kuhold conversation na females nae hukuwa imenishinda unampiga banter moja vile umezoea na mamorio, next minute dem ashacatch na anakwambia ety wewe ni mrude
@polo_kimanii
Unasound kama mwalimu wa English vile walikuwa wanatupima ety ooh the Persona in the poem is a crying baby na sahizo hakuna baby kwa iyo poem
Kila mtu hupenda kucheza iyo role ya tap water na bangi until msupa wako apelekwe coast ndio inakuhit enyewe unafaa ujitume ndio pia upeleke her successors to nicer places
@polo_kimanii
Inauzwa hadi gwa Kairo,huko wanaiita kete. Kuna boyz wangu aliitumia akaingia hoteli akapiga order na kabla food iletwe akalala kwa Meza alafu kuamka akatoka akisema ata hajashiba