Cosmas Edward 💫 Profile Banner
Cosmas Edward 💫 Profile
Cosmas Edward 💫

@EdwardCosmas

Followers
45,388
Following
1,176
Media
85
Statuses
81,321

Philosopher & Theologian | Writer and Editor | Agronomist

East Africa
Joined May 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
9 months
Thanks Lord… Happy Birthday to me.
Tweet media one
263
145
997
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Tafta ela usije kuambiwa na ndugu zako ukaishi kwenye nyumba zao ambazo hazijaisha kama mlinzi😂😂💔
85
120
1K
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Mtu anakuomba picha fresh unamtumia afu anakuuliza "Huna nyingne tofauti na hizo"🤡😂😂🚮
92
37
808
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
2 years
Thank you God. Happy birthday to me.
Tweet media one
111
71
764
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Hivi Kuna dawa za kuongeza hamu ya Kula?
121
20
697
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Hivi hawa wanachuo wana matatzo gan au chuo kuna kitu gan haswa kinachowafanya wanakuwa hivo😣💔🤡
72
18
644
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Nyumbani kwetu wanajua mi msomi mzuri tu wa IT na ndo Kaz nazofanya that's y nasafiri nje ya nchi kumbe na chuo sikukanyaga ela nlifanyia mambo yangu nakomaa na ma FAW barabarani 🚮😂😂😂😂😂😂
53
27
629
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Kuna jamaa mmoja hivi sitaki kudate nae Wala sitaki kuona anadate na mtu yeyote Yan furaha yangu mi ni kumwona akiwa single muda wote ndo napata Amani😂😂😢🙆
141
25
602
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Hakuna kitu kinatuumaga sisi wanawake kama mchukue namba zetu na msitutafte💔🚮😂😂😂huwa tunaumia sana na kuchukia juu yake
74
21
590
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Una uhakika kwa hicho kingereza chako unaweza bishana na Nick minaj,lilwayne au card b?😣🤡😆😆
74
29
592
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
iPhone ndo simu inayouzwa bei rahisi sana pale unapoulizwa na Mzazi "Hii simu umenunua shilingi ngapi"😂😂😂😂
35
26
571
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Unajiita badboy na hujawah kugonganisha mademu gheto!😂😂😂😂tulia we Zuchu tu💔
50
15
558
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Nimejiunga Twitter mwaka 2017 nikapoteza Account mbili nishadate na watu zaid ya 10 tukaachana na wote hakuna mtu tumewah kutana 😂😂😂😂Ila rasmi huyu mpwa lazma niimpelekee namfata kwa gharama zangu mwenyew Yan jamaa yuko peace sana anasimama kama mwanaume😘
72
7
553
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Hivi mwanamke akipaka mkongo matokeo yanakuwaje em nambieni Kuna kitu nataka nijaribu hapa😑😃😃
71
21
551
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Baba ako anajua kuwa una date na classmate wake?😂😂💔
46
22
522
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Hivi Kati ya mwanamke na mwanaume Nan anatakiwa kumwaga uno zaidi kitandani 😎?
96
12
513
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Hili joto la dar wanawake tunasekeka sana Yan papa zinaungua kabisa 😂 mamae sjui niwe nailaza kwenye friji tu😎
118
23
519
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Ukizoea kumuita Mungu hata ukinyamaza kwa bahati mbaya ataitika maana kashazoea utamaduni wako wa kumuita kwa sala na maombi. Good morning
25
107
533
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Kuna umri ukifika watu hawataki kujua ukubwa wa elimu yako tena bali wana taka kuona mafanikio yako.
