G. H. O. S. T 🇹🇿 Profile Banner
G. H. O. S. T 🇹🇿 Profile
G. H. O. S. T 🇹🇿

@Hon_KibayasiF

Followers
7,309
Following
5,875
Media
6,600
Statuses
49,676

I TEACHER - BA (SPEN), MA (CI) Alumn I RIDER 🚴🏼‍♂️I MTANI I MWENYEWE SIJUI I MTEMBEZI I

Tanzania
Joined April 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
14 days
+1 CHAPTER 🎁🍾 Cheers 🥂 To Life Mwalimu (ME & I) Alhamdullillah 🙏🏽 #MTEMBEZI #Mwalimu #WalimuWotePeponi
Tweet media one
6
7
23
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
2 years
Baada ya kuona AJALI aliyopata huyu dogo. Imenifanya nihairishe safari yangu niliopanga kwenda SINGIDA na pikipiki yangu. R.I.P JUNIOR tutakukumbuka daima 😭😭
Tweet media one
314
274
5K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
🚨 APPRECIATION 🚨 Ukiacha SHOW za WASANII wote. AllyB is a MONSTER #WANANCHI
Tweet media one
31
76
2K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
8 months
Twende chap #LIKE #RETWEET GAMONDI. BENCH
Tweet media one
Tweet media two
8
172
2K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
9 months
HIGHLIGHTS 🎥 MAKOLO SC x WANANCHI SC Kindly RETWEET mpaka WATANI 🇹🇿 wote wafurahi….
27
728
2K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Tunde chap...... MAKOLO YANGA #RT #LIKE
Tweet media one
Tweet media two
26
209
2K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Huyu MTOTO alifanya VIONGOZI wa MAKOLO SC wakae AIRPORT kujaribu utekaji 😂. Dogo kapanda zake MTEI EXPRESS mpaka MBEZI akapokelewa na JOB na KIBWANA hadi AVIC 🫡
Tweet media one
54
50
2K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
2 years
Toa kitu kimoja hapo 👇
Tweet media one
488
53
1K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
8 months
Pale SUA huyu ana GPA ya 4.8 na wala hajali. Halafu kuna yule mwenye GPA ya 2.5 kavaa SUIT. Shubaamiti kabsa.
Tweet media one
97
67
1K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Uongozi mpya wa BACK BENCHA 1. HAKIMI - MWENYEKITI 2. NASSIB. - M/MWENYEKITI 3. BURNA - KATIBU Slogan:- kampende MAMAKO
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
75
85
1K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Ukiacha AMAPIANO na WASANII hakuna kitu... Nb:- Leo YANGA SC na VIONGOZI kwa ujumla tumezingua. 😡
Tweet media one
111
76
1K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
SAIDOO alipishana na gari la BANK. Chizi wetu MORRISON kavaa medali ya CAF aisee
Tweet media one
Tweet media two
19
23
1K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
MAN OF THE MATCH 🤝
Tweet media one
8
27
1K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Kamanda katueleza kwa nini wanapiga marufuku 3D Sikiliza video hapo chini 👇
Tweet media one
229
56
1K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
5 months
Dogo kapewa barua mzazi aje shuleni anaitwa. Nafika shule naambiwa dogo ana kesi eti tuu kavaa SMART WATCH. Nawauliza Walimu, kwenye hiyo saa mmekuta nini.. Wanasema sheria za shule haziruhuru. Nikawaomba sheria nisome, tumekosa hiyo sheria.. Ngoja Walimu tuvimbiane sasa 😂
107
65
1K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
2 years
🙏
154
220
1K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
7 months
5 ⭐️ 🌟 💫 kwa DIRECTOR Kumyoa NYWELE Mtu for a single SCENE kwa lengo la kuleta uhalisia sio jambo jepesi 🙌. #juakali
Tweet media one
24
20
1K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
HONGERA MTANI 1. Umetuonesha maana halisi ya CLUB BINGWA. 2. Umetupa heshima kama NCHI. Naomba niwape MAUA yenu. There is always a next time 🤝
Tweet media one
45
69
1K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
4 months
MAKOLOWANA mlisema nini kuhusu huyu……. BACCA na BAKARI hatuna deni 🙌🙌
Tweet media one
9
25
1K
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
11 months
Kwenye hii zama ya MAX NZENGELI mwamba FISTON MAYELE angekuwepo. Naamini angemaliza msimu na magoli 70.
Tweet media one
21
19
971
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
🇹🇿Job Che Malone Height 1.7. Height 1.8 Nb:- Vipi agenda ya BEKI wafupi bado ipo mtaani kwenu au ndio tuwaache….?
