@Johwizzy_312
Sio hvy kaka ipo hz kila kampuni hupewa. Number zake koo ukiona kama number A then ni new model ujue zipo chache unazo ziona zipo kama nyingi ujue hilo kampuni bongo zipo nyingi. Ni sawa na shule kila shule ina number koo usikute hawa hapo 100 na wale wapo 50 ila number za shule
Hv kati ya roboti mbappe na robot eunice. Hv kweli kwa ww upande wako yupi angeweza karibisha wageni😅
Robot mbape hata ukimwona huwezi zani ni roboti ila eunce utasema makopo