2 PAC Profile Banner
2 PAC Profile
2 PAC

@Tupaclifee

Followers
44,512
Following
2,339
Media
10,679
Statuses
137,180

Changes

Canada
Joined May 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
I will be rich one day📌
44
46
304
@Tupaclifee
2 PAC
10 months
Wakuu Wazo langu, Mnaonaje Tukamtafuta huyu Mama Tumchangie Buku buku akuze mtaji wake? Ni Wazo Langu tu🙏
Tweet media one
593
418
5K
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Video iko Chini wakimuua😂
Tweet media one
101
99
3K
@Tupaclifee
2 PAC
2 months
Wazee wa system wanatesti mitambo😂😂
74
578
3K
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Retweet Kwa Yanga, Like Kwa Simba.
Tweet media one
Tweet media two
18
378
2K
@Tupaclifee
2 PAC
26 days
Ukiangalia Hii Video unaweza kutokwa na machozi watu wazima wanambaka mwanamke mmoja ila Serikali ipo Kimya ingechomwa Picha Ya Rais wangetoa Masaa 24 ila huu ukatili amefanyiwa huyu binti hawajasema chochote😭💔
Tweet media one
255
149
2K
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Sema Ginimbi alikua na hela🙌
Tweet media one
105
59
2K
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Taja msanii ambae hujawahi kumuona kwenye Kampeni Za Ccm...👇🏻👇🏻👇🏻
631
47
2K
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Mimi katika wanawake ninaowakubali humu mmoja wapo ni Salome hata umuongelee vip sijawahi kumuona akiblock watu anajibu kistaarabu then anakausha Nampongeza kwa hilo wanawake wengine wajifunze kupitia yeye✊
Tweet media one
114
81
2K
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Tarehe 28/10 mimi naenda Kuchagua Kiongozi bora Ambae ata akipigwa risasi Hafi✌🏻✌🏻
73
126
2K
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Tanzania nzima hakuna Mwanamke Mzuri kama Huyu njooni mniue nipo Mabibo Hostel
Tweet media one
173
53
2K
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Siku zote Mwanzo ni Mgumu🙏
Tweet media one
184
87
2K
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Ajira ngapi zimelala hapa hivi hii Serikali inajiuliza kama hawa watu wanategemewa na familia zao😭
Tweet media one
191
149
2K
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Wangapi Wanafurahia Uwepo Wa Kigogo..????? Naje, Wangapi wanataka kufahamu kabila la Kigogo..??? Bloo @kigogo2014 jibu kabla ya kulala et we kabila gani.???😂😂 Msisahau KuRts🙏🏻
141
68
2K
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Sasa wale Ma-Bodyguard anaotembea nao wanakazi gani?
Tweet media one
116
34
2K
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Mwenye ile Clip ya Joti inasema Naitwa Nishai Mtombangile kitwango Mtoto nyama nyingi pilipili kwa mbali naiomba 😂😂
Tweet media one
44
57
2K
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Naamka nakutana na SMS ya Hivi😒
Tweet media one
514
85
1K
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Hivi mpaka tairi inakua hivi shida inakua ni nini??
Tweet media one
303
54
1K
@Tupaclifee
2 PAC
2 months
Hii Picha Imeniliza, Wakuu Kama Tulivyofanya kwa Wengine mnaonaje Tukamtafuta huyu Mama Tumchangie Buku buku tu apate chochote kitu huyu ni kama Bibi Yangu kabsa wakumzaa Baba Mungu tuepushe na huu Umasikin😭😭
Tweet media one
196
188
1K
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Elfu ishilini ilitaka kumuua mtu na hakufanikiwa kuchukua hiyo hela ilibakia kidogo imuue ikabidi waishushe chini, Video nimewawekea hapo Chini👇😂
Tweet media one
Tweet media two
82
76
1K
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Chawa Alikua hoi 😂😂
238
160
1K
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Sasa hapa kamevaa nini haka🚮
Tweet media one
183
34
1K
@Tupaclifee
2 PAC
15 days
Hapa Mayele Amechagua Dini sahihi maana Uislam ni DINI ya Mwenyezi Mungu Quran 3:19.
