𝕏 Profile Banner
𝕏 Profile
𝕏

@am_phares

Followers
1,155
Following
1,027
Media
411
Statuses
17,627

Absence of evidence is not the evidence of absence🦦 || Perfect example of introvent🤯

Kingdom of Saudi Arabia
Joined March 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@am_phares
𝕏
4 months
Kwanini nikianza kuongea kiingereza sauti yangu inakua ndogo🥲
20
16
63
@am_phares
𝕏
4 months
@TMnyama4_ Wanajeshi + maafande wa kike huwa ni humble sana bob maan wanajua kuwa watu wengi hawapendi kuwatongoza kuofia like penzi litakuwa kama war so ikitokea ukamuelewa, akakuelewa na mkaelewana then itakuwa perfect match just play🏋🏼‍♂️
4
2
43
@am_phares
𝕏
2 months
@Strictlyirene Grow fasttt
0
1
37
@am_phares
𝕏
4 months
Wenye tunaona tutaonekana waongo, kama vipofu wakija kutambua blueband sio ya blue😞
6
8
36
@am_phares
𝕏
4 months
Kama unaamini hujaamka kwa ujanja wako bali ni MUNGU tu, type amen & Rt✨
7
13
32
@am_phares
𝕏
2 months
@Strictlyirene Am live online✌️🤯
0
1
32
@am_phares
𝕏
2 months
@Strictlyirene Active😎
1
1
32
@am_phares
𝕏
3 months
Wanangu hapa pa kupa sababu ya kuishi nahsi kazingua sana🙌
Tweet media one
24
6
28
@am_phares
𝕏
4 months
Ni ngumu sana kumtuliza mwanamke anayeshindana na rafiki zake kununua vitu🥺
8
7
29
@am_phares
𝕏
3 months
Relationships are hard nowadays. We talk through apps and texts, then argue through phone calls. Only meet up for sex and selfies. Our feelings become statuses and posts. This generation has erased the whole meaning of relationship and true love. Sad! Lets enjoy nightmares🤯
5
10
26
@am_phares
𝕏
4 months
Hapa kuku mtamu🤤 na kifaranga ni wa moto🥵
Tweet media one
5
8
26
@am_phares
𝕏
3 months
Siku hzii wanaume hatutongozi just tunatafuta chenye unataka Pesa? muda? Story? maneno? outing? nguo? mimba? Show off? Then tunakukula kisha wale twaruka🦅
3
6
26
@am_phares
𝕏
3 months
Mungu bariki na wengine, kila siku sisi tu tutakufa kwa raha💚💛
Tweet media one
4
2
24
@am_phares
𝕏
3 months
Uliye mwambia kuhusu mimi kanambia nisikuambie kama ameniambia😁
6
10
26
@am_phares
𝕏
4 months
Sijawahi kutana na mwalimu wa primary kaenda shule na V8, shida ni nini waalimu?
