Lugz🎈 Profile Banner
Lugz🎈 Profile
Lugz🎈

@HenryLugz

Followers
30,593
Following
6,742
Media
7,669
Statuses
118,045
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@HenryLugz
Lugz🎈
8 months
Kama una uhitaji wa vifaa vya ufundi na ujenzi basi karibu LUGZ TOOLS & EQUIPMENTS. Tunauza vifaa vinavyo husiana na ufundi welding, carpentry, umeme, ujenzi wa nyumba na spanners za Magari, Pikipiki, Bajaj na Toyo. Tunapatikana Chamazi Magenge. Cont: 0658-137613
Tweet media one
Tweet media two
4
37
43
@HenryLugz
Lugz🎈
1 year
Am sure wengi wetu ndani ya hizi siku tatu tutakuwa tumekutana na hii picha somewhere in the internet. Hii ndo picha inaongoza kwa ku-trend South Africa at the moment. Binafsi nimekutana nayo mara kibao mpaka imenibidi nijaribu kutafuta story behind. A thread 👇🏾
Tweet media one
196
446
3K
@HenryLugz
Lugz🎈
1 year
Bayern kwa wanacho mfanyia Mane, laana ya bara zima la Afrika itawatafuna. Sijapenda kabisa 😏
Tweet media one
119
73
2K
@HenryLugz
Lugz🎈
2 months
Siwezi kuwafundisha kila kitu wanangu.
Tweet media one
73
80
2K
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Bei elekezi, ukiamua kufa masikini ni wewe 😀 Figo - 35M Jicho - 50M Moyo - 250M Utumbo - 150M Ini - 45M Uti wa mgongo - 500M
267
93
1K
@HenryLugz
Lugz🎈
3 years
Huyu mama hapa ana uwezo wa kupanga bajeti ya nchi bila kuongeza tozo 😂😂
Tweet media one
54
94
1K
@HenryLugz
Lugz🎈
5 months
Hivi ikawaje medali wakapewa mpaka watu ambao sio wachezaji? Maajabu kama haya utayaona Bongo tu 😃
Tweet media one
63
20
1K
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Nakumbuka kipindi nasoma nilishawahi kumuibia jamaa shati kali bwenini nikeipeleka home. Ghafla nikashitukia mdingi ameitinga ile shati siku ya kikao cha wazazi shuleni 😅😅😅
127
47
986
@HenryLugz
Lugz🎈
6 months
Unapata wapi nguvu ya kumsema mtu anaye miliki Hisense Inch 45 na unakaa kwa shemeji yako? 😃😃
Tweet media one
163
69
610
@HenryLugz
Lugz🎈
1 year
A very short story. Hours 😃😃
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
58
51
957
@HenryLugz
Lugz🎈
1 year
Ima safari hii jaribu kuwa mstaarabu mara ya mwisho ulizingua sana. Ima baada ya bia moja 👇🏾
Tweet media one
67
39
888
@HenryLugz
Lugz🎈
1 year
Mzee Dalali must be proud. Huyu ndo maisisi wa Simba Day. Hakuna aliye jua kama kuna siku Simba Day itakuwa kubwa kiasi hiki.
Tweet media one
11
43
892
@HenryLugz
Lugz🎈
3 years
Huyu mwamba kasepa na kiti cha basi gani?? 😂😂
Tweet media one
152
36
809
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Ajira milioni 6 ndani ya miaka mitano?? Ivi ni hii hii 6,000,000 ninayo ijua mimi au kuna nyingine??
Tweet media one
116
27
819
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
My Secondary Skul Experience Nikiwa Form One nilikuwa nalala deka moja na jamaa mmoja mbabe wa Advance na kuna siku aliniambia dogo nimechoka kukusikia unajigeuza geuza huko juu kuanzia saiz ukitaka kujigeuza shuka chini ugeuke upande unataka kuangalia halafu ndo upande tena😭😭
135
37
774
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Doctor: Unatokea wapi?? Mgonjwa: Buza Doctor: Mpatie ARV huyu 😅😅😅😅
90
30
696
@HenryLugz
Lugz🎈
1 year
Bi Mkubwa kafungasha mpaka kwenye ndege, ila wamaza wa kiafrika 😃😃
Tweet media one
32
26
713
@HenryLugz
Lugz🎈
1 year
Unpopular opinion. 99% ya mashabiki wa mpira walimuona Ricardo Quaresma akiwa timu ya Taifa lakini hawajui alichezea klabu gani 😃
Tweet media one
44
17
712
@HenryLugz
Lugz🎈
1 year
Kwani hapo Ali Kiba aliona shida gani kuvaa jezi yenye logo ya M-bet ili kuwapa airtime wadhamini wa klabu mbona Drake amevaa jezi ina logo ya Jeep na hana noma?
