๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š Profile Banner
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š Profile
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š

@bdozen_

Followers
7,335
Following
4,361
Media
1,620
Statuses
23,028

ยฆยฆ ๐‘พ๐’† ๐‘ณ๐’†๐’‡๐’• ๐‘ช๐’‰๐’–๐’“๐’„๐’‰ ๐‘ต๐’๐’• ๐‘ฎ๐’๐’… ยฆยฆ ๐‘ป๐’†๐’๐’ ๐‘ณ๐’Š๐’‡๐’† ๐‘จ ๐‘บ๐’•๐’๐’“๐’š ยฆยฆ

BabaIvan White House!
Joined September 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
3 years
Sasa Kesi Ya Mbowe Ikiondolewa Martin Atatoa Wapi Content ๐Ÿ™Œ๐Ÿคฃ
102
21
790
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Tatizo Letu Wanaume Ni Kwamba, Tukisha Fanikiwa Kimaisha Tunataka Kuwafraisha Wanawake Ambao Hatukusota Nao.
22
34
431
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Kumtongoza Dem Kwa Kutumia Simu Af Akakublue Tick, Hiyo Ni Aibu Ya Kwanza, Kumpigia Asipokee Hiyo Ni Aibu Ya Pili, Ongeza Ya Tatu Na Nne ๐Ÿ˜‚
19
16
304
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Kwani Hakuna Kipimo Cha Kugundua Mwanaume Ni Bikra.?
20
14
277
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Kama Mshahara Wako Uko Chini Ya 1M Per Month, My Frendi Hapo Sio Kazini Ni Kibaruani.๐Ÿคฃ
15
16
223
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
1 year
@Wakazi Kwahiyo ukikuta wachawi wanawahi kwenda kuwanga nawewe utahamia huko ili uwahi..? Huko huko kwenye Imani yako Kuna wanaowahi Ibada, kwao ni kitu cha Muhimu sana ila wewe haumo.. Swali, unaenda kwasababu watu wanatii na kuwahi au umejua unaetaka kwenda kumwabudu?
39
16
203
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Yani Leo Jumuiya Hata Sijatupia Code Zangu Za Uvuvi, Ndo Pisi Qali Zimekuja Nyingi..Sema Nimechukua Point Kwenye Kutoa Tafakari ๐Ÿ˜…
10
18
186
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Tuko Kwenye Mahusiano Ya Watu Wenye Ndoto Za Kuwa Na Watu Wengine.
9
12
179
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Tunaishi Maishaa Yenye Maumivu Makubwa Sana, Hadi Tunahisi Walio Kufa Wamepumzika.
16
17
169
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Hakikisha Uko Kwenye Mahusiano Yanayokupa Nguvu Ya Kupambana Kimaisha, Na Si Nguvu Nyingi Kwenye Kuyalinda.
1
20
157
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
3 years
kwenye kivuli cha Cheti na jina lingine? Masanja, Mpoki, macregan kipara,joti na seki tunaomba jb Plssss Rt Yako Muhimu ๐Ÿ™
5
38
148
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Kama Uliachwa Na Hukuwahi Kumfanyia Ubaya Wowote Ex Wako Wakati Wa Mahusiano Yenu, Ipo Siku Atakutafuta Niamini Mimi.
13
11
144
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Mkumbushe Mwanao Kuwa... Msaada Sio Haki Yake, Asinung'unike Pindi Anapo Ukosa, Atafute Vyake.
4
21
133
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Pisi Moja Imenipea Namba Ndotoni Af Nimeamka Bado Naikumbuka, Ngoja Niipigie Sasa ๐Ÿ˜Š
10
8
123
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
7 months
Umetoka Zako Kununua Sumsung Used 750,000/= Unapita Zako IG Unakuta Post Ya Simu Ile Ile Zinauzwa Kwa 680,000/= Maumivu Yake Hayasimuliki!
12
13
125
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
5 months
@millardayo Sasa wakinyang'anywa na sisi maafisa ubashiri mikeka yetu itatiki au nasisi pia mpaka tuandike barua ๐Ÿ˜๐Ÿ™Œ
18
0
125
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
8 months
@prossoff Sasa Mwanangu Bado Unaona Uko Kwenye Mahusiano Sio!? Mwaka Mpya Nilivyokuwa Natafuta Watu Wakupiga Nao Baruti Nakosa Kumbe Upo ๐Ÿ™Œ Halafu Kumuacha Peke Yako Hilo Najua Huwezi, Usiseme Tu Kuwa Manzi Inakupenda Wewe Ndiyo Unaipenda Mzee! Zaidi Omba Mungu Akuepushe Na Hiyo Manzi!
