Daniel Godfrey Chongolo Profile Banner
Daniel Godfrey Chongolo Profile
Daniel Godfrey Chongolo

@chongolo_daniel

Followers
20,485
Following
9
Media
145
Statuses
183

Mkuu wa Mkoa wa Songwe na Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Tanzania
Joined May 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma. #kaziiendelee
Tweet media one
Tweet media two
84
79
868
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
6 months
Nikimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba nilipopita kumsalimia ofisini kwake Iringa mjini. Mh. Serukamba ni darasa la bidii kwenye kazi.
Tweet media one
59
41
815
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
7 months
Tweet media one
36
56
788
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa. #kaziiendelee
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
59
57
600
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
7 months
Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Lowassa, natoa pole kwa Familia na Watanzania wote kwa kuondokewa na Kiongozi wetu aliyewahi kuhudumu nafasi mbalimbali katika siasa na Serikali ya JMT. Apumzike kwa amani
Tweet media one
24
43
593
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Heri ya kumbukizi ya kuzaliwa Mhe Rais @SuluhuSamia Mungu aendelee kukulinda utuongoze kwenda mbele zaidi.
Tweet media one
34
59
575
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Kazi kipimo cha utu, naendelea kujifunza.
Tweet media one
83
72
579
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
8 months
Tweet media one
23
59
565
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
50
56
554
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
8 months
Jana nilipata nafasi ya kumkabidhi Ofisi Katibu Mkuu Mpya wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, Nashukuru kwa ushirikiano niliopata kwa kipindi chote nilichohudumu katika nafasi hiyo. #kaziiendelee
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
52
74
550
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
6 months
Tweet media one
Tweet media two
49
44
540
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
27
47
523
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
24
34
512
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nikifurahia jambo na Makamu Mwenyeketi Bara Ndugu. Kinana na Rais wa Zanzibar @DrHmwinyi mara baada ya kikao cha NEC jijini Dodoma.
Tweet media one
Tweet media two
32
50
475
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Happy Independence Day 🇹🇿🇹🇿
Tweet media one
76
51
429
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
24
43
423
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
9 months
Tweet media one
13
38
388
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nilipata nafasi ya kupata chakula  na Wajumbe wa Sekretariet na Mbunge wa jimbo la Morogoro Kusini Mashariki Tale Tale pamoja na wananchi wengine katika Kibanda cha Rehema Shomali kata ya Kinole mkoani Morogoro.
Tweet media one
Tweet media two
59
38
387
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
5 months
Tweet media one
13
23
381
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
11 months
Taarifa za kuondokewa na Ndg. Zelote Stephen Mwenyekiti wetu wa CCM mkoa wa Arusha ni taarifa za kusikitisha saana. Kwani kwa hakika kifo chake kimetunyima fursa muhimu ya kuendelea kujifunza mengi na kuishi Uongozi wake. Mungu ameendelea kutufunza. Mipango yetu imekwama.
Tweet media one
79
43
360
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Leo nimepata nafasi ya kushiriki katika Mazungumzo ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan na Viongozi mbalimbali wa Vyama vya Siasa nchini. #kaziiendelee
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
14
31
306
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nikipata kifungua kinywa na Mwenyekiti wa Shina namba 16 Tawi la Maisaka Ndugu Grace Daudi Dagha na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere katika Kata ya Hirbadaw, Wilayani Hanang mkoa wa Manyara.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
38
49
282
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Namshukuru Mwenyezi Mungu tumemaliza salama Mkutano Mkuu. Shukrani za kipekee zimuendee Mwenyekiti wetu wa Chama na Rais Dkt. @SuluhuSamia Makamu Mwenyekiti Bara Cde. Kinana, Makamu Mwenyekiti Zanzibar Rais @DrHmwinyi pamoja na wajumbe wote kwa kufanikisha kazi hii.
Tweet media one
29
37
271
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Nikiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Abdulrahman Kinana katika Tamasha la Kizimkazi Zanzibar.
