mmoja. Karibuni sana @lapexproperties
Tweet media one
Tweet media two
0
6
10
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
FIRST BEACH PLOT KIMBIJI STAY TUNED🔥 Timu yetu ikifanya ukaguzi wa Beach plot Kigamboni Kimbiji kabla ya kuleta sokoni Je, unataka kumiliki Beach plot Kimbiji? Kaa tayari hii isikupite #lapexproperties #beachplot #viwanja
1
5
10
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
HUDUMA YA KIWANJA KILICHOSAHAULIKA🔥 Boss alikuwa amesahau kiwanja chake lakini ramani ya upimaji alikuwa nayo akatutafuta @lapexproperties kwajili ya kumuonesha kiwanja pamoja na mipaka yake Je, unakiwanja au eneo ambalo limesahaulika ? @lapexproperties tupo kwajili yako
0
6
10
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
Je, kiwanja unachomiliki kina hati ? Kama hakina hati miliki karibu @lapexproperties tukutafutie hati ndani ya muda mfupi #hati #hatimiliki #lapexproperties #viwanja #nyumba #mashamba #ardhi
Tweet media one
1
6
10
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
Jumamosi tulipata wasaa wa kuhudhuria Kongamano la Wanawake Mbezi Msakuzi lililoandaliwa na #EdneyFoundation Tulipata Fursa kuwaelimisha wanawake kuhusu masuala ya ardhi , Ahsanteni sana kwa kuendelea kutuamini @lapexproperties #lapexproperties #viwanja #mashamba #nyumba
1
8
8
@lapexproperties
lapexproperties
1 month
Wale ambao bado hamjachukua HATI MILIKI zenu, @wizara_ya_ardhi inawatangazia mfate hati zenu. Pia kwa wateja wetu mlionunua viwanja @lapexproperties na bado hamjaenda kuchukua hati zenu, sisi kama @lapexproperties tuna huduma ya kuwapeleka kuchukua hati bure kabisa. Karibu sana.
Tweet media one
0
5
9
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
Namna bora ya kutunza Eneo au kiwanja chako ni kukifanyia maendeleo (kujenga au kupanda miti ) ni rahisi mtu kufahamu kama kiwanja kina mtu Furaha yetu ni kuona mteja akipata hati miliki na kufanya maendeleo kwenye kiwanja hicho Karibu sana @lapexproperties kwa uwekezaji bora
0
5
9
@lapexproperties
lapexproperties
6 months
Tutakuwepo siku ya Kitchen Party Mlimani city Tarehe 3, March tutatoa zawadi ya kiwanja kwa mwanamke wa nguvu ambae atajibu swali letu. Lengo ni kusapoti na kumuinua mwanamke SHARTI: 1.Hakikisha umefollow akaunti yetu @lapexproperties swali letu litatolewa kupitia akaunti yetu
0
5
9
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
QUICK REMINDER 🚨🚨 Siku za kutembelea site ni Jumatano na jumamosi Muda wa kwenda site ni saa 9:00 Asubuhi , Makutano ni ofisini kwetu Jengo la Savei plaza Karibuni sana @lapexproperties tunasubiri simu yako na siku ya kwenda site #viwanja #lapexproperties #mashamba
Tweet media one
0
4
9
@lapexproperties
lapexproperties
2 months
Siku ya jana Mpima ardhi, mtaalamu na mshauri wa masuala ya ardhi @thommnkondya kutoka @lapexproperties alipata wasaa @azamtvtz kwenye kipindi cha #alasirilounge na kuzungumza namna sahihi ya manunuzi ya ardhi cc: @azamtvtz #lapexproperties #alasirilounge
Tweet media one
Tweet media two
0
6
9
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
Mwaka 2024 hatutamani kuona mwanamke akudhurumiwa wala kutapeliwa ardhi Ni jukumu letu kumkomboa mwanamke kwa kutoa elimu na ushauri kuhusu ardhi bure kabisa bila malipo yoyoyte Karibuni sana @lapexproperties kwa uwekezaji bora #lapexproperties #viwanja #mashamba #nyumba
0
6
7
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
Tweet media one
0
3
9
@lapexproperties
lapexproperties
2 months
Ramani ya Viwanja mradi wetu wa Vumilia Ukooni ikionyesha viwanja vilivyobaki mpaka sasa Kwa wewe ambae unataka kumiliki ardhi Kigamhoni usipange kukosa kwenda site Jumamosi hii , usafiri ni bure kabisa karibuni sana @lapexproperties #lapexproperties #viwanja #nyumba
Tweet media one
1
7
9
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
Tunapenda kuwatakia waislamu na watanzania wote kheri ya sikuu ya Eid al-Adha #eidaladha #lapexproperties
Tweet media one
0
5
8
@lapexproperties
lapexproperties
7 months
