Jacksonmajengo Profile Banner
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Profile
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

@Jacksonmajengo

Followers
4K
Following
509
Media
225
Statuses
13K

Father || Creative&Adaptive minded|| Supporter @manutd & YANGA AFRICA||

Dar es Salaam, Tanzania
Joined February 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
6 years
Vijana wengi tukipewa dhamana na cheo na tukawa tuna aminika na alietupa dhamana , huwa kuna dhana ya KUJISHAU. Yaan unaona uneshapatia kila kitu. Ghafla mwenye kakupa dhaman anagundua unafanya madudu. Akikutoa unaanza lalamika hakupendi ooh majungu. Kumbe shida n ww mwenyewe
0
0
5
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
1 month
Alafu kuna mlevi mmoja anasema yanga wana Roho mbaya kwa mzize. Hiviiii๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
0
0
0
@YoungAfricansEN
Young Africans SC English
3 months
๐‚๐‡๐€๐Œ๐๐ˆ๐Ž๐๐’๐Ÿ† #CRDBBankFederationCupFinal 2024/2025 #TheClubAboveAll #DaimaMbeleNyumaMwiko
Tweet media one
5
95
1K
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 months
Twitter yangu ndo inasumbua au
0
0
0
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 months
Hii ya kubadili uwanja nimeipenda sana๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ. Na mtuambie kwann hamtak Zanzibar๐Ÿคฃ, tunaomba sababu za kimpira sio uchawi
0
0
0
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 months
This is important
@CarolNdosi
Carol Ndosi
5 months
Millenials wenzangu..๐Ÿ˜ƒ
Tweet media one
1
2
2
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 months
Ila pombe inaletaga raha flan iviii unasahau kila kitu
0
0
1
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 months
Sema wakili na mwanasheria wa Yanga anapaswa kufukuzwa bila kulipwa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
0
0
0
@NjengeYahya
Yahya Njenge
5 months
Simba ikifanya rotation hata ya wachezaji watatu tu inapata shida sana. Ni ishara tosha kuwa kikosi chao hatari ni kile kinachoanza tu, benchi lina watu wepesi sana. Wakimkosa Mpanzu na Kibu tu shughuli imekwisha.
29
6
232
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 months
Unaendaje na dem sehem za Starehe kavaa kijoraaa, how??
0
0
0
@JKT_Tanzania_FC
JKT Tanzania Football Club
5 months
Duuuuuh ๐Ÿ˜ณ Hapa Kichuya aanze tu mazoezi ya kudaka #WajengaNchi #KichapoChaKizalendo
Tweet media one
166
107
2K
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 months
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
@MarekaMalili
Lubasha Jr
5 months
Hii bahasha anatumikia huyu refa leo kama haitabadili maisha yake basi tena
0
0
0
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 months
Ila watu
@PresenterNoah
Presenter Noah
5 months
Huyu Dogo akikaza atamfikia Palmer ๐Ÿ˜Œ
Tweet media one
0
0
0
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 months
Kuna watu bado wanaangaliaga mechi za @ManUtd
1
0
0
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 months
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
@anuskills3
๏ฃฟ ๐Š๐ข๐๐ฎ๐๐ฎ ๐Œ๐ญ๐ฎ ๐‰๐‘โ„ข
5 months
Huyu Pacome Ndio analinganishwa na Mpanzu.?๐Ÿ˜‚
Tweet media one
0
0
0
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 months
Hamna kaz ngumu kama kumkunalia mwana muonane Bar alafu umwambie hutumii kileviii, yaan anakuona aje sijui๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
0
0
0
@anuskills3
๏ฃฟ ๐Š๐ข๐๐ฎ๐๐ฎ ๐Œ๐ญ๐ฎ ๐‰๐‘โ„ข
6 months
Pacome akiwa anacheza Mpira unaweza kuhisi Mpira ni Mchezo Rahisi Mpaka pale utakapo muone Kibudii Rasta man.!!๐Ÿ˜‚
Tweet media one
48
57
1K
@singidabssc
SINGIDA BLACK STARS SC
7 months
Familia ya GSM Tumefurahi......
Tweet media one
64
72
2K
@Dominicksalamb1
Dominicksalamba
7 months
No Penalty No Red Card No kuingia kinyumenyume No kuahidiwa milion 50 No Jabza kwa mpiga filimbi Mapigo Namwendo 0-5 mabingwa wa muda wote Tz na ndio timu bora kwasasa.
150
84
1K
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
7 months
Mpaka simba ashinde hata kwa fimbo
@richardfutbal
richardfutbal
7 months
Mpaka Simba Afunge ndo mpira uishe ๐Ÿ˜…
Tweet media one
0
0
0
@Jacksonmajengo
Jackson JM๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
7 months
Hamna timu imewah ongezewa dk 9 tanzania ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
0
0
0