Tweet media one
329
67
1K
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Kumbe FOA Ilikua ni Album sio Ep tena🤔😂😂
Tweet media one
49
27
1K
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Kuwa Mkweli Hili Vumbi linapatikana Mkoa Gani?
Tweet media one
501
68
1K
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Hivi ukiwa na kituo Cha Redio vile watu wanavyosikiliza ndo unapata mapato au wanaingizaje hela wao??
103
28
1K
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Uwoya Mchafu sana yaani ukimuona kwenye picha hivi huwezi kudhani kama ndo yule nimeona🤧
Tweet media one
227
48
1K
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Unatumia aina gani ya TV kati ya hizi👇 1, LG 2, Samsung 3, Sony 4, Panasonic 5, Tcl 6, Boss 7, Hisense 8, Toshiba 9, Skyworth 10, Aborder
571
48
1K
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Happy birthday to me 🥳❤️ Thank you God for another year added🙏
Tweet media one
237
114
1K
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Chagua Mwezi Uliozaliwa Uone Wengi wamezaliwa Mwezi Gani.?? Aliezaliwa Mwezi Wako Mfollow Awe Rafiki Ako👇🏻👇🏻 1. Jan 2. Feb 3. Mar 4. April 5. May 6. June 7. July 8. Aug 9. Sep 10. Oct 11. Nov 12. Dec
1K
135
1K
@Tupaclifee
2 PAC
9 months
Mama ndo huyu hapa niliongea naye Video call WhatsApp kupitia namba ya jamaa wa humu aliyenisaidia kumpata anapatikana Dodoma sehemu inaitwa Mkonze kesho pia Insha'Allah ntawaUpdates kafurahi sana alivyooneshwa tu iyo tweet alitokwa na machozi hakuamini mbele ya macho yake.
Tweet media one
Tweet media two
@Tupaclifee
2 PAC
10 months
Wakuu Wazo langu, Mnaonaje Tukamtafuta huyu Mama Tumchangie Buku buku akuze mtaji wake? Ni Wazo Langu tu🙏
Tweet media one
593
418
5K
179
165
1K
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Je, Unaweza kupiga picha kama hii wewe na Mkeo?
Tweet media one
394
50
1K
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Hii Style Mwanamke Anaweza kubeba Ujauzito??
Tweet media one
208
50
1K
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Neno moja kwa Dada Wa Taifa🙌🏻😊
Tweet media one
308
31
1K
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Hiyo Alama Barabarani ina maana gani?
Tweet media one
202
34
1K
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Nyieeeeeee
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
127
64
1K
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Ila Huyu Bibi mshaurini aise😂😂😂
Tweet media one
Tweet media two
201
23
1K
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Hivi ni kwanini Mke Wa Mtu Ni Mtamu..?
206
33
1K
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Hivi Katika kunyanduana kwako ushawahi fikisha bao nne per one night..?
267
47
1K
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Retweet kwa Safari lager, Like Kwa Shangazi
Tweet media one
Tweet media two
50
395
1K
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Hivi huyo Mdada Wa Mkono wa kulia yupo hai au alishafariki?
Tweet media one
81
34
1K
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Kwanini Serikali haijachukua hatua yakuhifadhi huu mwili wa Bob Junior🤔
Tweet media one
178
36
1K
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Mniombee Nimepimwa nimekuta ni ugonjwa wakawaida sio Gono nimeambiwa hivo namadaktari
Tweet media one
220
35
1K
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Unatumia Simu Gani kati ya hizi hapa.👇🏻 1. Samsung. 2. iPhone. 3. Nokia. 4. Tecno. 5. Infinix.
398
33
984
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Kusema Ukweli Hapa Vunjabei atapiga hela na zangu zikiwemo Mwanzo nilikua nanunua Jeans + T-shirt 45K Sai itakuwa Jeans + T-shirt 29K Easy yani katuokoa majobless Watamroga huyu😂
Tweet media one
159
36
1K
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Hivi ukiachwa Msituni Hakuna Umeme Hakuna Mtandao ,Kitu Gani Ungependa Uachwe Nacho..?????
291
29
998
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Hiyo harama $ Inamaana gani barabarani?
