Neema🥑 Profile Banner
Neema🥑 Profile
Neema🥑

@fabolous_ney

Followers
2,243
Following
2,358
Media
759
Statuses
19,680

wafilipi 4:4 ALWAYS BE RESPECTFUL.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@fabolous_ney
Neema🥑
22 days
🙏🥂
@fineassnayyyy
nay🦋.
23 days
5 years from now, I will be the woman of my dreams. Financially, secured, glowing, succeeding, and happy.
130
26K
72K
1
1
3
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Tweet media one
20
48
1K
@fabolous_ney
Neema🥑
9 months
Thank you for the life we shared baby ccy. 30/6/2000 - 5/12/2024 Debora💔🕊️
139
41
366
@fabolous_ney
Neema🥑
2 years
0
0
318
@fabolous_ney
Neema🥑
4 months
Hivi kuna uwezekano wa kumsaidia kijana wa kiume aliyeathirika na kuingiliwa kinyume kurudi kawaida????😭🙌
39
19
224
@fabolous_ney
Neema🥑
9 months
I am officially one year older ❤️🥂
Tweet media one
69
43
198
@fabolous_ney
Neema🥑
4 months
I grew up watching these🤣❤️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
84
23
165
@fabolous_ney
Neema🥑
2 years
Ikumbuke siku ya Bwana na kuitakasa. Gm fam😊
12
21
149
@fabolous_ney
Neema🥑
2 years
Furahini katika Bwana siku zote tena nasema furahini 🤗 Good morning fam
16
37
136
@fabolous_ney
Neema🥑
2 years
BILA YESU MIMI NI KITU BURE🤗
6
16
131
@fabolous_ney
Neema🥑
7 months
Sijaandikiwa KUSHINDWA nimeandikiwa KUSHINDA, Mungu yupo upande wangu🙏
10
33
139
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
😊🥰
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Leo nitoe kitu cha wali maua samaki 🤭
1
1
8
31
9
131
@fabolous_ney
Neema🥑
2 years
Good morning Have an awesome day☺️
16
15
119
@fabolous_ney
Neema🥑
2 years
Kwenye ile list ya adui zako usisahau ile TABIA YAKO😌
18
22
104
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Maparodi ifike hatua muache kutuzalilisha jinsia ya kike💔🙌🏾 inatosha Sasa......
23
16
120
@fabolous_ney
Neema🥑
2 years
Wamtumainio Bwana ni Kama mlima sayuni 😊 Choose day🥂 27/9
15
19
114
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Tusingefika hapa tulipo, Kuna nguvu katika kusamehe, kukubali aibu, kukaa kimya. Kuachilia lakini zaidi kusimama na Mungu. Happy Sabbath fam♥️
18
45
114
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Kilichopatikana kwa maombi hutunzwa kwa maombi🙏
13
31
117
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Thursday😊 Jobless mapema sana kwenye intaviyuuuu☹️
Tweet media one
31
11
116
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Yupo MTU anayekaa kwenye kimvuli kwasababu Kuna mtu alipanda mti miaka mingi iliyopita. ✍️
10
22
104
@fabolous_ney
Neema🥑
4 months
Kuiba mafuta ya kula na mchele nyumbani kumpelekea yule kenge🤣💔
Tweet media one
@NtateWilliams
Tsonga King🖤☠️
6 months
40. Craziest thing you’ve ever done for love?
45
24
131
57
9
139
@fabolous_ney
Neema🥑
9 months
Mkipata kanafasi msisahau wazazi.... Huyu kuwasiliana na wazazi kwa nadra amepigiwa simu kupewa taarifa ya kifo cha mama yake hashiki simu... Wiki Sasa imepita na mama ameshazikwa ndio anapiga simu eti alikua busy💔
14
20
94
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Mpango wa kuuliwa kwa watoto kipindi Cha Yesu Ni sababu Shetani alijua aliyezaliwa Ni Nani,vivyo hivyo kipindi Cha Musa. Sio wote Ila kuna watu tuliyopitia tunayopitia na tutakayopitia Ni sababu shetani ANAJUA sisi TUTAKUA Nani, haina maana haitatokea Ila haijawahi kuwa rahisi.
