جمعة يحيى محمد Profile Banner
جمعة يحيى محمد Profile
جمعة يحيى محمد

@OfficialJouma

Followers
5,085
Following
579
Media
1,853
Statuses
17,955

Mwalimu wa Lugha ya Kiarabu | Content Creator أستاذ اللغة العربية | صانع المحتوى

Dar es salaam,Tanzania
Joined February 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
6 months
IBADA YA SWALA (NAMNA YA KUSWALI). 🔴 Kwanza tufahamu nini maana ya Swala? • Swala (صَلَاةٌ) kilugha ni: Dua / Maombi. • Ama Swala kisheria ni: Kumuabudu Allah Mtukufu kwa maneno na vitendo maalum, vinavyoanzwa kwa kuleta Takbiira (Yaani kwa kusema "Allaahu Akbar), na
Tweet media one
5
102
268
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
• Mke alikuwa ni mwenye huzuni. • Mume wake akasema: Katika wanawake wazuri niliowaona kwenye maisha yangu wewe ni mwanamke wa pili kwa uzuri. • Mke akauliza: Wa kwanza atakuwa nani?! • Mume akajibu: Wewe ndiye wa kwanza, lakini wakati unapotabasamu.
Tweet media one
31
189
980
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
قد يكون ما تحمله على ظهرك سبباً لنجاتك، فمهما كانت حمولك قل "الحمد لله". Huenda mizigo uliyoibeba mgongoni mwako ikawa ndiyo sababu ya wewe kunusurika. Kwenye maisha haijalishi umezibeba changamoto kubwa kiasi gani, daima sema "Alhamdu lillah".
Tweet media one
16
74
423
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
• Mwanamke ambaye mume wake alitaka kumuacha yeye na mtoto wake wakiwa peke yao kwenye bonde lisilokuwa na mimea, hawakuwa na chochote isipokuwa kiasi kidogo cha maji na tende. - Bi. Haajar alimuuliza Nabii Ibrahim(Alayhi salaam) "Je, Allah ndiye amekuamrisha ufanye hivi?"⤵️
Tweet media one
9
59
393
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
✍️Amani iwe juu yako ewe rafiki yangu • Profesa mmoja aliyekuwa akifundisha chuo kikuu, alikuwa akivaa saa ya kike. Na walikuwa wanafunzi wake wakimfanyia masihara • Hadi ikafika siku, mmoja ya wanafunzi wake akathubutu kumuuliza: Kwa nini unavaa saa ya kike? ⬇️
Tweet media one
20
81
400
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
Allah alishakadiria na yale aliyoyataka ameyafanya. Hatuwezi kuwarudisha duniani wale tuliowakosa, lakini nataka kuwatuliza wale waliozipoteza nyumba zao. Hamtatoa hata Lira moja kwa ajili ya kuzijenga upya nyumba zenu.
Tweet media one
26
45
389
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
Assalaamu alaykum. Msione nipo kimya, nimepewa mtihani wa maradhi kidogo. Tangu jana naumwa.
72
13
343
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
"طلبتُ من الله أن أكون غنياً، فأعطاني الإسلام." محمد علي "Nilimuomba Allah utajiri, akanipa Uislam." Muhammad Ali
Tweet media one
0
31
304
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
ستعلمك الشدائد أنه ليس لك إلا الله. Shida zitakufundisha kwamba huna yeyote (anayeweza kukusaidia) isipokuwa Allah.
Tweet media one
6
58
305
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
إذا خانتك صحتك لن تخونك أبداً زوجة صالحة. فاحسنوا الاختيار لأجل ذلك اليوم. Hata kama afya yako itakusaliti, lakini kamwe mke mwema hawezi kukusaliti. Basi fanyeni chaguo bora kwa ajili ya siku hiyo.
Tweet media one
5
53
300
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
يحارب الإنسان طوال حياته من أجل الدنيا، وعندما يموت لا تمنحه الدنيا سوى قطعة أرض متر ليُدفن فيها. Binadamu maisha yake yote hupambana kwa ajili ya dunia. Na pindi anapokufa, dunia haimpi chochote ila kipande kidogo cha ardhi ambacho huzikwa ndani yake.
