kingnumbo Profile Banner
Ibrahim Nditi Profile
Ibrahim Nditi

@kingnumbo

Followers
518
Following
844
Statuses
3K

Politician. Member of Political Group Hizb ut Tahrir. Geopolitical Commentator and Historian. وَمَنْ يُؤْتَ الْحِكْمَةَ فَقَدْ أُوتِيَ خَيْرًا كَثِيرًا ۗ

Indian Ocean regions
Joined August 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
2 days
RT @Hizb_tanzania: TANGAZO LA TRUMP LA KUIPORA GAZA; UMMAH WA KIISLAMU UKO WAPI? Masjid Bab L-Kher, Beit l-Ras Mchochani- Zanzibar Shekh Ab…
0
16
0
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
7 days
Wakati Elon Musk yupo mstari wa mbele kupigania Trump ashinde watu walihisi ni mapenzi ya siasa. Siasa za Kidemokrasia kidunia zinaendeshwa na matajiri. Raia kura yako haiwezi amua namna gani mambo yaende. Matajiri ndio hupima nani anafaa na nani hafai. ipo hivyo hadi Afrika.
Tweet media one
Tweet media two
0
1
2
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
7 days
0
0
0
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
8 days
@slimshadejr Msaada?
1
0
0
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
9 days
@KingPablotz Kwa mujibu wa John Perkins jasusi wa zamani wa Amerika huko Asia amesema USAID, Kampuni za Filamu, Nike na kampuni za ujenzi ni vyombo vya kutimiza mikakati ya kunyonya nchi changa. Mashirika haya huwaingiza mkenge mataifa machanga kuomba mikopo mikubwa ya kinyonyaji.
0
0
0
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
12 days
Amerika ina hofu sana ikiwa sarufu ya BRICKS itatumika na mataifa mengi. Amerika kwa muda mrefu inatawala uchumi wa dunia kwa sababu ya dollar yake. Siku dunia ikiacha kutumia Dolla basi uchumi wa Amerika hauwezi Kuwa sawa na muda huu.
@BRICSinfo
BRICS News
12 days
JUST IN: 🇺🇸 President Trump issues warning to BRICS and threatens "100% tariffs" if they attempt to replace the US Dollar. "The idea that the BRICS Countries are trying to move away from the Dollar, while we stand by and watch, is OVER. We are going to require a commitment from these seemingly hostile Countries that they will neither create a new BRICS Currency, nor back any other Currency to replace the mighty U.S. Dollar or, they will face 100% Tariffs, and should expect to say goodbye to selling into the wonderful U.S. Economy. They can go find another sucker Nation. There is no chance that BRICS will replace the U.S. Dollar in International Trade, or anywhere else, and any Country that tries should say hello to Tariffs, and goodbye to America!"
Tweet media one
Tweet media two
0
0
1
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
12 days
@CrownMediaTZ Nchi za Afrika zitaendelea kuwa ombaomba milele ikiwa bado wanatukuza mahusiano yao na Mabepari ambao wanawaita washirika wa uchumi. Viongozi wa Afrika hawataki kusema ukweli tu. Wanatamani litokee taifa kubwa ambalo litaweza simama kuwatetea dhidi ya Mabepari.
0
0
1
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
12 days
Nchi za Afrika zitaendelea kuwa ombaomba milele ikiwa bado wanatukuza mahusiano yao na Mabepari ambao wanawaita washirika wa uchumi. Viongozi wa Afrika hawataki kusema ukweli tu. Wanatamani litokee taifa kubwa ambalo litaweza simama kuwatetea dhidi ya Mabepari.
@CrownMediaTZ
Crown Media
13 days
“Wengi wafanyabiashara ndogo ndogo wanakimbia kulipa Kodi, lipa Kodi kwa nchi yako wajibika kwa Serikali yako na kwa kufanya hivyo unailinda nchi yako na kuwa omba omba na kuinusuru nchi yako na Mikopo”, Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Tweet media one
0
0
3
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
12 days
Hivi kuna maana gani kusema nchi za Afrika zinapiga hatua ikiwa hata kutengeneza dawa ya ARV hatuwezi? Mwandishi wa kitabu cha Confession alifichua kuwa shirika hili la USAID na yale ya filamu hutumika kama vyombo vya mkakati kunyonya nchi za Afrika kuwa kuwaombea mikopo.
Tweet media one
0
0
0
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
13 days
I wish the downfall of America and western Empires in every area.
@jacksonhinklle
Jackson Hinkle 🇺🇸
14 days
🚨🇨🇳🇺🇸 BREAKING: CHINA HAS DEFEATED AMERICA 🇨🇳 DeepSeeak BEATS OpenAI 🇺🇸 🇨🇳 BYD BEATS Tesla 🇺🇸 🇨🇳 Huawei BEATS Apple 🇺🇸 🇨🇳 Huawei BEATS US Telecoms 🇺🇸 🇨🇳 Alibaba BEATS Amazon 🇺🇸 🇨🇳 CATL BEATS US lithium-ions 🇺🇸 🇨🇳 TikTok BEATS Instagram 🇺🇸 🇨🇳 DJI BEATS all US drones 🇺🇸 🇨🇳 Temu/Shein BEAT US ecomm 🇺🇸 🇨🇳 BRI BEAT Build Back Better World 🇺🇸 🇨🇳 China is also BEATING the US in infrastructure, high speed rail, healthcare, education, space technology, manufacturing, defense technology, gold production, energy, housing affordability & annual GDP PPP.
Tweet media one
Tweet media two
0
0
0
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
13 days
@jacksonhinklle Very good news
0
0
1
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
14 days
@mwalukon @millardayo Wewe ndio unatakiwa kurudi nyuma. Unakuwa kama hujui ngoma ya siasa za kidemokrasia inavyochezwa? Kwani umesahau jinsi vyama vya upinzani vilivyokataa Tamisemi kusimamia uchaguzi!? Nini kilifanyika hata baada ya kupeleka shauri mahakamani?
0
0
0
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
14 days
Hakuna mwanasiasa wa kidemokrasia anaeamini katika uchaguzi huru na haki ndio utamfanya ashinde dola. Manuva ndio mtindo wa siasa hizi. Usipochanga karata vizuri huna kitu. Yale mambo ya Uchaguzi huru na haki yapo katika vitabu tu ila huku kwenye uhalisia ni dirty work tu
0
1
2
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
14 days
@millardayo Hakuna mwanasiasa wa kidemokrasia anaeamini katika uchaguzi huru na haki ndio utamfanya ashinde dola. Manuva ndio mtindo wa siasa hizi. Usipochanga karata vizuri huna kitu. Yale mambo ya Uchaguzi huru na haki yapo katika vitabu tu ila huku kwenye uhalisia ni dirty work tu
0
1
3
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
14 days
Japo demokrsia inajibasifu kuweka uhuru na uwakilishi wa watu katika mamlaka, ila imeshindwa kuwaondoa watu katika tatizo la umasikini na shida za kimaisha. Sio nchi za Afrika tu, hata huko Asia na latin Amerika demokrsia imeshindwa kuleta ukombozi wa kiuchumi kwa watu masikini
Tweet media one
1
1
4
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
15 days
RT @Phbhimself: Mpaka leo operation hii ni moja ya operation iliyofanywa na majeshi ya nchi za Afrika yenye kuheshimika sana, pamoja na mam…
0
28
0
@kingnumbo
Ibrahim Nditi
15 days
RT @Phbhimself: Mnamo mwezi september 1998, Makomandoo wa kitutsi (Rwanda, UG na Burundi) walivamia Eneo la Zombo de maquela huko Angola am…
0
17
0