Steph Profile Banner
Steph Profile
Steph

@IheboJr

Followers
5,069
Following
2,653
Media
328
Statuses
47,082

sharing things i'm learning through life and other interests

Afrika
Joined May 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@IheboJr
Steph
11 months
Role Model, Hon. Dr. J.M. Kikwete liked my post on his birthday... what a day 🙌🙌
Tweet media one
18
64
130
@IheboJr
Steph
5 months
nilijiunga Twitter mwaka 2023, lakini sikuwahi kushughulika nayo... mwezi wa tisa mwishoni 2023, nilianza kuwa Active on Twitter. leo nimetiza miezi saba Active on Twitter nikiwa na familia ya watu 40k, huu ni upendo wa hali ya juu sana kwangu... mbarikiwe sana ndugu zangu🙏🏻
11
22
126
@IheboJr
Steph
11 months
unajifanya unaijua Tabata vizuri wewe... hapa ni wapi?
Tweet media one
39
14
121
@IheboJr
Steph
6 months
ukitaka kupata mafanikio makubwa Duniani... kabidhi kila pesa kwa mwanamke wako
11
25
103
@IheboJr
Steph
4 months
ukimpa kijana ajira umempa vitu vingi sana... kukaa bila kazi sio kazi rahisi, usimwone kijana kwenye kijiwe ukafikiri ana enjoy
5
25
102
@IheboJr
Steph
8 months
entrepreneurship and hustling is about a slow but for a sure... because what comes quick, leaves quicker 📩 🤝
1
8
41
@IheboJr
Steph
3 months
nimekuwa active twitter ni miezi mitano tu... 50K followers sio jambo dogo, nawashukuru sana🙏🏻
6
28
97
@IheboJr
Steph
6 months
Rock City is always a good idea✨🥂
Tweet media one
9
22
94
@IheboJr
Steph
4 months
jasho lako ndio mshikaji wako wa ukweli kwenye raha na shida zako
3
20
93
@IheboJr
Steph
8 months
twitter ni ngumu kujua nani yuko kijiweni, chuo ama kazini... wote wako active na wanachangia mada mchana kutwa, hata wakiwa church wanachangia... usiamini kila kitu humu ndani 😆
9
28
82
@IheboJr
Steph
11 months
kesho ni siri ya Mungu tuishi na watu vizuri
9
24
75
@IheboJr
Steph
6 months
ukipata uwezo wa kujinunulia vitu au kitu kizuri fanya hivyo... inasaidia kujisikia vizuri na kupunguza maumivu ya maisha
6
31
81
@IheboJr
Steph
8 months
kama unataka kuwa na familia jiandae, usikubali ule msemo eti "kila mtoto huja na bahati yake" kila mtoto huja na mahitaji yake... jipange 🤝
4
25
77
@IheboJr
Steph
7 months
kama umemzoesha kumpa pesa, muoe kabisa brother... usituachie msala
9
28
77
@IheboJr
Steph
1 year
uko busy unatafuta kodi, malazi, mafuta, kiwanja, ujenge biashara ya future, huna muda mwingi na baby, alafu kuna mtu ana muda anachati na baby wako siku nzima... ukija fahamu unaambiwa haukumpa attention ya kutosha unafanyaje? changamoto za wanaume hazina wanaharakati wa utetezi
1
21
75
@IheboJr
Steph
6 months
nyuma ya lishangazi mwenye hasira... kuna kijana tapeli wa pesa na mapenzi!
4
19
73
@IheboJr
Steph
4 months
kutafuta kwa ajili ya familia pia ni ibada... na kesho tena, tunashukuru!🙏
4
26
75
@IheboJr
Steph
5 months
waandae watoto au wadogo zako kuja kupambana na maisha... usiwaandalie maisha!🤝
2
22
71
@IheboJr
Steph
8 months
mume bora ni yule ambaye ukimuomba pesa... anapotea wiki nzima 😆
7
18
71
@IheboJr
Steph
7 months
ukipata uwezo wa kujinunulia vitu au kitu kizuri fanya hivyo... inasaidia kujisikia vizuri na kupunguza maumivu ya maisha
3
23
71
@IheboJr
Steph
7 months
wadada punguzeni kunywa pombe kali... sauti nyororo zimekuwa adimu sana siku hizi!
1
20
69
@IheboJr
Steph
7 months
njia rahisi ya kukemea nguvu za giza nikuwasha taa💡
3
20
68
@IheboJr
Steph
7 months
kuna umri mwanamke akifika ndiyo huwa anajua... mwanaume ni muhimu hata kama hana pesa
5
17
68
@IheboJr
Steph
5 months
Dar es salaam ndiyo mahala pekee nchini... ambapo ukitumia akili zako timamu unakufa njaa!
