![ubuntu philosophy Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1746229299978321920/i_P-ALIE_x96.jpg)
ubuntu philosophy
@UbuntuSt
Followers
247
Following
585
Statuses
2K
@JoelyMeitaya @Olekoitumet Kanaitwa ka frank Mbise, bodaboda aliyepigiwa na na soka wakachukue pkpk aliyokuwa anapigia boda ikaibuwa. Mke wake alikuwa na katt kachanga naye kabaki na kilio ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
0
0
1
@Olekoitumet @JoelyMeitaya Hii huwa ni hataree sana, njoo kwa wale bwana mdogos akina soka, yaan huwa nikicheki picha ya kale ka bodaboda huwa naumia zaidi ya sana ..
1
0
1
@TheRealEkiswaga Watu watatumia kila mbinu wanayojua ili waweze kueleza hisia zao. Njia pekee ya kuzuia mambo km hayo ilikuwa ni kwa serikali kuwajibika kwa kupotea kwao maana hao jamaa ni binadamu na walitoa taarifa wanaenda wapi kbl ya kupotea, inaingia akilini kwamba walijiteka n kujipoteza?
0
0
0
@ChiefLumanyika Hapo mzee umechemka, kitu ambayo iko wazi hata hao unaodhani hawamli ni wateja wazuri sana wengine mpaka kutokea ardhi inayotambulika km chanzo cha dini yako hiyo unayotaani kuipigia upatu eti haili mdudu huyo.
0
0
0
@CrownMediaTZ Miaka yote zaidi ya 60 wako madarakani, huo ni utapeli na kuwafanya wananchi wajinga wasiojielewa...
0
0
0
@millardayo Shida inaanzia pale unapowadanganyia aman na kuwatisha kwa machafuko huku ukiwapora haki yao. Hiyo amani itadumu vipi huku mtu anachagua x anatangaziwa y, hapo ni kujidanganya tu maana hili ni suala la muda kitalipuka, bora mkose wote kuliko mmoja kujiona ndio mwenye haki zaidi
0
0
1
@amalinzethe_cat @ajirapsrs Ni mambo ya ajabu sana imagine mtu anasafiri km 1000 kufuata barua halafu akifika anapanga mstari km vile yupo shule ya msingi kuhesabishwa namba, na hapo anaweza kaa hata cku 2 kusubiri tena. Huu ni u local uliopitiliza...
0
0
1
@swahilitimes Sasa mambo km hayo si ilitakiwa kila rais azungumze tu akiwa kwake? Mm nilitarajia kusia wakitoa amri ya kuwafuta M23 , sasa majamaa mpaka yanafanya uteuzi wa viongozi wao which means DR HAKUNA KITI TENA INAMILIKI HUKO GOMA. Then mnaiambia serikali isilipe kisasi???
1
0
12
@MariaSTsehai @SuluhuSamia Japo sio kwa utanganyika ama Uzanzibari sijui na wenzetu wa visiwani km wamo wanaopitia huu ubatizo wa 🔥. Nasikia mpaka kuna ka kijana ka bavicha under 30 kanapambana na kesi ya uhujumu uchumi...
0
2
0
@YourEagles @Twaha_Mwaipaya Kaka kupata sheria bora kwa kutumia watu wasiopatikana kwa njia halali ni ngumu sana. Vinginevyo watokee watu wachache watakaokasirishwa na mfumo wa namna hiyo na wawe tayr kujitoa mhanga ili kuleta hayo mazingira bora..
1
0
4