24
4
120
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Bae Wako Na Bae Wake Wa Ofisini Ndo Wanaenda Kula Lunch Huku Wameshika Mikono ๐Ÿ˜‚
9
6
113
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Tunaoa Ndiyo...Ila Tunaoa Wakiwa Wamechoka Sana ๐Ÿ™Œ
10
5
105
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Ukweli Ni Kwamba, Mwanaume Anataka Kitu Kimoja Kwa Wanawake Wengi, Huku Mwanamke Anataka Vitu Vingi Kwa Mwanaume Mmoja.
6
10
110
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
3 years
ya maigizo Yale ya kuchekesha haswa mashabiki wa msanii vengu hawajui ni wapi alipo na wanatamani hata wangejua ni kitu gani kimejificha kwenye story ya maisha yake, Ukweli ni kwamba Joseph Shamba ama Vengu kama wengi tumjuavyo tulianza mfahamu baada ya kujiunga na kundi la
1
2
104
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Hii Christmas Imekaba Sio Poa Hadi Wakristo Wanatafuta Mialiko ๐Ÿคฃ
3
4
102
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
3 years
ya Taifa ya Muhimbili (MNH) jijini Dar. Rais Jakaya Kikwete โ€˜JKโ€™ aliwahi kwenda kumjulia hali. Baada ya hali yake kuzidi kuwa mbaya, alipelekwa kwenye Hospitali ya Apollo nchini India ambako alipatiwa matibabu na kurejeshwa nchini
1
3
100
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Kichwa Cha Chini Kikisimama, Cha Juu Huwa Akifanyi Kazi.
13
6
99
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
@OriginoZee17 Huyo jamaa namfaham katoka kunipa hyo stori mida hii ni mwanajeshi pale lugalo
14
0
103
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Hii Sensa Imenikutanisha Na Walimu Wangu Wa La 3C Kwenye Interview Nae Anataka Kazi ๐Ÿ˜‚
7
3
104
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Oa We Jamaa Ulieniibia Simu Maeneo Ya Mwenge, Simu Chukua Ila Naomba Untumie Namba Ya Lishangazi Langu Ndo Linaniweka Mjini Nimelisave MAGWAYA ๐Ÿ˜…
6
3
98
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Hakuna Siku Utayomaliza Matatizo Yako Yote, Jipe Muda Kushukuru Na Kufurahia Machache Uliobarikiwa, Mungu Wetu Hupenda Watu Wenye Moyo Wa Shukrani.
9
23
97
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
8 months
"Ukitaka Kupata Best Wife Oa Mwalimu! Kwasababu Kama Anaweza Kukaa Na Wajinga 100! Na Akawa'transform Kuwa Watu Wa Maana Sana! Hawezi Kushindwa Kukubadili Wewe Mjinga Mmoja."
13
15
97
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
3 years
akiaendelea kuuguzwa na familia yake huku taarifa zake zikiwa ngumu kupatikana lakini cha kushangaza zilianza zagaa taarifa kwenye mitandao nyingi zikieleza kuwa vengu hatunae duniani yaani (AMEFARIKI DUNIA) Taalifa hizo zikapingwa vikali na meneja wa kundi kwa wakati huo
1
2
94
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
3 years
maigizo la zekomedi Vengu alijitengenezea wigo mkubwa wa mashabiki waliokuwa wanapenda kuona jinsi alivyokuwa akimwigiza Mh.Mrema huku akibeba uhalisia wake, Vengu alianza kuugua kidogokidogo mwaka 2009, lakini Agosti, 2011 hali yake ilikuwa mbaya, akalazwa kwenye Hospitali
1
2
93
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
3 years
sekioni maarufu kama seki lakini pia mwigizaji mwenza masanja mkandamizaji akakemea vikali kuhusu taarifa hizo huku akitanabaisha kuwa vengu yu ngali hai ila bado anaendelea na matibabu, Post ya mwisho ya joseph shamba katika mtandao wa Fb ilipostiwa march 6 2015 iliandikwa
1
3
90
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
3 years
hivi "Baba wasamehe maana hawajui watendalo......Poleni wote mlioshitushwa na uvumi huo" Tokea hapo hamna post nyingine iliowahi kupostiwa kwa page hiyo ya mtandao wa fb maswali yanaongezeka je joseph aka vengu ni nini kimemchukiza hadi asitumie mtandao tena?