Tweet media one
Tweet media two
75
18
688
@HenryLugz
Lugz🎈
2 years
Ifike atua Kante aachane na haka kagari 😂😂
Tweet media one
42
22
672
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
ARE YOU BORED?? here we go 👇 Umi Mwalimu hata sio Mwalimu Komando Jide hata sio komando Inspector Haroun hata sio Inspector Endeleaa.... 👉
246
28
627
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Lakini kuna couple ukizitazama tu unajua kabisa hawa hawajawahi kutumia Kingereza kwenye mahusiano yao 😂😂😂
Tweet media one
130
32
631
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Today is my mom's birthday. May God give her many more years and happiness in her life. Amen 🙏🙏
Tweet media one
78
21
630
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Kwaiyo Konde Boy yuko na Album Launching pale Mlimani City halafu nyie na WCB mna-act kama nothing is happening...Smh😓😓
Tweet media one
53
16
610
@HenryLugz
Lugz🎈
3 years
Sehemu nyingine ambayo kila jibu la mwanaume huwa ni ndio 😂😂
Tweet media one
102
27
598
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Tafuta kadada kamoja kazuri kanako rizika kwa kidogo unacho kapa na kanakuvumilia kipindi ukiwa hauna yani kapende mpaka kajisikie kuumwa. Achana na hawa chuma ulete brother watakuuwa presha 😅😅
46
67
594
@HenryLugz
Lugz🎈
3 years
Hay wale mnajifanya mnajua sana watu hawa ni kina nani?? 😂
Tweet media one
89
22
538
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Kila nikisema ni shoot my shots kwa hii pisi kuna kiroho kwa pembeni kinaniambia tulia fala ww maji marefu hayo huyawezi. Naombeni ushauri nifanye nini ndugu zangu?? 😐😐
Tweet media one
143
17
538
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Unaingia kwenye daladala unajaribu kupiga hesabu ni wapi jua litakuwa linapiga... Boom unajikuta umekaa upande ule ule wa jua. Me huwa nakosea karibia mara zote 😓😓😓
72
19
503
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Tukiweka pembeni masuala ya utimu. Huyu jamaa Diamond anastahili heshima sawa na mnayo mpatia Samatta. Kwa kazi aliyo ufanyia mziki wa Bongo. NB: This coming from number one Kiba fan.
Tweet media one
Tweet media two
103
14
485
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Utasikia kanasema "baby thi nilithema me thiendagi thamaki thamaki ya Mlimani thity" 😅😅😅😅
Tweet media one
95
25
486
@HenryLugz
Lugz🎈
7 months
Tafuta fundi akufanyie interior design ya kinyama ule maisha 🔥
Tweet media one
20
29
507
@HenryLugz
Lugz🎈
6 months
Duh tumepoteza legend mwingine kwenye tasnia ya habari 💔🕊️
Tweet media one
12
13
495
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Huwa unatumia kiki gani kuanzisha mazungumzo ukikaa na mdada siti moja kwenye daladala??
54
11
460
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Mention a series better than Game of thrones. I will wait 😐😐
Tweet media one
181
37
468
@HenryLugz
Lugz🎈
1 year
Wanao semaga "God when?" ni wale ambao huwa wanashindwa kuvumilia stage ya kujitafuta ila wale wanao vumilia ndo hao wanakuwaga wake za watu. Haya mambo wala hayahitaji uchawi 😃😃
Tweet media one
Tweet media two
40
56
483
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Nimekutana na IST imeandikwa "King of the road" hivi huyu mtu akinunua V8 sijui ataandika nn 😅😅😅
86
25
455
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Trust me 99% ya watu Duniani hawawezi kutype jina la huyu jamaa bila kuangalizia sehemu. Kama huamini jaribu na ww no cheating type full name bila kuangalizia sehemu.