Tweet media one
208
37
990
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Hapa Forodhani kabisa na huyu demu anakaa kwa Kiponda Ston Town asee akaamua afanye ushenzi 🚮saivi Zenji watoto wamebadilika sana🚮😤
Tweet media one
143
28
980
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Utafahamu vip kuwa Msichana kalizika baada ya Sex..??
125
19
988
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Mnajua nacheka nini hii ni maajabu😂
68
414
1K
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Hii imekuwa Mpya kwangu😂😂
Tweet media one
77
20
1K
@Tupaclifee
2 PAC
17 days
Mtu analingana na Ufagio sa atakuaje na akili😂
Tweet media one
112
65
1K
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Huyu Mwanamke anaendeleaje jamani mda sijamuona humu akitweet walioko karibu naye yuko na hali gani kwa saivi😒
Tweet media one
27
32
985
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Mtoto MashaAllah🤗😌😍😍
Tweet media one
230
20
970
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Njooni mcheke😂😂😂
Tweet media one
64
44
977
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Tanga Kweli Raha nimefika sehemu nakula muhudumu kanambia jisikie kama upo kwa Mkeo😂😂😂😂
54
23
934
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Hivi Kirefu Cha "DP" Ni Nini..???
223
17
945
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Kwa Upeo wako wakufikiria ukiangalia hii picha umeelewa nini?
Tweet media one
159
21
936
@Tupaclifee
2 PAC
22 days
Wakenya wasiionee hii😂😂
67
121
978
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Ni sabuni gani nzuri kwa kuogea kwenye hii Picha nasoma Comment👇
Tweet media one
325
31
930
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Sisi Madereva Bodaboda Tukikwambia Huyo Demu Hafai Uwe Unaelewa Mbwa Wewe😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻
34
34
910
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Unatumia Simu Gani? 1. Infinix 2. Tecno 3. Samsung 4. Oppo 5. iPhone 6. Nokia 7. Huawei 8. LG 9. Sony 10. Itely 11. Aquos 12. Xiaomi 13. Lenovo 14. Redmi 15. Vivo.
547
53
922
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Enzi hizo Nimesota Sana Mazee mpaka leo hii natembea napumua, Namshukuru Sana Mungu amenitendea makubwa🙏🏻. #ThrowbackThursday
Tweet media one
80
29
904
@Tupaclifee
2 PAC
4 months
Kipindi hiki hadi Kichomi alitaka mzigo kwa Finest akaombwa nauli akachomoa, mtu ambaye hajamkula Finest humu ndani ni mimi tu pekee angu😂😂 video zipo chini👇 #ThrowbackThursday
Tweet media one
Tweet media two
87
48
938
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Hivi Masanja Anafaa Kuwa Mchungaji...???🤔
248
11
889
@Tupaclifee
2 PAC
1 month
Ila Bongo.....😂😂😂😂
101
124
932
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Kuna watu humu hawawezi kuamini kama huyu ni Ms B😂😂
Tweet media one
161
22
894
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Hivi Ukipata Nafasi Yakuonana Na Moo Unaweza Kumshauri Kitu Gani.?
Tweet media one
310
23
852
@Tupaclifee
2 PAC
2 months
Nani hajapata nimpe akafie motoni😂
Tweet media one
443
27
885
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Kiukweli Wakazi tunamkosea heshima kumlinganisha na Kikatuni
Tweet media one
77
31
894
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Huyu atakua anamapungufu ya akili
Tweet media one
123
17
862
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Kama Simu yako iko na Uwezo Type hizo Emoji😂᭄ ᥬ😂᭄😂᭄ ᥬ😂 Tuone.
