OleSangka Profile Banner
Olesangka Profile
Olesangka

@OleSangka

Followers
3K
Following
164K
Statuses
25K

Ashe Engai

Iraq, Tanzania
Joined September 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@OleSangka
Olesangka
4 years
Legendary Friday Nakukumbuka kila nikiwasha mneli๐Ÿnikisikiliza bamiza na ushanta SUA na Watengwa wamekumiss Sana, chindo anaendeleza gurudumu la kuwakilisha kijenge JCB katupa Paa na sitowasahau katueleza mchizi alivokuharibia na Beto kijenge madogo wanatamani ungekuepo
Tweet media one
8
17
99
@OleSangka
Olesangka
1 hour
Hazitumiki mara kwa Mara usafi wa chuma, wengi wanazibeba kama masai Anavyobeba fimbo ya kuchungia
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 hour
Kwa nini bunduki nyingi za polisi zinagoma kufanya kazi?
0
0
5
@OleSangka
Olesangka
1 hour
Enzi zangu Kama ngedere kwenye Madura ya Mzee loisaijuki kule engutoto world vision kunae mti wa maduza mkubwa kinyama
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
5 hours
Mzigo umekubali
Tweet media one
0
0
1
@OleSangka
Olesangka
8 hours
@tommytraveler21 @AsajileF @Maulid10 @hamzaalbhanj Kama mwekahazina wa kukeke gang LMS ninapinga ufujaji hovyo wa pesa unaotaka kufanyika na mwanachama yeyote na atakaejaribu kufanya hivyo, hatua Kali za kisheria zitachukuliwa juu yake
2
0
3
@OleSangka
Olesangka
8 hours
Kusini Kuna changamoto za Kila aina๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
@iamBandanaJr
๐Ÿ…œ๏ธŽ๐Ÿ…ฆ๏ธŽ๐Ÿ…๏ธŽ๐Ÿ…–๏ธŽ๐Ÿ…˜๏ธŽ๐Ÿ…ฃ๏ธŽ๐Ÿ…ž๏ธŽ๐Ÿ€
11 hours
Maelekezo yazingatiwe๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Tweet media one
1
0
5
@OleSangka
Olesangka
8 hours
@MahmoudALwatan @CantarianM Iko wazi mjomba angu amcheck chalii hapo fasi mwendo wa ngiri
1
0
1
@OleSangka
Olesangka
9 hours
Kutokea Arusha pale sunrise radio mtu wa maana sana zungu mkali wa soka๐Ÿ”ฅ
@Adventure_36
Adventure-360
22 hours
Zungu ameaga pale Wasafi media, jamaa alikuwa ana combination kali sana na Charles Williams. Inasemekana Zungu anahamia Crown Media. Mwamba anajua sana huyu
Tweet media one
2
1
6
@OleSangka
Olesangka
9 hours
@Deo_Salekio Nimehamia kwenye kili
1
0
0
@OleSangka
Olesangka
9 hours
@NBCTanzania huduma bora kabisa
@McinikaWaLamar
Daktari Wa Manesi ๐Ÿ’‰๐Ÿ’Š
12 hours
Taasisi gani unayoijua imefikisha zaidi ya miaka 30 lakini bado inatoa huduma kwa ubora mkubwa?
1
0
1
@OleSangka
Olesangka
9 hours
Shemeji niletee zawadi ukirudi
@roseylyne
Ms Lyne๐ŸŒน
12 hours
๐Ÿฉต
Tweet media one
0
0
0
@OleSangka
Olesangka
10 hours
Jana jioni pia ulikua unaliongelea hili sheikh hutaki kabisa hii๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
@jaliluzaid
Jalilu Zaid
11 hours
@raphyrodrick Itโ€™s the best when itโ€™s not about your sister or your daughter ๐Ÿ˜Š
1
0
0
@OleSangka
Olesangka
12 hours
@AnkaliDrew Niende Tanga weekend chap๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
1
0
0
@OleSangka
Olesangka
12 hours
Bila kukutoa hapo chuga utakufa we jamaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
@MahmoudALwatan
Mahmoud, MA
12 hours
Baada ya kupeleka binti zangu shule, ni muda sasa wa kupata chochote kitu na mama yao tukijadili namna ya malezi ya watoto wetu.
Tweet media one
3
0
6
@OleSangka
Olesangka
13 hours
@Deo_Salekio @hamzaalbhanj @ReganTesla_ @CantarianM @EllySamwel2 Nilipata ajali na mbuzi sikumiachia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
1
0
2
@OleSangka
Olesangka
23 hours
@CantarianM ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚nitaoa hamtaamini
1
0
1
@OleSangka
Olesangka
23 hours
@hk_jr08 @Makaveli_255 @BestBuddyAlly @ReganTesla_ @neezaneeza Hahaha vile vin'gora vyake mngesikia Niko MOI ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
1
0
2
@OleSangka
Olesangka
23 hours
@hk_jr08 @BestBuddyAlly Afisaaa simu ziite basi mkuu
1
0
2
@OleSangka
Olesangka
23 hours
@hk_jr08 @Makaveli_255 @BestBuddyAlly @ReganTesla_ Nilikua nayo nikiwa Tanga fujo zake @neezaneeza anaijua chuma ilikua na namba nyekundu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
1
0
3
@OleSangka
Olesangka
23 hours
@hk_jr08 @BestBuddyAlly Nyie mlioko huko mnafaidi sana๐Ÿ˜‚
2
0
3