Nei🥂 Profile Banner
Nei🥂 Profile
Nei🥂

@Neemawillyy

Followers
3,005
Following
5,201
Media
417
Statuses
20,146

|| We Can't Kneel Before GOD and End Up In Shame || Taken💖💍

Joined February 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Neemawillyy
Nei🥂
2 years
MUNGU aliyekupa wazo la Biashara ndy huyo huyo ambaye atakupa na wateja...✌
25
120
321
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
+1 🎂🍻 Mungu ni Mwema sana
Tweet media one
88
45
322
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Nikikumbuka Niliwai Mpeleka Kijana wa Watu kwa Mwalimu Kisa Amenitongoza Khe Naishiwa Nguvu 😂😂🙌
33
21
245
@Neemawillyy
Nei🥂
9 months
Dear Wanaume Tafuta Mwanamke mmoja ambaye ukiongea ananyamaza Ukimuelekeza anatekeleza Ukimsemesha anakusikiliza Ukikosa anakusamehe Ukimpata huyo Mwanamke we Muoe tu
36
45
219
@Neemawillyy
Nei🥂
6 months
Sulemani Aliomba Hekima na Mungu Akamuongezea Utajiri Ibrahimu Aliomba Mtoto na Mungu Akampa Vizazi Mungu Akupe zaidi ya Uombavyo katika maisha yako na Usiache Kuamini.
13
62
195
@Neemawillyy
Nei🥂
9 months
Maisha ya Mwanaume mpambanaji asiyekata tamaa yanamuhitaji Mwanamke mvumilivu, mwenye huruma na Hekima .
18
58
184
@Neemawillyy
Nei🥂
6 months
Usisahau Kujinenea Mema Kwenye Mambo yako yote unayofanya
15
48
176
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Swala la mtoto wa kiume kila siku kupost wadada tofauti tofauti happy birthday cuzo mara happy birthday friend mara hv mara vile ni tabia za kishamba tu ili uonekane we unajuana na mademu wengi au eeh hapana kwakwl 🚮🚮
34
22
160
@Neemawillyy
Nei🥂
8 months
Kuna nyimbo za Dini Ukisikiliza ni ibada Tosha Mimi nikimsikiliza Ambwene Mwasongwe na Abiud Misholi huwa ni ibada Sana kwangu
12
25
162
@Neemawillyy
Nei🥂
8 months
Kama wewe mpaka Leo unataka kudate na Mwanamke ambae option zako lazima awe na Matako , a certain kind of Shape ( figure ) or Face appearance Na kama wewe ni Mwanamke unataka kudate Mwanaume ambae vigezo vyako ni Urefu , rangi au sauti Una Safari Kubwa Sana Ya Kwenda 📌
28
40
157
@Neemawillyy
Nei🥂
6 months
Kumbuka unaweza Kuchelewa kuanza Kuanza upya Kupoteza kila kitu Kushindwa tena na tena Lakin bado ukafanikiwa vizuri
11
52
154
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Linda Utu wako katika nyakati ngumu unazo zipitia,Usikubali kujidhalilisha kwakuwa tu uko kwenye Nyakati Ngumu Good Morning
11
31
144
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Kama chakula ni kitamu unaruhusiwa kulamba sahani pia😂😂😂
29
12
148
@Neemawillyy
Nei🥂
7 months
Ukifanikiwa Usione kama wengine hawawezi kupambana au kujituma Trust me kuna watu wanajua kupambana na kuvumilia zaidi yako ila wakati wao haujafika ni Neema tu inayotubeba
13
54
137
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Unamnunulia mtu jersey kwa upendo kbs yeye anaenda huko mpenzi wake anamuomba anampa tu 😂😂😂 Kwel Love cycle 🙌
21
19
138
@Neemawillyy
Nei🥂
