Deviesjoh Profile Banner
Devies_Joh 🌱 Profile
Devies_Joh 🌱

@Deviesjoh

Followers
2K
Following
44K
Statuses
11K

No Wi Fi. We talk

Geita,Tanzania
Joined November 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
7 days
Things that makes you feel joy and are not pleasing to lord are SIN. They keep you very far from God.
0
0
3
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
12 minutes
@INFLUENCERjr Ni kelele tu nimepiga 😭😭😭LBL
0
0
0
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
5 hours
😂😂😂
@zoetjesheeftX
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️
6 hours
Kuna watu watadhan hili ni toy 😀 Wahenga mpo?
Tweet media one
0
2
2
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
5 hours
@ALHelmsman_14 @HEMED_12 @CandleXtz @Alvingtonhk 😅😅 with due respect, nilikutegemea kama chanzo cha info kuhusu hii. Maana niliskia kwako at first. Sijamaanisha disrespect mkuu. My apologies.
1
0
1
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
5 hours
@HEMED_12 @ALHelmsman_14 @CandleXtz @Alvingtonhk 😂 Nilimuuliza anijibu kama system iko down, akakosa majibu. Basi majibu nimepata, na source ya info kubwa nimeipata.
1
0
0
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
6 hours
RT @JamiiForums: Shiriki katika Mjadala wa "Kuelekea Uchaguzi, Tunatofautishaje Zawadi na Rushwa?" kupitia X Spaces ya JamiiForums Usikose…
0
4
0
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
6 hours
1
0
0
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
6 hours
@lbl07_tz @adamlutta Sorry 😅😅!!
0
0
2
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
9 hours
1
0
1
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
9 hours
@Mrsdaviee Huyu ni mNigeria
0
0
1
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
9 hours
RT @EsirEid: #TajiriLaKihaya Wakuu nahitaji mtu ambae ana constant supply ya DOLLARS! Walau kila mwezi 1m USD ila kwa awamu.. 250k usd k…
0
81
0
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
9 hours
@ALHelmsman_14 Najua pengine ilinipasa kumuuliza huyo tweep. Ila wewe kwanza unasemaje kuhusu hili? Kama huwezi nijibu nilivyouliza niambie tu si dhambi kukumbatia majibu.
1
0
1
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
9 hours
1
0
2
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
9 hours
@ALHelmsman_14 @ruhmer_j @Alvingtonhk Ni uhuru wake ndio, Swali ni kwamba System zinasumbua?
1
0
2
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
11 hours
@songombingo28 Ni dhahiri kabisa recent movies hazina mvuto. Tumebaki na baadhi ya ma-characters kwenye peaks tuliowapenda wayback kuwafatilia tu mwishoni huku.
1
0
1
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
11 hours
I wonder how this happens kwenye industry ya movie. Pengine sijui nielekezwe. Same story, The Intouchables 2011 The Upside
Tweet media one
1
0
2
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
12 hours
RT @songombingo28: Jamani why siku hizi there is no more Good movies kama zamani whenever i watch i either have to rewatch au i find old mo…
0
1
0
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
1 day
Hii punch 🙌🏾
@Jambotv_
Jambo TV
1 day
VIDEO: Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu amejibu juu ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira kumtaka ashiriki mdahalo pamoja naye ambapo Lissu amesema kufanya hivyo ni kupotezea watu muda wao. Lissu ameyasema hayo akizungumza na wanahabari Makao Makuu ya chama hicho mkoani Dar es Salaam siku ya Jumatano Februari 12, 2025.
0
0
1
@Deviesjoh
Devies_Joh 🌱
1 day
@EsirEid Soon utaskia wanapiga kura, hata ngorongoro ilianza hivi wakatumiwa wazungu.
0
0
0