UbuntuSt Profile Banner
ubuntu philosophy Profile
ubuntu philosophy

@UbuntuSt

Followers
247
Following
585
Statuses
2K

Dar es Salaam, Tanzania
Joined April 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
11 hours
@JoelyMeitaya @Olekoitumet Kanaitwa ka frank Mbise, bodaboda aliyepigiwa na na soka wakachukue pkpk aliyokuwa anapigia boda ikaibuwa. Mke wake alikuwa na katt kachanga naye kabaki na kilio 😭😭😭😭
Tweet media one
0
0
1
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
14 hours
@Olekoitumet @JoelyMeitaya Hii huwa ni hataree sana, njoo kwa wale bwana mdogos akina soka, yaan huwa nikicheki picha ya kale ka bodaboda huwa naumia zaidi ya sana ..
1
0
1
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
15 hours
@TheRealEkiswaga Watu watatumia kila mbinu wanayojua ili waweze kueleza hisia zao. Njia pekee ya kuzuia mambo km hayo ilikuwa ni kwa serikali kuwajibika kwa kupotea kwao maana hao jamaa ni binadamu na walitoa taarifa wanaenda wapi kbl ya kupotea, inaingia akilini kwamba walijiteka n kujipoteza?
0
0
0
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
1 day
@Jambotv_ Nadhani bado tunaendelea na mabadiliko sahh ya binadamu kwa mjibu wa historia yao. Mambo gani yamefanyika mpaka tufikie hatua ya kutukuzana kwa namna hii???
0
0
1
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
2 days
@ChiefLumanyika Hapo mzee umechemka, kitu ambayo iko wazi hata hao unaodhani hawamli ni wateja wazuri sana wengine mpaka kutokea ardhi inayotambulika km chanzo cha dini yako hiyo unayotaani kuipigia upatu eti haili mdudu huyo.
0
0
0
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
3 days
@CrownMediaTZ Miaka yote zaidi ya 60 wako madarakani, huo ni utapeli na kuwafanya wananchi wajinga wasiojielewa...
0
0
0
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
3 days
@millardayo Shida inaanzia pale unapowadanganyia aman na kuwatisha kwa machafuko huku ukiwapora haki yao. Hiyo amani itadumu vipi huku mtu anachagua x anatangaziwa y, hapo ni kujidanganya tu maana hili ni suala la muda kitalipuka, bora mkose wote kuliko mmoja kujiona ndio mwenye haki zaidi
0
0
1
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
4 days
@amalinzethe_cat @ajirapsrs Ni mambo ya ajabu sana imagine mtu anasafiri km 1000 kufuata barua halafu akifika anapanga mstari km vile yupo shule ya msingi kuhesabishwa namba, na hapo anaweza kaa hata cku 2 kusubiri tena. Huu ni u local uliopitiliza...
0
0
1
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
4 days
@Chazy255 @Jambotv_ kimoyomoyo ninalo jibu murwa kabisa....
1
0
1
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
4 days
@Jambotv_ Huyu naye km sikosei aliwahi kuwa katibu mwenezi... Siku moja nilihudhuria mkutano wake asee jamaa yuko unga kichwani mpaka aibu..
0
0
0
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
4 days
@swahilitimes Sasa mambo km hayo si ilitakiwa kila rais azungumze tu akiwa kwake? Mm nilitarajia kusia wakitoa amri ya kuwafuta M23 , sasa majamaa mpaka yanafanya uteuzi wa viongozi wao which means DR HAKUNA KITI TENA INAMILIKI HUKO GOMA. Then mnaiambia serikali isilipe kisasi???
1
0
12
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
4 days
@fbuyobe Duuuu kwamba tayr wameshajipatia nchi yaan. Daaaah huuu ni unyanyasaji kwa jeshi la kongo na matusi kwa vikosi vya kulinda amani huko....
1
0
14
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
4 days
@Chazy255 @Jambotv_ Duuuuu atareeee
1
0
1
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
4 days
@MadarakaNyerere Hapa mtaani kuna mzee wa kitusi anaitwa Nyerere..
0
0
3
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
4 days
@MariaSTsehai @SuluhuSamia Japo sio kwa utanganyika ama Uzanzibari sijui na wenzetu wa visiwani km wamo wanaopitia huu ubatizo wa 🔥. Nasikia mpaka kuna ka kijana ka bavicha under 30 kanapambana na kesi ya uhujumu uchumi...
0
2
0
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
4 days
0
0
0
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
5 days
@dumelambegu_OG @YourEagles @Twaha_Mwaipaya Uko sahihi kabisa kiongozi...
0
0
0
@UbuntuSt
ubuntu philosophy
6 days
@YourEagles @Twaha_Mwaipaya Kaka kupata sheria bora kwa kutumia watu wasiopatikana kwa njia halali ni ngumu sana. Vinginevyo watokee watu wachache watakaokasirishwa na mfumo wa namna hiyo na wawe tayr kujitoa mhanga ili kuleta hayo mazingira bora..
1
0
4