Tweet media one
160
9
451
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Ukiingia chumba cha mtihani halafu kila mtu anakumbia "hapa kuna mtu" hiyo inamaanisha nini?? 😦😩
67
8
447
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Muda mwingine inatakiwa tuuogopeshe umasikini... Hapa nipo show room naulizia bei ya BMW X6 😀😀
31
13
435
@HenryLugz
Lugz🎈
3 years
Mention your favorite song
Tweet media one
119
15
433
@HenryLugz
Lugz🎈
8 months
Me: Mama nataka kuoa lakini usimwambie mtu kwanza mpaka mipango ikae sawa. Mama kesho asubuhi 👇🏾
Tweet media one
36
33
454
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Somesha watoto wako English Schools ili wasije kukaa kimya wakikutana na watoto wangu.
48
15
420
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
UNAMJUA VIZURI NGOLO KANTE WEWE?? Alianza kama kijana mzoa taka mitaa ya Paris. Aliota kuchukua World Cup 🏆 kabla hajaanza hata safari yake ya kucheza mpira. Inasemekana mpaka leo yupo single 😅😅😅 (anaogopa kutongoza) Songa na huu uzi kumjua zaidi 👇
Tweet media one
51
100
436
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Ukikuta wakala wa M-pesa mwanaume halafu anakuuliza niingize yote?? 😂😂😂
Tweet media one
52
18
409
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Oya wanangu nasafiri nimekaa na pisi kaliii kinoma. Sema mwanenu mdomo mzito nipeni starter niingie nayo vipi. Msaada ndugu zangu nisitoke kapa leo
76
16
411
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Day 8 in Quarantine 😂😂😂😂 mpk hii kitu inaisha tutakuwa tumeona mengi sana
104
39
405
@HenryLugz
Lugz🎈
8 months
Jamaa amemsuprise Bi Mkubwa na zawadi ya mjengo. Msisahau nyumbani ikitokea mumejipata wanangu 🙂 A thread 👇🏾
Tweet media one
Tweet media two
24
20
432
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Kama kuna kitu makeup haiwezi ficha basi ni ushamba. Sitaki kuamini mdada mzuri hivi anasema anasoma Mlimani City 😅😅😅
43
18
391
@HenryLugz
Lugz🎈
3 years
Mteja hatongozwi hata awe mzuri kiasi gani. #ElimikaWikiendi
41
35
405
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Nimetoka kukagua simu ya shemeji yenu hapa. Yani nahisi miguu haina nguvu hapa na koo linawaka moto. Niombeeni ndugu zangu 😥😥
110
9
396
@HenryLugz
Lugz🎈
1 year
Story nzima ya Lethukukhanya na mjomba ake inavutia na inatufundisha tuwe wapole katika maisha. Wakati wa Mungu siku zote huwa ni sahihi. Just smile and live your life mengine tumuachie Mungu. Yeye ndo anaja nyakati zetu sahihi za kufurahi.
13
36
419
@HenryLugz
Lugz🎈
11 months
Jamani hawa Barcelona acheni nao wateseke tu. Waliwahi kuwafanyia huu ukatili Manchester mpaka Dunia nzima tukataka kuingilia kati 😃😃
68
90
408
@HenryLugz
Lugz🎈
3 years
Wakati Diamond anajinunulia Rose Royce ya mwaka 2021 ya blue ambayo ni zero kilometer, wewe na degree yako umejinunulia nini?? 😂😂
76
10
381
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Kama hutaki kumpoteza mpatie mimba sio ela.
44
25
369
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Kwaiyo tunakubaliana hawa ndo mabloo wa twitter wengine wote wapwa tu 😅😅😅 kuanzia leo neno bloo liheshimiwe jamani
Tweet media one
Tweet media two
44
14
383
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Kama unahisi una siku mbaya hebu fikiria kuna mtu wa Tecno hapa ameweka simu yake earphones imeandika charging 😂😂😂
33
18
362
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Ona huyu mwingine amejipiga filter mpk magoti hayaonekani 😓
Tweet media one
89
13
357
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Hivi shawarma ni nini?? Kuna pisi imeniomba niinunulie shawarma ila sijajua shawarma ni nini. 😓😓😓
52
7
350
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Kumwita mwanaume kaka wakati unajua kabisa anadalili ya kukutongoza hiyo ni dalili ya uchawi.
