Kutoka Arusha, Kitega Uchumi hadi Mjengoni Mikocheni, CLOUDS has always been home.
Shukrani sana kwa Management yote, Chama la Wana
#XXL
na wafanyakazi wote wa Clouds, na wadau wengine wote wa Clouds. Undugu wangu na ninyi hauwezi kuisha wala Kusahaulika.