Gaure Profile Banner
Gaure Profile
Gaure

@gauremdee

Followers
7,201
Following
1,142
Media
8,617
Statuses
99,657

New Media I 🎮I #Africa I am not endorsing with an RT. Do not look for my CV here... 🤓 I tweet random info that may be worthwhile.

Africa
Joined April 2009
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@gauremdee
Gaure
4 months
Kuna wanajeshi wa kitanzania wamepoteza maisha kwenye mission za kupambana na waasi wa M23 nchini Congo. Ni watu wachache wanafahamu kuhusu chimbuko la kundi hili na maslahi yake ndani ya DRC. #AllEyesOnKongo
5
64
125
@gauremdee
Gaure
4 years
Apparent East African countries Gdp since 1980 to now
132
2K
3K
@gauremdee
Gaure
3 years
East Africa's top companies in 2021 by market capitalisation 1. Safaricom 🇰🇪 $13.3bn 2. TBL 🇹🇿 $1.4bn 3. Equity 🇰🇪 $1.3bn 4. KCB 🇰🇪 $1.2bn 5. EABL 🇰🇪 $1.1bn 6. Vodacom 🇹🇿 $744m 7. TCC 🇹🇿 $733m 8. Co-op Bank 🇰🇪 $708m 9. NMB 🇹🇿 $505m 10. Stanchart 🇰🇪 $490m - African Business
85
272
1K
@gauremdee
Gaure
5 years
🧐
43
131
515
@gauremdee
Gaure
1 year
8
5
447
@gauremdee
Gaure
3 years
I would like to start a 24 hour news channel in Tanzania. Who is in? Ideas are welcome.
57
21
317
@gauremdee
Gaure
2 years
Tweet media one
10
17
291
@gauremdee
Gaure
1 year
Ameshindwa kuvumilia, na tusi juu...
55
87
255
@gauremdee
Gaure
4 years
36
54
225
@gauremdee
Gaure
3 years
Same tree, different seasons. #nature is beautiful.
Tweet media one
4
37
215
@gauremdee
Gaure
3 years
1. Kenya - 5 (1 Gold, 2 Silver, 2 Bronze) 2. South Africa - 3 (1 Gold, 2 Silver) 3. Ethiopia - 3 (1 Gold, 1 Silver, 1 Bronze) 4. Uganda - 3 (1 Gold, 1 Silver, 1 Bronze) 5. Tunisia - 2 (Gold, Silver) 6. Morocco - 1 Gold *Tanzania - 2 (Diamond, Platinumz)* #Olympics
21
50
211
@gauremdee
Gaure
3 months
@CursedVideos This is how liberty falls, with thunderous applause.
8
5
203
@gauremdee
Gaure
7 months
Ubunifu au kufanya jambo kwa namna tofauti na ilivyozoeleka, inaweza kuongeza chachu au hamu ya watu kujaribu mambo mapya. Kutana na Martin Safari, Kinyozi mbunifu ambaye amepata umaarufu kwa style yake ya unyoaji ambayo anatumia vitendea kazi vya ujenzi 😃
18
87
196
@gauremdee
Gaure
1 year
Dah, kwa hio ni sawa na kusema Watu wametizama video zake kwa jumla ya dakika bilioni 1.5 (kama kila video ni dakika 3) ni sawa na kuangalia kwa siku 1,041,666 mfululizo AU Miaka 2,854 Zuchu ametisha
10
5
165
@gauremdee
Gaure
5 years
New meme alert. 🤔 (Pale vyeti vyako havitambuliki)
26
20
157
@gauremdee
Gaure
10 months
Hivi kinachoendelea Congo kinajulikana? DRC inaelekea kwenye uchaguzi tarehe 20 Desemba na kuna mambo mbalimbali ambayo yatakuwa yanazingatiwa na wananchi sana sana katika masuala ya Usalama na amani.... Mgogoro na vita inayoendelea Mashariki ya DRC ni ya muda mrefu, tena eneo
15
85
156
@gauremdee
Gaure
1 year
Tweet media one
1
11
144
@gauremdee
Gaure
9 months