Tweet media one
7
51
296
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
افعل الخير مهما استصغرته، فلا تدري أي حسنة تدخلك الجنة. Fanya jambo jema, haijalishi ni dogo kiasi gani. Wewe wala hujui ni wema gani ambao utakuingiza peponi.
Tweet media one
8
39
274
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
وإذا رأيت الفرع مُثمر، فاعلم أن الجذور أصيلة. Ukiyaona matawi yanatoa matunda, basi tambua kwamba mizizi yake ni imara.
Tweet media one
8
38
277
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
إذا خانتك صحتك لن تخونك أبداً زوجة صالحة. فاحسنوا الاختيار لأجل ذلك اليوم. Hata kama afya yako itakusaliti, lakini kamwe mke mwema hawezi kukusaliti. Basi fanyeni chaguo bora kwa ajili ya siku hiyo.
Tweet media one
9
53
266
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
9 months
🔴 Josho la Janaba. 📌 Kwanza tufahamu nini maana ya Janaba? • Janaba ni hali ya mwanamme au mwanamke kutoa maji (manii) katika uchi wake wa mbele, au kujimai mume na mke, sawasawa washushe (watoe manii) au wasishushe, maadam zimekutana tupu zao mbili kwa kuingiliana ⬇️
Tweet media one
15
100
267
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
8 months
In shaa Allah kuanzia Jumatatu tutakuwa tunajifunza Tafsiri ya Qur'an, tutaanza Suratul Faatihah kisha tutasoma Juzuu 'Amma. Huenda kwa siku ayah tutazosoma zisizidi tatu, lengo ni kuelewa Kitabu cha Allah. Tutajitahidi pia kutoa maana pana ya ayah ili tupate faida zaidi.
23
57
262
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
Lilianguka chini tone la asali. Akaja sisimizi akalionja. Kisha akakusudia kuondoka, lakini utamu wa asali ulimnogea. Hata alivyolamba mara ya pili hakutosheka, bali aliamua kuingia kwenye tone la asali ili aweze kuifaidi zaidi.⤵️
Tweet media one
15
57
246
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
{Nabii Ya'aqub alisema kumwambia mwanae Yusuf: Ewe mwanangu, usiwasimulie ndugu zako ndoto yako, wasije wakakufanyia vitimbi...} ✍️Kwenye maisha usimsimulie kila mtu yale ambayo Allah amekupa. Baadhi ya nafsi zina maradhi, na baadhi ya macho ya watu yana sumu. ⬇️
Tweet media one
6
51
245
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
✍️Swaumu zipo za aina mbili: Swaumu zilizoamrishwa na Swaumu zilizokatazwa. 1• Aina ya kwanza ya swaumu ni: SWAUMU ZILIZOAMRISHWA: - Swaumu zilizoamrishwa kuna za wajibu(yaani lazima kuzifunga), kama vile kufunga mwezi wa Ramadhan, swaumu ya nadhiri, swaumu ya kafara na ⬇️
Tweet media one
5
55
245
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
{Basi alitaka Mola wako wafikie utu uzima na waitoe hazina yao wenyewe...} Al-Kahf - Ayah: 82 ✍🏼Mwamini Allah. Hakika kwenye kuchelewa vitu basi kuna hekima ndani yake, hata kama vitu hivyo vitapotea machoni mwako. Na pia unaponyimwa kitu basi ndani yake kuna rehma, hata kama⤵️
Tweet media one
2
37
234
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
3 years
قد يكون ما تحمله على ظهرك سبباً لنجاتك، فمهما كانت حمولك قل الحمد لله♥️ Huenda mizigo uliyoibeba mgongoni mwako ikawa ndiyo sababu ya wewe kuendelea kuishi. Haijalishi una matatizo makubwa kiasi gani. Daima sema "Alhamdu Lillah"
Tweet media one
7
47
229
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
4 months
Ujumbe huu umuendee kila anayeuliza: Yuko wapi Mwenyezi Mungu? Na kwa nini halipi kisasi kwa ajili ya watu wa Gaza? • Wakati wa majanga, shida na matatizo ni muda wa Shetani kufanya michezo yake, na ni fursa nzuri sana kwake ya kuharibu imani ya Muislam. Sisi ni wanaadamu tu,
Tweet media one
48
61
231
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
تأمل أوجاع البائسين، واذهب إلى أوجاعك اللطيفة، احضنها برفق وقُل (الحمد لله). Yatafakari maumivu ya watu walio na maisha ya hali duni, kisha yaangalie maumivu yako madogo uliyonayo. Yakumbatie kwa upole(taratibu) kisha sema "Alhamdu lillah".