15
123
518
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Sawa nimekuja DM kuomba mpitie pinned post yangu mu rt ila ndo utumie kama chance ya kuomba nyanyapuzo😌🙌😂😂siwawez
60
22
476
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Ukitaka kupima uvumilivu wako wa kuuguza mgonjwa kaa karibu na msomali wakati anakula🤮🤡😂
32
22
463
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Nimekula mwereka kwenye mvua Qmmk mgongo nimeuvunja wote😣😫😫
93
15
455
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Ila watu wa morogoro mlichonifanyia Jana usiku🙄
43
14
453
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Kwenye bonanza kama mliona mtu amepiga t shirt kubwa la 2pac na pensi ndo nlikuwa Mimi😂😂
33
15
460
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
7 months
Ukipata nafasi ya kulipa madeni ya watu lipa, maana madeni ni utumwa na kujifungia riziki na mambo mengine mengi.
13
92
479
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
6 months
Mbali na kutamani kuoa mke mwema omba Mungu uoe katika familia nzuri yenye maadili mema.
15
107
476
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Mtu unaempea akakutangaza Hana tofauti na aliekurecord tu video za ngono😩mshatuogopesha sasa
51
19
426
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Nina rafiki angu mmoja nlikuwa namuaminia sana kwenye mambo ya ulokole humwambii kitu Leo nimeoneshwa mambo yake telegram sjaamini🤕🤕🤕🤕
56
17
428
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Kwenye harakati za maisha kuna kupoteza muda, kupoteza pesa, kupoteza watu ila kamwe usikubali kupotezana na Mungu.
14
102
456
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
8 months
Suala la kuchelewa au kuwahi kufanikiwa tumuachie Mungu aliye weka majira ya kila mmoja wetu.
20
86
443
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Hakuna kitu kinauma kama kukosa upendo wa mama toka umezaliwa kama Mimi nikiskia mtu anaita mama naumia Ila nawaza sana bahati mbaya hata sura yake sikuiona Wala picha si mtu anipe mama ake anipende😭nitamke neno mama siku moja bhas tu usiku mwema nawapenda Leo Nina huzuni
76
26
414
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Mi wa kutongozwa na tomboy wa mbagala 🚮🚮🚮😭😭😭😭Nimeishiwa nguvu
77
16
416
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
10 months
Maisha yana siri nzito sana sio kila maskini ni mvivu na sio kila tajiri ni mpambanaji.
14
96
436
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Naelewa kwamba huwezi kuelewa, lakini ukijihisi unatoa upendo mahala ambako upendo wako hauthaminiki, ni muda wa kuhifadhi upendo wako kwa anae stahili zaidi.
13
105
436
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Unamzngua kidogo sponsa anampost mwanae wa mwisho mnaelingana😂😂💔kukuonesha yeye ni mkubwa na kwake umefata ela
42
22
396
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Bongo hatuna watu wenye matatzo ya saikolojia ila tuna watu wenye matatzo ya akili kwa sababu ya kukosa ela😂😂💔
42
26
397
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Hii Miko ya siku hiz inayokoroga kwenye sufuria lolote bado mnailamba Ili kuonekana wapishi hodari?😎🙌🤐
68
17
393
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Ni kero gan ushawah kutana nayo kwenye nyumba ya kupanga kiasi ukatamani kuhama na kuiacha Kodi au ukahama kabisa?🙏🤕🤕🤕🤕
58
16
396
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Hivi mtu anapokwambia naomba "Naomba yako ya WhatsApp huwa ana maanisha kwamba tofauti na uko hawezi wasiliana na wew au nn😣🤔🤔🤔
65
20
395
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
4 months
Sijui unapitia changamoto ipi…. Mungu akawe nuru na daraja la kukuvusha katıka magumu yote. Good morning
47
86
422
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
9 months
Uki amua kupambania ndoto zako basi jitahidi kufunga milango ya uoga na aibu.
22
118
417
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Kuna muda uvumilivu una weza kukupa vitu sahihi sana. Jifunze kuvumilia.
11
81
419
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
8 months
Sio kila ulicho nacho ni matunda ya Juhudi zako, mafanikio mengine ni matokeo ya sala za wazazi wako, juu yako.