Kwanini Mfalme ana wake wengi? 🤔🤼‍♀️🤼‍♀️👩🤴🇸🇿 Tamaduni za Kiafrika ndio urithi tumeishi nao na kututambulisha, na kututofautisha na jamii nyingine, ikiwemo lugha zetu, imani zetu, pamoja na mila zetu. Tamaduni nyingi za Kiafrika zinaonekana kupitwa na wakati haswa nyakati hizi
16
65
147
@gauremdee
Gaure
6 months
Mandonga mtu kazi ni jina ambalo lina kumbukumbu nyingi kwa Wapenzi wa mchezo wa Ndondi hata wale ambao walikua hawaupi mchezo huo macho na masikio. Alipata umaarufu kwa tambo zako za kabla na baada ya pambano. Mchango wa Mandonga kwenye hamasa ya mchezo wa ndondi ni mkubwa kwa
20
70
140
@gauremdee
Gaure
3 years
"We produce what we don't consume and consume what we don't produce." - @jmkikwete quoted his late lecturer, Justinian Rweyemamu, on the issue of appreciating homegrown products. #YouLead21 #youleadsummit2021 #youlead2021 Here are a few facts about this man as well 👇
Tweet media one
11
27
139
@gauremdee
Gaure
9 months
Katiba imempa mamlaka Rais kuteua na kutengua, kama ilivyo kwa Kocha wa mpira, Rais anaweza kupanga na kupangua kikosi chake, kulingana na mahitaji, ufanisi, maono au sababu zao binafsi. Kuteua na kutengua inapozidi, inaweza athiri utendaji wa wateule? Wateule kutokua na
7
72
124
@gauremdee
Gaure
3 years
This... 💔
Tweet media one
47
2
122
@gauremdee
Gaure
3 years
Best believe.
Tweet media one
0
22
114
@gauremdee
Gaure
5 months
Kuelewa vyeo vya kijeshi inaweza kuwa ngumu, hasa linapokuja suala la kujua vyeo vya kijeshi kwa mpangilio. Hapa kuna maelezo mafupi ya vyeo kulingana na mfumo wa jeshi la Uingereza ambao nchi nyingi ikiwemo nchi yetu unatumia. Umewahi kutamani kutumikia jeshi? Cheo gani
2
70
113
@gauremdee
Gaure
5 years
I put a sticker with a fake PIN number on my atm card so that if I lose it and someone tries to use it 3 times, the machine will eat the card. Mama didn't raise no fool. 😅
6
21
111
@gauremdee
Gaure
9 months
Watu wa night shift siku ya Krismasi... @RealBrianOkoth
Tweet media one
9
4
110
@gauremdee
Gaure
8 months
Sukari ni Uchumi, sukari ni bidhaa yenye soko la uhakika kila siku. Licha Ya kutumika kwa kiasi kikubwa majumbani,, sukari ni mhimili ya bidhaa nyingi za viwandani zenye soko kubwa. Kwanini bidhaa hii yenye soko la Uhakika, inaadimika sokoni kwa kipindi flani karibu kila mwaka,
16
67
105
@gauremdee
Gaure
10 months
Mabadiliko ya Tabianchi ni kama jambo la kigeni kwa nchi za Kiafrika. Ila mpaka pale wanapokutana na misimu ya mvua isiyotabirika, kuongezeka kwa joto na mafuriko na maporomoko kama ya Katesh. Tunachangia kiasi kidogo kwenye mabadiliko haya lakini haina maana tusiweke nguvu
17
75
99
@gauremdee
Gaure
3 years
Tweet media one
11
9
98
@gauremdee
Gaure
3 months
⚽️🇹🇿Pengine Mashabiki wanajiuliza maswali, kuhusu Klabu yao pendwa ya Simba, Je ndani shwari au sio Shwari? Wakiwa na misimu mitatu mfululizo bila mataji, na kukosekana kwa utulivu kwenye benchi ya Ufundi, kuna dalili kwamba Bundi katua rasmi Msimbazi. Mashabiki wamekua
