Damas Bayona Profile Banner
Damas Bayona Profile
Damas Bayona

@damas_bayona

Followers
1,801
Following
399
Media
549
Statuses
8,009
Explore trending content on Musk Viewer
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Mwanaume ameoa mke wake. Wakagombana. Mke wake akamwambia. Na kwa taarifa yako hata hawa watoto sio wa kwako. Wana watoto sita. Mwanaume akaona hizi ni hasira tu. Ila baada ya muda fulani hili jambo likamuingia moyoni. Likamsumbua sanaaa. Akaona inawezekana ni kweli, maana watu👇
Tweet media one
84
82
1K
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Mwanamke mmoja alimcheat mume wake. Mume akamkamata, tena kitandani na ni kwenye kitanda chake mwenyewe. Alichokifanya huyo mwanaume alimwambia jamaa atoke halafu akamwambia huyo mwanamke nenda kaoge uvae twende Shopping leo. Akampeleka shopping baada ya hapo zikawa ni outing 👇
Tweet media one
70
54
1K
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Kule Marekani kuna mtandao unaitwa Onlyfans dot com. Huko watu wanatengeneza mamilioni ya pesa kwa kuuza uchi wao. Basi mwanamke mmoja alipendana na mwanaume mmoja hivii. Huyo mwanaume hakuwa na pesa kwa sababu ya kipato chake kuwa cha chini, hivyo baada ya kufika muda 👇
Tweet media one
27
46
632
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Kuuliza sio ujinga jamani. Kwani parody ni nini?
Tweet media one
37
35
570
@damas_bayona
Damas Bayona
2 years
Ulikuwa na miaka mingapi ulipojua magari huwa yana jinsia?!😂😂
Tweet media one
11
31
497
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Watu wengi huwa wanafahamu upande mmoja wa hii story kuwa bushman alilipwa dollar 300 na baadaye dollar 200 kama malipo kwa kuigiza movie hiyo as discrimination kwake lakini undani wake uko hivii;
Tweet media one
28
45
507
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Miaka 29 halafu kuna watu wananiita dogo
Tweet media one
32
35
357
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
WATU WANAZALIWA NA KUJIKUTA NDANI YA ANDAKI LILILOJENGWA KWA UKUBWA NA UPANA KWENDA CHINI Ni kubwa na pana sanaaa ambapo linachukua maelfu ya watu. Limejengwa kwa floors nyingi na limeshuka chini kwa meter nyingi sanaa. 👇
Tweet media one
34
59
313
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Naskia kuna watu walibadilisha huo mpira ukawa mzigo wa kadi. Nani ana hiyo picha?
Tweet media one
6
22
270
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Hii movie watu wameitafuta sanaaa Na hapa chini nimekuwekea link ya hiyo channel yetu kwa ajili ya kuipata movie hii 👇
Tweet media one
35
66
261
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Jamaa ana bima ya biashara, anamiliki duka kubwa. Anaamua kwenda kukodi watu waje kuvunja duka na kuweka vitu sehemu fulani. Wanafanya hivo na kesho yake anatangaza kuwa kaibiwa. Bima wanapaswa kumpa pesa ya maafa. Bima wafanye nini kujua jamaa ndiye mhusika anawatapeli?
Tweet media one
12
27
175
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Ukweli usemwe hii app ya Thread ni tamu kuliko Twitter
Tweet media one
17
21
162
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
amekaa kitandani akimuangalia tu hafanyi chochote. Akimuuliza mbona hulali umenitazama tu anamjibu “I’m just admiring your beauty” Sasa mwanaume amepanga kumpeleka huyo mwanamke vacation mwezi wa nane. Unamshauri nini huyo mwanamke?
8
5
159
@damas_bayona
Damas Bayona
2 years
Miguu challenge. Piga picha miguu yako
Tweet media one
18
21
147
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Mwamyeto, who do you think I am? Jicho langu linaona kuliko X-rays
Tweet media one
9
22
150
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
I live to serve my dreams
Tweet media one
4
22
141
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
za kila siku. Mwanaume akazidisha mapenzi zaidi ya mara kumi ya mwanzo na katika siku hizo zote hakuwahi hata mara moja kumkumbusha huyo mwanamke juu ya fumanizi lake wala hakuwahi kulizungumzia kabisaa. Lakini cha ajabu ni kuwa mwanamke kila akishtuka usiku anakuta mume wake 👇
1
3
147
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Hakuiamini hiyo hospitali akaamua hadi kwenda nje ya nchi hospitali tatu tofauti lakini kote majibu yakawa ni yale yale. Watoto wote sio wa kwake. Can you imagine?
