𝐖𝐀𝐌𝐄𝐀𝐍𝐃𝐈𝐊𝐀 𝐓𝐏 𝐌𝐀𝐙𝐄𝐌𝐁𝐄 🇨🇩
"Jean Othos BALEKE, mshambuliaji mwenye umri wa miaka 23, ambaye bado ana mkataba na TP Mazembe, amerudi tena Tanzania kwa mkopo mpya. Baada ya kuondoka Tanzania miezi sita iliyopita, BALEKE sasa ataichezea klabu ya Young Africans