49
13
356
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Ukiwa mtangazaji lazima ujipage kumuhoji Mzee Warioba TID Mnyama 😂😂
72
19
354
@HenryLugz
Lugz🎈
11 months
Hii siku niliruka ruka kidogo niguse nyota. One of my favourite moment as a Chelsea fan 🤭
29
70
366
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Diamond hana ela
Tweet media one
45
16
340
@HenryLugz
Lugz🎈
3 years
The untold story about entrepreneurship 😅😅
Tweet media one
59
47
351
@HenryLugz
Lugz🎈
7 months
Kudus amechezea nusu msimu tu Westham lakini ana legacy kubwa kuliko Declan Rice anyway hicho sio kilicho nileta ila nilitaka kuuliza ilikuwaje Manjesta walienda Ajax wakaondoka na Antony wakamuacha Kudus? 😃😃
Tweet media one
Tweet media two
43
7
352
@HenryLugz
Lugz🎈
7 months
Ebon FM ya Iringa Watangazaji wanagonga sana Kilugha utasema wasikilizaji wake ni Wahehe na Wabena tu 😃😃
49
23
358
@HenryLugz
Lugz🎈
3 years
Watu wa hivi ndo huwa wanasema "Nyie kaeni huko wanne mnichangie, me nipo peke yangu" 😂😂😂
Tweet media one
54
26
325
@HenryLugz
Lugz🎈
1 year
Albany Bread hawakuenda kijijini kwa Lethukukyanya na mkate mmoja tu bali walibeba mikate mingi kama zawadi na appreciation kwa bint huyu. Wasauzi wenyewe wanakwambia "She went to buy bread she ended up to bring the whole bakery home"
Tweet media one
Tweet media two
2
7
352
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Wapwa nikiibuka na liparody la hivi kuna nauli ya baharia yoyote itapona humu 😅😅😅
Tweet media one
64
11
335
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Kuna mtu ameniambia hapa Professor na timu yake wako vizuri ila Scofield na timu yake wanaweza hata wakawaiba Money Heist wenyewe 😭😭😭
Tweet media one
Tweet media two
54
17
324
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Twitter for girls is very simple. Anafungua tu account anapost picha za utupu mbili tatu harafu asubuhi inayofuata ana 10k followers Ila for us men ili watu wakuelewe inatakiwa tu-struggle kweli kweli, wenye mioyo midogo ndo utaona wanajifanya nao wadada 😅😅🚮 GoodNight fam 😴
32
24
330
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Ben Carson na mama yake ni moja ya mifano hai kabisa ya kwanini tuwe tunazungumza maneno ya kutiana moyo kati yetu (Positive Words) Kutoka kuwa moja ya wanafunzi vilaza darasani mpaka kuwa daktari mkubwa aliyeingia katika rekodi ya kuwahi kufanya operation kubwa Duniani. Uzi 👇
Tweet media one
26
91
331
@HenryLugz
Lugz🎈
3 years
Mwaka wa mwisho chuo tulikuwa tunaitana Managers, masikini ya mungu hatukujua kesho yetu 😅😅
24
11
313
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Nitaenda sehemu yoyote duniani lakini Mbeya will always be in my heart. I love my City 💙💙
Tweet media one
42
16
318
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Nakumbuka zamani walimu wa Sunday school hawata kuambia direct kuwa ww ni mbaya. Ila utaona tu kipindi cha maigizo wanakuweka ww ndo ucheze kama Shetani 😅😅😅 Good morning fam.
27
17
323
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Alianza B Dozen now Geof Lea wote wameenda Efm, nini kinaendelea Clouds fm?? 😐😐
19
3
305
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
to all Tanzanian men ambao hatujashiriki ile thread yao. Ni kwamba sio kwamba walio shiriki ni mahandsome saaaana kuzidi sisi ila tu wanatumia simu zenye camera kali kuzidi sisi 😃😃😃
46
8
304
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Young Killer or Young Lunya??
85
7
300
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Wakati wenzako wanaingiza 300k kila mwezi kupitia twitter, wewe twitter imekufanyia nini??
41
3
297
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Tukiachana na Mbeya ni mji gani mwingine umekaa kijanja Bongo?? 📷 @That_mbeya_guy
Tweet media one
74
21
309
@HenryLugz
Lugz🎈
1 year
😂😂😂😂 nimecheka kinoma.
