Unaweza kuwa umewahi kuona maajabu lakini hili litakushangaza zaidi
Mnamo mwaka 2005, kijana mmoja kwa jina la Kevin Nadal, akiwa na umri wa miaka 27, alikuwa ni mtumbuizaji,
Aliamua kujioa mwenyewe mbele ya wageni 125 aliowaarika kama njia ya kusherehekea maisha ya usingle👇