Tumelipwa weka won slips 👇
Ligi ndio zimeanza ni mwendo wa maokoto 888starz ❤️❤️❤️
Kama huna account ya 888starz jisajili kwa link hapo chini 👇
Jisajili hapa ... link👉:
Promo code: SONKO
Repost 🙏
Nmekutana na mwalimu wangu wa maths wa O- level hapa Kisesa alikua anasubiri daladala nmeamua kumpa lift
Akaniuliza Amos unafanya kazi gani siku hizi
Nkamjibu nabet na kuuza odds nina group linaitwa WAWEKEZAJI SMART
Huwezi amini kumbe ni muwekezaji 😂 amelipa 20k nmemuunga
Familia hii project tunaianza kesho 100k to 15m..... 12 Dayz
Kama upo tayari comment NIPO TAYARI, REPOST&LIKE nijue tunasafiri wangapi
Kesho yetu tunaijenga leo 📌
Vijana tuache uzinzi ni gharama sana...juzi nmeisafirisha pisi kutoka SINGIDA kuja Mwanza
gharama ni kama ifuatavyo:-
1. Kusuka 50k
2.Nauli na pesa ya kula njiani 60k
3.Lodge 60k {siku 2}
4.kula na vinywaji 70k {siku 2}
5.Kaposho 50k
6.kurudi 60k
Grand total= 350k 😢😢🙌🙌
Mnaonipiga bit Dm nyie ni waoga sana acha niwape location mje tuonane man to man saa 9:00 am hadi saa 10:00 am ntakua Bank ya NMB BUHONGWA? .Ntakua nimevaa jeans nyeusi kiatu Timberland na form 6 ya kijivu njooni tuonane
Natoa 5k ya vocha kwa wallpaper kalii itakayopata like nyingi kwenye comments mwisho wa challenge saa 11:00
Vigezo repost pinned post & like
Twende kazi 👇
Hii rollover ntaipiga pale SPORTYBET kwa muda wa week 1... sababu kule hawatabana stake siku tukistake 7m kupata 10m tunaanza na 25k kama umo repost nijue wangapi wako tayari
50k (elfu 50) give away SIMBA & YANGA challenge... 8th August 2024
Mchezaji wa kwanza kupata kadi ya njano (Yellow card) Taja majina yake .....na goli la mwisho litafungwa na mchezaji gani (Taja majinayake)
Repost & Like
Twende kazi 👇
Timu za ushindi weekend hii 👇
Galatasaray
Tottenham
Ferencvarosi
Sporting Lisbon
PSV
Benfica
Porto
CFR Cluj
Fiorentina
Molde
Hacken
Bodo Glimt
Olympiacos
Braga
Marseille
Real Madrid
Leipzig
Liverpool
Bayern Munich
PSG
Rangers
P.A.O.K
Manchester City
Morning Champ's...najua Chelsea katuumiza sana tenasana... usiku kucha hatujalala..tuachane na yaliyopita tuanze upya bado tuna nafasi na muda wa kurekebisha tulipokosea we move on 💪
Nipo eneo la tukio kama ni nyie mlikua mnanifata kwa nyuma na ka IST keusi mmeingia hapo sheli ya TAIRO njooni tumalizane kabla sijaingia kufanya transactions zangu
Ilibaki kidogo nishinde 39m pesa kubwa ambayo kwa mara ya kwanza ningeshinda nawalaani Chelsea ...tangu nabet mkeka unaniuma ni leo hadi usingizi umekata
Nkiboom hiyo 5.3m mpangilio wa give away uko hivi . (Give awayni 300k)..
1.100k kwa mama kichanga yupo TL
2.200k Kwa wale wanangu hata nkipost hata dot wana like
& repost 😎
Kampuni za kirussia zilizosajilia Tanzania
1. Betwinner
2. PARIPESA
3. Helabet
Ukipata changamoto kwenye hizo kampuni bodi ya michezo ya kubashiri itakusaidia ila hawa 1xbet hawana usajili nchini ndio maana wanatuburuza kuweni makini .....