13
24
92
@fabolous_ney
Neema🥑
4 months
Kabla ya mahusiano na watu jenga mahusiano mazuri na Mungu kwanza🙏
5
22
94
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Kuna watu Wana Neema ya kushauri vizuri, Ni kweli, na tuwasikilize. Na ukiwa nao maishani Ni vizuri, Ila ukweli Ni huu salama ya watu🌏 ni YESU
6
21
88
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Sina hakika Kama utaanguka Tena, Ila ikitokea Tena jua kua Ni dhahiri utasimama Tena, Kuna wakati utafika Uvumilivu ndio kitu pekee Cha thamani ulichobakiwa nacho, ili kupiga Hatua Kubwa mbele ya maisha
19
47
87
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana, wala usizisahau fadhili zake zote Zab 103:2
13
26
78
@fabolous_ney
Neema🥑
10 months
Mshahara wa dhambi ni mauti
15
25
77
@fabolous_ney
Neema🥑
6 months
💚
Tweet media one
14
14
78
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Kadri unavyoongeza watu wengi katika maisha yako (circle) Unatakiwa kuwa na utulivu na kuwa Makini zaidi.
7
19
79
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
DHAMBI ISIKUFANYE UACHE KUMTUMIKIA MUNGU. Utakatifu haupatikani nje ya uwepo wa Mungu, hata Kama ulimkosea Mungu usitoke nje ya uwepo wake. Kimsingi KANISANI si mahali pa watakatifu tu bali ni mahali tunapoenda kutengenezwa kuwa vile KRISTO anapenda tuwe. 👋🙏
14
30
77
@fabolous_ney
Neema🥑
2 years
Happy Sabbath Good morning Fam 🤍
16
14
66
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Sitaacha kukusifu ewe Mungu wangu🙏
9
21
74
@fabolous_ney
Neema🥑
10 months
Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye, Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.
12
28
74
@fabolous_ney
Neema🥑
4 months
Nimelia sanaaa🤣😭😭💔
Tweet media one
15
12
76
@fabolous_ney
Neema🥑
9 months
Unyenyekevu Ni namna unavyo act kwa watu walio chini yako sio walio juu yako.
6
20
71
@fabolous_ney
Neema🥑
2 years
Katika dunia ya leo yenye mambo mengi kuliko zamani, huna budi kumshukuru anayeona makosa yako na kukwambia umekosea😔
7
13
66
@fabolous_ney
Neema🥑
6 months
Pika na Ney..