Tweet media one
31
36
269
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nikisalimiana na Rais wa Burundi Évariste Ndayishimiye kwenye hafla ya ufunguzi wa uwanja mpya wa michezo wa Nkurunziza Peace Park Complex uliopo mkoani Makamba, nchini Burundi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
23
35
241
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
Tweet media two
14
31
240
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
10 months
Nikiteta jambo na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa pamoja na Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kabla ya ufunguzi wa Mkutano wa Mashauriano kati ya Serikali na Wakandarasi Wazawa. #kaziiendelee
Tweet media one
22
37
243
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Pongezi kwa Chama Cha Mapinduzi kwa kutimiza miaka 46 na pongezi kwa wana CCM wote na Watanzania wote tuendelee kudumisha Amani, Upendo na Mshikamano. #kaziiendelee
Tweet media one
17
56
234
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Tweet media one
31
51
237
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
7
24
223
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
9 months
Heri ya Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya wa 2024.
Tweet media one
29
23
222
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Tweet media one
16
45
205
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
5 months
Miaka 40 bila wewe. Endelea kupumzika salama Mzalendo wa kweli. #sokoine40
Tweet media one
8
22
215
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Leo nimeanza ziara ya kikazi ya siku 9 Mkoani Morogoro yenye lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani na kuzungumza na makundi mbali mbali nikiwa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Sophia Mjema na Katibu wa NEC Oganaizesheni Ndg. Issa Haji Ussi (Gavu)
Tweet media one
Tweet media two
22
31
213
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Leo nimeshiriki Ibada ya Misa Takatifu ya Kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Kuu Katoliki, Jimbo la Bukoba Mkoani Kagera.
Tweet media one
Tweet media two
24
24
202
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Tweet media one
15
29
207
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
9
21
202
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nikifurahia jambo na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. @mwigulunchemba1 wakati wa hafla ya uzinduzi wa barabara ya mchepuko ya Kikanda, ya Afrika Mashariki (Arusha Bypass) leo
Tweet media one
24
23
198
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Nimetumia muda mrefu sana kutafakari juu ya kifo cha kaka yangu na kiongozi wetu mstaafu Cde. Benard Camilius Membe. CCM imepoteza na Nchi imepoteza. Pole kwa familia lakin pia pole nyingi kwa mbunge wa Mtama na Waziri wa Habari na Mawasiliano Ndugu yangu @Nnauye_Nape na wananchi
Tweet media one
27
26
196
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
Tweet media two
12
34
199
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tunaendelea kuimarisha mahusiano kati ya Tanzania na Burundi.
Tweet media one
Tweet media two
20
38
197
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
18
33
193
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
19
22
189
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Tweet media one
Tweet media two
22
32
197
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Tweet media one
15
29
196
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
Tweet media two
24
25
183
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nimeshiriki Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 05 Disemba, 2022, chini ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
Tweet media one
Tweet media two
30
17
183
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Leo nilipata nafasi ya kushiriki katika Hafla ya kukabidhi Magari kwa Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) na Pikipiki kwa Watendaji wa Kata, iliyofanyika Mtumba jijini Dodoma
19
30
173
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Watu wanamwisho Chama hiki hakina mwisho #kaziiendelee
41
42
174
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nikizungumza na Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Utumishi Mhe Deo na RC wa Njombe Mhe. Mtaka katika shughuli ya kuzima Mwenge leo mjini Bukoba.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
31
24
168
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Tweet media one
Tweet media two
9
31
164
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
17
29
161
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
17
35
158
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
10 months
Hongera sana Dkt. Tulia Ackson kwa ushindi mkubwa ulioupata kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU). Sasa iwakilishe Tanzania na Africa.
Tweet media one
11
27
157
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nawatakia Krismasi njema, yenye furaha, Amani na Upendo. Merry Christmas.
14
9
158
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nikifurahi jambo na Waziri wa Habari @Nnauye_Nape na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Adam Malima #kaziiendelee
Tweet media one
Tweet media two
17
25
155
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
10 months
Leo nimezungumza na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam (CPV), Komredi Prof. Le Hai Binh, jijini Dar Es Salaam.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
38
148
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Eid Mubarak
Tweet media one
21
18
145
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
5
21
146
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tulinde vyanzo vya maji #kaziiendelee
14
30
145
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
5 months
Nawatakia Pasaka njema Wananchi wote wa Mkoa wa Songwe tusheherekee Pasaka kwa kudumisha Amani na Upendo bila kuvunja sheria.