Tweet media one
11
47
226
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
• Ewe rafiki yangu, yeyote atayekuambia kwamba ni lazima ushindane na wengine • Mwambie: Maisha ni safari, na sio mashindano ewe kijana. Yafurahie maisha, wala usiyageuze kuwa vita • Kitu pekee ambacho kinastahiki ushindane nacho ni njia ya kuelekea Peponi ⬇️
Tweet media one
6
31
228
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
الاختِلاط بالصّالحين يُصلِحك. Kujichanganya (kuwa pamoja) na watu wema kutakufanya uwe mwema.
Tweet media one
2
19
218
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
• MTOTO MWEMA: Amesema mtume wa Allah(ﷺ): "Hakika mzazi atapandishwa daraja peponi(ataoneshwa nafasi iliyo nzuri zaidi kuliko ile ya kwanza). Mzazi atauliza: Kwa matendo gani nimeipata daraja hii? Ataambiwa: Kwa sababu ya msamaha aliokuombea mwanao." 📚[Sahih Ibn Majah: 3/214]
Tweet media one
2
26
219
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
{إِنَّ الصَّلَاةَ كانَتْ عَلَى المُؤْمِنينَ كِتابًا مَوْقُوتًا}. {Hakika ibada ya Swala imekuwa kwa waumini ni faradhi yenye muda maalum}.
Tweet media one
2
17
207
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
الصداقة ليست تلك القائمة الطويلة بأسماء الأشخاص، بل هي تلك الأرواح التي تُضحك ثغركَ حتى في أصعب الأوقات. Urafiki sio kuwa na orodha ndefu ya majina ya watu. Bali urafiki ni kumiliki roho ambazo zitakufanya ucheke na kutabasamu hata ukiwa kwenye nyakati ngumu.
Tweet media one
6
37
208
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
لا تَدْرِي لَعَلَّ اللهَ بِحِكْمَتِهِ قَدَّرَ لكَ التَّعَثُّرَ لِتَخْتَارَ طَرِيقاً آخَرَ خُبِّئَتْ فيه سَعَادَتُكَ. Wewe hujui, huenda Mwenyezi Mungu kwa hekima yake amekukadiria ujikwae ili uchague kupita njia nyingine, njia ambayo ndani yake imefichwa furaha yako.
3
41
200
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
11 months
إذا خانتك صحتك لن تخونك أبداً زوجة صالحة. فأحسنوا الاختيار لأجل ذلك اليوم. Hata kama afya yako itakusaliti, lakini mke mwema hawezi kukusaliti. Basi fanyeni chaguo bora kwa ajili ya siku kama hii.
Tweet media one
5
42
201
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
الربُّ الذي يرعى نملة في ثقب مظلم، أتظنه ينساك؟! Mola ambaye humchunga na humlea sisimizi ndani ya shimo lenye giza. Hivi unadhani atakusahau?!
Tweet media one
4
27
196
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
يسألونني: كيف ح��لك ؟ فأجيبهم: الحمدلله . فيظنون أني بقمة سعادتي . نسوا أننا نحمد الله على السراء والضراء. Wananiuliza: Vipi hali yako? Ninawajibu: Alhamdu lillah. Wanadhani kuwa mimi nina furaha. Wamesahau kwamba sisi tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwenye shida na raha.
Tweet media one
6
29
196
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
ما أورثوك مالاً ولا قصوراً، ولكن نِعمَ الإرث إرثك. Wazazi wako hawajakurithisha mali wala nyumba za kifahari. Lakini urithi bora waliokuachia ni huu urithi wa Swala.
Tweet media one
2
25
194
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
لو تمكنت من رؤية قلوب البشر لرأيت في كل قلب " قصة وجع " Lau kama ingewezekana kuiangalia mioyo ya watu, basi ungeona ndani ya kila moyo wa mtu kuna hadithi yenye maumivu.
Tweet media one
3
19
190
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
اللهم أخرج من أصلابنا ذرية صالحة تحسن عبادتك. Ewe Mwenyezi Mungu kitoe kwenye migongo yetu kizazi chema ambacho kitakuabudu vizuri.