7 months
Mungu hajanipa vyote lakini namshukuru kwa maana hajaninyima watu wanaonijali na kunipenda sana
9
33
121
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Ukishindwa Kupata Bega La Kuegemea Siku Zote Kumbuka Kuna Sakafu Ya Kupiga Goti Good Morning
17
33
116
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Kumbe 🤔😂
Tweet media one
11
7
108
@Neemawillyy
Nei🥂
7 months
Bana Mpunguze kujiongelesha na kufake Mnatuchekesha sana sisi tunaowajua 😂😂🚮
13
24
107
@Neemawillyy
Nei🥂
6 months
Jizuie kuchangia maoni kwenye kila kitu Vingine Ruhusu tu vikupite
11
34
103
@Neemawillyy
Nei🥂
9 months
Ukipata mtu anaye kuhangaikia na anayeguswa na shida zako hata kama ni kubwa kiasi gan huyo mtu ni wa muhimu sana kwako usimfanye ajihisi kama anajipendekeza Mthamini sana
6
37
98
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Mnajua Mirinda ya baridi ni tamu kuliko mapenzi 😋😂
27
19
102
@Neemawillyy
Nei🥂
9 months
Jaman Msipende Kujipa Umuhimu kwenye Maisha ya watu hii inasaidia sana Kila Mtu acheze kwenye mipaka yake 😂😂😂
9
19
99
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Msijisumbue Kwa Neno Lolote Bali Katika Kila Neno Kwa Kusali Na Kuomba Pamoja na Kushukuru Haja Zenu Na Zijulikane Na Mungu (Wafilipi 4:6) SUNDAY
9
25
93
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Lakini Mimi Na Nyumba Yangu Tutamtumikia Bwana 😊
10
21
92
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Bana Nimechoka Kujificha😔 Kwan huwa mnamove on vipi mbn napitia wakati Mgumu hv 😔😔😂😂
21
10
91
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Mimi zamani nilijuaga Wanaume warefu wote wanaakili na wanajiheshimu kumbe kuna wengine matatizo tu 😂😂😂👌👌
19
14
91
@Neemawillyy
Nei🥂
5 months
Kuna Sisi Wengine Maombi ya Wazazi wetu Yanatubeba sana Usione Hivi Tulivyo ni Maombi tu 😊😊
7
33
92
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Kuwa na Mahusiano na Mwanaume Anajifanya Baba Huruma ni Kazi sana Khe 😂😂🙆
11
12
91
@Neemawillyy
Nei🥂
10 months
Ila Humu Ndani watu wanapenda kujipa umuhimu sana 😂😂🙌🙌
13
19
88
@Neemawillyy
Nei🥂
10 months
Usitegemee lolote kutoka kwa yoyote kama maisha ni yako pambana tu
7
25
86
@Neemawillyy
Nei🥂
9 months
Oyaaa Wachaga Wote Mbarikiwe Tu Sina neno nzuri Zaidi ya ilo 😊😂😂
2
21
85
@Neemawillyy
Nei🥂
7 months
Ifike muda ujue ndoto zako ni muhimu kuliko hayo mahusiano yasio na mwelekeo kama gari bovu 😂😂😂
10
28
82
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Kama Si Bwana Aliyekuwa Pamoja Nasi Israeli Na Aseme Sasa Good Morning
14
18
86
@Neemawillyy
Nei🥂
6 months
Penzi Zito Kilo Mia Hamsini Vile Napata Raha Utaniambia Nini kuna Muda Kama Siamini Na Kuna Muda Ni Kama Napendwa Na Jini Maana Penzi Lako Ndege Mtini For Your Love Let Me Sing Sing Nisha Kolea Hatari Mapenzini🎶🎶
11
27
82
@Neemawillyy
Nei🥂
6 months
Jifunze kinachokuumiza kiwe siri yako binadamu wanashida sana
6
30
80
@Neemawillyy
Nei🥂
6 months