Tweet media one
10
7
69
@fabolous_ney
Neema🥑
11 months
Nina siri naye Yesu Yanifanya niwe jasiri Kwa amani nayo dhiki Yanifanya niwe jasiri Yani burudisha Nikiruka ruka Hosana Amen🙏🎶
5
12
68
@fabolous_ney
Neema🥑
6 months
Msamaha sio hisia ni maamuzi. Ni maamuzi ya kutohesabu makosa uliokosewa ila haina maana inaondoa uhalisia na mtokeo ya hayo makosa kwako. Ili uweze kuamua kumsamehe mtu ni lazima ufanye maamuzi ya kumpenda aliekukosea hata kama hajaomba msamaha. NGUVU YA MSAMAHA🥂
5
22
66
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
🙏🥂
Tweet media one
10
9
65
@fabolous_ney
Neema🥑
9 months
Mitandao ya kijamii isitutoe akili💔 Nimekukosea nifate kwa hekima sio kutukaniana wazazi 🙏 Nipumzishie baba yangu mwaya alishafariki💔🙌🏾
8
9
62
@fabolous_ney
Neema🥑
6 months
Being a lady is also tough you are there with your nice name mara paaaaap unaolewa unaanza itwa Mrs KAPUTULA 🤣😭😩
22
14
62
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
♥️
Tweet media one
17
15
58
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Ruhusu Roho mtakatifu akufundishe,akuongoze, akuelekeze, akuonye ikibidi. Usimpe nafasi moyoni TU, mpe moyo wote. Kama Mithali 23:26 inavyosema *mwanangu nipe Moyo wako* macho yako yapendezwe na njia zangu. hivyo pamoja na wote ulionao Kumbuka Holy spirit is a best mentor📌
10
24
58
@fabolous_ney
Neema🥑
2 years
Moja ya jambo rahisi kukutana nalo katika mchakato wa KUKUBALIWA ni KUKATALIWA🤗
3
11
52
@fabolous_ney
Neema🥑
10 months
Thanks dear, nimekukumbuka nakupenda pia ❤️🙏 live long to acquire your heart desires ccy🥂
Tweet media one
8
6
56
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Jifunze kunenea na kuwatendea mema watu haijalishi WAMEKUUMIZA KIASI GANI🙏
8
15
55
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Achana na hawa ambao hawakupongezi, kwenye haohao wanaokupongeza Kuna ambao hawafurahii icho wanachokupongezea .
Tweet media one
11
18
53
@fabolous_ney
Neema🥑
11 months
Yesu Yesu ni rafiki Nimwona dhabiti Yesu Yesu rafiki Ahadi zake kweli🙌🏾🎶
6
9
52
@fabolous_ney
Neema🥑
4 months
Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu nimhofu nani? #monday 💙
Tweet media one
13
5
49
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Mara zote shape ya chombo ambacho bado kinafinyangwa haiwi nzuri, Ila mfinyanzi pekee ambaye anajua kazi ya hiko chombo hukithamini hata katika ule mchakato wa kufinyangwa, kinapomaliza kufinyangwa hata watalii huja kutoka nje kukitazama. Lakini Mara zote mchakato unauma.
6
9
48
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Goti nitapiga kwakweli.
Tweet media one
5
5
42
@fabolous_ney
Neema🥑
8 months
Napenda kuimba fadhili zako zinazodumu milele yote🙏
4
10
46
@fabolous_ney
Neema🥑
4 months
Friday🙏❤️
Tweet media one
Tweet media two
5
14
45
@fabolous_ney
Neema🥑
9 months
Tweet media one
@Litelight9
family nurse🌝
9 months
Wenzangu mna unbox Nini huko 😂😂🙄
11
7
39
16
6
44
@fabolous_ney
Neema🥑
5 months
🤣 TL unamtania mtu wa mtu, mtu wake anakuja kulike🤣🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
8
7
43
@fabolous_ney
Neema🥑
2 years
Ikiwa umepotea kua makini usije mwomba njia aliyepotea njia. Good Morning Fam
12
13
40
@fabolous_ney
Neema🥑
8 months
3.1.2024❤️ Ashukuriwe Mungu 🙏
Tweet media one
@ouiinkosi
Mark 🇹🇿
8 months
mambo yasiwe mengi, kila mtu aweke picha yake bora akivaa formal.
19
7
122
11
4
42
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Kingine kinachoendelea kukupa maumivu Ni kudhani unastahili kupata kila kitu kutoka kwa watu. Na Cha zaidi Ni kudhani kuwa Kuna watu watakupenda kwa vile ulivyowafanyia.
4
14
42
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Kuna tofauti Kati ya kumtumikia Mungu na kuwa na Mungu.. minister wengi wako busy kumtumikia Mungu lakini hawako busy kuwa na Mungu bila kujua Mungu anapenda Sana ushirika na sisi kuliko kufanya kazi zake.