Tweet media one
16
13
137
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nikifurahi jambo na Makamu Mwenyekiti Ndugu Abdulrahman Kinana na Spika wa Bunge la JMT Dkt. @TuliaAckson #kaziiendelee
Tweet media one
Tweet media two
40
13
139
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Heshima ya uongozi wa Kihehe. Ninashukuru ziara inaendelea vema, tunawajibu kuhudumia Wananchi. #kaziiendelee
Tweet media one
13
19
136
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
7
20
137
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
8
32
130
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
7
35
131
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Leo nimeshiriki kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi kilichoongozwa na Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
24
27
129
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
30
27
125
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nilipata nafasi ya kuzungumza na Naibu Waziri wa Idara ya Mambo ya Nje ya Kamati Kuu ya Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) Komredi Li Mingxiang katika ziara yake ya kikazi nchini.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
23
129
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
17
33
126
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
5 months
Leo nimeongoza Wananchi wa Wilaya Mbozi mkoani Songwe kupanda miti katika msitu wa asili wa Ilembo ikiwa ni sehemu ya shughuli za kusherehesha miaka 60 ya Muungano wetu. Hakika Songwe ni salama karibuni.
Tweet media one
9
18
129
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Dhamana tuliyo nayo ni kwa ajili ya kuwatumikia Wananchi #kaziiendelee
22
30
125
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
5 months
Tuendelee kujifunza. Ijumaa Kuu njema
Tweet media one
21
16
130
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Leo nimekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Balozi Chen Mingjian, jijini Dar es Salaam.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
16
34
126
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
11 months
Jana nimekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Bi Chen Mingjian, aliyeambatana na ujumbe wake, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
11
31
125
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
11 months
Nikikagua maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi #kaziiendelee
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
8
19
123
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nikizungumza na Karani wa Sensa ya Watu na Makazi Bi. Faith Buruhani wakati wa kuhesabiwa. #Sensa2022
Tweet media one
Tweet media two
14
16
126
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Eid Mubarak
Tweet media one
9
29
126
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Leo nimepata nafasi ya kuzungumza na wakazi na wanachama wa CCM wa shina namba 10, Tawi la Dumila ikiwa siku ya 3 ya ziara ya kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi 2020-2025. #kaziiendelee
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
27
126
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
15
31
123
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Viongozi timizeni wajibu wenu wa kusimamia ubora wa kazi katika maeneo yenu. #kaziiendelee
9
20
127
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Heri ya Mwaka mpya 2023
Tweet media one
13
11
124
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Nawatakia Heri ya Sikukuu ya Pasaka.
Tweet media one
22
12
122
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
12
22
118
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
Tweet media two
10
17
113
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Leo nimeshiriki kilele cha Matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika uwanja wa Kwacha, kijiji cha Paje mkoa wa Kusini Unguja
9
14
116
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
7
14
115
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Nikifanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Kamisheni ya Mambo ya Nje ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China Komredi WANG YI, katika jengo la Great Hall of the people.
16
32
113
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
19
113
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
11
28
112
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nikiwasalimia wakazi wa kata ya Old Shinyanga nikiwa kwenye ziara ya kukagua utekelezwaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 mkoani Shinyanga.
Tweet media one
Tweet media two
9
16
108
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
#kaziiendelee Ujumbe wangu kwa vijana
5
38
110
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Leo nimekutana na mabalozi wa nchi tano za Kusini mwa Bara la Afrika kutoka mataifa ya Angola, Namibia, Afrika ya Kusini, Msumbiji na Zimbabwe lengo ni kufanya tathmini, kuendeleza ushirikiano na kuboresha uendeshaji wa Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere (MJNSL).
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
16
110
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
1 year
Leo nimekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Kisoshalisti ya Viet Nam nchini Tanzania, Mhe. Nguyen Nam Tien.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
28
110
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nikiendelea na kazi Wilaya ya Malinyi Mkoani Morogoro #kaziiendelee
12
22
110
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Ziara ya kikazi. Nilipata nafasi ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya Wasichana ya Solya mkoani Singida. #kaziiendelee
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
26
106
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
11
22
104
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
14
21
106
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nimeshiriki katika kukata utepe kuashiria uzinduzi wa Mfumo wa ruzuku ya Mbolea kwenye kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima 88 mkoani Mbeya. #kaziiendelee
Tweet media one
12
16
106
@chongolo_daniel
Daniel Godfrey Chongolo
2 years
Nikiwa na Mbunge wa Jimbo la Muheza @MwanaFA pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Ndugu Omary Mgumba mara baada ya kukagua mradi wa ujenzi wa Shule ya Sekondari Kisiwani, Muheza mkoani Tanga #kaziiendelee
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
6
16
103