38
67
312
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Imenichukua wiki nzima kuona 😂😂😂
Tweet media one
84
9
306
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Haka kademu eti kananipenda wapwa ila me sikakubari. Nisaidieni jibu moja la kukapa ili kasinifuate tena
Tweet media one
103
6
296
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
ANAITWA LEONARDO DA VINCI Ndiye aliyechora picha maarufu za Mona Lisa na The Last Supper. Amevutia mamilioni ya watu kujiunga na fani ya uchoraji Ukitoa fani ya uchoraji ni moja ya wanasayansi maarufu aligundua baiskeli, helikopta, parachuti n.k Shuka na uzi kumjua zaidi👇😇
Tweet media one
22
81
313
@HenryLugz
Lugz🎈
1 year
Uncle yake anaye fahamika kwa jina la Lungisani Mjaji alimrekodi Lethukukhanya kipande kifupi cha video kabla ya kukipost kwenye mtandao wa TikTok. Video inamuonyesha Lethukukhanya akicheza kwenye maji ya mvua hukua ameshika mkate.
5
33
318
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Ukifika hii stage chakula inakuandalia chakula, hapo ndo ujue maisha umesha yapatia. Sasa ni ww kuamua kama utakula baada ya kula, au utakula kabla ya kula au utakula huku unakula 😅😅😅 Only real men will understand
Tweet media one
68
14
298
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Kuna hospitali nilienda daktari akaniambia nina upungufu wa Vitamini U 😭😭😭
34
2
297
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Ivi ulishawahi kwenda msibani au kwenye harusi alafu wakaanza kugawa msosi watu wote ulio kaa nao karibu wakagawiwa sahani zao ila ile wanakaribia kufika kwako msosi ukakata 😭😭 My blaza ile nguvu ya kuzuia usitokwe na machozi pale ni kubwa zaidi ya kupambana na Simba polini 😅
27
17
296
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Unakumbuka pale Sekondary school ukiambiwa uandike insha unaandika ''basi Juma akajiingiza kwenye unywaji wa pombe kupindukia, uvuyaji bangi na kupenda wanawake'' Look at you now, wewe ndo yule Juma 😅😅😅
27
21
293
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Hawa akina mama wa kiafrika wana sehemu yao special sana peponi 😂. Nakumbuka kuna siku mama yangu aliniuzi nikamtishia eti nitajiua kwa kunywa sumu 😓. In my suprise nikamsikia huyu m'mama anamwambia sister angu eti "punguza maji ya Ugali kuna mmoja amejitoa hapa 😭😭"
40
18
297
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Mwanaume anaweza akatumia fimbo moja kuchunga ng'ombe zaidi ya kumi. Hivi mmenielewa au mnataka niwafafanulie zaidi??
21
12
286
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Tukubaliane tu hii Suzanna ya Sauti Sol ndo nyimbo kali Africa Mashariki na kati kwa sasa. Song on repeat 🔂
Tweet media one
55
9
288
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Kwaiyo tumekubaliana baada ya Dotto Imeli kuwa star wa @TOTBonanza mwaka jana star wetu mpya wa mwaka huu ni @mpambazi_ au kuna anaye bisha??
Tweet media one
32
12
288
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Ukiniangalia unaweza ukaona kama nipo sawa lakini deep down natamani kuona hiyo video ya IFM hata saiz 😀😀
21
6
286
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Mwanaume hakuna kununua kioo, unaamka asubuhi unaangalia ID halafu unasepa kwenye mishe zako 😂😂😂
30
13
278
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
Tusaidiane kupata followers hapa 👇 Follow mtu yoyote atakaye • Like • Comment • Retweet Na mtu akikufollow kumbuka kufollow back. Thank you in advance 🙏
64
31
276
@HenryLugz
Lugz🎈
4 years
Mpwa akipost content na akiwatag hawampi Rt lkn mpwa akitaka ajiinue apate followers ili awe anapost contents wanamsema. Mpwa afanye kitu gani cha maana ili muone amefanya jambo la maana... Smh 😃😃 Wapwa tuendeleeni kuinuana achana na maneno yao yenye chuki ✌✌
59
23
278
@HenryLugz
Lugz🎈
1 year
Story hii haijaishia hapo kwani raia wa South Africa Africa wameanzisha movement kwenye mitandao ya kijamii wakitaka kampuni hii Albany imapatie mkataba wa udhamini wa kumsomesha shule bint huyu na sura yake ionekane kwenye mkate.
Tweet media one
Tweet media two
1
13
298
@HenryLugz
Lugz🎈
5 years
I hate people who use deep English just to make us feel Flambastity of diabolic obnoxia scambwabwas 😞😞
47
19
274