Kuna wanajeshi wa kitanzania wamepoteza maisha kwenye mission za kupambana na waasi wa M23 nchini Congo.
Ni watu wachache wanafahamu kuhusu chimbuko la kundi hili na maslahi yake ndani ya DRC.
#AllEyesOnKongo
Ubunifu au kufanya jambo kwa namna tofauti na ilivyozoeleka, inaweza kuongeza chachu au hamu ya watu kujaribu mambo mapya.
Kutana na Martin Safari, Kinyozi mbunifu ambaye amepata umaarufu kwa style yake ya unyoaji ambayo anatumia vitendea kazi vya ujenzi 😃
Dah, kwa hio ni sawa na kusema
Watu wametizama video zake kwa jumla ya dakika bilioni 1.5 (kama kila video ni dakika 3)
ni sawa na kuangalia kwa siku 1,041,666 mfululizo
AU
Miaka 2,854
Zuchu ametisha
Hivi kinachoendelea Congo kinajulikana?
DRC inaelekea kwenye uchaguzi tarehe 20 Desemba na kuna mambo mbalimbali ambayo yatakuwa yanazingatiwa na wananchi sana sana katika masuala ya Usalama na amani....
Mgogoro na vita inayoendelea Mashariki ya DRC ni ya muda mrefu, tena eneo
Kwanini Mfalme ana wake wengi?
🤔🤼♀️🤼♀️👩🤴🇸🇿
Tamaduni za Kiafrika ndio urithi tumeishi nao na kututambulisha, na kututofautisha na jamii nyingine, ikiwemo lugha zetu, imani zetu, pamoja na mila zetu.
Tamaduni nyingi za Kiafrika zinaonekana kupitwa na wakati haswa nyakati hizi
Mandonga mtu kazi ni jina ambalo lina kumbukumbu nyingi kwa Wapenzi wa mchezo wa Ndondi hata wale ambao walikua hawaupi mchezo huo macho na masikio.
Alipata umaarufu kwa tambo zako za kabla na baada ya pambano.
Mchango wa Mandonga kwenye hamasa ya mchezo wa ndondi ni mkubwa kwa
"We produce what we don't consume and consume what we don't produce."
-
@jmkikwete
quoted his late lecturer, Justinian Rweyemamu, on the issue of appreciating homegrown products.
#YouLead21
#youleadsummit2021
#youlead2021
Here are a few facts about this man as well 👇
Katiba imempa mamlaka Rais kuteua na kutengua, kama ilivyo kwa Kocha wa mpira, Rais anaweza kupanga na kupangua kikosi chake, kulingana na mahitaji, ufanisi, maono au sababu zao binafsi.
Kuteua na kutengua inapozidi, inaweza athiri utendaji wa wateule?
Wateule kutokua na
Kuelewa vyeo vya kijeshi inaweza kuwa ngumu, hasa linapokuja suala la kujua vyeo vya kijeshi kwa mpangilio.
Hapa kuna maelezo mafupi ya vyeo kulingana na mfumo wa jeshi la Uingereza ambao nchi nyingi ikiwemo nchi yetu unatumia. Umewahi kutamani kutumikia jeshi? Cheo gani
I put a sticker with a fake PIN number on my atm card so that if I lose it and someone tries to use it 3 times, the machine will eat the card. Mama didn't raise no fool. 😅
Sukari ni Uchumi, sukari ni bidhaa yenye soko la uhakika kila siku.
Licha Ya kutumika kwa kiasi kikubwa majumbani,, sukari ni mhimili ya bidhaa nyingi za viwandani zenye soko kubwa.
Kwanini bidhaa hii yenye soko la Uhakika, inaadimika sokoni kwa kipindi flani karibu kila mwaka,
Mabadiliko ya Tabianchi ni kama jambo la kigeni kwa nchi za Kiafrika.
Ila mpaka pale wanapokutana na misimu ya mvua isiyotabirika, kuongezeka kwa joto na
mafuriko na maporomoko kama ya Katesh.