252
10
814
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Sometimes Kuongea kwa kujiamini inasaidia 😂
Tweet media one
163
26
850
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Leo Nimegongwa Nyuma Jamaa aliyenigonga Hana Leseni na Gari Yangu kaichuna rangi nataka kumpeleka Police Akawa anatetemeka akanambia nikulipe Bei gani nikamwambia anipe laki mbili Kesi iishe kaingia kwenye Gari katoa 200K kanip gari nikaenda kuweka Rangi kwa 100K tu Mjini akili😎
256
37
877
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Kile Kideo Cha Sec45 Nimekipata Nicheki DM iko wazi chapu nikutumie wasap 😂😂😂
132
16
834
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Hivi Videmu Vifupi vinavyopenda Kuvaa Ushungi Sio Vyakuamini kabisa Mamaeeee😭
126
19
827
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Hii ndo January sasa hii Bufa inauzwa Elfu 40 na watu bado wanalinga😂😂😂😂
Tweet media one
113
30
823
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Tutajenga Kweli?😂😂🙌🏻
Tweet media one
Tweet media two
240
30
800
@Tupaclifee
2 PAC
2 months
Chuma bado ina Skills🔥🙌
39
138
843
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Sasa fridge ni kitu ya kukosa😂
Tweet media one
@AmbweneJacob
Ambwene Jacob
1 year
Kijana bado umelala na gheto kwako hamna fridge 😂😂
41
25
279
42
15
821
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Hapa Tutajenga kweli?
Tweet media one
185
22
795
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Kuna watu tunabishana et MO ni Muhindi au Mwarabu.?
138
15
773
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Joined 2022 Hawaelewi kitu hapa, huu mzigo wa IFM kumbe bado upo DM😂
Tweet media one
Tweet media two
102
15
799
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Unaweza Kukuta DiamondPlatnumz Ashamnyandua Huyu Zuchu😢
116
17
773
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Hivi kirefu Cha "TISS" Ni Nini?
79
7
758
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Hivi kirefu cha "Tbt" Ni nini..???
116
13
750
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Hawa ndo wanawake sasa kumbe anataka 10k tu😍 mi nilitegemea atasema 50K😂
Tweet media one
237
35
773
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Usiweke urafiki wala mazoea na Askari🚮🚮
73
36
755
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Ivi Wasukuma nani aliwaroga😂😂🙌🏻
173
132
756
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Hivi Unaweza Kuzama Chumvini Kwa Mke Wa Mtu...?
141
7
733
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Mungu Azidi Kuwabariki Nyote Kwa Dua Zenu Naendelea Vizuri Kabisa Vi-Antena Walishavitoa walinivalisha hili Dude niweze kuweka Mguu kwa umakini usije ukateguka kinanipa Support, ila kuweza kuukanyagia Bado kwanza Nachechemea Tu kwanza Dua muhimu sana🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Tweet media one
Tweet media two
207
50
741
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Hivi kirefu Cha C.D.F Ni Nini..?
81
14
716
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Watu Washachoka na Life mamaeee Zenji hii😂😂😂
81
138
745
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Hivi ni wimbo gani mzuri wakusikiliza Ghetto pale unapokuwa na Mpenzi wako?
125
21
703
@Tupaclifee
2 PAC
9 months
Taarifa njema wakuu Huyu Mama yetu Nimeweza kumpata nakuongea naye pia yupo Dodoma kiukweli kasema hana msaada wa mtu yeyote, Kesho panaponamajaaliwa ntaweka namba tufanye jambo kasema Simu ameibiwa na laini yake Kesho akisajili laini atanipatia namba nakuweka hapa🙏
@Tupaclifee
2 PAC
10 months
Wakuu Wazo langu, Mnaonaje Tukamtafuta huyu Mama Tumchangie Buku buku akuze mtaji wake? Ni Wazo Langu tu🙏
Tweet media one
593
418
5K
99
121
759
@Tupaclifee
2 PAC
2 years
Nyieeeee😂😂😂😂
Tweet media one
137
45
721
@Tupaclifee
2 PAC
4 years
Ni Mtu Gani Hapa Twitter Akikublock Unaweza Kuumia...????
235
10
714
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Mbona naona sana hii picha kwa MaGroup ikisambaa huyu Mdada kafanya nini? na anaishi wapi?
Tweet media one
105
39
704
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Hivi Huyu Si Juma Lokole?🤔
Tweet media one
148
25
689
@Tupaclifee
2 PAC
1 year
Jobless Nipo huku hata sijui nipo sehemu gani mnaweza kunisaidia jina😂
Tweet media one
Tweet media two
188
28
727
@Tupaclifee
2 PAC
3 years
Kati ya Prison Break Na 24 ipi unaikubali?
Tweet media one
165
26
696