Bana wee si nimeamka nikasema ngoja nisikilize verse ya bro
@jaymoefamous
.. Aisee Kuna pole yoyote mnaweza kunipa baada ya huyu mzee
@jaymoefamous
..! Mmh Kupindua melody zangu kwenye Hiki Kibao
#Wayback
😤🚀🙌🏾 Na Umeiskiliza mara ngapi? Nipo Youtube Nasoma comments now..! Nipe