4
18
68
@IheboJr
Steph
7 months
pesa ndogo ndogo hizi tunatumia bila kuzingatia... ukianza kuzizingatia hutaamini, it's alot of money
3
20
67
@IheboJr
Steph
9 months
twitter ni ngumu kujua nani yuko chuo, kijiweni ama kazini wote wanachangia mada mchana kutwa... hata wakiwa church wanachangia 😂
10
19
67
@IheboJr
Steph
6 months
hivi ni kwanini ukiona watu wanakula nyama choma bila ugali... wewe unaona ni kama wanachezea mboga vile 😂
9
21
68
@IheboJr
Steph
7 months
unamkaribisha mwana kwenye mchongo umemtoa kitaa... baadae anakuja kua adui huko huko mchongoni anaungana kukupindua au kukutoa mchezoni.... usione wakati mwingine hatupeani michongo kuna mifano mibaya inakatisha tamaa wazee
4
28
66
@IheboJr
Steph
9 months
kesho mida kama hii... Taifa linakwenda kuingia kwenye Aibu kubwa pale Lupaso, tuzidishe maombi..
7
17
68
@IheboJr
Steph
7 months
Now Playing 🎵🎵 Justin Timberlake ~ Selfish 🎶 JT can't be cancelled... pure talent always wins 👊
2
20
69
@IheboJr
Steph
8 months
hatuwezi kupata vyote tunavyo vitaka... lakini tunaweza kutimiza wajibu wetu wa kuvipambania 👊
5
24
66
@IheboJr
Steph
7 months
ndugu zetu mnaotuuzia zawadi za valentine... kesho inabidi mtutafutie na watu wa kuwapenda sasa
1
22
66
@IheboJr
Steph
4 months
nimefurahi kurejea tena twitter baada ya muda mrefu kutokana na changamoto za kiufundi... nawashukuru wote mlionitafuta na kunijulia hali kwa kujali na upendo wenu🤝
6
13
65
@IheboJr
Steph
11 months
kuna baa hapa kinamama wanakukimbilia kwenye gari kukupa huduma ya jikoni chips, kitimoto, mchemsho nakadhalika wanapambana kukuhudumia nao wapate riziki, alafu pembeni kasichana kadogo bia mkononi anauza mwili... what's born??
6
12
63
@IheboJr
Steph
4 months
ukikutana na mtu wa muhimu... mpe sababu yakumfanya kesho akiona simu yako aipokee
1
20
67
@IheboJr
Steph
10 months
uko busy unatafuta kodi, malazi, mafuta, kiwanja, ujenge biashara ya future, huna muda mwingi na baby... alafu kuna mtu ana muda anachati na baby wako siku nzima, ukija fahamu unaambiwa haukumpa attention ya kutosha unafanyaje? changamoto za wanaume hazina wanaharakati wa utetezi
7
27
63
@IheboJr
Steph
4 months
bidii ni muhimu, lakini kufahamu kuwa na bidii kwenye jambo gani... ni muhimu zaidi!
1
26
65
@IheboJr
Steph
4 months
wapwa sometimes msiwe mnaogopa kujaribu... mchana umeme uliisha nikaweka zile namba za nida, ukawaka!
7
17
62
@IheboJr
Steph
5 months
kweli mambo ni magumu... na mvua zote hizi lakini hakuna kumbikumbi?🤔
3
20
63
@IheboJr
Steph
5 months
life is better when... nobody knows what you're doing
5
31
62
@IheboJr
Steph
10 months
wapwa... usijiwakilishe kidhaifu/kinyonge, udhaifu hauvutii, udhaifu haufungui milango, kila unapopata nafasi ya kuichora picha yako ichore kishujaa... hakuna atakaye fanya hivyo kwa ajili yako
4
25
61
@IheboJr
Steph
6 months
ukikuta mchambuzi yoyote wa soka nchini hujui timu yake, jua ni Yanga... kwa sababu wachambuzi wa 5imba wote huwa hawajifichi!
5
12
62
@IheboJr
Steph
7 months
kurudi home salama na kukuta familia iko poa... ni mafanikio pia katika siku yako hata kama mishe hazijasoma kivile
2
17
63
@IheboJr
Steph
1 month
utakuja kufa ukiwa Single kwa kuogopa kuingilia mapenzi ya watu... tafuta wapenzi wanaolegalega jichomeke tu!
4
24
62
@IheboJr
Steph
3 months
roho ikiwa safi... umebarikiwa duniani na mbinguni🤝
2
18
62
@IheboJr
Steph
4 months
ubaya wa ujinga ni kule kumpa mtu ujasiri... wa kudhani ana ufahamu mkubwa wa jambo analolizungumzia
2
25
62
@IheboJr
Steph
8 months
vizuri kumsaidia mwana... ingawa mafanikio yake atakula na familia yake na ndugu zake 👊
4
19
62
@IheboJr
Steph
5 months
ukikutana na mtu wa muhimu... mpe sababu yakumfanya kesho akiona simu yako aipokee
5
32
62
@IheboJr
Steph
6 months
msininukuu vibaya... ila bibi harusi wenye vipini puani na tattoo ni wachache sana!