Anachojua Mungu Juu yako ni Muhimu Zaidi Kuliko vile Watu Wanavyokufikiria
5
25
84
@Neemawillyy
Nei🥂
9 months
Kuna muda ndani ya moyo wako unasikia kuchoka sana kulingana na mahali unapopitia na huna mtu wa kumwambia na unaona kama Mungu amekunyamazia lakini pokea neno hili Njia yako haitakuwa nyepesi lakini Mungu ameahidi hawezi kukuacha mazingira unayopitia yasikuogopeshe uwe hodari
11
38
79
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Hakuna raha huwa wadada tunasikia kama uko na bwana ako alfu simu yake ipigwe aseme nipo na Bebii or wife or vyovyote vile ila kaneno kamahaba 😂😂😂😂😂
14
6
81
@Neemawillyy
Nei🥂
8 months
Uaminifu ukipotea haurudi tena ukiutafuta unakuta tayari ushabadilika na kuwa wasiwasi jitahidi kuaminika pale unapoaminiwa Gm
8
25
78
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Mafanikio Yako Yataanzia Pale Uwoga Wako Utakapoishia Good Morning
11
26
81
@Neemawillyy
Nei🥂
9 months
uchungu huwa tunapata wanawake mtu amesema anakutoa out umejianda alfu baadae anasema imetokea emergency tutatoka siku nyingine oya we na umejianda vya kutosha unaweza Lia 😥😩😂😂
20
22
77
@Neemawillyy
Nei🥂
9 months
Kuna anayekuonesha anakupenda kuna anaye kuambia anakupenda Halafu yupo anaye kupenda kwa vitendo uelewe vizuri hawa watu ili usiwachanganye
6
33
74
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Sasa Nimeelewa kwanini tulikuwa tunafundishwa hesabu za kukopa 😂😂
17
12
76
@Neemawillyy
Nei🥂
9 months
Usimcheke mtu ambae Hajakata Tamaa kuna Kesho na kuna Mungu 🙏
12
31
75
@Neemawillyy
Nei🥂
7 months
Msisahau Kunywa Maji mengi ni Muhimu Kwa Afya zenu 😊
7
19
77
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Ukweli Chelsea imepania kunitoa roho naona 😞💔
17
11
74
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Mkishamaliza Kupendana Sasa Jifunzeni Kuheshimiana na Kuvumiliana. Mahusiano siyo Upendo Tu
9
21
76
@Neemawillyy
Nei🥂
5 months
Ngoja nilale Mie kabla sijaambiwa "Neema ngoja niwe muwazi kwako" 😂😂
10
21
76
@Neemawillyy
Nei🥂
8 months
Jumapili ya Mwisho 2023 Asante Mungu Haikuwa Rahisi 🙏 Happy Sunday 😊
Tweet media one
4
12
72
@Neemawillyy
Nei🥂
8 months
Maneno ni uhai Usiruhusu mtu akunenee maneno mabaya maana huwa yanaishi sana
7
20
70
@Neemawillyy
Nei🥂
11 months
Wakati Mwingine jifunze kunyamaza ili Mungu Aseme
7
14
72
@Neemawillyy
Nei🥂
9 months
Ila Mapenzi 💔😂 Ni Swala la Muda kila mtu Huwa anapata anachotakiwa kupata😂😂
14
21
74
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Hv Pesa iwakute Mnapendana au Pesa iwafanye Mpendane 🤔
Tweet media one
12
7
68
@Neemawillyy
Nei🥂
5 months
Ila kuna muda hata nikijitazama tu mwenyew nasema kimoyomoyo bebi wangu anafaidi sana Aise
16
19
73
@Neemawillyy
Nei🥂
6 months
Since it's weekend 😂😂
Tweet media one
18
8
68
@Neemawillyy
Nei🥂
7 months
BWANA atakulinda na mabaya yote, Atakulinda nafsi yako. BWANA atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele. Zab 121:7-8. Usiogope.
