Niheri Nimrudie tu Mungu wangu.
Samahani wote mlioshangazwa na Ile Connection, Jamani narudia yule sio Mimi 😭😭
Niliowatumia wamethibitisha kuwa sio Mimi.
Endeleeni kuamini kuwa Ile connection ni yangu ila walioona
Wanajua kuwa sio Mimi wewe ambae hujaona njoo dm nikutumie uiangalie utagundua kuwa sio mimi
Ridhika na kile ambacho Mungu amekupa.
Huenda kama ungemiliki kikubwa zaidi, ingekuwa sababu ya wewe kuangamia.
Acheni zenu Sina connection lunch njema 🥗 💚💛
Nimeamua kufungua account huku twita ili niweze kukanusha kuwa Ile
Connection yule sio Mimi Kwa Ambao mmeangalia mmenifananisha , kama hujaangalia nikutumie uiangalie utagundua sio Mimi kabisa.😭
Sorry guys nimeona wengi mnauliza nilikua wapi miaka yote hadi natafuta mume nikiwa na miaka 38 wengine wanasema labda nilikua nadanga ila sio kweli nimetumia muda mwingi kusoma nina degree 2 tofauti na masters hapo nilitumia zaidi ya miaka 9 chuo ndio maana karibu dm kwa maswali
MAENEO HAYA RAIS SAMIA KAFANYA VIZURI ZAIDI KULIKO WATANGULIZI WAKE WOTE.
1. Utunzaji wa Siri za Serikali- Excellent
2. Diplomasia ya Uchumi na Ushirikiano wa kimataifa-Excellet
3. Ukweli na Uwazi- Excellent
4. Utulivu wa Siasa za ndani ya CCM- Excellet
Samia
Serikali itaendelea kuunga mkono na kuweka kipaumbele kwenye sekta ya michezo kwa kuwa michezo inamgusa kila mwananchi kwa namna moja au nyingine [...] inaleta burudani, ajira na kuchochea amani na utulivu."- Mheshimiwa Rais Samia Suluhu🙏🔥🔥
Watanzania tuna furaha kubwa sana na Rais wetu mpendwa, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.
Hakika huyu ni Rais kutoka kwa Mungu, maana Ni Mungu pekee ndiye aliyemuandaa na kumfanya awe Rais wa Taifa hili teule.
1) Samia: Maana yake ni msikivu.
2) Suluhu: Maana yake
"The strong is not the one who overcomes the people by his strength, but the strong is the one who controls himself while in anger."..
Hii ni Moja ya Tabia ya mama Samia Suluhu Hassan 👏👏
Utajuaje kama Rais Samia Suluhu ni humble down to Earth and powerful?
First thing, you look at how she uses her powerful, she is the most powerful person in Tanzania by far. But having all that constitutional power does not always tell kwamba she's is powerful, so how do you
Mpina hafanyi mambo kwa bahati mbaya yaani kuanzia 3/5/2024 mpaka 30/6 /2024 kampuni tano zilizokuwa zinaagiza sukari siku zote zilishindwa kuagiza kisa muda mchache?
Siku 57 hazitoshi kuagiza sukari kwa dharura? Meli kutoka Brazil kuja Tanzania ni siku 39-40 na kutoka