12
85
410
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Kuna siku walio kukimbia watarudi kwako lakin wata kuta tayari umesha zoea bila ya uwepo wao.
21
72
407
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Nan yuko free Leo tukafunge ndoa 😎?Nina muda Leo tu
42
9
381
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 month
Kuna muda utaamua kumsamehe lakini ndugu zako hawatamsamehe. Jifunze kuwa na siri katika mahusiano yenu.
10
97
413
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Kuna wakati tuna hitaji dharau ili tujifunze kujitengenezea heshima.
16
102
401
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
8 months
Usiidharau kazi ya mtu yoyote duniani, kwa sababu kazi yako haina msaada kwenye maisha yake.
18
100
400
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Hakuna kitu kigumu kwenye maisha kama kushindwa kujua aidha uvumilie au uondoke!
18
91
398
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Kuna ile unamtumia meseji mtu wasap unaona kama hajaiona tu dk kama kumi zimepita afu unapost status ndo unaona ni view namba moja💔🚮😂😂😂
21
14
365
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Mi kuolewa Bora mninyonge 😂😂😂
88
14
376
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
8 months
Wakati mwingine watu wana rudi kwenye maisha yako ili tu kuangalia kama wewe bado ni mjinga.
11
87
393
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Mama ako anajua kuwa Kuna mwanamke mwingne unamwita Mama? Au niachane na maisha yako😂😂😂
50
26
363
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
11 months
Ogopa sana kucheza na kitu kisicho rudi nyuma kama umri na wakati.
14
82
385
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Nan yuko free twende Zambia kula Bata kwa gharama zangu mwenyew masharti uwe Dar kingine uwe mweusi tu hata kama mfupi sjali Cha muhimu uwe unapumua😂😂😂😂NB tuondoke usiku leo
69
5
350
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Happy new year kwenu nyoteeeee haleluyaaa🌃🌆❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
45
23
367
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Unaweza usiwe na kitu na bado ukawa tishio kwa wenye nacho.
26
97
380
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
10 months
Akitokea mtu aka kusikiliza matatizo yako na kukushika mkono kwa dunia ya sasa. Mkumbatie huyo ame tumwa na Mungu.
10
79
384
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
7 months
Ajabu nyingine ni kwamba siku hizi mtu muongo ana amani zaidi kuliko mtu mkweli.
6
69
381
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
8 months
Automatically wanaume hawapendi kuwa na mwanamke anaye mchangamkia kila mtu, ila wanapenda mwanamke anaye muheshimu kila mtu.
14
81
382
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Siku zote kuna mtu mmoja ambaye ana kujali sana kwa siri!
11
67
377
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
4 months
Kanuni ya kwanza, usiwe wa kwanza kutoa maoni kanuni ya pili kuwa wa mwisho kuhukumu.
11
106
383
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
5 months
Mafanikio yana raha yake hasa uki yapata baada ya watu kukudharau, tusi choke kupambana.
10
95
375
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
10 months
Wakati mwingine kubali kusubiri ili uone kwanini Mungu ali kufanya usubiri.
12
78
375
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
8 months
Zipo siri nyingi kwenye kila mafanikio, Jitahidi nyuma ya mafanikio yako uwepo mkono wa Mungu.
12
77
378
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Usipo jifunza kudhibiti baadhi ya aina ya matamanio yako, sio rahisi kufanikiwa.
8
74
376
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Hivi unaweza kutumia njia gan kumwambia mpenz wako kuwa hujaridhika kwa mahaba aliyokupa? 😎😎Mi huwa nasema tuendelee bhas nlikuwa nimekumiss sana😂😂😂DJ walete Twita #umalaya
66
14
343
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
6 months
Hakuna siku utakayo maliza matatizo yako yote, jipe muda wa kufurahia machache uliyo barikiwa.
9
68
374
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
7 months
Kuna vitu Mungu ana viruhusu leo vitokee maishani mwako, ili kesho vimpe utukufu yeye kupitia wewe.
