Nyumbani kwetu wanajua mi msomi mzuri tu wa IT na ndo Kaz nazofanya that's y nasafiri nje ya nchi kumbe na chuo sikukanyaga ela nlifanyia mambo yangu nakomaa na ma FAW barabarani 🚮😂😂😂😂😂😂
Kuna jamaa mmoja hivi sitaki kudate nae Wala sitaki kuona anadate na mtu yeyote Yan furaha yangu mi ni kumwona akiwa single muda wote ndo napata Amani😂😂😢🙆
Nimejiunga Twitter mwaka 2017 nikapoteza Account mbili nishadate na watu zaid ya 10 tukaachana na wote hakuna mtu tumewah kutana 😂😂😂😂Ila rasmi huyu mpwa lazma niimpelekee namfata kwa gharama zangu mwenyew Yan jamaa yuko peace sana anasimama kama mwanaume😘
Hakuna kitu kinauma kama kukosa upendo wa mama toka umezaliwa kama Mimi nikiskia mtu anaita mama naumia Ila nawaza sana bahati mbaya hata sura yake sikuiona Wala picha si mtu anipe mama ake anipende😭nitamke neno mama siku moja bhas tu usiku mwema nawapenda Leo Nina huzuni
Naelewa kwamba huwezi kuelewa, lakini ukijihisi unatoa upendo mahala ambako upendo wako hauthaminiki, ni muda wa kuhifadhi upendo wako kwa anae stahili zaidi.
Nan yuko free twende Zambia kula Bata kwa gharama zangu mwenyew masharti uwe Dar kingine uwe mweusi tu hata kama mfupi sjali Cha muhimu uwe unapumua😂😂😂😂NB tuondoke usiku leo
Hivi unaweza kutumia njia gan kumwambia mpenz wako kuwa hujaridhika kwa mahaba aliyokupa? 😎😎Mi huwa nasema tuendelee bhas nlikuwa nimekumiss sana😂😂😂DJ walete Twita
#umalaya
Ujobless wa mtandaoni usikupe kiburi na sifa watu wanajiita majobless humu na wanakazi nzuri na maisha mazuri amka ukapambane mtembea Bure sio Sawa na mkaa Bure😎😎