6
2
138
@damas_bayona
Damas Bayona
2 years
Huku etihad wamebahatisha tu, vita iko munich, subirini nextweek
Tweet media one
8
23
134
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Huongea ukweli wakiwa wamekasirika. Yaani ukitaka kujua mtu anawaza ubaya gani juu yako, wewe mkasirishe, ndo utajua kumbe amewahi hadi kujaribu kukuwekea sumu kwenye chakula na hukujua. Basi mwanaume akaona kuliko aendelee kuteseka akilini bora aende tu hospitali kufuatilia 👇
1
1
138
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Kwanini Yanga huwa wanaogopa sana wakiskia mm ndio mwamuzi kwenye mechi ya Simba na Yanga?
Tweet media one
22
15
135
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Uliyekuwa unaitafuta INTO THE BADLANDS kuanzia season ya kwanza mpaka ya mwisho, nina habari njema juu yako, Sogea hapa chini 👇
Tweet media one
15
18
134
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Hako ka kulia hako😋
Tweet media one
6
24
125
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Aliwachukua watoto wote sita kupimwa DNA zao. Wakapimwa katika hiyo hospitali kuanzia mtoto wa kwanza mpaka wa mwisho. Ni heri basi angekuta hata watoto wanne au watatu au wawili au hata mmoja ni wa kwake. Watoto wote hawakuwa wa kwake. Hakuwepo hata mmoja 👇
2
1
120
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Top 8 movies mpya ambazo hupaswi kuacha kuziangalia mwezi huu Namba 4 itakushangaza 👇
Tweet media one
9
24
113
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Jamaa kaombwa pesa 40,000/= na girlfriend wake akasema hana. Binti akamuelewa. Baadaye binti akamuomba amtumie 4,000/= tu ya bando. Jamaa akatuma. Kumbe alikosea digits wakati anatuma, badala ya kuandika 4000 akaandika 40000 👇
Tweet media one
4
15
112
@damas_bayona
Damas Bayona
2 years
Nilipost mtu aka comment hivii, alikuwa anamaanisha nini?
Tweet media one
4
13
106
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Refa hamuadhibu mtu, sheria ndio inamuadhibu mtu. Refa ni muamuzi tu. Msitutukane marefa
Tweet media one
12
21
101
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Kwa hiyo mkaamua kunifananisha na Chura?!
Tweet media one
8
18
98
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Refa na Jaji wote ni waamuzi lakini sijawahi kusikia jaji akilaumiwa au kupigiwa kelele kwa maamuzi yake
Tweet media one
10
20
93
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
VIRGIN FOREST Kazi moja fulani hivii matata kutoka kwa wafilipino Tuko nayo Link kwa comments 👇
Tweet media one
17
24
96
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Yess 💪💪
Tweet media one
7
15
86
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Ukitaka kujua ugumu wa kuwa REFA shika filimbi siku moja
Tweet media one
6
14
87
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Kuna mtu alikuwa akimlalamikia Mungu sana ni kwanini hamjibu maombi yake. Alimwambia Mungu kwanini sijawahi kukuona ukinifanyia muujiza kwenye maisha yangu kama watu wengine? Basi siku moja aliibiwa kila kitu kwenye nyumba yake, hela zote na vitu vyote viliibiwa. Akakosa mpaka 👇
Tweet media one
6
15
74
@damas_bayona
Damas Bayona
2 years
Atakuwa kabla gani huyu hapa Tanzania?!
Tweet media one
11
11
82
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Jamaa ni kweli alipewa hizo dollar, 300 na 200 lakini kwa sababu alikuwa hajui thamani wala matumizi ya pesa wala hakuwa na mahali pa kuzitumia kwani watu wa kule (bushmen) waliishi kijamaa, hizo hela zilipeperuka na hawakujua zimeenda wapi
1
1
89
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Watu wengi huchanganya kati ya Peter Hall na Jean-Claude Van Damme ni nani aliigiza kama predator kwenye movie hiyo ya Predator. Wengine husema alianza Van Damme halafu sehemu nyingine akamalizia Peter hall na wengine Van Damme tu na wengine Peter Hall tu Sasa, Ukweli ni kuwa;
Tweet media one
12
41
85
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Aliniambia sitafika mbali. Sasa sijui hapa ni wapi?!
