Mtaikuni Profile Banner
Mtaikuni Profile
Mtaikuni

@Mtaikuni

Followers
2K
Following
17K
Statuses
10K

Love 🌹/Cryptocurrency expert/Military Expert/Business pundits

Joined March 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Mtaikuni
Mtaikuni
4 years
Nimeguswa saana na hii scenario... Ningependa pia kutoa msaada especially kwa mtoto. Kama Kuna mtu anajua alipo huyu mwanamke anipe details zake. Retweet niweze kumpata.
Tweet media one
Tweet media two
166
762
2K
@Mtaikuni
Mtaikuni
7 hours
@kalage_jr Weka bei usipost vitu kama tapeli... Huu mzigo nautaka
1
0
0
@Mtaikuni
Mtaikuni
15 hours
@Jacquetorro To the rescue..here I'm.
1
0
0
@Mtaikuni
Mtaikuni
16 hours
@VonDavid8 @NjiwaFLow Wanakatq asilimia 10 ya pesa ya manunuzi. Piga hesabu sasa
1
0
1
@Mtaikuni
Mtaikuni
2 days
@ZahirAlly @Weraelim Bila shaka mkuu wa Kazi Mzee Wangu Zoro napiga soon. Je vous en prie
2
1
3
@Mtaikuni
Mtaikuni
2 days
@Weraelim @ZahirAlly Hata mimi sina option ya KukuDm huku
Tweet media one
1
0
0
@Mtaikuni
Mtaikuni
2 days
@Weraelim Mapema saana...Zanzibar ni njema karibu mwanetu.
0
0
1
@Mtaikuni
Mtaikuni
2 days
@NusratOG_88 @Thegospel4all @bosmakundi Hii hadi sisi malegendary tuliokwama na kujikwamua tena. Tunazijua hali zote maana tulishapata pesa na tulishawahi kukosa pesa pia.
1
0
1
@Mtaikuni
Mtaikuni
2 days
@Weraelim @ZahirAlly Dm hadi upate hisani ya watu wa Marekani. Natania tu. Mbona Dm iko wazi mzawa? Sijafikia huko kwenye kufunga DM.
2
1
1
@Mtaikuni
Mtaikuni
3 days
@ZahirAlly Kama haukuwahi kuomba Bia kwenye Bar mlizokuwa mnatumbuiza basi uwe wa kwanza kunihukumu Mzee Zoro. Wasanii wa Dansi hadi leo mnaperfom miingilio Bia moko tu Mzee.
2
1
2
@Mtaikuni
Mtaikuni
3 days
@heisnabeel Daaah! Sasa nikamgongee Nani? Kama hata mtu anaenijua ananiruka? Watu hawana wema mzawa.
0
0
0
@Mtaikuni
Mtaikuni
3 days
@meeknego Ubinafsi wa level ya Dunia nzima huu mzawa. 🤣🤣
1
0
1
@Mtaikuni
Mtaikuni
3 days
@Cadilla032838 Mungu ni mwema. Tutafika tu
2
0
1
@Mtaikuni
Mtaikuni
3 days
@meeknego Sasa Hawa watu wanaweza kukunyima hadi Dhambi zao. Aisee. 😅
1
0
1
@Mtaikuni
Mtaikuni
3 days
@Maleyadam That's my imagination pia. You understood the situation very well. Brother
0
0
2
@Mtaikuni
Mtaikuni
3 days
@360chazy Haina noma mzawa. Kiume saana. Maisha yaendelee. 🤛
0
1
1
@Mtaikuni
Mtaikuni
3 days
@King_ottor InshaAllah! 🤣
0
0
0
@Mtaikuni
Mtaikuni
3 days
@dudukehadzabe Ishu sio kunyimwa konyagi...ishu na mtu ninaemjua kama hawezi kunipa konyagi...ataweza kweli kunipa Ugali huyu?
1
0
1
@Mtaikuni
Mtaikuni
3 days
@Drick_Dadd Majabu nilipata ndio maana niliiuza mzigo wote. Ila jamaa sio Gentleman 😎
0
0
1
@Mtaikuni
Mtaikuni
3 days
@quidsbyte Amina mkuu. Tunaishi kujifunza.
0
0
0