6
25
68
@Neemawillyy
Nei🥂
5 months
Najua haiwahusu ila Napendwa sana jamani 😊😂
13
17
67
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Nilivyochoka Leo na Jua lilivyonibamiza siku nzima Sasa nipate Flying Fish chache nitulize maumivu then nilale najua ni jumatatu ila hakn namna
Tweet media one
13
12
64
@Neemawillyy
Nei🥂
7 months
Ukitaka kufanikiwa kwenye haya Maisha weka Aibu pembeni piga Kazi tu
9
25
67
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Glory to God, utajiri mkubwa ni furaha   Ndege hawalimi, hawavuni ila hawakosi chochote Ukifika Muda ambao ni Sahihi Mungu anaweza Kukubariki Mpaka Ukashangaa
11
20
63
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Hata Uwe Unapitia Changamoto Ngumu Kiasi Gani Kwenye Utafutaji Wako Usikate Tamaa. Better Days Are Coming
11
16
66
@Neemawillyy
Nei🥂
8 months
Leo humu ndani Kwa moto sana 😂😂😂🙌🙌 Tuendele kusubr Mechi ya Taifa stars
8
16
66
@Neemawillyy
Nei🥂
8 months
Hata alipokwisha kunena, alimwambia Simoni, Tweka mpaka kilindini, mkashushe nyavu zenu mvue samaki. Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu. Luka Mtakatifu 5: 4-5
2
26
67
@Neemawillyy
Nei🥂
5 months
Ndugu zangu wa Yanga Basi izo Jezi za Yanga Mfue kwanza Alfu tutaendelea tulipoishia
8
24
66
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Kuna Kitu Kinaitwa NEEMA Pale Inapokupata Haikagaui Vyeti Vyako Haisikilizi Grammar yako Bali Inabadilisha Tu Hadithi ya Maisha Yako. Haya Ni Maombi Yangu Kwako Kila Ninaowapenda Wasipitwe Na Neema Yako 🙏
12
20
64
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Haijaliashi Umefeli Kiasi Gani Katika Maisha Jifunze Kukataa Ofa Zinazokuja Kwa Kukukosea HESHIMA na Kushusha Thamani Ya UTU wako. Good Morning
6
19
62
@Neemawillyy
Nei🥂
7 months
Zipende sana nyakati ngumu ndizo zinakupa nafasi kujua upo na nani na watu wa aina gani katika maisha yako
8
24
65
@Neemawillyy
Nei🥂
8 months
Muda Mwingine Kuwa na Watu wengi Kwenye Maisha Yako ni Baraka 😊
11
21
65
@Neemawillyy
Nei🥂
10 months
Hatukati tamaa Tunalia Tunasali,Tunakunywa maji kisha tunajaribu tena
6
20
65
@Neemawillyy
Nei🥂
9 months
Leo lazima niupe moyo pole kwa miezi kumi na moja iliyopita haikuwa rahisi 😂😂
8
21
65
@Neemawillyy
Nei🥂
11 months
Usijione ni mshamba au mjinga Kuvumilia Kuna Wakati Uvumilivu Hutoa Vitu Vingi Sahihi kama Maisha Sahihi,Majibu Sahihi,Matokeo Sahihi na Watu Sahihi pia Uvumilivu ni Bora sana Be patient ✊
10
23
65
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Nikikumbuka nilikuwa naandikia watu barua ziende kwa wapenzi wako kisa nina muandiko mzuri nachoka mimi😂😂 ila nilikuwa napata pesa ya kula maandazi Kwan sa hv hamtak kuandikiana barua nianze tena iyo kazi nina muandiko mzuri jamani ndy kitu nilichobakiwa nacho sasa
Tweet media one
14
12
64
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Dear Binti Wa Kike Ogopa Wanaume kwa Masaa 22 Tena Tumia Masaa Mawili Kwa Siku Kuogopa Wale Wote Wasiogopa Wanaume
8
11
61
@Neemawillyy
Nei🥂
6 months
Tatizo unafikiri ni kufungwa bhas ? Tatizo ni vile Feisali alivyofunga Goli na alivyoshangilia . Ile Picha ikijirudia kichwani nakosa usingizi kabisa 😥🤦
4
17
62
@Neemawillyy
Nei🥂
8 months
Sasa hivi hata mkinishauri kuhusu maisha yangu lazima nimwambie 😂😂 I love him 😘
7
24
59
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Huyu wa sa hivi hata Dunia ikivurugika vurugika bado nitamtafuta yeye tu 😂😂
14
17
62
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Kuwekwa wallpaper na mtu bana inaleta furaha raha na amani fulani hv moyoni 😂😂😂
17
17
56
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Kumbuka kwamba Chuki Zao Zipo Kwenye Utani Wanao Kutania Good Morning
15
16
59