1
2
89
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Rafiki Zangu Waislamu Nawapenda Sana, Ni Lazima Niwambie Ukweri Tena Kutoka Moyoni ๐Ÿ˜„
6
8
82
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
8 months
Kuna Mwanangu Mmoja Huwa Ananisave Sana Inshu Pesa Nikikwama! Ila Kila Yeye Akikwama Akinicheki Nakuwa Sina Kitu Anakosa Msaada! Leo Nimepata Kibunda Nimemtumia Bila Kuniomba, Mwana Kafrahi Sana.
11
12
88
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
3 years
Kuna Mwanamke Hapa Tumetoka Nae Kanisani Sahivi Anaongea Nasimu Anauliza Pa Kushukia ๐Ÿ˜…๐Ÿ™Œ
9
1
84
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
5 months
Mnaona Hivyo Mlivyo Umia Kutoa Hela Kwa Mtu Ambae Hakupendi! Hivyo Ndivyo Tunaumiaga Sisi Siku Zote Za Mahusiano Mpaka Tunapata Wa Kuoa Au Hatupati Kabisa Hadi Tunakufa. Zoea Hiyo Sauti ๐Ÿ˜
8
11
86
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
3 years
lakni je vengu bado ni mgonjwa?na kama ni mgonjwa basi ni mtu maarufu mtanzania wa kwanza kuwahi kuugua kwa kipindi kirefu... vipi kuhusu Media na wasanii wenzake kutokutoa taarifa yoyote imuhusuyo mpendwa wetu huyu wamemsusa au? au amedaka kitengo sasa anaishi
1
2
83
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
6 months
Facebook Yangu Imejilog Out Yenyewe Nikilog In Inagoma Na Instagram Pia Ni Kama Iko Down Au Ni Kwangu Tu.
13
5
86
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
6 months
@prossoff Tangu tuanze kuwashauri hakuna hata mmoja ambae amewahi kuleta Feedback kwamba... Mimi nimeachana na ile umbwa, hakuna hata mmoja Haya yote ni madhara ya kutoa ushauri bure ndiyo maana mirejesho hairudi tunajisumbua tu kushauri na hamuachani saivi sitoi ushauri bure ๐Ÿ˜€
10
3
86
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
1 year
Unapompa Mtu Nafasi Ya Kuwa Furaha Kwenye Maisha Yako Basi Elewa Pia, Umempa Nafasi Ya Kuweza Kukuumiza, Hivyo Tuwe Makini Sana Na Tunao Waamini Leo.
6
12
80
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
1 year
Hivi Unajua Kuna Mtu Anapitia Matatizo Ya Kimapenzi Na Huyo Mpenzi Wako.
2
7
81
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
11 months
Wakati Naingia Dar Nilikuwa Nakaa Sehemu Moja Hivi Karibu Na Kibanda Cha Chipsi, Mwana Kwenye Hicho Kibanda Alikuwa Anaitwa Kei Kiufupi Maisha Ya Kuwa Na Kibanda Cha Chipsi Hapa Dar Unatakiwa Uwe Unawahi Kuamka Na Unachelewa Kulala! Kifupi Tangu Nimfahamu Jamaa
4
3
82
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Kipa Wa Totten Angekuwa Kafungwa Na Yanga Hapa Bongo, Wangesema Kapewa Kibunda ๐Ÿ˜…
5
1
81
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Watu Kibao Wako Single Sababu Maneno Mazuri Ya Mahaba, Yanawachekesha.
4
8
78
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Kuna Wanawake Wakula Nao Bata, Kuna Wanawake Wa Kuoa , Af Kuna Wanawake Wa Kuzaa Nao... Jua Tu Kutofautisha.