7
4
26
@am_phares
𝕏
3 months
Naomba kuuliza hapa ndio VITANI😂
Tweet media one
1
5
23
@am_phares
𝕏
2 months
Umasikini miyeyusho🥺
Tweet media one
5
7
25
@am_phares
𝕏
2 months
0
0
25
@am_phares
𝕏
4 months
Ukishindwa kumbadilisha mwanamke basi badilisha mwanamke😍
5
9
25
@am_phares
𝕏
1 month
😂😂😂
Tweet media one
3
4
24
@am_phares
𝕏
4 months
Kupata follower wa kutosha mpk useme basi 🚀Kwanza heshimu twiti za kuinuana 📌Ukiona twiti za kuinuana like, retweet 💥Mwisho unashusha handle yako 💣finale like zile handle walizo weka wenzako na kuzireply ifb(i Follow back) Start with @am_phares you won’t regrets
Tweet media one
5
12
25
@am_phares
𝕏
3 months
Kuna Umri ukifika Cycle ya marafiki na Mahusiano vinakuwa vitu viwili tofauti.. Marafiki zako hawajui Mahusiano yako na Mahusiano yako hayawajui Marafiki zako🦦
3
8
24
@am_phares
𝕏
3 months
Ukiwa umebeba ndoo yako ya maji basi utaijua thamani ya kila tone moja la maji🤯
3
10
24
@am_phares
𝕏
3 months
Kwa hapa tulipofikia ata akisema niweke shingo kibra anichinje basi sipingi😎
Tweet media one
4
3
21
@am_phares
𝕏
2 months
@Strictlyirene Here we goo😌
1
0
23
@am_phares
𝕏
3 months
Traffic hana muda wa kuangalia kama pesa ni fake au original! Sitokufunza kila kitu😂
6
6
22
@am_phares
𝕏
3 months
Unajitahido usichepuko kumbe wewe ndio mchepuko😁
5
8
22
@am_phares
𝕏
3 months
Ulivyotulia hapo, mtu hawez kudhani kama ulisha icheki connection ya aslay😁
Tweet media one
6
6
19
@am_phares
𝕏
4 months
Ikitokea dunia yote ikasimama dk 10 kukusikiliza wewe utawaambia nini walimwengu✨
Tweet media one
4
3
22
@am_phares
𝕏
3 months
Wazungu wakiona ROBOTI wetu yuko na muonekano wa kibinadamu alafu miguuni ana vitairi watakuwa wanacheka sanaa😂
5
10
20
@am_phares
𝕏
4 months
Utawezana😫🙌
Tweet media one
@Neypaul01
Neypaul🤎
4 months
Siku najifungua mwanaume wangu lazima awepo kuanzia mwanzo wa shughuli mpaka mwisho.
172
56
795
5
1
21
@am_phares
𝕏
4 months
Kupata follower wa kutosha mpk useme basi 🚀Kwanza heshimu twiti za kuinuana 📌Ukiona twiti za kuinuana like, retweet 💥Mwisho unashusha handle yako 💣finale like zile handle walizo weka wenzako na kuzireply ifb(i Follow back) Pamoja tunaweza, weka handle, like, Rt kisha fb
9
8
20
@am_phares
𝕏
4 months
Wapeni hela mademu zenu🙌 vinginevyo tunatafutiana lawama🤧
Tweet media one
4
2
20
@am_phares
𝕏
3 months
Sisi Wengine huwa ni watu wa Just okay, then I smile and move on we're just okay with whatever comes.
Tweet media one
6
7
20
@am_phares
𝕏
4 months
📌Una nusu ya moyo wangu na Nusu niliyobakia nayo bado nakuwaza wew Sina shaka na hatua zako kwasababu nakuamini. 📌 Wengi wanasema kuwa Mapenzi ni mabaya ila binafsi najisikia amani sana kila ninapolala na kuamka pembeni ya ubavu wako🫂 📌 Nakupenda ❤️ G-night Babelicious✨
4
8
20
@am_phares
𝕏
2 months
@Strictlyirene Try me🥺
0
1
19
@am_phares
𝕏
3 months
Kunywa maji ukate kiu alafu utuambie… “Ni nini kingine ulimwambia mwanamke pale Edeni”
Tweet media one
4
4
18
@am_phares
𝕏
4 months
Hakikisha haumalizi siku bila kuambiwa neno AHSANTE.
1
1
19
@am_phares
𝕏
3 months
Sponsor hawezi kukuoa, ishi vizuri na wanaume wa rika yako, ni wew nakuambia😂
2
6
19
@am_phares
𝕏
4 months
Hii biashara ya simu ngumu sana😂 Majaribu ni HUMU TU🥳🥳
Tweet media one
7
6
18
@am_phares
𝕏
3 months
Ukimwambia “I miss you” akakujibu “mimi mbona nipo” achana naye futa namba na ujiheshimu📌
3
5
18
@am_phares
𝕏
3 months
Kuna mwanangu huyoo yani nikiwa nataka story kuhusu wanawake naanza tu “…ila wanawake…😀” hapo atasema kila aina ya confession
3
4
18
@am_phares
𝕏
3 months
Mimi naye siwezi omba “follow back” kama naomba uzima wa milele
1
4
17
@am_phares
𝕏
4 months
Kuwa handsome ni kazi sana, bora nyie😣
6
2
18
@am_phares
𝕏
2 months
Kwaiyo Kuna Mwanamke Yupo sehemu Amekaa anasubiri Nifanikiwe ili aje tudate..Haya!! Mimi nipo
4
6
18
@am_phares
𝕏
3 months
Kuna umri ukifika kila kitu unachukulia poa tu, fresh tu yani, normal kabsa, kila kitu barida Tu.