Turudi 888starz zingatia kama una 10k hakikisha unalaza 10k faida kama una 200k laza 200k faida cheza kiasi Betting isikupe depression,stress au vidonda vya tumbo 📌
FEAR WOMEN..kuna mke wa rafiki yangu alikua anafanya kazi kampuni X ipo hapa Mwanza..yule mdada aliacha kazi bila sababu za msingi so akafatilia mafao yake NSSF kama 16m jana amelipwa leo yuko mahakamani anadai talaka anasema hawezi kuishi na mwanaume asiejitambua...FEAR WOMEN
Rollover yetu Day 1 to 3.. 10k capital.. 90k profit hadi sasa,GOD IS GOOD tunaelekea nchi ya ahadi... kuanzia kesho game zipo back to back hadi tarehe 22 November tutakua tumekamilisha 10 Days 🙏
Nilipitia comments zote za mlionisnitch jana nimegundua wengi wenu mnasumbuliwa na njaa,roho mbaya, uchawi na shobo..so nimeandaa 500k ntawalipa haters wote leo, baadae ntawatag niwape ujira wenu.... HUWEZI ZUIA RIZIKI YA MTU NA ROHO YAKO YA KICHAWI
Uoga ni mbaya sana kwenye hizo odds 209 game 10 zimetoa Over 2.5 next time nakuja na treni kama 3 Over 2.5 game 12 Odds 210 ...over 1.5 & handicap Odds 210 over 1.5,Asian handicap,DC na Bookings...
Kila J3 Odds 200+ zilizonyooka ntakua naachia..ishi na SONKO ki master 😎
Huu usenge wa hizi kampuni za Kirusi wa kukimbia na pesa za wa Tz wenzetu sio wakuunyamazia ni vile watu ni masnitch wanajifanya hawaoni kinachoendelea hizi kampuni za kifala ni za kuzikataa kabisa....TUWAZE KUPATA WON NA TUWAZE PAYMENTS hili halikubaliki 🚮🚮🚮
PESA AMBAZO HUTAKIWI KUBETIA HATA UKIPATA SURE ODDS 100%
1.Pesa ya kula {utakufa njaa}
2.Pesa ya ada
3.Pesa ya mkopo
4.Pesa ya rambirambi
5.Pesa ya Boss wako
6.Pesa ya mke wako{Utaona moto 🔥}
7.Usiuze mali yako ili upate pesa ya kubetia
8.Pesa ya kodi ya nyumba
S.W.Y.C.T
Tuachane malumbano tufocus na kutafuta pesa....tunapoteza pesa kutafuta pesa nyingi zaidi ,we move on...kitu nmegundua space ina nguvu kubwa ya ushindi hizi 2 cut zisitutoe kwenye ramani we fight together 💪
Somo kubwa nimewahi kujifunza kwenye maisha ni pale nilipopata changamoto nyingi sana na watu nilioamini ni marafiki na ndugu walinikataa...Pale ndipo nilipojifunza vita yeyote utakayopigana peke yako ukashinda itakujenga, itakufanya kua imara sana
Pigana vita zako peke yako
Picha kali itakayopata like nyingi kwenye comments atajishindia 10k (elfu 10) mwisho wa challenge saa 19:30
Repost &Like📌
Vigezo na masharti kuzingatiwa
Twende kazi 👇
Wanangu leo Inplay tunaanza na mtaji wa 100k lengo tufunge 600k zakutumia weekend 🔥
Kampuni ni ile ya upendo ❤❤❤ 888starz
Kama huna account Jisajili chaap kwa link hapo chini
Jisajili hapa link:
Promo code: SONKO
REPOST 🙏
Huyu Bro alinifata Dm asubuhi akadai Bi Mkubwa anaumwa na inahitajika 400k kesho ya matibabu na mtaji anao 50k nkamwambia cheza Inplay zangu BWANA ni mwema amepata 300k
Hii ni kubwa sana 🙏
Familia hii project tunaianza kesho 100k to 15m..... 12 Dayz
Kama upo tayari comment NIPO TAYARI, REPOST&LIKE nijue tunasafiri wangapi
Kesho yetu tunaijenga leo 📌
Familia hii project tunaianza kesho 100k to 15m..... 12 Dayz
Kama upo tayari comment NIPO TAYARI, REPOST&LIKE nijue tunasafiri wangapi
Kesho yetu tunaijenga leo 📌
Ukifanikiwa kupata pesa kwenye BETTING ya kuanzisha kimradi kimbia usirudi nyuma tena,baada ya kuacha BETTING nilifanya hesabu ya pesa nilizoliwa ni zaidi ya 5m+ alafu nikawin 19m so sikuona haja tena ya kuendelea na ..BETTING wanaopata pesa ni wachache sana 3/100 tumia ubongo