Huku Ushago ni chai after chai after chai๐Ukiamka tu hivi kuna chai ya kungoja chai iive....Then kuna chai ya kukunywa after chai which is served with nduma or ngwashe.Ata ukiumwa na kichwa unapewa chai.Mkiboeka tu ivi kidogo mnakunywa chai๐
Mosquito net yangu iko karibu kuisha juu ya kushinda nimekata kipande ya kutumia kama kagunia ka kuoga na ya kuosha vyombo,mbu zinakujanga sherehe usiku zikicheka.
"Tutaweka billioni hamsini kwa hawa Bodaboda na Mama Mboga hawa., tutawatoa kwa CRB na fuliza..Si namna hiyo?Ama namna gani... Hiyo pesa itakuwa bila interest si namna hiyo wangwana? Acha nione kwa mikono..mikono..mikono mikono๐๐. salaaale.. kumbe nyinyi ni watu wangwana.."