Tweet media one
Tweet media two
56
36
936
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Imagine huyu MTOTO anavyofanya halafu mpe miaka 10 mbele uje useme mbele yake YANGA SC haikuwa CLUB bora TANZANIA 🇹🇿 na AFRICA 🌍
Tweet media one
7
37
937
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Kwa nini MCHEZAJI apewe special program.......?? Jibu kama mchambuzi 👇
Tweet media one
20
21
923
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
5 months
Mpaka sasa. Nani mkali wa rhymes za MISIBA… 🤔 KOMBA MSECHU
Tweet media one
Tweet media two
150
30
925
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Comment ziwe fupi 👇
Tweet media one
141
38
910
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Twende kazi 👇 ANDAZI CHAMA #LIKE #RT
Tweet media one
Tweet media two
36
75
896
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
7 months
Kwa hii trend ya DIARA hapa AFCON ikiendelea kuwa hivi. Basi YANGA SC tuna kibarua cha kumbakisha. What a save 🙌
Tweet media one
10
16
854
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
11 months
KIBABAGE kafanya ZIMBWE azimie kambini.
Tweet media one
5
24
838
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
NGOMA zote zile, Ila kwenye TUZO hayupo. Kwani nini kimetokea.....? 🤔
Tweet media one
104
13
828
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
KIKO WAPI…..? Dakika 10 alizopewa KOLO hajatoa accurate pass zaidi ya 3. Kadrible mara 1. Kaanguka mara 4.
Tweet media one
93
28
835
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
10 months
Good Morning Republicans 🇹🇿 Mungu awe nasi #Mwalimu #Walimu #WalimuWotePeponi
Tweet media one
65
50
833
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Tangu kaondoka YANGA SC YANGA SC 1. Haijafungwa mechi hata 1 2. Hakuna droo hata 1 3. Magoli yake anafunga Aziz ki 4. MUDATHIR kaziba pengo 5. UGALI SUKARI kambini hauliki Nb:- MILUZI MINGI ILIMPOTEZA MBWA
Tweet media one
105
48
815
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
5 months
FT YANGA SC 4 - 0 CR BELOUIZDAD #CAFCL #TotalEnergieChampionsLeague
Tweet media one
17
26
773
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
11 months
Wamehamia kwenye HATTRIK na NGAO. Endeleeni kuruka ruka kama maharage jikoni….
Tweet media one
6
21
765
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Kwa nini WACHAMBUZI hawataki HAJI ateue wanafunzi wake 12 wa kwenda nao MJI WA AHADI (ALGERIA)..??
Tweet media one
23
19
716
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Huyu DOGO ana kitu Hii Imeenda 💚💛
Tweet media one
9
21
724
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
4 months
Kama tumepaki bus 🚌. Kwa nini INONGA nae asingepaki lenu… INONGA ana mengi ya kujifunza kwa BACCA
Tweet media one
7
15
710
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Kijana kaenda kusalimiana na waajiri wake wapya. BRUNO 1 ni sawa na SAIDOO 32, MZAMIRU 80, KANOUTE 21, SAKHO 47, MKUDE 54 na CHAMA 140 kama vifungashio
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
37
36
692
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
🚨 2 BILLION MVP Nb:- MAKOLO walipata 2B kwa kuuza CHAMA na MIQ ikumbukwe...
Tweet media one
51
24
684
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Kweli DIARA ni role model wa makipa wengi duniani. Kipa wa Inter alikuwa anachezesha kama DIARA vile Sema tuu siku mbaya kazini
Tweet media one
Tweet media two
10
27
666
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
9 months
Hili TAMKO ndio lilipandisha hasira za YANGA SC
Tweet media one
18
34
665
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
7 months
Maana halisi ya KITASA 🙌 Mpaka sasa BACCA anampa somo zuri sana MSUVA SIMON
Tweet media one
2
12
623
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
11 months
Ukitaka kujua cha mwisho kitamu basi muulize MAX NZENGELI Siku asipofunga goli la 5 kuna watu watapata SHINIKIZO LA DAMU
Tweet media one
5
13
622
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
8 months
Huku BUNJU kabla ya mazoezi, KOCHA kaingia na kifaa cha kupimia umri. Wachezaji wote wakasema wana harisha 🙌
Tweet media one
15
19
619
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
8 months
Pepo ya mpira iwe juu yake #SUREBOY 🙌
Tweet media one
5
17
584
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
MAX 2 games 2 assists
Tweet media one
4
18
594
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Pre-Season wamefanyia AVIC lakini wana mafanikio kuliko wadangaji.