Tweet media one
7
32
191
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
• Wala si vibaya mume kumshukuru mke wake baada ya kula chakula ambacho mke huyo amepika. Maneno matamu wakati mwingine yanatosha. • Nyumba zinahitaji zaidi kujaa ndani yake upendo kuliko vitu vya thamani(furniture).⬇️
Tweet media one
8
24
189
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
Yanapotokea mafuriko samaki huwala sisimizi. Lakini maji yanapokauka, sisimizi huwala samaki. Siku zote maisha hutoa fursa kwa kila mtu, isubiri tu zamu yako.
Tweet media one
5
36
189
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
Mti unapoanguka, kila mtu husikia kishindo chake. Lakini mti unapokua na kurefuka hakuna sauti yoyote inayosikika. Kwenye maisha sio rahisi watu kutangaza mema yako au mafanikio yako, lakini unapopata anguko ndiyo midomo yao hufunguka na kutangaza mabaya yako.
Tweet media one
8
35
188
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
3 years
Alikuwa anamiliki pesa ambazo zilitosha kununua saa milioni moja, na pindi muda wake wa kufa ulipofika hakuweza kuinunua hata dakika moja.
Tweet media one
9
24
180
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
Hali ya kaburini siku ya kwanza mtu anapoingia inatisha mno. Anasikia mapigo ya viatu vya wapendwa wake wakiondoka. Kisha ima kaburi kwake liwe hofu yenye kudumu, au amani yenye kudumu. Ewe Allah, tunakuomba utupe amani yenye kudumu sisi na wale tunaowapenda.
@Daliamoh9
Dalia♥️🕌
3 years
Huku ndio tuendako Allahummah jaalni khusnul katma Yaa Allah 😢🤲
Tweet media one
40
45
271
13
30
185
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
11 months
Mara nyingi hakuna mtu anayeijua vizuri hali yako, wala hakuna anayejua yale unayopambana nayo kwenye maisha. Hata familia yako unayoishi nayo huenda isijue ipasavyo zile changamoto unazokutana nazo (kwenye harakati za kutafuta riziki).
Tweet media one
4
46
185
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
✍️Wakati mwingine Allah huzuia usipatwe na Qadari za shari kwa namna zifuatazo: • Gari yako kuharibika • Kuchelewa kuamka • Mwili wako kupatwa na maradhi • Kutembelewa na mgeni wa ghafla, ikawa sababu ya wewe kushindwa kutoka nyumbani • Kukataliwa kuoa(kwa mwanaume) / ⬇️
6
47
181
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
لا تغرك كثرتهم حولك، فأغلبهم دون فائدة وقت الشدة. Usidanganywe na wingi wa watu ulionao. Wengi wao hawana faida wakati wa shida.
Tweet media one
7
36
181
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
والبعض رغم ضيق الحال اعتاد العطاء . Baadhi ya watu licha ya kuwa wana maisha magumu lakini wamezoea kutoa.
Tweet media one
3
29
178
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
4 months
إذا خانتك صحتك لن تخونك أبداً زوجة صالحة. فأحسنوا الاختيار لأجل ذلك اليوم. Pindi afya yako itapokusaliti, mke mwema kamwe hawezi kukusaliti. Basi fanyeni chaguo bora kwa ajili ya siku kama hii.
Tweet media one
4
32
184
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
هناكَ فُرَصٌ كان لا بُدَّ أن تضيعَ، لأنَّها لو لم تَضِعْ لَضِعْتَ أنتَ، فلا تَحْزَنْ على ما فَاتَكَ. Kuna fursa ambazo zilikuwa lazima zipotee. Kwa sababu lau kama zisingepotea basi ungepotea wewe. Wala usihuzunike kwa yale yaliyokupita.
Tweet media one
4
31
177
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
• Maana ya Swaumu kilugha ni: Kujizuia. • Ama Swaumu kisheria ni: Kumuabudu Allah Mtukufu kwa kujizuia kula, kunywa na vyote vyenye kufunguza au kubatilisha Swaumu. Kujizuia na vitu hivyo huanza pale tu Alfajiri inapochomoza hadi kuzama kwa Jua.
