Kuanzia Mwaka jana Dec hadi mwezi wa nne mwaka huu nilikuwa busy sana ku design jukwaa ambalo itakuwa rahisi wanaopenda kujifunza kupata Premium content kwa urahisi. Mpaka sasa imefika stage ambayo lengo linaelekewa ipo kupitia . Maoni yako yanakaribishwa.
Jana usiku nikaamua nijipe changamoto
Natumaini nanyi mtahamasika kama mm, Na kujaribu.
Nimetumia Adobe Photoshop, ila yahitaji utulivu kidogo na maarifa ya kijiografia 😀
Asanteni kwa wote mlio Like, RT Post yangu iliopita, sikutegemea kama itapokelewa kwa ukubwa vile. Comment nyingi ziliomba niyafanyie na maeneo mengine yaliotajwa ambayo ni
Moja ya Project ilioni challenge sana mwaka huu ni hii ya ku design Exim Bank Integrated Report 2021. But mwisho wa siku I made it and client satisfied 100%.
Full Project 👉
Nimejaribu kupaka rangi katika picha ya BLACK & WHITE. Haiko sawa kwa asilimia zote lakini kiasi chake ina leta hisia gani. Nimetumia Adobe Photoshop, natarajia kuja wengine hasa wale ambao hatujawai kuona picha zao za full colored. Picha by GettyImage.
Ninatoa tutorials kwa njia mbili. YOUTUBE na DIGITAL PACKAGES
.
YouTube ni FREE 100% ni wewe tu na bando lako la intaneti. Maana ktk channel yangu kuna Videos zaidi ya 200.
.
DIGITAL PACKAGES
Hizi zipo ktk mfumo wa DVDs na softcopy. Bei yake ni 20000Tsh per packages.
Ubunifu wa Book Cover niliofanya siku mbili zilizopita.
Mlolongo wake nilianzia Katika Adobe Illustrator Kuandaa WordMark, Ku create custom typeface, Color kila kitu. Nikatumia Photoshop Ku color Grading Picha ya Muhusika Kuwe na Color Tone Matching. Kuna Mwenye Swali?😎😎
Siku zote anza na Ullichonacho 😃😃😃. Picha tatu za mwanzo ni setup ambayo natumia kuji record Mwenyewe Videos za YouTube. Picha ya Mwisho ni Camera inavyoniona mimi.
Nilitumia saa zisizopungua Mbili Kufikiri na kuifanya hii Project kwa kutumia Adobe Photoshop, Changamoto kubwa ilikuwa kupata picha za wachezaji ambazo ni HD ikanibidi ni re create 3D jersey na kuziingiza Katika Photoshop, Natumaini inaeleweka.
#DarDerby
Yanga vs Simba.
Kwa sisi ambao hatupost Udaku, hatuna umaarufu kupata
1,000+ Views
Comment na Likes zaidi ya 100+ Sio rahisi.
Ila haya ni matokeo kuwa yale ninayoyafundisha yana tija kwa jamii hasa kwa vijana kama mimi. Mwisho kabisa Niseme Asante.
Kama unapenda graphics na hujui pa kuanzia, anza kujifunza Photoshop, Illustrator na Indesign kwanza. Wengi wanaomba Kufundishwa ana kwa ana. Natamani iwe hivyo lakini Ratiba zangu zinanibana mno . Hizo nilizozitaja kila moja 20,000TSH, Ukichukua 3 pamoja unapata kwa 45k
2009 - Nilianza jifunza Graphics design
2014 - Nikaanza Kufanya Graphics kama kazi
2016 - Ni ka create kozi yangu ya 1 ya Graphics
Mpaka kufika 2020 Nime create kozi 13 za Graphics Design na zote jumla nimeuza copy 15,000+ Ndani na nje ya Tanzania.
Kama unatamani kujifunza na kujua 3D Design kama kudesign 3D Mockups, Logo Intro, Product Design, 3D visualization nk, Hii inakuhusu sana. Kumbuka ni Mafunzo kwa njia ya Videos, Pack ina 45+ Tutorials na inapatikana Kwa kulipia 30,000TSh. Call 0714250356 Maelezo zaidi
Consistency. 500+ VIDEOS 🔥
Wakati naanza game ilikuwa ngumu sana kiasi kwamba wengi nilioanza nao walihamia kwenye UDAKU na COMEDY. Kijana mwenzenu bado nakomaa kwa sababu lengo langu sio Kupata subscribers au Maokoto. Lengo ni kuacha Legacy.
No Flexing, But I like to show my 3D skills.
Took me a week to creat this 54 Second animation from start to finish.
Software Used: 3Ds Max, Photoshop, After Effects
Kwa wale ambao wanatamani kujifunza Graphics Design kwa undani zaidi Jipatie Premium Tutorials zangu ujifunze mengi zaidi ambayo Hutoyapata popote.
Mafunzo ya Illustrator I - 20K
Mafunzo ya Adobe Illustrator II - 20K
Logo Design - 30K
Zote tatu kwa pamoja utapata kwa 45,K
Kuwa CONTENT CREATOR sio mchezo Ila ili ufanikiwa nenda tararibu kutokana na uwezo wako, Baada ya muda fulani utafika sehemu ambayo kila mtu anaitamani kuwepo.