17
90
374
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Ajabu nyingine ya binadamu ni kwamba kadri unavyo zaidi kumjali ndivyo anavyozidi kukupuuza.
12
70
364
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Kuna nguvu kubwa katika kinywa chako. Hakikisha una jitamkia maneno ya baraka. Wewe ndio nahodha wa maisha yako.
11
75
367
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Siri ya kuwa na furaha katika maisha ni kupunguza matarajio.
12
75
367
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Najua twit zangu unaziona na unazipita kwahyo na zakwako ntakuwa nazipitiza speed 120 shwaaaaaaa hadi kwenye humps😂😂😂
43
29
351
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
7 months
Kiburi kita kutenganisha na watu wengi walio beba mafanikio yako.
8
74
365
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Madereva wa malori umalaya utawaua😎🙌🙌punguzeni bhasi😂😂
51
8
334
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Dear God simama na sisi ambao kwenye familia zetu hatupaswi kuumwa wala kuishiwa!! Good morning
36
71
355
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
9 months
Maisha yana weza kumleta ambaye huku mte gemea na yana weza kumu ondoa ambaye uli mtegemea.
10
77
363
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
10 months
Kiburi cha uzima na mafanikio, kamwe kisi kufanye ukamsahau Mungu wako. Good morning
22
82
365
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Ujobless wa mtandaoni usikupe kiburi na sifa watu wanajiita majobless humu na wanakazi nzuri na maisha mazuri amka ukapambane mtembea Bure sio Sawa na mkaa Bure😎😎
41
28
332
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
2 years
Mtafute Mung wakati wa furaha yako ili wakati wa magumu yako, usiwe na aibu mbele ya Mungu kumwambia magumu yako.
16
63
358
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Usiwe mwema sana, kiasi cha kudhani kwamba kuvunjiwa heshima, ni kipimo cha uvumilivu.
20
89
356
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
3 years
Mwenyezi Mungu ametuchagua tena kuiona siku ya leo !! Tusisahau kumwambia neno Asante 🙏
22
20
335
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
6 months
Kama tusinge pitia vipindi vigumu tunge endelea kuamini kwamba wote wanao tuzunguka wana msaada kwetu.
16
87
355
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
6 months
Jana ni historia, Kesho ni fumbo, lakini leo ni zawadi, Usi ache kumshukuru Mungu. Good morning
28
67
360
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
5 months
Kuna yule rafiki yako hata akikusaidia haku tangazi.. Uki pata muda muombee kwa Mungu apate ustawi zaidi!
7
72
362
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
8 months
Dear God…. zidisha ukubwa wa meza zetu ili tule na wote wenye uhitaji. Good morning
29
93
355
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
6 months
Tambua thamani yako, halafu weka mipaka yako, usi kubali kila mtu aku zoee kirahisi, mazoea mwisho wake huleta fedheha na dharau.
15
96
358
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
10 months
Tanzania ina maajabu mengi ikiwa ni pamoja na kijana akiwa chuo anaishi kwake ila akimaliza chuo anaenda kuishi kwa wazazi wake.
11
58
359
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
8 months
Mwenza asie sahihi ana weza kukurudisha nyuma kifedha, kiroho,kiakili na kimwili.
5
71
352
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
2 years
Ukimpata mwanamke ambae uki gombana nae anaanza kulia hiyo ni mali itunze, wapo wachache mno 😄.
30
21
357
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Sio ngumu sana kujitoa sadaka kwa mtu unaye mpenda lakini ugumu ni kumpata atakaye ona thamani ya sadaka ya upendo wako kwake.
13
82
353
@EdwardCosmas
Cosmas Edward 💫
1 year
Wakati wa kupambania maisha, punguza kupambania mapenzi. Tafuta atakaye ridhika na uwezo wa kipato chako, ishi nae.
12
104
351