Tweet media one
3
25
178
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
Alikufa hali ya kuwa anamsubiri mama yake arudi na kitoweo kizuri. Lakini mama yake huko alipoenda ndiyo akawa kitoweo. Kuondoka kwa mama sio tu kwamba roho yake imeondoka, bali roho zetu pia huondoka pamoja nae.💔
Tweet media one
2
30
178
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
العبرة ليست في البداية، العبرة فيمن يمسك يدك حتى النهاية. Muhimu sio kuwa na mtu wa kuanza nae maisha. Bali muhimu ni kumpata mtu ambaye ataushika mkono wako hadi mwisho.
Tweet media one
6
34
175
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
5 years
“On your journey to stay true to yourself, you will lose many people.If you lose them because you’re being true to yourself, that’s their burden to carry, not yours. You can’t fake it to be loved. Be who you are and be loved for who you are.” @najwazebian
1
143
174
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
12 days
وتبقى الفتاة المنقبة ملكة النساء. Mwanamke mwenye kuvaa Niqabu ataendelea kuwa ndiyo Malkia wa Wanawake wote.
Tweet media one
5
27
180
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
Watoto wako watafuata sana maisha yako na kuyaiga kuliko watakavyofuata ushauri wako kwao. Usioteshe mbegu usiyoweza kuivuna na usipike usichoweza kukila.
Tweet media one
1
28
171
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
لا تنحن لتلقط ما سقط من حياتك، لأنك إذا انحنيت يسقط الأكثر. أكمل طريقك وستقابل الأفضل. Usiiname ili uokote kile kilichoanguka kwenye maisha yako, kwa sababu ukiinama vitaanguka vingi. Wewe endelea tu na safari yako, utapata kilicho bora zaidi.
Tweet media one
1
32
173
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
9 months
ينحني ظهر الأب لتستقيم حياة أبنائه بالحلال الطيب. Mgongo wa baba unapinda ili maisha ya watoto wake yanyooke kwa kula vizuri vya halali.
Tweet media one
2
38
175
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
{Bali mwanadamu ni mwenye kuijua sana nafsi yake} Surat Al-Qiyamah - Ayah: 14. ✍️Binadamu anaujua ukweli wa hali aliyonayo; imani au ukafiri, utiifu au uasi, uongofu au upotofu. • Hazitokunufaisha sifa za wenye kukusifia, ikiwa wamekusifia kwenye jambo ambalo kwako halipo ⬇️
Tweet media one
3
27
171
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
11 months
قد يكون ما تحمله على ظهرك سبباً لنجاتك، فمهما كانت حمولك قل "الحمد لله". Huenda mizigo uliyoibeba mgongoni mwako ndiyo sababu ya wewe kunusurika. Kwenye maisha haijalishi umebeba changamoto kiasi gani, daima sema "Alhamdu lillah".
Tweet media one
3
27
171
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
كلُّ الخراب حولك لا يضرك، المهم أن لا يكون الخراب في قلبك. Mazingira yote yaliyoharibika ambayo yanakuzunguka hayawezi kukudhuru. Muhimu moyo wako tu usiwe umeharibika.
Tweet media one
3
13
168
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
• Thamani ya nyumba sio ukubwa wake, bali hisia na mapenzi yanayopatikana ndani ya nyumba hiyo. • Endapo nyumba ikiwa imebana(hakuna amani ndani yake), hata dunia iwe pana kiasi gani kwako haitokuwa na thamani yoyote.⤵️
Tweet media one
10
28
166
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
Kiungo wa Kimataifa wa Senegal anayecheza PSG ya Ufaransa Idrissa Gana Gueye (32) alikosa game ya PSG dhidi ya Montpellier Jumamosi iliyopita sababu hakutaka kuvaa jezi zenye namba zenye rangi za upinde (rainbow flag).⤵️
Tweet media one
7
23
168
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
11 months
الأم مـــدرســـة إذا أعــددتـَـهــا أعـددتَ شـعباً طـيّب الأعـراق. Mama ni shule. Endapo ukimuandaa vizuri, basi utakuwa umeandaa watu wenye tabia njema.
Tweet media one
4
31
167
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
لا تستغرب إذا وجدت الشر في المكان الذي زرعت فيه الخير، فهناك أراضي لا تصلح للزراعة. Usishangae kuona unalipwa ubaya mahala ambapo ulipanda wema. Tambua kwamba sio kila ardhi yafaa kwa kilimo.
