backup Profile Banner
backup Profile
backup

@DengeBackup

Followers
36,332
Following
568
Media
67
Statuses
4,249

Backup

Joined January 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@DengeBackup
backup
3 years
Watanzania ukiachana na Ujinga Maradhi Umasikini Tunasumbuliwa na Wivu Chuki Nyege
258
281
3K
@DengeBackup
backup
3 years
Tunaanza kazi sasa
Tweet media one
270
192
5K
@DengeBackup
backup
3 years
It's a boy🙏
915
251
5K
@DengeBackup
backup
3 years
❤️
Tweet media one
175
156
4K
@DengeBackup
backup
3 years
Fid Q ametufunza somo linaitwa sikiliza maoni ya watu no body is perfect..am proud of him💪
78
122
3K
@DengeBackup
backup
3 years
Dr Slaa angekaa kimya tu akaumaliza uzee wake bila kukosewa heshima
177
126
3K
@DengeBackup
backup
3 years
Tuzo za mchongo,namuelewa Diamond kwa mara ya kwanza.
114
112
3K
@DengeBackup
backup
3 years
Kuongea kiingereza sio ujanja,kwenye mahojiano ni vyema kutumia lugha rafiki kwako..Kiswahili ni lugha kubwa sana duniani sio ya kuionea aibu kuongea.
120
153
3K
@DengeBackup
backup
3 years
Kwahiyo yule mganga katoa mahari 500M au Diva aliona aliwahi jua
211
80
3K
@DengeBackup
backup
3 years
Kwaresima njema wakristo wenzangu
Tweet media one
101
66
3K
@DengeBackup
backup
3 years
Sema Diamond kwa level alizofika ana haki ya kujitamba asilinganishwe na wasanii wa ndani,ze dude anaipenda kazi yake na ameinvest mda,hela na akili..mimi sio shabiki ake ila napenda anachokifanya(ni mfano wa kuigwa).
145
173
3K
@DengeBackup
backup
3 years
Kulala nayo halafu unajua sio dhambi👌🤣
139
81
3K
@DengeBackup
backup
3 years
Lile banzi atakuja apigwe Mpoki one day
120
73
3K
@DengeBackup
backup
3 years
Tusijitoe akili kisa ushabiki,kesho Mbeya city na jezi yao ya ngogwe wakiweka nembo #TumeHuruYaUchaguzi ,simba wakaweka #mbowesiogaidi itakuwa ni mpira tena??tusikubali siasa kwenye mpira wetu,kuna namna nyingi za kuonesha tunampenda mama.
272
254
3K
@DengeBackup
backup
3 years
Sasa bendera zina shida gani na zinapeperuka bure kwa upepo wa Mungu wala hazitoi moshi useme zinachafua mazingira
83
162
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Kwa kipindi hiki mafuta yanapanda bei kwenye soko la dunia sababu ya vita kuirudisha sh 100 kwa kigezo cha serikali ilikuwa inapoteza mapato ni ubinafsi,kwamba serikali ipate mapato(kama kawaida,haitaki kuumia) ila wananchi bei ipande waumie.
226
193
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Mrema anataka tu alale nayo
191
39
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Ukute Steve alishampanga mama "suala la wasanii 2025 niachie mimi ntamalizana nao".
106
75
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Tengenezeni content zinazoelezea "kwanini katiba mpya"?kuonesha madhaifu ya katiba ya sasa na faida ya katiba mpya. Simple and clear,kuweka # 20 kwenye twiti za watu haitosaidia kitu(may be kama mnataka impressions kwa faida zenu)
294
186
2K
@DengeBackup
backup
3 years
N.W.A
Tweet media one
102
57
2K
@DengeBackup
backup
3 years
I can't wait kuona twiti za Coco kuhusu mwanae🤣🤣🤣mtakoma
78
57
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Ukisikiliza Ghetto Langu ya Ngwea utajua ni jinsi gani muhuni alikuwa na ndoto kubwa kipindi icho,endelea kupumzika kwa amani kaka ulituachia mziki mzuri mnoo
53
75
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Back to the business
Tweet media one
160
53
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Bavicha wana kubwa la kujifunza kwa Bawacha
68
99
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Sio kwa ubaya ila me ndo naenda chumbani kulala jamani😂😂😂
87
56
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Leo nimelisikia neno chato kwenye redio😂😂kitamboo
81
68
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Najua haiwahusu ila kaninunulia simu mpya
144
51
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Hela ya pampas tuinywee hata bia mbili,maisha hayako serious hivyo.
106
54
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Yani mbunge analazimisha anachokitaka yeye(anakaza shingo kabisa) na sio wanachotaka wananchi..halafu mnawaita wawakilishi
144
124
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Nimedownload Tiktok ila sielewi kitu😂
194
34
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Ukimpigia mtu simu na unajua hana namba yako baada ya salamu jitambulishe elezea shida yako,mambo ya ushajua ni nani ni kutafuta kujibiwa vibaya.