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Everyone is going through something ni vile tu tunajikaza hatutaki wanaotutegemea waone tunayopitia waumie 😔💔
11
20
61
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Naombeni Nyimbo za Dini za kusikiliza siku nzima hii ya leo😊 Mimi nimeanza na iyo kwanza
Tweet media one
13
10
59
@Neemawillyy
Nei🥂
9 months
At this point I just need to rest 😥😥🙏
Tweet media one
9
10
59
@Neemawillyy
Nei🥂
8 months
Waangalieni ndege wa mwituni: Hawapandi, hawavuni, wala hawana ghala yoyote. Hata hivyo, Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, nyinyi si wa thamani kuliko hao? Mt 6:26
7
19
60
@Neemawillyy
Nei🥂
10 months
Ipo siku utakuja kuelewa kuwa kati ya vingi unavyohisi unavihitaji katika MAHUSIANO yako basi kitu muhimu zaidi ni kumpata yule ambaye atakufanya ujione bora na mwenye THAMANI katika MAISHA yako . Know you Value , Position and don't take your relationship for granted
5
27
58
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Maisha Yanatufunza Jinsi ya Kutumia Muda Muda Unatufunza Jinsi ya Kuthamini Maisha Good morning
10
17
60
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Mimi sijui lolote ila nasimama na Bambi angeweza angeharisha kabisa 😂😂😂
Tweet media one
15
4
59
@Neemawillyy
Nei🥂
6 months
Ehhh Mungu Wangu umenichunguza , umenichunguza wewe wanijua wanijua Mimi , wewe wanijua wanijua Mimi Wewe wajua kuketi kwangu na kuondoka kwangu , Umelifahamu wazo langu tokea Zamani Nitakushuru kwakuwa nimeumbwa kwa Jinsi ya Ajabu na ya Kutisha 🙏
3
28
58
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Kwanza desturi na mila mzuri wa tabia Akili timamu sio tahira,mpole nikikosa Hauna sura ya kuzira Mapnz yako moto Nawashinda tatu bila Umenishika siwezi ongea Wengin wote wamepotea, Usiniache Safrn,taratibu nasogea Dar, moro, rock city, nachingwea Nchi zote tutakwenda wawili 🎵
Tweet media one
5
10
56
@Neemawillyy
Nei🥂
11 months
Mengine ni bora tusiyafahamu kabisa ili tuendele kuwa na Amani Amani ni Bora Zaidi
3
16
58
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Ukweli Nimefurahi sana Manchester United Kukosa Ushindi Leo 😂😂😂😂😂🙌🙌
15
11
58
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Kwani hz Flying Fish Mbn Sizielewi Leo kabisa 🤔🤔😂😂
14
6
57
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Maombi Yanapokuwa Tabia Mafanikio Huwa Mtindo wa Maisha Usiache Kusali Good Morning
12
14
54
@Neemawillyy
Nei🥂
5 months
Sio Rahisi Turubai la Msiba kugeuka la Sherehe lakini ni Rahisi Turubai la Sherehe kugeuka la Msiba Good Morning
8
20
55
@Neemawillyy
Nei🥂
7 months
Usiogope yoyote au chochote maana cha kuogopa ni kifo na kipo
4
18
55
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Ety Pesa Zinabadilisha Mtu Hakuna Kitu Kama Icho Bana Wewe Kama Siyo Mtoaji Hata Kwa Kidogo Ukipata Kikubwa Uwezi Toa Kama Wewe ni Mtoaji Kwa Kidogo Lazima Ukipata Kikubwa Utaendelea na Roho iyo ya Utoaji Acheni Kuchanganya ivyo Vitu Aisee
9
16
54
@Neemawillyy
Nei🥂
10 months
Hakikisha unamuheshimu mpenzi wako kuliko unavyompenda. Kwa sababu unaweza kusababisha matatizo mengi kwa mpenzi wako wakati unampenda. Lakini ukimuheshimu, utakua unafikiri kabla hujafanya jambo lolote ambalo linamuathiri mwenzio.
9
20
54
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Kuna Vitu Ukiacha Kuviwaza na Kuvipa Umuhimu Kwenye Maisha Yako Navyo Vitaacha Kukuumiza Niamini Mimi
9
13
56
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Lala Tu Mwenzio anachekacheka na Mpenzi wake sahivi wew upo unamsubr 😂😂😂 oooh nanii usingiz ni bora kwako
11
9
51
@Neemawillyy
Nei🥂
10 months
Anayepiga magoti mbele za Mungu anaweza kusimama mbele ya yeyote
6
17
56
@Neemawillyy
Nei🥂
1 year
Hujalogwa SALI Na Utoe SADAKA Mambo yako Yapatate Ulizi wa MUNGU Good Morning
11
13
53