5
69
93
@gauremdee
Gaure
3 years
🤔
Tweet media one
0
15
95
@gauremdee
Gaure
6 months
Wakati jina la #TotalEnergies linapotajwa, wengi huona kama mfadhili mkuu wa Mashindano ya AFCON, lakini kuna pande nyingine ya sarafu ambayo mara nyingi haizingatiwi. Ingawa kampuni hii inajitahidi kukuza michezo barani Afrika, ni muhimu kutambua kuwa inaunganishwa moja kwa moja
6
67
90
@gauremdee
Gaure
11 months
Uchumi wa Bandari ndio moja ya sekta zenye mchango mkubwa kwenye mapato, ajira na kukuza sekta nyingine. Pia, ina manufaa kiuchumi katika kanda. Uwekezaji wa sekta binafsi kwenye bandari una tija au unaongeza nafsi ya kupoteza mapato, kuongeza rushwa na ufisadi?
10
43
92
@gauremdee
Gaure
5 years
Can our MPs swallow their pride before things fall apart? - The East African - #IstandWithCAG
3
20
86
@gauremdee
Gaure
11 months
Siasa za Tanzania na kupanda na kushuka chati kwa wanasiasa, baada ya kimya cha takribani miaka 4, aliyekua RC Dar karudi kwenye chati, yani 'stelingi amerudi' kama Katibu Mkuu mwenezi CCM, maoni na mitazamo ni mingi, Je hii ni karata Dume kwa Chama tawala?
21
27
93
@gauremdee
Gaure
6 years
Godbless Lema amesema amekamilisha uchunguzi wa utekaji wa Mo Dewji na kesho atazungumza.
11
3
84
@gauremdee
Gaure
2 months
@Whotfismick Rock With You
0
0
87
@gauremdee
Gaure
2 years
Burning that midnight oil with @AjSadique
Tweet media one
4
2
85
@gauremdee
Gaure
7 months
Hatimaye vijana wetu wamerudi kutoka Marekani na watapokewa kwa shangwe na vigelegele ila wametoka mbali. Fadhili Ramadhani na Ibrahim Jobu, wameshinda taji la America's Got Talent ligi ya Fantasy na kujishindia dola za Kimarekani 250,000. Safari yao ni kama hivi
7
43
79
@gauremdee
Gaure
5 years
Support your friends start up by Not asking for a discount. Mama didn't raise no fool. 🤔
2
20
80
@gauremdee
Gaure
4 months
Mmoja wa Watu mashuhuri Tanzania, Tajiri Mo Dewji. Moja ya vitu vimempa umaarufu ni Utajiri wake na Mahusiano yake na timu kongwe ya Simba Sports Club. Pia ni Public figure ambayo inagusa maisha ya wengi. Katikati ya changamoto na mafanikio ukisikia jina la Mo Dewji nini
5
47
77
@gauremdee
Gaure
3 years
Photography at its best.. Zoom to see why
Tweet media one
4
10
72
@gauremdee
Gaure
5 years
#Tanzania Blocks International Monetary Fund Report Publication - Bloomberg -
2
23
69
@gauremdee
Gaure
5 years
Hongera @macdemelo
4
9
71
@gauremdee
Gaure
3 years
Bro @tonytogolani , na kazi iendelee...
Tweet media one
0
3
69
@gauremdee
Gaure
6 years
Pretty glad I met everyone in my life. The good and the bad. The good make me thankful, the bad make me learn my lessons. That does not mean that I do not fall under either or neither. #motivation
5
10
61
@gauremdee
Gaure
7 years
#TheSimpsons is literally 29 years old. Wow! I grew up with this show.
