Ruhusu Roho mtakatifu akufundishe,akuongoze, akuelekeze, akuonye ikibidi.
Usimpe nafasi moyoni TU, mpe moyo wote.
Kama Mithali 23:26 inavyosema *mwanangu nipe Moyo wako* macho yako yapendezwe na njia zangu. hivyo pamoja na wote ulionao Kumbuka
Holy spirit is a best mentor📌