Tweet media one
13
26
83
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Kama ulikuwa unaitafuta sana Kirikou kwa ajili ya kumwonyesha mtoto wako Tuko nayo hapa kwenye channel yetu Link kwenye comment 👇
Tweet media one
5
26
81
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Mwanaume katoka na mke wake to a remote place kwa ajili ya kufurahia maisha Katika harakati za kupata burudani Mwanaume akawa amemfunga mwanamke kama inavyoonekana kwenye cover ya movie Lakini kwa bahati mbaya kama utakavyoona kwenye movie Mwanaume anakufa ghafla na kumuacha 👇
Tweet media one
7
28
82
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Ndipo walipoona wamnunulie ng'ombe 12 kama sehemu ya malipo maana hiyo ni mali anayoweza kuitunza na ataielewa na kuiheshimu, hata hivyo na hao ng'ombe baadhi yao waliliwa na wanyama wa huko bush na ndipo yeye na watu wake walipoamua kuwachinja na kuwala ng'ombe wengine wote
1
2
86
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Unauza mgahawa wako maeneo ya Tandale anakuja mtu kununua chakula anakuambia kuwa anaelekea kibaha baada ya hapo. Anakuelezea kabisa sehemu anayoelekea, unakumbuka kibaha sehemu hiyo yupo ndugu yako fulani hiviii. Unamuambia ooh ile sehemu kuna ndugu yangu fulani bin fulani 👇
5
22
81
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Unaweza kuwa umewahi kuona maajabu lakini hili litakushangaza zaidi Mnamo mwaka 2005, kijana mmoja kwa jina la Kevin Nadal, akiwa na umri wa miaka 27, alikuwa ni mtumbuizaji, Aliamua kujioa mwenyewe mbele ya wageni 125 aliowaarika kama njia ya kusherehekea maisha ya usingle👇
Tweet media one
7
24
77
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Football requires discipline
Tweet media one
5
20
75
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
kugundua kuwa mwanamke huyo alienda kujiuza katika mtandao wa Onlyfans dot com siku chache kabla ya ndoa yao. Mwanamke anadai kuonewa kwa sababu alifanya vile ili apate pesa ya gharama za harusi yao kwani mume wake hakuwa na pesa kabisaa Kama Jaji, utahukumu vipi hapo?
4
2
73
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
ambao mwanamke alitaka aolewe. Mwanaume hakuwa tayari kwa sababu aliona hataweza kugharamia harusi yao. Lakini mwanamke huyo akamwambia “don’t worry, I’ll take care of that” Mwezi mmoja baada ya ndoa yao, mwanamke kapeleka kesi mahakamani kuwa mwanaume amemuacha baada ya 👇
1
1
70
@damas_bayona
Damas Bayona
2 years
Utamla?!
Tweet media one
4
8
59
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
New must watch movie The kill Room Tukiwa na mwamba Samwel L Jackson
Tweet media one
10
33
63
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Uliyekuwa unaitafuta MISSION IMPOSSIBLE 7 Dead Reckoning Nina habari njema kwa ajili yako Ingia hapa chini kuipata hiyo movie 👇
Tweet media one
9
15
63
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Wakala wa ajira; Fursa fursa Kama unahitaji nafasi yoyote ya kazi Njoo DM
Tweet media one
4
31
61
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
AKI and PAWPAW moja kati ya comedy movies of all time kutoka Nigeria Tuko nazo pia hapa kwenye Channel yetu Ingia kupitia link hapa chini 👇
Tweet media one
7
32
60
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Movie na series yoyote unayoitaka, ukifika tu una comment na tunakusogezea within a second. Link ya channel hapa chini kwenye comments 👇
Tweet media one
10
27
63
@damas_bayona
Damas Bayona
2 years
Kila nikikumbuka, Simba vs Wydad Cassablanca
Tweet media one
6
15
57
@damas_bayona
Damas Bayona
2 years
Nilijua nimeshaona kila kitu duniani
Tweet media one
8
17
61
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Filamu hii iliyogharimu dola milioni 5 kutengenezwa, ni kichekesho kuhusu kile kilichotokea wakati rubani amedondosha chupa tupu ya Coca-Cola kwenye Jangwa la Kalahari, na kuokotwa na Bushman ambaye hajawahi kuona kitu kama hicho.👇
Tweet media one
4
24
58
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
waliobaki. Alizungumza hayo Director wa movie ya The gods must be crazy, Jamie Uys huko New York, Marekani
1
1
60
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
😂😂😂😂
Tweet media one
8
12
55
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Unakubaliana na hii kwa % ngapi?!
Tweet media one
4
19
54
@damas_bayona
Damas Bayona
2 years
Matembele kwa kiingereza yanaitwaje?!