Tweet media one
21
24
579
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
4 months
BACCA 1 ni sawa na CHE MALONE 200, INONGA 340, ZIMBWE 120, KAPOMBE 400 na KENNEDY 1000 kama vifungashio…
Tweet media one
8
21
573
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
10 months
WACHEZAJI wenye thamani huwa na mapumziko ya hadhi zao. Nb:- Kuna mchezaji wao nusu afe baada ya kwa dereva wa UBER/BOLT
Tweet media one
28
14
565
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
7 months
Alie tengeneza hii VIDEO. Moja kwa moja peponi na atakuwa MALAIKA wa zamu.
54
140
572
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
EID EL FITRI 🤝 DODOMA - TANZANIA 🇹🇿
Tweet media one
Tweet media two
23
24
559
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
3 months
Mtueleze ZANZIBAR mlienda kufanya nini……
Tweet media one
2
12
565
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
7 months
Msifute Hizo MEME zinakazi yake…
Tweet media one
0
9
546
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
WYDAD wangepangwa na YANGA SC kuna kila dalili WYDAD wasingeingiza timu uwanjani
Tweet media one
40
16
540
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
11 months
Imagine MAX na AZIZ KI halafu kuna MKUDE na SURE BOY Kuna timu 2nd Half hawarudi uwanjani 😂
Tweet media one
3
12
541
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
7 months
MALI 🇲🇱 wamenikumbusha enzi za PROF NABI na zama za PROF GAMONDI. Ukiona hadi HT 0-0 basi timu ikirudi inakuja na spirit ya ajabu sana. What a performance 🇲🇱🙌
Tweet media one
3
13
531
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
9 months
Sema KIBWANA kazini kwake kuna kazi kweli…..
Tweet media one
1
14
525
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
4 months
Walideal na MAMELODI, wakafungwa na AL AHLY. Walideal na BARUA, wakafungwa na MASHUJAA FC Sasa wanadeal na MAYELE, Tarehe 20/4 sio mbali……
Tweet media one
10
34
530
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
BAKI NA UNACHO AMINI 🤝 Ila kwenye hivi VITABU tumepangwa sana.
Tweet media one
Tweet media two
136
40
499
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
11 months
Kuna mtu kauliza… “HIVI NYIE YANGA MAKOCHA MNATOAGA WAPI….?” 👋
Tweet media one
12
19
507
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
2 years
Hizi kampuni za Ma-BUS laiti kama wangekuwa wanamlipa MKOJANI hata 10,000/= kwa kila BUS per mwezi nadhani MKOJANI angekuwa zaidi ya DIAMOND. 👉 Hakuna BUS ambalo halioneshi VIDEO/MOVIES za MKOJANI. Nasema hakuna hakuna. @TBoundBuses @wasafirtanzania @Adventure_36
Tweet media one
40
24
484
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
11 months
AUCHO haimbwi sana. Pale MSIMBAZI kikosini anabeba nafasi ya NGOMA, CHAMA, na KANOUTE.
Tweet media one
2
20
485
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Welcome to YANGA SC Welcome to TANZANIA 🇹🇿 PITSO 🫡
Tweet media one
13
12
480
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
KIBABAGE Nb:- kuna rumba MAKOLO watalikimbia #WANANCHI
Tweet media one
0
18
478
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Hii picha itapigwa hapo baadae saa 1:20 usiku
Tweet media one
18
11
478
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
7 months
Huyo dogo anachokifanya nadhani dirisha likikaa poa balaa zito litawakuta watu NBCPL
Tweet media one
0
10
460
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Ushapafahamu, hapo ni wapi....?
Tweet media one
61
11
459
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
4 months
Mzinze atafika mbali sana……
Tweet media one
13
19
461
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
7 months
Hatimae sasa DAR-MORO 2HRS 🤝
Tweet media one
39
13
458
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
6 months
Hii simu inapigwa kwa MAJINI. Siku ikipokelewa 🙌
Tweet media one
4
12
456
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
2 years
Ahsante kwa kuruhusu tubaki na memory zako. REST AT EASY BRO JUNIOR BIKE STAR 🙏
24
63
447
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
4 months
This Time Tomorrow Dakika 41 YANGA SC 2-0 MAMELODI
Tweet media one
7
8
456
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Mdaka MISHALE akiwa na mdaka RISASI NB:- DIARRA analeta somo zuri sana kwa METACHA
Tweet media one
5
12
434
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
5 months
MAWAZIRI wakitoka bungeni kupitiasha bajeti ya furaha kwa Wananchi Waziri wa ULINZI na Waziri wa MAJI
Tweet media one
2
23
426
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Huo moto wao. Wasipochukua CAF msimu huu. Sijui tumuulize nani kawaloga.. 🤝
Tweet media one
10
9
423
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
6 months
Jinsi MAKOLO FC walivyokuwa wajinga. Kesho Watamuacha FEI TOTO apige HAT TRIK ili tuu AZIZ KI asiwe TOP SCORER 😂
Tweet media one
11
15
429
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
5 months
Tuliambiwa OKRAH 1. MLEVI 2. MTOVU WA NIDHAMU. Ila namna alivyokimbia na goli alilofunga. Pale ingekuwa BOCCO, ONANA, KIBU au SARR mpira ungeokotwa MSONGOLA au IKWIRIRI.