99
131
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Imagine mtaa unafurahi mtu aliyepewa kesi ya ugaidi kuachiwa huru..Yani wanafurahia gaidi kuachiwa??tumuogope Mungu kuna la kujifunza
78
160
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Hizi nafasi za kuteuliwa unatakiwa utangulize busara mbele,utimize majukumu yako sio kuanza kudeal na watu..anytime T time mtu yeyote anaweza kuwa boss wako.
66
102
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Nimewakosoa kuhusu # yenu ya katiba jana mnahangaika na mimi tena kwa upuuzi upuuzi mpaka leo,mngekuwa na madaraka nyie si ningekuwa jela sahivi??eti harakati,harakati za matumbo.Harakati zina mshahara?Fanyeni kazi yenu kwa weredi mkiendelea hivi watu wanazidi kusanuka ni mchongo
442
135
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Polepole anapelekwa shule kwanza🤣🤣🤣akitoka kuna pepa kwa maza
83
58
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Unawatag tiaraei kuhusu wazo lako la kodi halafu wanakukataa🤣🤣🤣
72
49
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Mbona hamji na mawazo ya kuiongezea mapato serikali kupitia posho na mishahara ya wabunge,kuna hela sana kule mje niwape wazo.
77
151
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Kati ya influencer na client anayemuhitaji mwenzake ni client..Sidhani kama kuna mtu alifungua akaunti kuwa influencer ila client ndio anaona fulani ananifaa kuinfluence kazi yake(kulingana na anachokihitaji)So kuishi ili kumvutia client fulani ni utumwa,huwezi kufanya kila kazi.
74
151
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Wanafunzi wa South Africa itakuwa wakiwa likizo wanamiss sana shule,video zao wana vibe skuli mpaka raha.
47
65
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Nimelala zangu nashtuka watoto wananisuka et kama Diamond 🤣🤣🤣nile niondoke
57
45
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Kutokuwa unadaiwa na wewe pia haumdai mtu ni dalili nzuri?
132
46
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Nirudi kwa mama Malaba sasa nikadeke,nikachezee tumbo🤣🤣
42
33
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Washafungwa halafu wanataka uzalendo eti tuwashangilie🤣🤣
92
46
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Kama anakupenda kweli atakununulia mafuta ya kula sio maua
62
71
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Vile waume za watu tunakatiza twita leo
Tweet media one
63
48
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Suala la upokeaji maoni bado limekuwa ni tatizo,tumekuwa tukiwaita watu madikteta kwa kukataa kupokea maoni ya watu wengine lakini sisi tunajiona ni sahihi tunapotengeneza mazingira ya kutaka kusikia kinachotufuraisha tu.Akitokea mtu mwenye maoni tofauti inakuwa vita,nini tofauti
192
130
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Mtu hata siku mbili hana mnataka ugomvi nae😂
74
37
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Makonda angekausha tu,litamuangukia.
94
44
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Hizo za Twaha ni tattoo?
109
29
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Kina Mdee wangekuwa hawajanyea kambi huu msimu wangekimbiza sana
84
62
2K
@DengeBackup
backup
3 years
@FidQ Naandika kama mdogo ako,wewe ni rolimodo wa watu wengi sana umejijengea heshima kubwa sana kupitia sanaa yako(narudia tena una heshima kubwa mnoo)nasikitika kuona ukitumika vibaya kwa maslahi ya wachache,tunaongea sababu tunakupenda achana na hii mission inakuchoresha.
100
116
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Tunashukuru ulirudisha nidhamu kwa wafanyakazi wa serikali,walijisahau sana..Endelea kupumzika kwa amani
78
88
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Nyie sindio mlisema Rwanda kanchi kadogo kamewezeje kuandikwa kwenye jersey ya Arsenal??
79
50
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Kwahiyo tushajua agenda ya tume huru ya uchaguzi ni ya kina nani,tuendelee kunywa bia sasa.
60
63
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Imekuaje Steve Nyerere kawa msemaji wa shirikisho la mziki nchini??kwako @Wakazi
104
34
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Sema ndo wasukuma nchi hatupewi tena
137
47
2K
@DengeBackup
backup
3 years
Si tunajua cheap dates ni kuibuka ghetto ushakula kabisa kwenu
59
40
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Nikiona kiongozi anafikiria kuongeza mapato ya serikali kwa kuongeza kodi kwa wananchi namuona kama gaidi..ifike kipindi hawa wabunge wa viti maalumu wawe wanafanya hata mitihani waulizwe maswali wataisaidiaje serikali.
122
140
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Ifike muda haya mabaraza tuwaachie wahusika..Baraza la sanaa liendeshwe na wasanii
68
51
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Humu unatoka kidogo unarudi kumegeuka Ukrane
54
40
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Circle ni ile ile wanangu,tukomae na mishe zetu.
