![Tundu Lissu 2025 Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1824858746637389824/X3P8UOvv_x96.jpg)
Tundu Lissu 2025
@Lissu_2025
Followers
10K
Following
17K
Statuses
3K
Ukurasa wa kampeni za Tundu Lissu kuelekea uchaguzi 2025. Chagua Lissu (Mtia nia kupitia CDM)✌️ Account Rasmi ya Mhe. Lissu ni @TunduALissu
Tanzania
Joined May 2020
RT @MariaSTsehai: Love how @TunduALissu knows the political history and intricacies of Kenya 🇰🇪 - like the struggle for the Second Liberati…
0
21
0
Mwenyekiti wa Chadema. Mhe. Tundu Lissu kwenye hotuba yake amesisitiza hakutakau na Uchaguzi wowote kwanzia sasa pasipokuwa na mabadiliko. #Lissuanakuja
0
7
36
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Tundu Antiphas Lissu, yuko LIVE akilihutubia Taifa la WATANZANIA! #Lissuanakuja
1
16
155
LEO NI LEO 🔥 Mhe. Tundu Antiphas Lissu, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, atalihutubia Taifa leo 12.02.2025 saa 10 jioni! Leo mtoto hatumwi dukani! 📺 Stay Tuned! #Lissuanakuja
10
71
361
RT @ChademaTz: Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. @TunduALissu akitoa heshima za mwisho kwenye ibada ya mazishi ya Kamanda Derick Magoma, Mwen…
0
78
0
"Derick alikuwa mtu mwema sana.!" Mhe. Tundu Lissu kwenye mazishi ya Kamanda Derick Magoma leo tarehe 11.02.2025 #RipMagoma
4
58
472
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Tundu Antiphas Lissu, akiungana na familia, viongozi na wanachama katika ibada ya kuuaga mwili wa Kamanda Dr. Derick Magoma, aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Manyara. #RIPMagoma
4
78
793
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Tundu Antiphas Lissu, atatoa hotuba maalum kwa Taifa siku ya Jumatano, 12 Februari 2025, saa 10 jioni. Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama, Mikocheni – Dar es Salaam. Waandishi wa habari wanakaribishwa. #Lissuanakuja
22
97
570
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mhe. Tundu Antiphas Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara Mhe. Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake jijini Dar es salaam. #Lissuanakuja
11
47
236
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. @TunduALissu ataongoza mazishi ya Derick Magoma, aliyekuwa Mwenyekiti wa Manyara, tarehe 11 Februari 2025, Matufa, Babati. Magoma amefariki jana, 09 Februari, katika Hospitali ya Muhimbili. Mungu ailaze roho yake mahali pema. #Lissuanakuja
5
19
174
Maandalizi ya mapokezi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Tundu Antiphas Lissu, Ikungi Tarehe 15.02.2025 yanazidi kupamba moto. Mjumbe wa Kamati Kuu Mhe. Rose Mayemba atakuwepo kumsindikiza siku hiyo yakihistoria. #Lissuanakuja #Ikungiinaita
18
64
562
Kuelekea mapokezi yakihistoria ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Tundu Lissu tarehe 15.02.2025 nyumbani kwao Ikungi, Singida – muamko ni mkubwa! Kila mtu ATAKUWA Ikungi siku hiyo! Karibu ujiunge nasi tukashuhudie siku ya kipekee! #Lissuanakuja
17
100
782
RT @NamdiAzikiwe: "Jambo jema linaanzia nyumbani" Tarehe 13.02.2025 Tunaanza na #NyumbaniTarime kwa @HecheJohn na Tarehe 15.02.2025 tutakuw…
0
2
0