4
6
19
@am_phares
𝕏
3 months
📌Kuna wale wanatimiza malengo ya wazazi wao kisha ndo wanaanza kutimiza yao. 📌Kuna wale wanaanza kutimiza malengo yao tu, wazazi walitimiza ya kwao. 📌Kuna wale wazazi wao walitimiza yao kisha wakatimiza ya watato wao kwahiyo wao hawana cha kutimiza kazi yao ni kula bata tu.
5
10
19
@am_phares
𝕏
3 months
Ningekuwa jela muda huu nigekuwa nishapata LUNCH safiii!
Tweet media one
4
5
17
@am_phares
𝕏
3 months
Who said happiness is free It’s not😭
3
10
19
@am_phares
𝕏
2 months
Unakuja getto na gauni lako la afu8 unavua unavaa jersey ya 35k ili ukapike, fuck you🥺
2
3
17
@am_phares
𝕏
3 months
Nyie hamuogopi? mbona mim napost huku natetemeka😀🙌
Tweet media one
1
3
17
@am_phares
𝕏
4 months
Kumuita mwanaume KAKA na unajua anakupenda napo ni ushirikina😂
4
3
18
@am_phares
𝕏
3 months
Whoooops hii dunia ngumu sana yani leo vitani napo wamepika ugali na dagaa🥺
4
5
18
@am_phares
𝕏
2 months
Bia mnywee nyie! Mtegemee nilipe bill wakati mm natumia soda tu😂😂
Tweet media one
0
6
17
@am_phares
𝕏
3 months
@TMnyama4_ Kindly am @ @am_phares 🥂
2
0
17
@am_phares
𝕏
3 months
Rombo hakuna mnyonge, kila kiumbe kinaijua pombe😁
Tweet media one
4
3
16
@am_phares
𝕏
3 months
Pombi tunakunywa na bumi halifutwo
Tweet media one
3
4
17
@am_phares
𝕏
2 months
Wadau hapo vipi😁
Tweet media one
2
3
16
@am_phares
𝕏
3 months
Kuna muda unachukua namba ya msichana muwe marafiki tu ila “washikaji” wanataka mrejesho
1
4
16
@am_phares
𝕏
3 months
Wadada wenye uwezo wa kuvumilia umasikini wa mwanaume ni wachache sana🙌🥺
8
7
18
@am_phares
𝕏
3 months
Kwahyo mlikuwa mnafanyia debate kweny DH na mnaweka na spika😂
1
3
16
@am_phares
𝕏
3 months
Ukiambiwa uyape mahusiano yako jina la wimbo, utayapachika jina gani😌
3
6
18
@am_phares
𝕏
3 months
Ila tutoto twa afu2 kwa kuwaza pumba hatujambo😂😂
Tweet media one
Tweet media two
3
5
16
@am_phares
𝕏
3 months
Funguo za kuzimu zimepatikana😀
Tweet media one
5
5
17
@am_phares
𝕏
3 months
kuna mtu anadhani ukiingia choo lazima uface mlango🥲
4
3
17
@am_phares
𝕏
3 months
Faida wanayopata hawa wamama ni ndogo sana, ukipata nafasi ya kuwaungisha basi usilazimishe kupunguziwa bei au kulazimisha nyongeza, hakika utabarikiwa🙏
Tweet media one
2
6
16
@am_phares
𝕏
3 months
Kiberiti ni kiswahili vipi kwa kingereza wanaitaje😣🙌
Tweet media one
4
1
16
@am_phares
𝕏
3 months
Sura huna? Na pesa huna? Una nini wewe? …jitahidi utafute chenye unakimudu bhn usiwe kama lijinga😀
6
5
13
@am_phares
𝕏
4 months
2014 nikiwa form two rafiki yangu aliwahi nambia "Najua hujui kutongoza, una hofu ya kukataliwa. Nakushauri tongoza wanawake wengi unaohisi wanakuzidi hadhi"..."najua watakukataa, hiyo ukiizoea mbeleni itakusaidia sana" ni kweli nilifanya ivo na nilitolewa nje mno….