ZAWADI YA KIWANJA KILI MARATHON 2024 KUTOKA LAPEX PROPERTIES Augustino Sulle (Mwanaume) mshindi wa kilimarathon kutoka Tanzania amejishindia kiwanja kutoka @lapexproperties kilichopo kigamboni Kimbiji Hongera sana Augustino sulle karibu @lapexproperties kwa uwekezaji bora
0
4
9
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
Siku ya Jumamosi Tarehe 27/4 @lapexproperties tutakuwa Mbezi Msakuzi (kwa lipelanya) kwenye Kongamano la Wanawake Kwa Lengo la Kutoa Elimu na ushauri kuhusu masuala yote ya ardhi LOCATION : Ukumbi wa Machimo MUDA : saa 4 Asubuhi - 12 Jioni Usipange kukosa karibuni sana
0
5
9
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
Sehemu ni moja tu ambayo utapata kiwanja bora bila kuhatibu Bajeti yako @lapexproperties tunakupa fursa ya kumiliki kiwanja kwa njia ya Cash na kwa njia ya mkopo kuanzia miezi 6 mpaka miezi 12 Kwa huduma zote kuhusu masuala ya ardhi karibu Lapex #lapexproperties #viwanja
Tweet media one
Tweet media two
1
5
9
@lapexproperties
lapexproperties
6 months
Moja kati ya huduma zetu ni kuhakikisha Mteja wetu anatapa hati miliki kwa uharaka zaidi kwani hati ndio uthibitisho wa umiliki halali Ukitaka kupata hati miliki kwa uharaka @lapexproperties ndio sehemu pekee , karibu sana kwa uwekezaji bora
3
6
9
@lapexproperties
lapexproperties
6 months
Vijana sehemu pekee unaweza kupata kiwanja chenye hati miliki kwa bei nafuu kwani tunatoa kipaumbele kwa vijana wote kumiliki ardhi Je, Upo chini ya miaka 30 na unataka kumiliki ardhi ? Karibu @lapexproperties kwa uwekezaji bora , ushauri na elimu kuhusu masuala yote ya ardhi
0
6
8
@lapexproperties
lapexproperties
6 months
KUWA MWANAMKE WA SHOKA,MILIKI KIWANJA Tunaendelea kuwa bora na kuhakikisha mwanamke anamiliki kiwanja bila mgogoro wowote,tutahakikisha mwanamke hadhurumiwi wala kutapeliwa kiwanja Ahsante sana @ammygal_tz kwa kuendelea kutuamini @lapexproperties
1
3
9
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
PATA HATI MILIKI KWA UHARAKA NA LAPEX Kama una kiwanja au eneo limepimwa lakini huna hati miliki ya eneo hilo karibu @lapexproperties tukutafutie hati miliki vile vile Tunafanya transfer ya hati miliki ndani ya muda mfupi Karibuni Lapex kwa huduma zote kuhusu masuala ya ardhi
Tweet media one
0
6
8
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
Ukinunua kiwanja kwetu ondoa shaka kabisa kuhusu usalama wa kiwanja Chako Kwani tunahakikisha kiwanja chako kipo salama mpaka pale utakapokiendeleza Kila mradi wetu tunaweka mlinzi kuhakikisha ulinzi wa viwanja vyote karibuni sana @lapexproperties
0
6
8
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
Unaweza kuona bado hujachelewa lakini viwanja vinakaribia kuisha , hao ni baadhi ya wateja wetu waliotembelea mradi wa Kigamboni tundwi songani Jumamosi iliyopita Siku za kwenda site ni Jumatano na Jumamosi , usafiri ni bure kabisa Karibu sana @lapexproperties
Tweet media one
Tweet media two
0
4
8
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
BEI ZA MRADI WETU WA KIGAMBONI TUNDWI SONGANI 🔥🔥 Kwa Cash 1 sqm = 6,000 Tsh Kwa mkopo wa miezi 6 1Sqm = 7,000 Tsh kwa mkopo wa miezi 12 1sqm =8,000 Tsh Kwa malipo ya mkopo utaanza na malipo ya awali (Downpayment) 20% Karibu sana @lapexproperties
0
6
8
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
Kama ulinunua kiwanja au ulipewa kama zawadi na umesahau kilipo basi ondoa shaka tena , @lapexproperties tunatoa huduma ya kukuonesha kiwanja kilichosahaulika kwani tuna timu ya watalaamu kuhusu masuala yote ya ardhi karibu Lapex kwa elimu ,ushauri kuhusu ardhi #lapexproperties
Tweet media one
1
5
8
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
Eid Mubarak everyone ✨🤍 #eidmubarak #lapexproperties
Tweet media one
0
5
8
@lapexproperties
lapexproperties
6 months
Tayari timu nzima imefika katika Ukumbi wa Mlimani city kwajili ya Kitchen Party Gala 2024 ,Tunatoa elimu na ushauri bure kabisa LEO tunatoa kiwanja kwa mwanamke wa nguvu atakae jibu swali letu na swali litatoka kwenye ukurasa @lapexproperties Hakikisha umefollow account yetu .
