Yani Nimeamka Nimekuta Missed Call za Ronaldo Nikampigia vipi kwema Mzee? Ananiambia plz kabla hujaenda Bongo Njoo kwenye Nyama Choma Home nikamuuliza kuna Shisha? Kasema usiwaze ndo kazi ya Magwaya hiyo 😁
Seems Unreal.. 💔💔 Costa titch kabla ya kufanikiwa kwenye Uimbaji alikuwa a very talented Dancer nitamkumbuka na nashukuru kwa mchango wake chanya kwenye video yangu ya Wanjera!
Rest With Angels Brother!
Jamani Watanzania nadhani mmeona Line nimetoka nayo Mbali sasa ole wenu Akiwa Tajiri No 1 Tukiwa tunakula Pizza kwenye Private Jet mniite Chawa 🤣 Na TAJIRI kaniahidi atanikopesha Niinunue Yanga
@diamondplatnumz
I wish all the best to my brother
@ericbailly24
on His new Chapter
Maisha ni Connection
@MwanaFA
Alinitambulisha kwa Eric then Eric akanitambulisha kwa Timu nzima hata mimi ukitaka kupiga picha na Mayele Connection nnayo 😁 njoo ofisini kwangu GSM
Uzuri Wa Tajiri Yangu Hana Kifua Friji Haligandishi 😁 Siku Moja Aliniambia Unajua Watu Wanakupiga Sana Majungu Kuna Mmoja kaniambia Vipi Unampa Kitengo Ommy Hajasoma Wakati Watu Tuna PhD 😁 Lakini Allaah Amemjaalia Hekima Akamjibu Mimi Siangalii Makaratasi Kama Mtu Nikimpa
Yani Wakati Naanza Kulizoea jina la Muheshimiwa Mbunge Mara Paap Limeongezeka jina lingine Eti Muheshimiwa Naibu Waziri Nyieeee Kweli nimeamini Waganga wa Ukweli wapo Muheza 😁😁 Happy Birthday Msukuma Milango iliyoandikwa Vuta na ikafunguka
@MwanaFA
I’m totally devastated. There’s absolutely no excuse for this. We had everything we needed to make it to next year’s Champions League and we failed. We are Liverpool and qualifying to the competition is the bare minimum. I am sorry but it’s too soon for an uplifting or optimistic
Unapopunguza Maadui Hakikisha Unabakisha hata Wawili ili wawe wanapelekea Taarifa Makao Makuu kuwa pamoja na Vita vyao Bado uko Strong 😁😁 “Happy New Week “
Line nimetoka nazo Mbali Wakati JK President,Pia Tajiri Yangu Alikuwa anapiga Suti kabla Yanga Hawajambadilisha na kuanza kuvaa Kanzu kama Shekhe Kipozeo 😁😁