4
4
16
@am_phares
𝕏
3 months
Hakuna mtu ananukia vizuri kama mpenzi wako ila mkiachana tu sijui harufu ya ubeberu anaitoa wapi🤧
5
5
17
@am_phares
𝕏
27 days
Nipate wa hivi niame TZ🤣🙌
Tweet media one
4
5
17
@am_phares
𝕏
4 months
@prossoff Asa ukisema unashindwa kufanya maamuzi ni hapo unafanya mambo yakuwe magumu! Ukiona anafosi fosi kusepa ujue kuna boya ashaanza kumrubunii! Ushauri: kama uliweza kumtongoza ukamshawishi mpk ukamuoa na kisha mkawa familia then hilo haliwezi kukushinda VAA VIATU VYA UANAMME SASA.
0
1
16
@am_phares
𝕏
4 months
Nikiwa offline watu wanahisi niko bize kumbe mwamba natafakari kati ya lunch na bundle wapi niweke hela😂
Tweet media one
1
3
15
@am_phares
𝕏
3 months
Waliofanikiwa ni ushahidi tosha kabisa kuwa mafanikio ni kitu cha kweli na kufanikiwa kupo📌
5
10
16
@am_phares
𝕏
4 months
@TMnyama4_ Sikia mamie! Mim nitkupa nauli na hela ya kubadilishia keyboard ya simu🤝😎bless mimi iyo kitu niipalaze kwa kuipiga “swish”
0
0
15
@am_phares
𝕏
3 months
Wanaoteswa na mapenzi ni hawa walichanja sindano za covid😁
2
1
14
@am_phares
𝕏
3 months
Picha ya panya ipo kwenye kopo la sumu, asa mwanetu umewekwa profile picture.. unatuona sisi hatupendwi haya😁
2
6
13
@am_phares
𝕏
3 months
Yani mnapenda sana pesa kuliko tendo, lakin sasa mnapata sana mimba kuliko utajiri😂😂🙌
5
5
15
@am_phares
𝕏
3 months
Matatizo ambayo pesa haiwezi kutatuta😂
Tweet media one
1
3
13
@am_phares
𝕏
3 months
Sio kila ndoto ni shambulio la kiroho acha janja janja fua hizo shuka mtumishi😂
2
7
15
@am_phares
𝕏
3 months
Kama bado tegemezi Kwa wazazi/ walezi/ndugu, Endelea kuishi nao kwa adabu mno maan mtaani jua ni kali, na msituone wabahilii njooni na nyie muone kama mtatoa toa hela kirahisi!.
2
5
15
@am_phares
𝕏
2 months
Iyo hela itume kwenye namba hii jina litakuja Phares Zakayo Me: HELA GANI
Tweet media one
1
2
15
@am_phares
𝕏
3 months
Wanaume wenzio tunawaza mitaji, ajira, na pesa wew unatuzunguka unaenda kulilia mwanamke🥺
3
4
16
@am_phares
𝕏
3 months
Wakishua watajua naimba😂
Tweet media one
2
3
15
@am_phares
𝕏
2 months
Yale maua ambayo vijana huwapelekeaga wasichana mnanunuaga wapi..???
0
4
15
@am_phares
𝕏
3 months
Sasa kama huyu ni miss IFM, sijui miss SUA na miss UDOM watakuaje😭
Tweet media one
1
6
15
@am_phares
𝕏
3 months
Mwanaume kujua kusuka na kufuma vitambaa🙌
Tweet media one
1
3
15