7
4
77
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
8 months
@prossoff Ushauri Niliyokuwa Naweza Kukupa Walimwengu Wangeniona Mtu Katili Sana! Fanya Hivi Ongea Na Mzee/Wazee Wako Chap Wafanye Utaratibu Mama Iwe Yako Hiyo! Huyo Ndiyo Mke Wako Amini, Leo Uko Kwenye Presha Ya Juu! Ila Miaka Mitano Baadae Utafurahi Sana Ukimuona Kijana Wako Amekua.
1
0
79
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
8 months
Sijawahi Kununua Malaya! Sijawahi Kwenda Clubs! Sivuti Bangi/Sigara! Sinywi Pombe! Mimi Ni Nani!?
20
6
78
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Mwaka Umeanza, Kama Kijana Kitu Pekee Umefanikiwa Kuvuka Nacho Ni MADENI ๐Ÿ˜‚
3
3
76
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Hakuna Kitakacho Watokea Waliokataa Kukusaidia, We Pambana Upate Vyako.๐Ÿ˜‚
3
9
74
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Unaheshimihana Na Mtu Vizuri Tu, Kumbe Akishukaga Kwenye PANTON Anakimbia ๐Ÿ˜‚
6
6
72
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
8 months
Nilikuwa Huko JamiiForum Nimecheka Sana! ๐Ÿ˜Š Kuna Jamaa Kauliza Mshahara Wa Polisi Mwenye Degree Ni Kiasi Gani Jamaa Kamjibu Ukiwa Mkurya Ni 1,700,000 ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
4
4
75
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
9 months
@Neypaul01 Me kabla ya kumtongoza Mwanamke namuangalia Kichwani mtindo Wake Wa Nywele.
9
0
75
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Ladies Hakuna Mwanaume Anaejali, Kama Mwanaume Ambae Hajalala Na Wewe, Trust Me ๐Ÿ˜€
7
2
73
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Jitihada Zako Ndiyo Zinaweza Kukupa Uhakika Wa Kuyaendesha Maisha Yako Na Wala Sio Watu Waliokuzunguka.
4
7
75
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Natamani Nipost Nipo Wapi, Tatizo Madeni ๐Ÿ˜‚
6
3
73
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
5 months
Kuna Huyu Manzi Nilikuwa Namuita Maskani Yangu Anazingua Anaogopa Ogopa! Finally Nikamwambia Kama Anaogopa Aje Na Rafiki Yake Wala Asije Peke Yake! Na Ikawa Hivyo, Leo Rafiki Yake Amekuja Bila Yeye! ๐Ÿ˜Š
4
2
76
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Kama Unadate Na Mwanaume Ambae Hajawahi Kukuuliza Dini Yako Wala Kabila, Dadangu Huna Chako Hapo ๐Ÿ˜„
3
3
64
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
7 months
99% Ya Maamuzi Yako Jitahidi Kufanya Ukiwa Hauna Nyege!
10
7
73
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Sio Kila Mtu Anatakiwa Kuendelea Kuwa Nawewe Katika Safari Yako Ya Maisha, Kuna Watu Wanatakiwa Kuwepo Kwa Muda, Kuna Wanatakiwa Kuwepo Kwa Mafunzo, Na Kuna Watu Wanatakiwa Kuwepo Kwa Maisha Yako Yote. Tujifunze Kuachilia Watu Tusing'ang'anie.
3
10
72
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
@VannesserMalick Here we go... Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, โ€œChakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.โ€
9
7
74
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
1 year
Kuna Mtu Mmoja Mzito Mzito Kwenye Mambo Ya Serikali Nilikuwa Napiga Nae Story, Katika Story Sasa.... Nikamuuliza Hivi Kwanini Makanisa Yetu Huwa Hayakemei Hata Kidogo Vitendo Ovu Vya Serikali, Maana Wao Ndio Chombo Pekee Kinacho Aminiwa Na Wananchi Waliowengi?