1
6
8
@lapexproperties
lapexproperties
2 months
Ukinunua kiwanja ndani yake kuna miti hiyo miti ni sehemu ya kiwanja hautatozwa kiasi chochote kile Hapa ni Vumilia ukooni kwenye mradi wetu ambao upo karibu na Kisarawe II sqm 1 = 10,000 Tsh tu pamoja na Hati miliki Karibuni @lapexproperties tuambie lini tukupeleke site
0
5
8
@lapexproperties
lapexproperties
2 months
Leo tulienda kukagua banda letu ndani ya wizara ya ardhi sasa rasmi tutaanza maonyesho siku ya Jumatano Trh 3/7/2024 Tunawakaribisha sana kutembelea banda letu upate Elimu na ushauri kuhusu ardhi pia tutakuwa na Ofa maalumu msimu huu wa Saba saba karibuni sana @lapexproperties
Tweet media one
Tweet media two
0
6
8
@lapexproperties
lapexproperties
2 months
Baadhi ya wateja wetu waliotembelea kwenye banda letu ndani ya Jengo la wizara ya ardhi kwenye maonyesho ya 48 ya kimataifa ya Saba saba Karibu ujifunze mambo mbali mbali kuhusu ardhi #sabasaba #lapexproperties
Tweet media one
Tweet media two
0
6
8
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
Baadhi ya wateja wetu waliotembelea mradi wetu wa kigamboni tundwi songani siku ya Jumatano Siku za kutembelea site ni JUMATANO NA JUMAMOSI karibu sana @lapexproperties tunasubiri simu yako tukupeleke site #lapexproperties #viwanja #nyumba #mashamba #ardhi
Tweet media one
Tweet media two
0
6
8
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
Kesho Jumamosi ni siku ya kutembelea site kwenye mradi wetu wa Kigamboni tundwi songani Makutano ni saa 8:30 Asubuhi kuondoka saa 9:00 Asubuhi ,usafiri ni juu ya ofisi Bado hujachelewa tupigie/tujulishe leo tukupeleke site kesho . Karibuni @lapexproperties kwa uwekezaji bora
Tweet media one
Tweet media two
0
4
8
@lapexproperties
lapexproperties
2 months
Karibu kwenye Banda letu la @lapexproperties lililopo ndani ya wizara ya Ardhi, ukifika kwenye banda letu utajifunza mambo mbali mbali kuhusu ardhi pia tuna ofa malaamu msimu huu wa Saba saba , karibuni sana #lapexproperties #sabasaba
Tweet media one
Tweet media two
0
5
8
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
Hakuna haja ya kuhangaika tena ni wapi utapata kiwanja @lapexproperties tunakuletea LAPEX KIBUBU unaweza kulipia kidogo kidogo ndani ya miezi 6 au miezi 12 unapata kiwanja , Hati miliki ni bure baada ya kumaliza malipo Mradi wetu upo Kigamboni tundwi songani karibuni sana
Tweet media one
0
6
8
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
✍🏻✍🏻✍🏻 @Thommunkondya
Tweet media one
0
5
8
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
Tweet media one
Tweet media two
1
5
8
@lapexproperties
lapexproperties
1 month
Je, Una mgogoro wowote wa ardhi na hujui uanzie wapi kutatua? Karibu @lapexproperties tukusaidie #lapexperience #viwanja #ardhi #hatimiliki
