Huyu MTOTO alifanya VIONGOZI wa MAKOLO SC wakae AIRPORT kujaribu utekaji 😂.
Dogo kapanda zake MTEI EXPRESS mpaka MBEZI akapokelewa na JOB na KIBWANA hadi AVIC 🫡
Dogo kapewa barua mzazi aje shuleni anaitwa. Nafika shule naambiwa dogo ana kesi eti tuu kavaa SMART WATCH.
Nawauliza Walimu, kwenye hiyo saa mmekuta nini.. Wanasema sheria za shule haziruhuru. Nikawaomba sheria nisome, tumekosa hiyo sheria..
Ngoja Walimu tuvimbiane sasa 😂
Tangu kaondoka YANGA SC
YANGA SC
1. Haijafungwa mechi hata 1
2. Hakuna droo hata 1
3. Magoli yake anafunga Aziz ki
4. MUDATHIR kaziba pengo
5. UGALI SUKARI kambini hauliki
Nb:- MILUZI MINGI ILIMPOTEZA MBWA
Kijana kaenda kusalimiana na waajiri wake wapya.
BRUNO 1 ni sawa na SAIDOO 32, MZAMIRU 80, KANOUTE 21, SAKHO 47, MKUDE 54 na CHAMA 140 kama vifungashio
MALI 🇲🇱 wamenikumbusha enzi za PROF NABI na zama za PROF GAMONDI.
Ukiona hadi HT 0-0 basi timu ikirudi inakuja na spirit ya ajabu sana.
What a performance 🇲🇱🙌
Hizi kampuni za Ma-BUS laiti kama wangekuwa wanamlipa MKOJANI hata 10,000/= kwa kila BUS per mwezi nadhani MKOJANI angekuwa zaidi ya DIAMOND.
👉 Hakuna BUS ambalo halioneshi VIDEO/MOVIES za MKOJANI. Nasema hakuna hakuna.
@TBoundBuses
@wasafirtanzania
@Adventure_36
Tuliambiwa OKRAH
1. MLEVI
2. MTOVU WA NIDHAMU.
Ila namna alivyokimbia na goli alilofunga. Pale ingekuwa BOCCO, ONANA, KIBU au SARR mpira ungeokotwa MSONGOLA au IKWIRIRI.
NAME:- YAO ATTOHOULA
BIRTH:- 1996.12.20
AGE:- 26
CITIZEN:- COTE D'IVORE
HEIGHT:- 1.68M
POSITION:- RIGHT BACK
Welcome to TANZANIA 🇹🇿
Welcome to YANGA SC 💛💚
HERSI anaifanya YANGA SC iwe REAL MADRID, kila MVP atakuja kwa gharama yoyote ili tuu UBINGWA na FURAHA iwepo.
Sasa kuna TRY TENA na Wahuni wenzake waliogeuza MAKOLO kuwa wapiga DEBE na wagonjwa wa SONONA.
SPEECH aliyotoa RAIS ENG. HERSI ukiisikiliza kwa umakini utakuja kujua MAKOLO FC itawachukua CHAGUZI 20, VIKAO 60 na ma-Rais 100 kutengeneza SPEECH clear ya aina ile 🤝