51
64
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Wanaogopa bendera majambazi watawaweza kweli😂😂😂
57
101
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Am happy my copywriting skills inavyo improve💪
22
26
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Mnisamehe tu napokuwa na mitizamo tofauti labda nawakwaza wengine,kila mtu ana namna yake ya kufikiri..me sio mtumwa wa kufikiri,ubongo wangu uko huru kabisa.
60
78
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Yani mbunge wenu kwamba hoja yake ni nzito sana wote tulishindwa kumuelewa?😂😂
79
47
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Napigishwa menu za kizungu home aisee ntadead😅
51
20
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Usiruhusu wakujue sana au wayajue maisha yako,especially watoto wa Dar.
59
109
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Kabla ya kuzuia bidhaa kutoka nje au kuziwekea vikwazo ili kulinda viwanda vyetu vya ndani tuwe na uwakika kwanza na uzalishaji wa viwanda vyetu vya ndani ili kuepusha demand ya bidhaa kuwa kubwa kuliko supply na mwisho wa siku ni bei ya bidhaa kupanda.
66
77
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Damian soul ni talent kubwa sana
56
37
1K
@DengeBackup
backup
4 months
✌🏿2025
Tweet media one
38
91
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Nyumba za serikali sio gharama kabisa shida ni zinahujumiwa,wachache wanapewa kuzimiliki na kupangisha watu kwa bei kubwa.. @ridhiwankikwete pigeni msako kama wamiliki ndio wanaishi,kama sio wapeni wanaoishi umiliki na malipo yawe kwa control namba kuondoa janjajanja
88
108
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Kama kawaida wanangu tusiache kutumia #DumeCondoms #ChezaKwaKujiamini NB:Sikilizeni maneno yangu msifate matendo
107
58
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Rais wa chama cha mpira akiwa dikteta tunafanyeje?
121
40
1K
@DengeBackup
backup
3 years
2010/11 washindi wa serengeti fiesta freestyle Mwanza tukitangazwa na @fettythebest na @IamNchaKALIH ..wala sio wazee tulianza maujanja wadogo
Tweet media one
66
41
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Sema chawa inapendezea ukiwa na kimwili kidogo kidogo halafu hujaoa😂😂
44
24
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Hakuna biashara za mtandaoni,mtandaoni ni sehemu ya kuongeza customer base.
59
62
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Ngoja nikalambe glucose kwanza
57
27
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Ukisoma tweets unaona kabisa hela zitakuja kututoa roho😂😂
39
42
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Huyu muuza vumbi anacheza sana faulo
27
21
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Sema kuna raha yake bila kutuma vimeseji unarudi unaikuta ni wewe tu kuipiga🤣🤣🤣
79
27
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Waarabu hawana akili
58
11
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Baba Le💪
59
13
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Chura ana jump jump chura🤣🤣🤣
40
25
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Hakuna cha uzalendo pambaneni🤣🤣
44
39
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Enzi zile ilikuwa ukitwiti siasa mtu anakuja anakomenti "wamoto au wa baridi" unafuta twiti kwa uwoga😂😂
58
37
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Madaktari na walimu twita wanagombana kuhusu maslahi😂😂
66
30
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Kasichana kwa afya ya tumbo lako
47
18
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Bado anajiita dada wa bwana harusi🤣🤣 @Tecla__ ..muoeni mdogo wangu basi si mnaona vidole plain
Tweet media one
75
23
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Ni new experience lakini imejenga..tunajifunza,tuna safari ndefu.
35
23
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Sema safari kubwa ni kubwa aisee
47
19
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Hampoi🤣🤣🤣🤣🤣
@Big0047
Big 007❄️
3 years
@rollymsouth Mwanangu sipati tabu ya kukupa Jina nitakuita DengeJr Msouth
Tweet media one
88
37
855
42
23
1K
@DengeBackup
backup
3 years
Mitikasi yangu weekend
Tweet media one
29
41
969
@DengeBackup
backup
3 years
Iyo nafasi ya usemaji wa wasanii tunamtumia nani CV
51
21
970
@DengeBackup
backup
3 years
Hata tozo yule bro white aliongea kama utani hivi hivi
49
35
940
@DengeBackup
backup
3 years
Leo humu hapafai kabisa
36
18
935
@DengeBackup
backup
3 years
Bihemo anaiomba kwa nguvu nyingi
42
23
925
@DengeBackup
backup
3 years
Mnisamehe mimi mnisamehe sana,niliwasaliti🤣🤣 #DumeCondoms #ChezaKwaKujiamini
Tweet media one
85
26
915
@DengeBackup
backup
3 years
Nisije nikafukuzwa kazi #DumeCondoms #ChezaKwaKujiamini
Tweet media one
109
40
892
@DengeBackup
backup
3 years
Kajinyonge sasa
@Mwanahalisitz
MwanaHALISI Digital
3 years
Balozi mstaafu Wilbrod Slaa amezungumzia kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi. Mahojiano yote tembelea MwanaHALISI TV.
238
65
457
116
94
912
@DengeBackup
backup
3 years
Sahivi hata mkituambia kaupiga mwingi tunawaelewa😅
45
26
894