2
18
62
@IheboJr
Steph
8 months
tutafute pesa vijana wenzangu, hakuna mwanamke anayekaa mbali na simu yake
8
22
60
@IheboJr
Steph
7 months
ghetto lako likiwa linaungua moto vitu vitano vya kwanza utakavyo anza kuviokoa ni vipi?
7
14
63
@IheboJr
Steph
8 months
kuna umri mwanamke akifika... ndiyo huwa anajua mwanaume ni muhimu hata kama hana pesa 🤔🤔
6
13
58
@IheboJr
Steph
7 months
unaposti kila siku wakaka wa Kikorea na Kiarabu... halafu unakuja kuolewa na Muha.. 🤔
4
14
62
@IheboJr
Steph
4 months
binafsi simlaumu kabisa msichana akiniacha ninapokua sina kitu, sababu hata mimi sipendi shida... ila nita mlaumu kama akinirudia wakati ninazo... sababu hata mimi sipendi kuvuna nisicho panda, tuishi kama watu👊
4
17
61
@IheboJr
Steph
4 months
ni akaunti ipi humu mjengoni... ukienda kulala iko active, ukiamka yuko active na mchana kutwa yuko active... mpaka unajiuliza analala kweli?🤔
11
13
59
@IheboJr
Steph
6 months
Good morning... kuna mtu muda huu yuko macho humu ndani? kuna tamko nataka kutoa
5
15
60
@IheboJr
Steph
5 months
anaye kusikiliza sana... anaweza kukusaidia zaidi, kuliko anaye kushauri sana!
3
20
60
@IheboJr
Steph
6 months
hata ukianzisha Ligi ya timu zenye viongozi na mashabiki/wanachana wenye busara nchini... Yanga bingwa!
2
14
59
@IheboJr
Steph
6 months
unakuta mdada sio mgonjwa kabisa... lakini kalazwa vitanda zaidi 200!
12
18
58
@IheboJr
Steph
6 months
hivi wanaume wenzangu ikitokea girlfriend wako anakwambia “baby nikwambie kitu” huwa mnajibuje?🤔
8
16
61
@IheboJr
Steph
4 months
ni shughuli gani unaweza kuifanya gizani... kwa ubora wa hali ya juu kuliko kwenye mwanga?
5
19
60
@IheboJr
Steph
9 months
kuanzia next week kama bado utakua unaenda kazini... hiyo sio kazi ni mishemishe
7
12
59
@IheboJr
Steph
4 months
ukubwa unahitaji zaidi marafiki wa kusaidiana... marafiki wa kushindana, hao malizanao shule huko!
3
19
57
@IheboJr
Steph
6 months
what comes to mind when you think of Kenya??🤔🤔
6
16
59
@IheboJr
Steph
6 months
usijiwakilishe kidhaifu, udhaifuu hauvutii, udhaifu haufungui milango... kila unapopata nafasi ya kuichora picha yako ichore kishujaa... hakuna atakaye fanya hivyo kwa ajili yako👊
4
26
60
@IheboJr
Steph
3 months
ukubwa unahitaji zaidi marafiki wa kusaidiana... marafiki wa kushindana, hao malizanao shule huko!
6
24
59
@IheboJr
Steph
6 months
Ijumaa ukitulia zako home, watu wanadhani huna pesa... kumbe ni kweli😂
2
14
58
@IheboJr
Steph
8 months
kuna mahali pesa haifiki... unaenda upendo, utu, moyo na hekima
7
27
57
@IheboJr
Steph
6 months
hakuna kitu napenda kama kuiona 5imba ikiwa kwenye matatizo... yaani hadi raha!
5
22
59
@IheboJr
Steph
6 months
oyaa, ule muda unakutaga umekaa tu kichwani unakumbuka pisi ulizokataga kitambo... tuupe jina gani wapwa?
2
16
60
@IheboJr
Steph
7 months
kama unaweza kuivumilia timu mbovu 5imba, ndoa haitokushinda kamwe
2
13
57
@IheboJr
Steph
1 month
ufinyu wa mawasiliano katika familia... unasababisha watu kutoambiana tatizo linapokua dogo... nakuja kuambiana pale tatizo limeshakua kubwa tayari
8
19
60
@IheboJr
Steph
5 months
vijana tunakazi kubwa ya kushushana kuliko kupandishana
4
21
57
@IheboJr
Steph
9 months
ukikutana na mtu wa muhimu... mpe sababu yakumfanya kesho akiona simu yako aipokee
1
13
51
@IheboJr
Steph
6 months
twita ya siku hizi ni kama mahakama... nadhani inahitaji usajili tu, kesi ni nyingi mnoo 🤔🤔
2
16
56
@IheboJr
Steph
5 months
kama Umeme umekosekana kwa masaa tu umehaha... Dada utaweza kweli kuvumilia ndoa?