Badala ya ku spend +$ 8 kwa mwezi ku watch movie. Kwa nini usiwekeze katika kujifunza, hasa mambo ya 3D tena kwa kiswahili. Bei kuanzia $ 1 hadi $ 10.
Kwa watakao JIUNGA watapata 50% OFF ya Package ya After effects. Kiunganishi
NOT a Photography but it is a 3D Product visualization.
Created from scratch by me inside 3Ds Max.
I can create yours if you have a product that needs Digital Photography.
Tumeitisha mkutano wa wadau wa utalii wa ndani ya serikali na nje ya serikali ili tujadiliane ‘repositioning’ of tourism during and after containment of the Corona Virus pandemic!
#TanzaniaUnforgettable
#HK
Designer na wazee wenzangu wa CODING Mwisho wa mwaka huu tusisahau kujipa vacations na mapumziko hata one week tena iwe nje ya mazingira uliozoea. Tunakaa sana ndani mpaka sura zina copy rangi za ukuta.
Youtube content
1,000 Views = 2$ (4800TSH)
Inakubidi ukusanye atleast 100,000 Views ndani ya siku 21 uweze kuwithdraw earnings zako
Freepik
1000 Download= 50Euros
Pia unawekewa na bonus ya mapato ya matangazo yaliopitishwa ktk profile/assert zako.
Kama huamini niulize mimi
Looks really like STUDIO PHOTOGRAPHY but is NOT
This is CGI (Computer Generated Image).
I'm seeking new challenges, check me if you have a project, and let create beautiful products render together.
Kutoka Maktaba yangu
Product animation nilioifanya from scratch. Modeling, Lighting, Compositing etc. Nimetumia 3Ds Max, After Effects na Premiere Pro. Hii ni ya muda kidogo. Im looking for a new challenge. 📧rmaguluko
@gmail
.com
Je wafahamu kuwa Unaweza kuiondoa Background ya Picha ndani ya Photoshop kwa TWO CLICKS za mause. Adobe Creative Cloud kuanzia toleo la 2018 zinatumia Artficiall Intelligence (AI) Kukusaidia katika Editing za kazi zako, Mfano mmoja wapo ni huu hapa
Nipo Busy kidogo na kazi za wateja wangu lakini kiasi cha kushundwa kuandaa maudhui yatakayowanufaisha mnaopenda kufuatilia TWEET zangu ila nahisi hii Post itakusaidia
Kama wewe ni Graphics designer/Videographer/Photographer/Content Creator una Freelancing Basi inabidi ujifunze sana Business skills bila hivyo hutoboi. Utaishia kulalamika kwamba hizi kazi hazilipi
Yale yote ninayoyafanya yako packed kwenye hizi kozi. Kupitia kozi hizi utajifunza mengi, kwa mda wako, kwa kiswahili kupitia videos. Tembelea kununua na kujiunga
Unaponunua Computer usuangalie Brand
Cha kwanza angalia Nature ya kazi zako
Kwa sababu ndiyo itaamua uende na specifications zipi. Mfano Photographer kuwa na pc yenye ram 8gb or 16gb inatosha sana. Ila ukija kwenye 3D ama motion graphics hazitoshi kabisa.
1/5
Vijana bado tunahutaji kuelimishana zaidi kuhusu hii dhana ya KUPIGA/KUINGIZA PESA kupitia mitandao/digital platforms. Kwa maana wengi huzani kwamba kama walivyo kaa bila kufanya chochote na hawaingizi chochote basi wanaweza kuingiza pesa bila kufanya chochote.
Mlolongo wa kujisajiri sasa
1. Nationa Id
2. Brela certification
3. Business license
4. Tax clearance
Create account ktk site yao, uanze kujieleza kama una apply Passport . Yani not friendly sometimes unasema let me try kulipia unakutana na viunzi 😂😂😂😂
It was a pleasure working on this project. It was quite a challenge creating material and lighting the products, but I think the overall look was satisfactory.
Always a headache dealing with full black matte material rendering, but fortunately I came through.
Nilipata fursa ya kufanya CGI Photography (3D Products render) ya smile devices na hizi ni baadhi ya renders.
Kama una device ama product inahitaji photography/visualization au Custom PSD Mockups nipo tayari kushirikiana nawe. Karibu 🙂
Sehemu 3 unazoweza kupata Hamasa (Inspirations) ya Design
01. Pinterest
02. Behance
03. Dribbble
Kama kuna nyingine unaifahamu basi unaweza kuiandika ili iwe faida kwa wengine
Wiki ilikuwa ya ubize sana kwa sababu ya Kujipa challenge hasa katika Upande wa motion Graphics. Hizi ni baadhi tu ya screenshot ya kile nilichokuwa nafanya, Na ni 100% After effects. Na nitapost MCHAKATO nilioupitia na mbinu nilizotumia kufanikisha hili.
1, 2 or 3 Ipi iko poa sana ?. Zote hizi nimefanya CGI Photography (3D Products render) kwa kutumia 3Ds Max + Adobe Photoshop. Naweza pia fanya Product zako zikawa na picha nzuri kwa matumizi ya promotions na marketing. Karibu 😊😊😊
@Richstartz
Aiseee nima speed tu. Kuna jamaa wanaitwa SMK solutions insta... Wanabuild hizi machine, maybe watembelee lazima utaokota ka kitu kazuri. But that GPU umemaliza