Tunachangia kiasi kidogo kwenye mabadiliko haya lakini haina maana tusiweke nguvu
⚽️🇹🇿Pengine Mashabiki wanajiuliza maswali, kuhusu Klabu yao pendwa ya Simba, Je ndani shwari au sio Shwari?
Wakiwa na misimu mitatu mfululizo bila mataji, na kukosekana kwa utulivu kwenye benchi ya Ufundi, kuna dalili kwamba Bundi katua rasmi Msimbazi.
Mashabiki wamekua
Wakati jina la
#TotalEnergies
linapotajwa, wengi huona kama mfadhili mkuu wa Mashindano ya AFCON, lakini kuna pande nyingine ya sarafu ambayo mara nyingi haizingatiwi. Ingawa kampuni hii inajitahidi kukuza michezo barani Afrika, ni muhimu kutambua kuwa inaunganishwa moja kwa moja
Uchumi wa Bandari ndio moja ya sekta zenye mchango mkubwa kwenye mapato, ajira na kukuza sekta nyingine. Pia, ina manufaa kiuchumi katika kanda.
Uwekezaji wa sekta binafsi kwenye bandari una tija au unaongeza nafsi ya kupoteza mapato, kuongeza rushwa na ufisadi?
Siasa za Tanzania na kupanda na kushuka chati kwa wanasiasa, baada ya kimya cha takribani miaka 4, aliyekua RC Dar karudi kwenye chati, yani 'stelingi amerudi' kama Katibu Mkuu mwenezi CCM, maoni na mitazamo ni mingi, Je hii ni karata Dume kwa Chama tawala?
Hatimaye vijana wetu wamerudi kutoka Marekani na watapokewa kwa shangwe na vigelegele ila wametoka mbali.
Fadhili Ramadhani na Ibrahim Jobu, wameshinda taji la America's Got Talent ligi ya Fantasy na kujishindia dola za Kimarekani 250,000.
Safari yao ni kama hivi
Mmoja wa Watu mashuhuri Tanzania, Tajiri Mo Dewji.
Moja ya vitu vimempa umaarufu ni Utajiri wake na Mahusiano yake na timu kongwe ya Simba Sports Club.
Pia ni Public figure ambayo inagusa maisha ya wengi.
Katikati ya changamoto na mafanikio ukisikia jina la Mo Dewji nini
Pretty glad I met everyone in my life. The good and the bad. The good make me thankful, the bad make me learn my lessons. That does not mean that I do not fall under either or neither.
#motivation
Ukisikia neno mbuzi🐐, wengi moja kwa moja wanajua ni kitoweo, nyama choma laini, inakuja na ndizi, kachumbari na pilipili.
Kwenye Fasihi, mbuzi ni kiumbe hakina utulivu, chenye hekaheka mara zote.
🐐anaweza kutumika kwenye mbio, na watu wakavuna mpunga kwa kuwabetia yupi
Wanted to see if someone was giving me a fake number. So I read it back to them incorrectly. They didn't flinch, I knew the truth. (Mama didn't raise no fool.)😁
Sir Ketumile Masire 2nd president of Botswana.
*Former Newspaper Journalist
*His official vehicle was a Corolla & every head of state visiting used it
*He led Botswana when it broke a record of fastest growing economy for 10 years
*He died in a hospital in Botswana
*He used
"Your worth as a human being is not measured in likes. It isn't measured in comments or followers. It is measured in your ability to love, to lead and share. The people who care most about you care about u as the person u are, not the person on Social Media."
Saa zingine naangalia
#juakali
huku najiuliza maswali mengi sana.
We
@Mimi_Mvrs11
itabidi unifafanulie vizuri wapi umejifunza hizi tabia. Maana sio Kwa mzee Mdee.😂😂😂
"The guidance I need to become a new person is ready at hand. Today, I will draw further away from my old lack of direction and closer to my Higher Power."