![TARI Tanzania official page Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1422441746986848269/96NwmcRy_x96.jpg)
TARI Tanzania official page
@TanzaniaTari
Followers
5K
Following
126
Statuses
855
TARI is an institution responsible for all agriculture research activities in Tanzania
Dodoma, Tanzania
Joined August 2021
Heri ya siku ya kuzaliwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia
@ikulumawasliano @HusseinBashe @TZMsemajiMkuu
0
2
4
Makala fupi ya Majaribio ya sampuli kifani ya kupandia Alizeti kutoka TARI Ukiriguru yaliyofanyika katika maeneo mbalimbali nchini @HusseinBashe @ikulumawasliano @WizaraKilimo @TZMsemajiMkuu
0
1
1
Heri ya mwaka Mpya 2025 mdau wetu wa Kilimo, TARI tunaendelea kukuhakikishia kazi za Utafiti wa Kilimo inakuletea matokeo yanayojibu hamu ya mdau wa Kilimo katika mnyororo mzima wa thamani wa Kilimo lengo ikiwa ni kuongeza tija. @WizaraKilimo @HusseinBashe @ikulumawasliano
0
6
12
Utekelezaji wa Aliyopata kwa Watafiti wa TARI, inavyomsaidia Mkulima kusomesha mwanaye Chuo kikuu bila Mkopo @HusseinBashe @WizaraKilimo @ikulumawasliano
0
0
1
TARI yaendelee kutoa Mafunzo ya Kilimo shadidi cha Mpunga kwa Wakulima na Maafisa ugani Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro @HusseinBashe @WizaraKilimo @ikulumawasliano
0
0
1
Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kupitia kituo cha TARI Uyole imetoa Mbegu za pareto kilogramu 400 kwa Serikali ya Mkoa wa Songwe ili kuwagawia Wakulima wa zao hilo. Kiwango hicho cha mbegu kilichogawiwa kinaenda ekari mpya 1600.@HusseinBashe
0
0
2
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Kenani Kihongosi amepongeza juhudi za Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) katika kubuni teknolojia mbalimbali za kilimo zenye lengo la kuinua sekta ya kilimo nchini. @WizaraKilimo @HusseinBashe @simiyu_region
0
1
2
Wadau wa Kilimo na wakulima Mkoani Singida wameipongeza Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI ) kwa ubunifu wa zana rafiki ya kupandia Alizeti. @HusseinBashe @ikulumawasliano @WizaraKilimo @rcsingida @TZMsemajiMkuu
0
0
0
TARI Ukiriguru leo Desemba 12, 2024 imefanya majaribio ya utendaji kazi wa sampuli kifani ya kupandia mbegu za alizeti (Sunflower rafiki Planter prototype) katika shamba la Jenga kesho iliyo bora (BBT) lililopo chinangali II-Dodoma. @HusseinBashe
1
0
0
Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kituo cha TARI Tengeru iko hatua za mwisho za usajili wa Mbegu mpya bora aina 19 za mbogamboga zinazolenga kuongeza tija katika mnyororo mzima thamani wa Kilimo cha mbogamboga. @WizaraKilimo
@HusseinBashe
0
0
2
Madiwani kaunti ya Eligeyo-Marakwet nchini Kenya Leo Desemba 02, 2024 wametembelea Kituo cha Utafiti wa Kilimo cha TARI Tengeru kwa lengo la kujifunza shughuli za Utafiti zinazofanywa kituoni hapo. @HusseinBashe @WizaraKilimo
0
0
3
Wakulima wa zabibu wameshauriwa kujikita katika Uongezaji wa thamani wa zao hilo ili kujiongezea tija kwa kuepuka hasara inayoweza kutokana na kukosekana soko la kutegemea kuuza zabibu kama tunda. @HusseinBashe @wizarayakilimo
0
0
0
TARI kwa kushirikiana na chuo cha Stadi za Kilimo na Misitu cha Jiangsu (JSAFC) cha China imepanga kuanzisha Taasisi ya Kilimo ya Shennong hapa nchini (Shennong Institute of Agriculture, Tanzania) ikiwa ni sehemu ya ushirikiano baina ya TARI na JSAFCS.@WizaraKilimo
0
1
2
Mkurugenzi Mkuu wa TARI) Dkt. Thomas Bwana amezieleza kampuni za mbegu kulipia mirahaba ya mbegu wanazotumia zinazotokana na kazi za watafiti wa TARI ili kutoa motisha kwa wagunduzi wa mbegu bora wanazouza kwa wakulima.@HusseinBashe @WizaraKilimo
0
1
13
Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) inaendesha mafunzo kwa watafiti yanayolenga kuongeza tija katika mazao ya Muhogo na viazi kwa kuongeza uzalisha wa mbegu bora zinazostahimili mashambulizi ya virusi katika mazao hayo. @WizaraKilimo
0
1
2