3
9
40
@fabolous_ney
Neema🥑
4 months
YESU ni wangu wa siku zote❤️🙏
4
14
42
@fabolous_ney
Neema🥑
2 years
Watu wanaficha Billion 100 bank ww waficha last seen ya WhatsApp 😅😅😅😅😅
11
11
38
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Ukifanikiwa utapata marafiki wa uongo na maadui wa kweli HATA HIVYO FANIKIWA, mazuri uyafanyayo Leo yanaweza sahaulika HATA HIVYO TENDA WEMA, Heshima uliyoijenga kwa muda mrefu inaweza bomolewa kwa siku moja, HATA HIVYO IJENGE HESHIMA.
5
15
41
@fabolous_ney
Neema🥑
4 months
Tulihitaji sana faraja yao ila walikimbizwa na shida zetu🥲
5
8
36
@fabolous_ney
Neema🥑
10 months
Kuna baadhi ya watu kwa kadri tunavyoendelea kuishi tunatambua kua hatuwezi kuishi nje ya utumishi (utumishi wowote) Kuna wakati unajua kabisa Kuna kitu kinakusubiri,ukishajua hilo ongea na wapende watu wote Ila watu wa kuambatana nao CHAGUA.
6
15
38
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Vijana Wana nguvu gani katika ukuaji wa kanisa?
9
7
38
@fabolous_ney
Neema🥑
6 months
Live long ccy🎂 Nakupenda dada yangu💕 @KibongeTriceB
Tweet media one
5
3
38
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Tweet media one
9
5
37
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Jesus has been good to me ♥️🥂 1/8
Tweet media one
7
7
34
@fabolous_ney
Neema🥑
6 months
Love is the most beautiful thing created by GOD❤️
7
10
35
@fabolous_ney
Neema🥑
10 months
Bwana Mungu, nashangaa kabisa Nikitazama kama vilivyo Nyota, ngurumo, vitu vingi vyote viumbwavyo kwa uwezo wako. Roho yangu na ikuimbie Jinsi Wewe ulivyo Mkuu, Roho yangu na ikuimbie Jinsi Wewe ulivyo Mkuu.
1
10
36
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Zabur 71:……..Nimekukimbilia wewe Bwana nisiabike milele🙏
5
12
34
@fabolous_ney
Neema🥑
10 months
KUJIUNGAMANISHA NA MSAADA WA MUNGU. Mwanzo 47:8-9 2 wafalme 6:26-29 Zaburi 127:1 zaburi 146:5 Yohana 15:5
5
21
37
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Mungu anapenda atusikie na tumsikie.1 ya njia ya kumsikia Mungu Ni neno lake, katika neno lake Ni kwa kupitia watumishi wake , Kila siku Mungu anacho kitu Cha kuzungumza na ww .Kuwa na utulivu ibadani utamsikia.. Heshimu unachosikia kutoka kwa mtumish wa Mungu Ibada njema🙏
7
7
36
@fabolous_ney
Neema🥑
10 months
Bwana Mungu, nashangaa kabisa Nikitazama kama vilivyo Nyota, ngurumo, vitu vingi vyote viumbwavyo kwa uwezo wako. Roho yangu na ikuimbie Jinsi Wewe ulivyo Mkuu, Roho yangu na ikuimbie Jinsi Wewe ulivyo Mkuu.
4
20
36
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Haijalishi umebakiza miaka mingapi duniani Ila hata Kama utaishi mwaka mmoja baada ya kujipata baada ya kujitafuta kwa muda mrefu,Ni heri huo mwaka mmoja wa wewe halisi, kuliko ungemalizia maisha kwa kutokuwahi kuwa wewe halisi ( wewe halisi 👉Yule wewe ambaye Mungu alimjua.)
4
8
33
@fabolous_ney
Neema🥑
1 year
Happy Simba day ♥️🦁
Tweet media one
Tweet media two
3
6
34
@fabolous_ney
Neema🥑
9 months
Twaweza jiona watakatifu Ila mbele zake ni wadhaifu.
3
7
31