LifeofDeo Profile Banner
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€ Profile
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€

@LifeofDeo

Followers
2K
Following
58K
Statuses
5K

โœI'm here for Fun, keep your seriousness away๐Ÿค— โœLIVERPOOL FC โœSIMBA SC

Joined October 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
4 months
@TrollFootball Anceloti was like๐Ÿ‘‡ "Celebrate, but do not touch me"๐Ÿ˜ก๐Ÿ˜…
Tweet media one
10
14
180
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
1 day
RT @LifeofDeo: Weekend bila huyu jamaa sio Weekend ๐Ÿ’ฏโœ Watu wa Jua Kali na Sinema zetu mkae mbali๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚
Tweet media one
0
3
0
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
2 days
RT @son_noeli: Lakini si nimefunga mlango hili joto linapitia wapi asee ๐Ÿ˜‚๐Ÿšฎ
Tweet media one
0
42
0
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
2 days
@Bwoy_Zackie Hapa ndo waje wale matahira wanapima utulivu wa wanawake kupitia bikra wajibu ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Maana wengi ni under 22 bado akili hazijakomaa kuhusu mahusiano
1
0
3
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
2 days
Tweet media one
0
0
5
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
2 days
Issue hapa ni Mwamuzi kutoa kadi 2 yaani Njano na Red kwa pamoja! Mlisema haiwezekan tukawapa hii evidence Saivi mnahamia "walipewa watu wawili tofauti"๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Mnadhan alishindwa kumpa Njano Pulisic Kisha ampe Red Guenduzi? Suala ni kushika kadi 2 kwa pamoja, ndo Mada.
Tweet media one
1
1
3
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
2 days
@mgluena @Dominicksalamb1 Vyeti vitakuja hapo Mlandizi kiongozi ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
0
0
0
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
2 days
@18_caesar @Dominicksalamb1 Issue hapa ni Mwamuzi kutoa kadi 2 yaani Njano na Red kwa pamoja! Mlisema haiwezekan tukawapa hii evidence Saivi mnahamia "walipewa watu wawili tofauti"๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Mnadhan alishindwa kumpa Njano Pulisic Kisha ampe Red Guenduzi? Suala ni kushika kadi 2 kwa pamoja, ndo Mada.
1
0
0
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
2 days
@Dominicksalamb1 Issue hapa ni Mwamuzi kutoa kadi 2 yaani Njano na Red kwa pamoja! Mlisema haiwezekan tukawapa hii evidence Saivi mnahamisha mada kwenda kwenye "walipewa watu wawili tofauti"๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Mnadhan alishindwa kumpa Njano Pulisic Kisha ampe Red Guenduzi? Ukianzisha mjadala bas umalize๐Ÿ’ฏ
2
0
4
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
3 days
@PresenterNoah Inabidi mkashangae ulaya pia
Tweet media one
5
0
6
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
5 days
RT @lifeof_nono: Watoto wa miaka ijayo, wakianza kuuliza Mama ulikutana wapi na Baba au Baba ulikutana wapi na Mama๐Ÿ˜‚ majibu ni tulikutana Iโ€ฆ
0
8
0
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
5 days
RT @kasimuabuu98: Baada ya miezi,wiki na majuma mengi kupita leo ndio nimepata bahati ya kuifua shuka ya kujifunika aloo nashukuru Mungu liโ€ฆ
0
27
0
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
5 days
Bank hawaweki vyoo vya Wateja kwa issue za Usalama! Chooni unaweza kuingia na kitu chochote na ukatumia muda wowote, hivyo ni risk kwakua unakua ndan ya viunga vya bank. Otherwise waweke na Camera kitu ambacho sio sawa.
@_mr_logout
๐Ÿ’”
5 days
CRDB ubungo wanazingua AC wameweka lkn vyoo hawataki kuweka
Tweet media one
1
1
3
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
5 days
Weekend bila huyu jamaa sio Weekend ๐Ÿ’ฏโœ Watu wa Jua Kali na Sinema zetu mkae mbali๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚
Tweet media one
2
3
15
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
9 days
RT @LifeofDeo: Ukienda Msibani halafu ukakaa nyuma ndo utajua nini kilimuua Marehemu, kule mbele huwa ni sifa tu kwa Marehemu! โœ๐Ÿ’ฏ
0
5
0
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
9 days
@BojaniMp Chukua hiyo ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
0
0
0
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
9 days
@kasimuabuu98 Ndo ukwel huo, story nyingi kuhusu marehemu zipo nyuma kule๐Ÿ˜
0
0
0
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
10 days
@Thereal_taivina Hizi ndo zile mishe nilikua nawaambia wana wafata mkumbo ๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚ Ila kama una shida kwel usione aibu tia namba huyo demu akafie mbele๐Ÿ˜‚
0
0
4
@LifeofDeo
L.I.F.E of D.E.O๐Ÿš€
14 days
@kasimuabuu98 Ndo watuambie tu anamzidi nini
0
0
0