1
1
71
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Mwaka Mzima Umekuwa Ukimuomba Mungu Akupe Mume Bora Nakutumia Text Hujibu, Unajua Nimetumwa Na Nani? ๐Ÿ˜‚
3
0
71
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
8 months
"Hata Wakicheza Dk 120 Sioni Mpango Wa Goli" Mtangazaji TBC ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
3
7
73
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
1 year
LMK - Let Me Know NVM - Never Mind TGIF - Thank God It's Friday TBH - To Be Honest RN - Right Know OOTD - Outfit Of The Day BRB - Be Right Back BTW - By The Way LOL - Laugh Out Loud TTYL - Talk To You Later HMU - Hit Me Up IMO - In My Opinion IDK - I Don't Know
10
26
70
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
8 months
Wakati Naingia Chuo Mwaka Wa Kwanza Zilitokaga Ajira Takukuru Basi Bana Nikatest Mitambo! Ile Ngazi Niliyo Omba Ilikuwa Inahitaji Watu 350 Majina Yanakuja Kutoka Watu 16,000+ Wamechaguliwa Hatua Ya Awali Nilichoka!
1
7
72
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
5 months
Sema Mimi Nikishakuta Mwanaume Anatumia Iphone Kuna Baadhi Ya Michongo Siwezi Kufanya Nae, Yani Namuona Kama Mremb Mrembo Tu.
8
4
72
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Kwahiyo Baada Ya Manara Kukubali Kuachia Saivi Yogo Anafurahi Koloni Lake Liko Huru ๐Ÿ˜‡
3
0
69
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Kuna Muda Nakaa Nawaza, Ila Naona Saidi Bado Yuko Sahihi, Alichokosea Ni Kuondoka Bila Kutuachia Notice Za Wosia..Enewei RestEasy Home Boy.
4
2
67
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Mange Analalamika.. Ila Kiukweli Bongo Hakuna IT Asiye Mpigaji (Mwizi) Kuna Mkaka Hum Nae Anajifanya IT Namnamjua Alisepa Na Acc Yangu Alooo ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
10
2
65
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
7 months
Omba Omba Wa Kigamboni Ikifika Jioni Unakutana Nao Bar Wanalewa!
11
8
72
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
5 months
"Tukiwa Chuo Mimi Nilikuwa Namaliza Vipindi Saa 10 Yeye Saa 2 Usiku Nikawa Namsubiri Ili Nimsindike Kwao Kuna Siku Akanambia Wewe Tangulia Tu" Dah๐Ÿ’”๐Ÿ˜‚
8
8
69
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
1 year
Mwanaume Ukiwa Na Hela Hata Ukigombana Na Mke Wako Familia Yake Inakuwa Upande Wako.
2
13
69
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
7 months
Duka La Spare Za Magari Ni Biashara Inayofanya Vizuri Sana Hapa Mjini Ukiwa Na 30M Tu! Unaweza Kufungua Duka Lako Lililokamilika Vizuri Kuhusu Wateja Usiwaze! Tembelea Magereji Ya Hapa Mjini Ni Mengi Mno Ongea Vizuri Na Mafundi Garage! Hao Ndiyo Watakuletea Wateja Then BOOM!
6
8
71
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
8 months
Mambo Yamebadilika Sana Siku Hizi Mtoto Hamlilii Tena Mzazi Akiwa Anaenda Kazini Ila Anamlilia Beki Tatu (HouseGirl) Akiwa Anaenda Dukani.
5
8
70
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Me Nimekwambia Na Date Nae We Umeenda Kumuuliza, Ili Iweje Sasa ๐Ÿ˜‚
6
1
69
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Hakuna Kazi Ngumu Kama Kumsubiria Dem, Ambae Hauna Uhakika Nae, Kwenye Getto La Kuazima ๐Ÿคฃ๐Ÿ™Œ
2
2
62
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
8 months
Leo Utanambia Kwanini Ukimpaga Simu Mama Yako Aongee Na Mtu Unaanza Kumfata Fata Nyuma Kama FBI!
2
4
70
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Mwanaume Ukiwa Busy Kutafuta Maisha Hata Mwanamke Wako Anaweza Hisi Humpendi.
6
8
63
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
8 months
Usiombe Ukae Foleni Nyuma Ya Gari La Taka Tena Foleni Ya Gongo La Mboto! ๐Ÿ™Œ
7
7
67
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Unaweza Usikate Tamaa Na Usifanikiwe Vile Vile ๐Ÿ˜…
7
8
66
@bdozen_
๐๐š๐›๐š๐ˆ๐ฏ๐š๐ง!๐Ÿ•Š
2 years
Mtu Unamwambia Uko Zanzibar Unaenjoy Life , Anapiga Video Call Ili Iweje Sasa ๐Ÿ˜‚
2
1
65