2
5
63
@gauremdee
Gaure
6 years
How this brave woman fought Tanzania's child marriage laws and won - Face2Face Africa - cc. @rebecagyumi
0
16
63
@gauremdee
Gaure
6 years
Why are we living like this in constant reminder that we are descending into censorship in this country? #Tanzania # #IStandWithCAG . Wewe je?
0
11
63
@gauremdee
Gaure
5 years
Exactly 🤔
Tweet media one
3
25
63
@gauremdee
Gaure
5 months
Ukisikia neno mbuzi🐐, wengi moja kwa moja wanajua ni kitoweo, nyama choma laini, inakuja na ndizi, kachumbari na pilipili. Kwenye Fasihi, mbuzi ni kiumbe hakina utulivu, chenye hekaheka mara zote. 🐐anaweza kutumika kwenye mbio, na watu wakavuna mpunga kwa kuwabetia yupi
6
53
61
@gauremdee
Gaure
3 years
🤔
Tweet media one
5
14
60
@gauremdee
Gaure
6 years
#Tanzania : Opposition Leader Freeman Mbowe Falls Ill In Detention - East Africa Daily -
0
21
53
@gauremdee
Gaure
3 years
Haya ufafanuzi juu ya Johnson and Johnson. #uviko19 #COVID19 #vaccine #Tanzania
4
21
57
@gauremdee
Gaure
2 years
1
0
52
@gauremdee
Gaure
3 years
🤔
Tweet media one
0
11
56
@gauremdee
Gaure
9 years
Done done it @VanessaMdee won best African female artist at AFRIMMA. #Tanzania 🎼🎼🎶🎶💯 http://t.co/icT81Smj2l
Tweet media one
8
38
55
@gauremdee
Gaure
2 years
Fabric Map of Africa.
Tweet media one
1
10
52
@gauremdee
Gaure
5 years
Show your support, get a T-shirt! 🤓 #IStandWithCAG #ChangeTanzania
Tweet media one
2
17
53
@gauremdee
Gaure
6 years
Wanted to see if someone was giving me a fake number. So I read it back to them incorrectly. They didn't flinch, I knew the truth. (Mama didn't raise no fool.)😁
4
16
53
@gauremdee
Gaure
2 years
Ah kudadeki nimecheka @IdrisSultan
3
2
51
@gauremdee
Gaure
1 year
Sir Ketumile Masire 2nd president of Botswana. *Former Newspaper Journalist *His official vehicle was a Corolla & every head of state visiting used it *He led Botswana when it broke a record of fastest growing economy for 10 years *He died in a hospital in Botswana *He used
Tweet media one
4
14
49
@gauremdee
Gaure
3 years
Have a great week everyone.
Tweet media one
1
10
49
@gauremdee
Gaure
5 years
Nadhani kuna umuhimu wa nchi kuelewa hili somo kutoka kwa Obama.
1
5
49
@gauremdee
Gaure
4 years
Fair warning for those mentioning an earthquake in #Tanzania 🇹🇿
Tweet media one
9
50
47
@gauremdee
Gaure
6 years
TRA imechukua fedha zote zilizokuwapo katika akaunti ya kampuni ya StarTimes kufidia deni la kodi.
6
12
43
@gauremdee
Gaure
6 years
What if you devoted this year to simply loving yourself more?
2
7
45
@gauremdee
Gaure
7 years
Takukuru inawashikilia wajumbe 4 wa Mkutano Mkuu wa CCM Mwanza, kutoka wilayani Ukerewe, wakidaiwa kukutwa wakigawana fedha za rushwa.
8
13
47
@gauremdee
Gaure
5 years
Thanks @michaelbaruti and #menmenmenthepodcast for a great introductory dialogue. Picha zetu tumdai @UrbanGuru_tz @PatNanyaro @Tanganyikan
Tweet media one
3
8
47
@gauremdee
Gaure
6 years
"Your worth as a human being is not measured in likes. It isn't measured in comments or followers. It is measured in your ability to love, to lead and share. The people who care most about you care about u as the person u are, not the person on Social Media."