Tweet media one
7
14
418
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
YAO SAO Nb:- kuna forward zitaomba poo dakika ya 7 ya mchezo #WANANCHI
Tweet media one
3
22
424
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Hapa unaambiwa anapiga RIGHT BACK vilevile anakichafua kama RIGHT WINGER. Naenda kuwaona MAYELE na MSONDA wakiwa kama TOP SCORERS na MVP wa NBC
Tweet media one
5
13
411
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Ukitaka kuifunga YANGA SC hakikisha hii kamati mmoja wapo anaumwa tena kalazwa Ila nje ya hapo. NEHI NEHI ni kipigo tuu
Tweet media one
7
20
408
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
9 months
Twende chap #Rt MAKOLO #Like YANGA
Tweet media one
Tweet media two
4
8
410
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
7 months
UtaPOST ipi……….? A. UCHAFU ( #Rt ) B. USAFI ( #Like ) A. MAKOLO B. UTOPOLO
Tweet media one
Tweet media two
10
5
405
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Alhamdulillah. Chapter 3+ Additional Happy Birthday To #ME 🤲🙏 #WalimuWotePeponi
Tweet media one
106
49
401
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Kwa huu ndio upumbavu aliamua kutufanyia WANANCHI. Huwezi kwenda kwenye SHOO umelewa mnnnninaaa zako
Tweet media one
35
3
401
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Katika MTEGO ambao AZAM FC hawatakiwi kuuingia ni huu wa kuamini nani YUPO ama HAYUPO kwenye fainali. Narudia HUU NI MTEGO
Tweet media one
Tweet media two
4
11
397
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Muda huu AZIZ KI akiperuzi kumuonesha MBAVU namna MAKOLO huwa wanatunguliwa kama MASHATI ya mtumba pale KARUME 🤣
Tweet media one
8
19
394
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
NAME:- YAO ATTOHOULA BIRTH:- 1996.12.20 AGE:- 26 CITIZEN:- COTE D'IVORE HEIGHT:- 1.68M POSITION:- RIGHT BACK Welcome to TANZANIA 🇹🇿 Welcome to YANGA SC 💛💚
Tweet media one
17
14
393
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
MOLOKO anafanya mpira uwe rahisi sana 🤝
Tweet media one
6
8
392
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
WANANCHI MNASIMAMA NA NANI….? #RT #LIKE
Tweet media one
Tweet media two
20
24
382
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
It’s not over
Tweet media one
2
8
383
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
8 months
Pacome anawaambia “Mtakuja kwa MKAPA 🏟 tuu”
Tweet media one
4
8
374
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
Kwa pamoja tuyacheke MAKOLO
Tweet media one
6
17
375
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
4 years
0
0
340
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
5 months
Usiku wa deni haukawii kukucha. MORO - DAR tukawachape. #PACOMEDAY
Tweet media one
4
15
371
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
8 months
Aliepigwa 05 Kaenda kumpiga kibonde wake 02. Imagine YANGA SC wangekutana na WYDAD. WYDAD si angekula 10
Tweet media one
80
15
368
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
THE PROTECTOR
Tweet media one
11
9
366
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
LIKE RETWEET
Tweet media one
Tweet media two
5
18
361
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
BACK BENCHA katuwakilisha vizuri sana.
Tweet media one
42
27
356
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
7 months
MUDATHIR ni MOYO MUDA akichukua kutoka kwa BACCA akiisambaza kwa FEI TOTO kisha kwa SHEKHAN ball linatembea. Pale middle wao ndio wanakichafua
Tweet media one
2
7
355
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
5 months
HERSI anaifanya YANGA SC iwe REAL MADRID, kila MVP atakuja kwa gharama yoyote ili tuu UBINGWA na FURAHA iwepo. Sasa kuna TRY TENA na Wahuni wenzake waliogeuza MAKOLO kuwa wapiga DEBE na wagonjwa wa SONONA.
Tweet media one
3
16
358
@Hon_KibayasiF
G. H. O. S. T 🇹🇿
1 year
SPEECH aliyotoa RAIS ENG. HERSI ukiisikiliza kwa umakini utakuja kujua MAKOLO FC itawachukua CHAGUZI 20, VIKAO 60 na ma-Rais 100 kutengeneza SPEECH clear ya aina ile 🤝
Tweet media one
20
16
364