Tweet media one
0
4
7
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
HATI YENYE MAJINA MAWILI KWA WANANDOA🔥 Hii ni Kwa wanandoa wote mnaweza kupata hati miliki yenye majina mawili jina la mwanamke na Mwanaume Karibuni sana @lapexproperties kwa masuala yote ya Hati miliki #lapexproperties #viwanja #ardhi #mashamba #hatimiliki
Tweet media one
Tweet media two
0
6
7
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
Tukiwa na lengo la kuelimisha na kutoa ushauri kuhusu masuala ya ardhi tutakufata popote ulipo kwenye kikundi, Events , Maofisini N.K Tuambie ni wapi nasi tutakufata Usisite kututafuta @lapexproperties kwa ushauri na elimu kuhusu masuala yote ya ardhi
0
6
8
@lapexproperties
lapexproperties
6 months
Ulale salama Mzee Ali Hassan Mwinyi Rais wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #restinpeace #lapexproperties #hassanimwinyi
0
5
8
@lapexproperties
lapexproperties
2 months
Je wewe ni Mtanzania unaishi nje ya nchi na unataka kumiliki kiwanja Tanzania? @lapexproperties tuna miradi bora na viwanja sehemu mbali mbali ikiwemo Kigamboni , Bagamoyo, Kibaha ,Chalinze , Goba , Mapwepande , Mbweni na maeneo mengine ya Dar es salaam ,karibuni sana
Tweet media one
1
8
8
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
New project alert! Get ready 🔥🔥🔥 #lapexproperties #viwanja #mashamba
1
5
8
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
Boss anataka kununua eneo Goba alitupa kazi ya kumfanyia uchunguzi, watalaam wetu walifika site kwajili ya kuchukua taarifa za msingi kwenda kuulizia manispaa na wizarani yote ni kuhakikisha usalama wa kiwanja Je, kiwanja unataka kufanyiwa uchunguzi? Karibu @lapexproperties
0
4
8
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
Baadhi ya wateja wetu waliotembelea site ya Kigamboni tundwi songani siku ya Jumamosi wiki iliyopita na kutoa maoni yao baada ya kuona mradi Siku za kutembelea site ni Jumatano na Jumamosi kuanzia saa 9:00 Asubuhi , Makutano ni Ofisini Savei plaza karibu sana @lapexproperties
Tweet media one
Tweet media two
0
4
8
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
Kwa kushirikiana na wanafunzi wauguzi kutoka chuo kikuu cha zanzibar(ZU) tumetoa misaada mbali mbali kwa wagonjwa katika hospitali ya wilaya ya kivunge Zanzibar. Ahsanteni sana wateja wetu kwa kuendelea kutuamini @lapexproperties kwani bila nyie tusingefanikisha hili.
0
4
8
@lapexproperties
lapexproperties
7 months
Mambo ya kuzingatia ili kulinda kiwanja chako 1. Hakikisha una hati miliki halali ya kiwanja chako. 2. Zungusha uzio imara au weka nguzo kwenye mipaka ya kiwanja chako. Karibu sana @lapexproperties , kwa uwekezaji wa ardhi, ushauri na huduma za kulinda kiwanja chako.