Tweet media one
4
34
168
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
ربما ستحتاج إلى من هو أقل منك شأنًا ليخرجك من الوحل الذي أنت فيه. فلا تتكبر. Huenda kuna siku utahitaji msaada wa mtu ambaye ni mdogo kwako kiumri, umbo, pesa, cheo n.k, ili akutoe kwenye tope ambalo umenasa. Kwenye maisha usiwe na kiburi.
Tweet media one
2
37
163
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
ربما ستحتاج إلى من هو أقل منك شأنًا ليخرجك من الوحل الذي أنت فيه، فلا تتكبر. Huenda kuna siku utahitaji msaada wa mtu ambaye ni mdogo kwako kiumri, umbo, pesa, cheo n.k, ili akutoe kwenye tope ambalo umenasa. Kwenye maisha usiwe na kiburi.
Tweet media one
4
30
168
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
Mara nyingi yeye hupika chakula, lakini hula mara chache. Yeye ndiye wa kwanza kuamka na wa mwisho kulala. Huwa anapitia magumu na hupata huzuni mno, lakini huwezi kumuona akilalamika sana. ✍️Nani kama mama?
Tweet media one
10
26
159
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
اليد الممتدة إلى الله، يستحيل أن ترجع فارغة. Mkono uliyoelekea kwa Allah, haiwezekani urudi ukiwa mtupu.
Tweet media one
2
12
162
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
5 months
سيأتي عليك زمان يكثر فيه دمع الفرح وسجود الشكر. Utafika muda kwako machozi ya furaha yatakuwa mengi, na sijda za kushukuru zitakuwa nyingi.
9
26
164
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
✍️Amani iwe juu yako ewe rafiki yangu • Usiwe na hofu, hakika mambo huenda namna ambavyo Allah amekadiria • Qadari zote za Allah kwako ni kheri, hata kama zitakupa maumivu • Unamuomba Allah jambo fulani kwa kung'ang'ania. Wala hakupi, kisha wewe wahuzunika ⬇️
Tweet media one
10
33
162
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
أجمل ما قيل عن الصحبة : "حُزن واحد يحمله قلبان" Maneno mazuri ambayo yamewai kusemwa kuhusu urafiki ni: "Huzuni ya mtu mmoja inabebwa na mioyo miwili"
Tweet media one
1
18
160
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
• {Hakika ibada ya Swala imekuwa kwa waumini ni faradhi yenye muda maalum}. • Swala ni ibada iliyo kubwa zaidi kwenye mizani ya Dini, nayo ni nguzo ya Uislam. Swala hutofautisha kati ya Muislam na Kafiri. Lakini ujinga, kughafilika na kuipenda sana dunia kumewafanya ⬇️
Tweet media one
2
19
162
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
بعض الديون يصعب تسديدها. Baadhi ya madeni huwa ni vigumu sana kuyalipa.
Tweet media one
4
20
160
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
8 months
إياك أن تنسى أنك في يوم من الأيام كنت تدعو الله في الأشياء التي تمتلكها الآن. Chunga sana usije kusahau kwamba kuna siku ulikuwa ukimuomba Allah akujaalie vitu unavyomiliki sasa hivi.
2
32
159
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
أجمل ما قيل عن الصحبة : "حُزن واحد يحمله قلبان" Maneno mazuri ambayo yamewahi kusemwa kuhusu urafiki ni: "Huzuni ya mtu mmoja hubebwa na mioyo miwili"
Tweet media one
4
30
159
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
مع من نحب نجد في أبسط الأشياء فرحاً . Tukiwa pamoja na wale tunaowapenda huwa tunapata furaha kwenye vitu vidogo tu.
