![Joseph Oleshangay Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1324003535638450178/XMaUkE8O_x96.jpg)
Joseph Oleshangay
@Oleshangay
Followers
12K
Following
4K
Statuses
18K
Advocate for Human Rights, democracy, rule of good laws, indigenous rights. Weimar Human Rights Award Winner 2023. Proud son of the land of man/Ngorongoro
Ngorongoro Arusha Tanzania
Joined November 2012
MAASAI DELEGATION IN EUROPE: a humanitarian crisis designed and executed with all force by @SuluhuSamia regime In the past two weeks, Maasai delegation toured several countries in Europe to express concern over the humanitarian situation in Ngorongoro and Loliondo
15
107
264
RT @MariaSTsehai: Hawa waarabu mbona wanapenda hii “East Gateway” Au wote lao moja? Huyu Bi Kizimkazi katuuza mazima! Sasa bandari zetu zi…
0
89
0
RT @EduTalkTz: Ninasoma hii nondo now. Unaambiwa wakati King Leopold anafanya harakati za kuicolonize Congo, mpaka Papa aliuziwa bondi😎.…
0
7
0
RT @godbless_lema: Changia ku-support harakati CHADEMA.Jina litasema M-Pesa CHADEMA HQ: 0744-446969
0
186
0
RT @fatma_karume: Tundu is very intelligent and extremely well read. He reads and writes a lot.
0
88
0
@fatma_karume Shangazi tuna kesi nyingi za namna hii. Mahakama imekuwa sehemu ya kuchelewesha haki Tanzania. Haiwezi kuelezeka kesi inachukua 5-10-15-25 years in Court.
1
5
26
RT @fatma_karume: Nimefurahi sana kusikia Wizara ya Ardhi imechukuwa ADMINISTRATIVE decision ku-correct a gross error. Walihamisha nyumba…
0
23
0
RT @fatma_karume: Tukakata Rufaa. Kesi ikawekwa benchi miaka 4. Rufaa haisikilizwi. Leseni yangu ikachukuliwa. Wateja wakaenda kwa Mwanashe…
0
9
0
RT @fatma_karume: True story: Miaka 20 iliopita nilipata wataje waliyekuja kwangu kutafuta msaada wa sheria baada kupitia yafuatayo. Shang…
0
97
0
RT @fatma_karume: Wafanyakazi wakafanya urafiki na mwanamke nitamwita A kwa madhumuni ya kumyanng’anya nyumba Shangazi. A alikuwa na uwezo…
0
10
0
RT @odompopodo: huyu kijana ni hatari kwa usalama wa nchi kiasi kwamba anaweza kupotezwa ili nchi ibaki salama? kumtesa au kumuua ni kuichi…
0
10
0
RT @MariaSTsehai: Hivi @SuluhuSamia hawa vijana unawashikilia kupitia @tanpol kwa lengo gani? Kuteka na kuua si suluhusho maana malipo ni h…
0
113
0
@DrCyrilo @SuluhuSamia CCM sio chama cha siasa. Ni genge hawawezi sema lolote tofauti na mwenyekiti
2
6
42
RT @godbless_lema: Changia ku-support harakati CHADEMA.Jina litasema M-Pesa CHADEMA HQ: 0744-446969
0
536
0
RT @MariaSTsehai: 🤣🤣🔥Spana size ngapi hii? @HecheJohn amemfuata Mzee Wasira hukohuko Kanda Maalum Mijitu inatufukarisha na wazee badala y…
0
93
0
Lissu is right. Mimi sijui Majaji walio kwenye tume ya uchaguzi huwa wanafanya nini Tume inatakiwa kusajili wapigakura Mara mbili na wala huwa hawafanyi Daftari linachezewa, marehemu wanahama vituo bila uwajibikaji
VIDEO: "Wapiga kura waliopiga kura halali za wabunge kwa mujibu wa taarifa ya tume ya uchaguzi walikuwa takribani milioni 11. 8 lakini ukienda kwenye matokeo ya uchaguzi ya kila jimbo katika nchi yetu, ambayo tume iliyachapisha tarehe 5 Januari 2021 ukajumlisha matokeo ya kura halali katika majimbo yote ya nchi hii unagundua kwamba wapigakura halali waliopiga kura za wabunge katika uchaguzi mkuu uliopita ni takribani milioni 8.8, kuna kura zaidi ya milioni 2.1 ambazo hazijulikani zilitokea wapi, na asilimia 92 ya kura hizo zilipelekwa kwa wabunge wa CCM, sisi CHADEMA tumegawiwa hizo kura haramu 148000 lakini kura zaidi ya milioni 2 zilipelekwa kwa CCM, kura haramu kabisa. Sasa haya yanawezekana kwasababu tume haiwajibiki kueleza mtu yeyote idadi halisi ya wapigakura iliyowaandikisha, tume haiwajibiki kufungua server zake huko wanapohifadhi takwimu za wapiga kura kwa mtu yeyote. Na kwasababu haiwajibiki kufungua server zake kuonesha hizo takwimu, Tume imekuwa pamoja na serikali na CCM wanatumia mianya hiyo kuingiza mamilioni ya kura feki katika kila uchaguzi, sasa kura feki ni jambo la kawaida"- Lissu. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu akizungumza na wanahabari Makao Makuu ya chama hicho mkoani Dar es Salaam siku ya Jumatano Februari 12, 2025.
0
5
17
RT @HecheJohn: Asanteni sana Tarime mjini. Tukutane Sirari, Tarime vijijini. #noreformsnoelection
0
282
0