1
19
45
@gauremdee
Gaure
9 years
Pls Vote for @VanessaMdee SMS 'KORA 22' to +248984000 #BestFemaleEast @kora_awards #KORA2016
Tweet media one
3
12
40
@gauremdee
Gaure
4 years
If you my friend and own a business, I will not ask for a discount on your product or service. In fact even if you suggest it. That's all.
0
2
43
@gauremdee
Gaure
3 years
🤔 Have a great week.
Tweet media one
1
11
45
@gauremdee
Gaure
3 years
🤔
Tweet media one
0
6
41
@gauremdee
Gaure
1 year
@GamewithDave Dino crisis
3
0
42
@gauremdee
Gaure
6 years
"You never know how strong you are until being strong is your only choice." - Bob Marley
0
15
41
@gauremdee
Gaure
1 year
Saa zingine naangalia #juakali huku najiuliza maswali mengi sana. We @Mimi_Mvrs11 itabidi unifafanulie vizuri wapi umejifunza hizi tabia. Maana sio Kwa mzee Mdee.😂😂😂
0
5
43
@gauremdee
Gaure
2 years
Last night was lit 🔥🔥🔥 @Mimi_Mvrs11 @MdeeMusic Video launch to this gem:
Tweet media one
0
3
40
@gauremdee
Gaure
2 years
@ThePunditsFolly Umefanya kitu kizuri sana bro. Watangazwe tu aise.
2
2
42
@gauremdee
Gaure
2 years
Good times good times... With very good people. Here's one for the memory shelf... @Sajjo @BwanaAnna @MichaelBaruti
Tweet media one
2
6
43
@gauremdee
Gaure
6 years
Bora Star an extension of brand @VanessaMdee via @TheCitizenTZ
1
3
39
@gauremdee
Gaure
3 years
If you see this, retweet with a picture of you smiling. Keep it going.
Tweet media one
@depedrodeniss
Depedro Deniss Nkya
3 years
If you see this, retweet with a picture of you smiling. Keep it going.
Tweet media one
4
2
48
1
4
40
@gauremdee
Gaure
3 years
Zuckerberg right now.
Tweet media one
3
11
40
@gauremdee
Gaure
3 years
@Snowden This didn't deserve a response quite frankly.
0
0
36
@gauremdee
Gaure
1 year
The highlight of this documentary! 😂 #Arnold #Terminator
2
7
36
@gauremdee
Gaure
7 years
Lake Natron? Mlima wa Maua kule Iringa?
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
7 years
Kivutio kimoja kikuu cha utalii cha Tanzania ni Mlima Kilimanjaro pamoja na wanyamapori #WorldTourismDay Je tuna vivutio gani vingine?
Tweet media one
12
15
53
2
3
37
@gauremdee
Gaure
3 years
Mike Tyson's?
Tweet media one
3
8
39
@gauremdee
Gaure
4 months
@iamjuddah You better call Saul
1
0
38
@gauremdee
Gaure
4 years
Ultra sensitive people are special. 🤔
0
1
35
@gauremdee
Gaure
1 year
1
5
37
@gauremdee
Gaure
6 years
People give up so fast because they tend to look at how far they still have, instead of how far they have come. Taking it one day works.
0
11
33
@gauremdee
Gaure
6 years
Then Jesus said to His disciples, “If anyone desires to come after Me, let him deny himself, and take up his cross, and follow Me. Matthew 16:24
0
2
36
@gauremdee
Gaure
6 years
#IStandWithDrShule for sure. 👉 End that UDSM Sexual Harrasment.
0
15
35
@gauremdee
Gaure
6 years
"The guidance I need to become a new person is ready at hand.  Today, I will draw further away from my old lack of direction and closer to my Higher Power."
1
4
35
@gauremdee
Gaure
3 years
You can't even find the #erikssen #eriksen hashtag
1
2
32