0
5
7
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
Jumapili tulipata wasaa wa kutembelea kikundi cha Kikoba Mikocheni kwa lengo la kutoa elimu na ushauri kuhusu masuala ya ardhi Ahsanteni sana kwa kuendelea kutuamini @lapexproperties karibuni sana kwa uwekezaji bora #lapexproperties #viwanja #mashamba #nyumba #ardhi
0
6
7
@lapexproperties
lapexproperties
6 months
2021 tulikuwa na mradi hapa Kiharaka mara baada ya kuuza mradi wote tuliweka akiba viwanja 4 na sasa rasmi tunatangaza vipo sokoni . Viwanja vipo Pembeni ya barabara ya kiharaka inayotoka Mbweni kwenda Mapinga SQM 1 = 30,000 Tshs pamoja na Hati miliki wekeza na @lapexproperties
1
5
6
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
Ukiwa unanunua kiwanja Kitu cha kuzingatia ni njia za kuingia na kutoka hii itakusaidia wakati wa Ujenzi Karibu sana @lapexproperties Kwa Elimu na Ushauri kuhusu masuala yote ya ardhi #lapexproperties #viwanja #mashamba #hatimilikiyaardhi #nyumba
0
4
7
@lapexproperties
lapexproperties
1 month
KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI GEZAULOLE NYUMA YA HOSPITALI YA WILAYA .Kwa wale wote wanaopenda kuishi mitaa ya kishua, mitaa iliyopangwa na kupimwa vizuri. Tumekusogezea kiwanja bora kabisa Kiwanja kina ukubwa wa sqm 1300 bei ni Tsh 58m tu pamoja hati miliki Kupelekwa site ni bure
0
1
7
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
Nawakumbusha tu 😂😂 @Thommunkondya
Tweet media one
0
2
7
@lapexproperties
lapexproperties
2 months
Ulikuwa unafahamu kuwa gharama za kufanya uhamisho (transfer) ni kubwa kuliko gharama za kutafuta hati mpya? Tuambie kwenye comment hapa👇🏽👇🏽 #lapexproperties #jewajua #viwanja
Tweet media one
0
5
7
@lapexproperties
lapexproperties
3 months
Mshindi wetu wa #kitchenpartygala2024 akizungumza jana @efmtanzania kwenye kipindi cha Jioni ya leo akielezea furaha yake na namna alivyoshinda Hongera sana madam @janethdutu , kwa ushauri na elimu kuhusu masuala yote ya ardhi karibuni @lapexproperties
Tweet media one
Tweet media two
0
8
7
@lapexproperties
lapexproperties
1 month
Are you an expert in sales and looking for a Job? Apply Now to Join Our Sales team! #lapexperience #viwanja #nyumba #mashamba #ardhi
Tweet media one
0
5
7
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
Kiongozi na kocha wa wanariadha kanda ya Pwani tuliambatana nae kwenye Zoezi la kuwaonesha viwanja na mipaka washindi wetu wa kilimarathon 2024 Hongereni tena na karibuni sana @lapexproperties kwa uwekezaji bora #lapexproperties #viwanja #nyumba #mashamba #ardhi
0
4
6
@lapexproperties
lapexproperties
2 months
Leo Kamishna Msaidizi wa Ardhi mkoa wa Pwani Shukrani Stephan Kyando alitembelea kwenye banda letu ndani ya jengo la wizara ya Ardhi na kuzungumza nasi masuala kadhaa kuhusu masuala ya ardhi . #sabasaba #lapexproperties
Tweet media one
Tweet media two
0
4
7
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
ukiwa nje ya nchi au nje ya Dar es salaam na ukanunua kiwanja kwa kutuamini @lapexproperties siku ukija site kama usipopenda site tunakupa machaguo matatu:- 1. Kukurudishia fedha yake 2.Kukubadilishia site 3 kukuonesha site ambayo utaongeza pesa au kukurudishia fedha iyozidi
0
7
7
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
Ujenzi wa barabara hapa Ilala , mamlaka husika ilitoa agizo la kubomoa baadhi ya nyumba na maboss zetu walitufata @lapexproperties ili tufanye upimaji ili kuangalia kama kuna ukiukwaji wa mipaka Timu na watalaamu wetu walifika site kufanya upimaji ili kuthibitisha mipaka
0
4
7
@lapexproperties
lapexproperties
6 months
MAPEMA SANA 😍🔥 Siku chache zilizopota tulitangaza eneo na nyumba pale mbopo Madale , moja kati ya mteja wetu tuliwahi kufanya nae biashara siku za nyuma alipapenda tukampeleka site na kisha kufanya malipo Ahsante sana Boss kwa kuendelea kutuamini @lapexproperties
1
4
7
@lapexproperties
lapexproperties
8 months
UNAPONUNUA KIWANJA WANAKUSINDIKIZA KUCHUKUA HATI? @lapexproperties furaha yetu ni kuona mteja wetu anapata hati miliki kwa haraka. Ndio maana miradi yetu yote tunatoa hati miliki bila malipo yaani bure ndani ya mwezi mmoja
0
3
7
@lapexproperties
lapexproperties
5 months
Zimebaki siku chache kabla ya kutangaza mradi wetu mpya kigamboni , Kwasasa Maboss zetu Maeneo ambayo tuna viwanja ni :- ✅Goba lastanza✅Mabwepande ✅Kiharaka✅Kibaha pangani Siku za kutembelea site ni Jumatano na Jumamosi Karibuni sana @lapexproperties kwa uwekezaji bora
2
3
7
@lapexproperties
lapexproperties
4 months
0
4
7