Tweet media one
11
14
53
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Hata kwa madalali hili group ni sahihi kwao kwa sababu wapo watu wengi wanakuwa wanatafuta vyumba kila siku
Tweet media one
2
25
55
@damas_bayona
Damas Bayona
2 years
Aiseee 😂😂😂
Tweet media one
1
6
50
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Imenibidi nichekee 😂😂😂
Tweet media one
6
21
50
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Top 10 movies za kutoroka gerezani (Top 10 prison break movies)
9
31
49
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Kheeee
Tweet media one
6
30
48
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Top 5 ya series mpya ambazo hupaswi kuacha kuziangalia mwezi huu Namba 2 imetoka jana 👇
Tweet media one
7
16
45
@damas_bayona
Damas Bayona
11 months
Kama wewe ni mpenzi wa movie kweli, tuambie huyu ni nani?!
Tweet media one
13
8
48
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
💪💪
Tweet media one
1
17
48
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Kama ilivyokuwa kipindi kile cha Musa na Falao, serikali ya Spain inageuka kuwa serikali ya kidikteta na kuanza kuwamaliza watoto, wajawazito na wazee ili kupambana na ukosefu wa rasilimali Mwanamke huyu ambaye alikuwa ni mjamzito anatengana na mume wake na kukimbia kuelekea
Tweet media one
7
18
45
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Hakuna kitu inatesa kama mtu anakutisha halafu hakudhuru na akaendelea kukutisha tena. Ni kama mtu anauekuvalisha bulletproof halafu anaanza kukupiga risasi.
2
22
44
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
KAMA NIGHT AGENT ALIYEAMINIWA, Peter alikuwa na kazi moja tu: kukaa katika chumba cha chini cha Ikulu ya White House usiku kucha na kudeal na line ya simu ya dharura kwa wapelelezi wa siri. 👇
Tweet media one
6
22
44
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Kwa stories na infos mbalimbali za movies & series mbalimbali, karibu channel yetu ya Telegram 👇
Tweet media one
0
1
46
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Kuna ile unakuta watu wanabishana halafu wanataka ujoin ubishi wao halafu yule unayemheshimu sana ndo hayuko sahihi. Huwa mnafanyaje wakuu?
6
14
45
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Kama unahitaji mchongo wa kazi sogea hapa 👇
Tweet media one
4
34
47
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
THREE WAYS A sex comedy moja hivi five star movie Naipa rate 10/10 Check link ya channel hapa kwenye comment kuipata freely 👇
Tweet media one
8
20
44
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Ile movie mliyokuwa mnaisubiria kwa hamu sanaaa SAW X rasmi leo imetoka Na tumeshainyaka Na kui upload kwenye channel as you see Link kwenye comments Freeee kabissaaa 👇
Tweet media one
4
18
39
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
#BREAKING_NEWS : Michael Caine ambaye kila mmoja anamkumbuka katika movie ya Batman begins na The great escaper Ametangaza rasmi October hii kustaafu kuigiza akiwa na umri wa miaka 90 na akiwa ameonekana katika movie zaidi ya 130
Tweet media one
5
20
43
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Akiwa amefanana sanaa na yule mzee aliyekuwa Starring kwenye SISU, mzee huyu aliyeigiza kama Dani chase katika series hii huku jina lake halisi akiwa anaitwa Jeff bridges muigizaji kutoka Marekani 👇
Tweet media one
9
25
40
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
"HIJACK" BONGE MOJA LA SERIES AMBAYO HUTAJUTIA KUITAZAMA "Hijack" ni series iliyoandaliwa na George Kay na Jim Field Smith, starring akiwa Idris Elba. 👇
Tweet media one
6
19
44
@damas_bayona
Damas Bayona
2 years
Tunaomba serikali ifanye haraka utekelezaji kwa kuwakamata wahusika wote
Tweet media one
0
5
41
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
Jengo hilo lina vyumba vingi pamoja na sehemu ya mashamba. Yaani kuna hadi mashamba ya mahindi ndani. Lina mfumo wa usambazaji wa umeme ambapo wapo ma engineer wakiusimamia usiku na mchana. Jengo lina Camera kila eneo kwa ajili ya kuhakikisha usalama wa watu wa kule ndani.
Tweet media one
1
5
44
@damas_bayona
Damas Bayona
1 year
KUNG FU PANDA kwa ajili ya kumuonyesha mtoto wako au mdogo wako Tuko nayo hapa pia kwenye channel yetu Link kwenye comment
Tweet media one
4
32
40