Nyumba za serikali sio gharama kabisa shida ni zinahujumiwa,wachache wanapewa kuzimiliki na kupangisha watu kwa bei kubwa..
@ridhiwankikwete
pigeni msako kama wamiliki ndio wanaishi,kama sio wapeni wanaoishi umiliki na malipo yawe kwa control namba kuondoa janjajanja