Tweet media one
3
19
159
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
3 years
(Ewe Mola wangu, nipatie mtoto aliye miongoni mwa wafanyao wema) Aswaffat: Ayah 100. ✍🏼Ametaja sifa ya mtoto awe katika watu walio wema, kwa sababu neema ya mtoto hukamilika pindi akiwa mwema. Hakika watoto wema ni tulizo la jicho kwa wazazi wao.⬇️
Tweet media one
5
21
158
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
8 months
Sikukupenda kwa sababu wewe ni mzuri, ingawa wewe ni mzuri. Wala sikukupenda kwa sababu wewe ni mwaminifu, ingawa wewe ni mwaminifu. Nimekupenda kwa sababu wewe ni nusu ya roho yangu, nusu ya akili yangu, na wewe ndiyo moyo wangu.❤️ #HubaZito
5
46
161
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
6 years
“If your heart hurts a little after letting go of someone or something,that's okay,It just means that your feelings were genuine,No one likes ends and no one likes pain” @najwazebian
0
94
156
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
Hauna furaha sio kwa sababu hauna vile unavyohitaji. Hauna furaha kwa sababu haujajua kushukuru vya kutosha kwa vile ulivyonavyo. Maisha haya sio mashindano na hakuna asiyenacho kabisa. Jifunze kuwa mtu wa shukrani. Mwanzo wa furaha huanzia hapo.
Tweet media one
10
27
155
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
أحبُّ إطالة النظر إلى عاشقين مسنَّين، لم يُخلق الكذب في زمانهما. Napenda sana kuwaangalia watu wazima ambao wameishi kwenye ndoa kwa muda mrefu. Ni kama vile enzi zao uongo haukuumbwa(haukuwepo).
Tweet media one
5
25
155
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
Anapanda Jahazi la Masikini kisha analitoboa. Anakutana na kijana kisha anamuua. Wanagoma kumkaribisha, kisha anausimamisha ukuta wao(ambao ulitaka kuanguka). Nabii Musa(Amani iwe juu yake) anashangaa, hajui hekima ya haya yote. Kisha baadae ndiyo anaambiwa hekima yake.⤵️
Tweet media one
6
35
153
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
من أنواع الرزق أن يضع الله لك قبولا في قلب كل من يراك . Miongoni mwa riziki ni Allah kukujaalia uweze kukubalika kwenye kila moyo wa anayekuona.
Tweet media one
2
17
159
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 months
قد يكون جاء حظك يوما ما، ولكن وجدك نائماً.😂 Huenda kuna siku ilikuja bahati yako, lakini ilikukuta umelala.
Tweet media one
12
37
158
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
✍️{Na litikise kwako shina la mtende} Surat Maryam - Ayah: 25 • Mwenyezi Mungu anatambua vizuri kwamba mwanaume mwenye nguvu hawezi kuutikisa mtende kisha tende zikaanguka. Vipi kuhusu mwanamke ambaye ametoka tu kuzaa?!. Mwenyezi Mungu alipomwambia Maryam "Tikisa"⬇️
Tweet media one
1
30
157
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
Mfundishe mtoto wako kuwa na shukrani kwa kila anachokipata, asifikiri maisha yako hivyo kwa wote. Anaweza kuoga au kunawa wala asifunge bomba na bado usimgombeze kwa sababu dada wa kazi yupo atakuja kufunga. Mwambie mwanao kuna mtoto kama yeye sio tu hana maji ya kuoga,⬇️
Tweet media one
16
29
157
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
• Thamani ya nyumba sio ukubwa wake, bali hisia na mapenzi yanayopatikana ndani ya nyumba hiyo. • Endapo nyumba ikiwa imebana(hakuna amani ndani yake), hata dunia iwe pana kiasi gani kwako haitokuwa na thamani yoyote. • Nyumba inapokuwa na amani, hutojali umbile la dunia ⬇️
Tweet media one
3
24
157
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
لو أرادك الله صلباً لخلقك صخراً، لكن لين الطين فيك كان مقصوداً. Lau kama Mwenyezi Mungu angetaka uwe mgumu, basi angekuumba kutokana na jiwe. Lakini kulikuwa na makusudio maalum ya wewe kuumbwa kwa udongo laini.
Tweet media one
1
31
152
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
#كلنا_إدريس_غانا #WeAreAllIdrissa We Are With You @IGanaGueye
Tweet media one
1
15
156
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
10 months
ما تراه أنت بلا قيمة، قد يكون طوق النجاة لغيرك. Kile unachokiona hakina thamani, huenda kikamuokoa mwingine (na kumfanya aendelee kuishi).