4
21
59
@IheboJr
Steph
5 months
ukipata fursa hata kama ni ndogo ichukuwe huwezi kujua itakufikisha wapi... ni bora kuichukua kuliko kuiacha iende zake wapwa!👊
4
20
58
@IheboJr
Steph
6 months
watu wanao tofautiana wakibishana kwa kuheshimiana... mlango wa kujifunza hufunguka na maarifa huzaliwa👊
5
24
59
@IheboJr
Steph
6 months
hivi nyie watu ambao wapenzi wenu huwa wanawaweka dp... huwa mmewafanyia nini hasa?🤔
9
14
57
@IheboJr
Steph
5 months
maji hayasahau njia yake, hivyo hivyo pia kwenye riziki... palipowahi kupita riziki, ni rahisi riziki kupita hapo tena wapwa👊
4
20
58
@IheboJr
Steph
5 months
kuna dada hapa Twitter ni mdogo wake shetani kabisa!😂
4
13
55
@IheboJr
Steph
7 months
unakutana na mpenzi wa ndoto zako wakati umeshafunga ndoa
3
15
56
@IheboJr
Steph
4 months
rafiki wa rafiki yako ndiye anayetaka zaidi kuyajua maisha yako kuliko rafiki yako
3
20
57
@IheboJr
Steph
10 months
kama hujawahi kula nauli ya ticket ya ndege... wewe sio pisi kali 🤔
6
18
53
@IheboJr
Steph
7 months
jana ndio nimeamini... watanzania wote kiasili ni Yanga, basi tu harakati za maisha zimetufanya kupenda vitu vingine vya ajabu ajabu
2
18
56
@IheboJr
Steph
4 months
watoto wa kwanza(first born) wanabebeshwa na kubeba mizigo mikubwa ya wajibu na lawama... matarajio makubwa ya familia juu yao yanawabebesha wajibu, na wanaposhindwa kuyafikia matarajio hayo wanabebeshwa mzigo wa lawama... mwenyezi mungu awabariki na kuwawekea wepesi🤝
6
19
56
@IheboJr
Steph
5 months
njia rahisi ya kukemea nguvu za giza nikuwasha taa💡
4
26
54
@IheboJr
Steph
3 months
kama umeshindwa kabisa kuyapunguza madhaifu yako... basi ongeza mazuri yako🤝
5
15
55
@IheboJr
Steph
5 months
ukishindwa kuonyesha mafanikio, japo onyesha jitihada... usikose cha kuonyesha kabisa👊
3
18
55
@IheboJr
Steph
6 months
aliyesema pesa sio kila kitu, tuponae hapa kapoteza wallet... ina buku tano analia kama yuko msibani!!
4
12
57
@IheboJr
Steph
9 months
sawa hatujakataa wewe ni Uvccm... ila ndiyo umuandike kweli Rais kama referee wako kwenye cv? 🤔🤔
3
16
54
@IheboJr
Steph
9 months
ukikitafuta kitu google ukakikosa njoo twitter huku hakuna kitu watu hawajui
9
26
54
@IheboJr
Steph
3 months
wapwa msitoe pesa mwanzoni mwa mahusiano... hata maandiko yanasema "hapo mwanzo kulikuwa na neno"... kwahiyo mwanzo yawe ni maneno tu!🤝
4
15
57
@IheboJr
Steph
9 months
msichana anayekupa amani ya akili na moyo wakati huna pesa... hakikisha ndiyo huyo huyo utakaye mpa raha ya mwili na roho wakati unazo pesa
2
12
53
@IheboJr
Steph
6 months
ukiwa na hela nirahisi kupata hela, kama unataka kuwa na hela tafuta hela👊
6
17
55
@IheboJr
Steph
4 months
Tamko: kama leo umeenda kazini, hiyo sio kazi ni mishemishe... jitahidi upate kazi ndugu, MeiMosi mwisho Ijumaa!👊
8
14
57
@IheboJr
Steph
6 months
My Twitter Interaction Circle ➡️
Tweet media one
13
24
56
@IheboJr
Steph
5 months
kila la kheri Young Africans SC... watanzania wote tupo nyuma yenu, kwenye football nyie tu ndiyo nembo ya Taifa letu... mkapate ushindi Insha'Allah🤲
6
15
54
@IheboJr
Steph
11 months
kunywa maji, vaa vizuri, fuata mambo yako
6
15
52