IamZolanda Profile Banner
Tito Zenda Profile
Tito Zenda

@IamZolanda

Followers
106
Following
2K
Statuses
2K

I help busy professionals and travelers book seamless domestic and international flights, saving you time and eliminating stress—

Tuma Ujumbe →
Joined July 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
@IamZolanda
Tito Zenda
2 months
I Book, You Fly! Unaposoma haya na unajikuta unakutana na changamoto kama: ✅Kuhangaika ku-book ndege za ndani au nje ya nchi ✅Kupata tiketi nafuu na zinazofaa kwa safari zako ✅Au hata kama huna changamoto, lakini unapenda mambo rahisi na haraka Basi upo mahali sahihi!...
Tweet media one
2
1
3
@IamZolanda
Tito Zenda
31 minutes
Les Wanyika anakuvutia uendelee kuisikiliza nyimbo yake inayoitwa 'AMIGO' Ni kwasababu yule jamaa kwenye ile story hakua perfect mwanzo mwisho analeta shida na anamatatizo kibao its interesting story haiboi. Les Wanyika-Amigo🎶
@IamZolanda
Tito Zenda
2 months
Here’s a little secret. "Readers don’t like reading about perfect heroes (Main character of your story) who have all their sh*t together. Perfect heroes without any flaws or problems whatsoever are bo-o-oring."
0
0
2
@IamZolanda
Tito Zenda
39 minutes
Uwanja wa Nduli, Iringa kwa asilimia zaidi ya 93% umekamilika... AirTanzania na Precision air wametangaza kuanza safari rasmi kuna promotion na offer nyingi sana katika route hii msimu huu ukihitaji tiketi ya kuelekea Iringa bofya hii link
Tweet media one
Tweet media two
@IamZolanda
Tito Zenda
2 months
Dar kwenda Iringa kwa direct flight hua ni dakika 90 tu. Na mashirika ya ndege yanayofanya safari ni Auric na Flexflight Wengi huisi hakuna ndege zinazofanya masafa pande hizi. Kwa mahitaji ya tiketi za ndege, kindly njoo whatsapp👉
0
0
1
@IamZolanda
Tito Zenda
47 minutes
RT @IamZolanda: Nikiwa nataka kwenda Songea kwa bus, huwa napiga simu moja tu kwa wakala. Rahisi sana! Napata nafasi ya kuchagua seat nin…
0
1
0
@IamZolanda
Tito Zenda
4 hours
@GillsaInt Nashukuru sana kaka🙏🏿. Naanza kuyafanyia kazi haya. Pia ntajisajili kwenye hii kozi ili nijinoe zaidi
1
0
0
@IamZolanda
Tito Zenda
9 hours
quality time is giving someone your undivided attention. Ila hawa wapendwa wako busy na simu zao…
@ally_eh
ALLY MSANGI
9 hours
Ifanye Valentine Yako Iwe Maalum na yakipekee ndani ya Mac and Jak Getaway! Jisikie wa kipekee katika mandhari ya mapumziko ya kimapenzi, Ukifurahia chakula kitamu na ujenge kumbukumbu zisizosahaulika. BEI: Wawili 150,000/- na Singles 70,000/- 📍 Mahali: Mapinga/Kerege, Bagamoyo 📞 Reservation: +255768364583 Hakikisha una piga simu kuweka nafasi yako mapema kufurahia Valentine day na mpendwa wako.
Tweet media one
Tweet media two
1
0
1
@IamZolanda
Tito Zenda
1 day
@EdsonNanyaro 🤣🤣🤣🤣🤣
0
0
0
@IamZolanda
Tito Zenda
1 day
kuna fact nyingi sana humu, huyu mzee ana logic na anachambua mziki pasipo hisia
@Wakazi
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
1 day
The Super-bowl performance ya Kendrick Lamar was absolutely brilliant!! The vocal performance, The storytelling, The symbolism, The Messaging, Subliminals, The Choreography, Unique Set-up (As a stage play with Samuel L Jackson narration), The Cameos (Mustard, Serena Williams).
Tweet media one
0
0
0
@IamZolanda
Tito Zenda
1 day
@inframe_tz ‘Midas Touch’
0
0
0
@IamZolanda
Tito Zenda
3 days
@Hulk_Holyfield @GillsaInt Shukrani kaka
1
0
1
@IamZolanda
Tito Zenda
3 days
@spana_Konki Oyaa😂😂
0
0
0
@IamZolanda
Tito Zenda
3 days
@GillsaInt Real followers brother
1
0
1
@IamZolanda
Tito Zenda
3 days
Sijajua life expectancy ya wakazi wa Congo, ila nachojua na wao wanatamani Kuishi maisha mazuri yenye amani na furaha. I think huu mkutano utaenda kutatua changamoto zao Our fellow African, Maombi yetu yako kwenu🙏🏿
0
0
0
@IamZolanda
Tito Zenda
3 days
@JozenGamba Umetisha mzee.
0
0
0
@IamZolanda
Tito Zenda
3 days
Happy birthday Tajir. You looking beautiful and young. Mungu azidi kukutunza
@manaal_ms
manaal sleyim
3 days
Alhamdulillah🫂
1
0
1
@IamZolanda
Tito Zenda
3 days
Attention: Kwa Wasafiri Wote Wanaoelekea Mtwara… AirTanzania imetangaza kuanza safari rasmi tarehe 17 February 2025. Ambapo nauli ya: . Kwenda na Kurudi ni 199,000 TZS . Kwenda tu ni 122,200 TZS Fanya Booking yako sasa kwenda 0741300300 #mtwara #airtanzania
Tweet media one
0
0
1
@IamZolanda
Tito Zenda
4 days
Mother alikua anatuambia ni Dawa ya tumbo ko tulikua tunapiga kama ulivo
@classmonitor22
Daktariwawatoto 🧑
4 days
Huwa Mnawatoaje Hawa Sisimizi?
Tweet media one
0
0
0
@IamZolanda
Tito Zenda
4 days
Wana offer ya valentine, Pia unaweza kututumia ujumbe chap kupitia WhatsApp tukafanya booking yako Bofya
Tweet media one
Tweet media two
@raphyrodrick
m.s.a.k.i+
4 days
Kumbe air Tanzania safari to Zanzibar one way ni 80,000 tu,
0
0
0
@IamZolanda
Tito Zenda
4 days
@GillsaInt Kabisa.
0
0
0