Namshukuru Mwenyezi Mungu tumemaliza salama Mkutano Mkuu. Shukrani za kipekee zimuendee Mwenyekiti wetu wa Chama na Rais Dkt.
@SuluhuSamia
Makamu Mwenyekiti Bara Cde. Kinana, Makamu Mwenyekiti Zanzibar Rais
@DrHmwinyi
pamoja na wajumbe wote kwa kufanikisha kazi hii.