Tweet media one
6
38
152
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
Kwenye Siyar A'lam al-Nubalaa, kitabu cha Imamu al-Dhahabi: ✍️Imeelezwa kwamba Mwanachuoni Shaqiq al-Balkhi alimwambia mke wake: "Lau watu wote wa Balkh wawe pamoja nami, lakini wewe ukanipinga, basi sitoweza kuisimamisha dini yangu." • Kila kitu huanzia nyumbani na huishia ⬇️
Tweet media one
7
20
153
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
6 months
ستعلمك الشدائد أنه ليس لك إلا الله. Shida zitakufundisha kwamba huna yeyote (anayeweza kukusaidia) isipokuwa Allah.
Tweet media one
2
28
154
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
8 months
🔴 NGUZO ZA UISLAM (Zipo tano). 1.📌 Kutoa shahada mbili. • Shahada ya kwanza ni kusema: Ash-hadu allaa ilaaha illa llah. (Nashuhudia kwa kuamini moyoni na kukiri kwamba hakuna Muabudiwa wa haki kwenye hii dunia isipokuwa Allah peke yake. • Shahada ya pili ni kusema: ⬇️
Tweet media one
3
53
153
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
11 months
والبعض رغم ضيق الحال اعتاد العطاء. Baadhi ya watu licha ya kuwa wana maisha magumu, lakini wamezoea kutoa.
Tweet media one
2
27
155
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
• Usikate tamaa • Moyo mgumu huenda ukalainika • Aliye mbali ipo siku atarudi • Lisilowezekana linahitaji muda ili liwezekane • Jambo gumu ukilipambania na kudumu nalo basi huwa jepesi • Lile unalodhani leo kwamba halitakuwa, huenda kesho ukalikuta lipo mbele yako ⬇️
Tweet media one
9
40
150
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
{Na takeni msaada kwa kusubiri na kwa kuswali, hakika jambo hilo -la kuswali- ni zito na gumu mno isipokuwa kwa wanyenyekevu}. ✍️ Ukihisi kuwa ibada ya swala ni nzito kwako, basi ilaumu nafsi yako na iulize "unyenyekevu uko wapi?.
Tweet media one
1
20
152
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
5 months
يحارب الإنسان طوال حياته من أجل الدنيا، وعندما يموت لا تمنحه الدنيا سوى قطعة أرض متر ليُدفن فيها. Binadamu maisha yake yote hupambana kwa ajili ya dunia. Na pindi anapokufa, dunia haimpi chochote ila kipande kidogo tu cha ardhi, ili azikwe ndani yake.
Tweet media one
3
31
153
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
قلوبنا بسيطة جداً، لو زارتها الفرحة تنسى كل لحظة ذاقت فيها الألم. Mioyo yetu ni midogo sana. Ikitembelewa na furaha tu, basi husahau nyakati zote ambazo ilionja maumivu.
3
32
152
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
لا تحزن، فأيّ شيء فقدْتَه سيعود إليك في هيئةٍ أخرى. Usihuzunike. Jambo lolote ambalo umelikosa, ipo siku litarudi kwako kwa namna nyingine.
Tweet media one
3
17
148
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
2 years
Hakuna yeyote ambaye ataufungua moyo wake kwako ila atapohisi kwako kuna amani. Angalia Nabii Musa(alayhi salaam) kwenye ardhi ngeni anakutana na mtu mgeni, kisha anamfungulia moyo wake na anamuhadithia kila kitu: {Basi alipomjia na akamsimulia visa vyake, alisema: Usiogope}.⬇️
Tweet media one
1
22
148
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
كانت كل الأبواب مغلقة حتى أمر الله. Milango yote ilikuwa imefungwa, hadi pale Allah alipoamrisha ifunguliwe.
Tweet media one
2
12
151
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
7 months
Miongoni mwa kumbukumbu nzuri za utotoni: Wewe ulikuwa unalala sehemu yoyote ndani ya nyumba, lakini unaamka asubuhi hali ya kuwa upo kwenye kitanda chako. "Ewe Mola wangu Mlezi, warehemu wazazi wangu kama walivyonilea nikiwa mdogo."
3
30
151
@OfficialJouma
جمعة يحيى محمد
1 year
وقد يكون بعض ما ترمي منفعةً لغيرك، فوزّع ولا ترم. Huenda kile unachokitupa kikawa na manufaa kwa wengine. Basi kuwa na desturi ya kugawa vitu, wala usivitupe.
Tweet media one
3
30
148