![David Mfugwa Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1866054456090951680/sMtx58r9_x96.jpg)
David Mfugwa
@DavidMfugwa2
Followers
23K
Following
15K
Statuses
394K
Mwalimu(Bachelor of Arts with Education), katibu wa chadema Jimbo la Kilolo mkoa wa Iringa, diwani niliyemaliza muda wangu 2015 - 2020.
Joined June 2020
Kumbukizi ya muujiza unaoishi. Mungu akupe maisha marefu mhe. m/mwkt wa @ChademaTz @TunduALissu
4
90
674
Kila mtu ana haki ya kuchukuliwa hatua za kiutawala ambazo ni halali endapo itatakiwa, zinazofaa na za haki utaratibu uliopo, Haki za kitamaduni za wananchi lazima kuzingatiwa katika sheria zetu #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
3
1
Kila mtu ambaye haki zake zimeathiriwa vibaya na hatua za kiutawala awe na haki ya kupewa sababu zilizoandikwa kwa nini haki zake zinaathiriwa na kwa mamlaka ipi ya kisheria #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
3
1
Mtu ambaye amekamatwa kwa madai ya kutenda kosa ana haki ya kutoshurutishwa kukiri au kutokiri chochote ambacho kinaweza kutumika kama ushahidi dhidi ya mtu huyo. Hii itasaidia wananchi kuondokana na ubambikaji wa makosa yanayofanywa na polisi #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
3
1
Mtuhumiwa akishakamatwa inatakiwa afikishwe mahakamani haraka iwezekanavyo, angalau si zaidi ya saa 48 baada ya kukamatwa. Maafisa wawajibishwe kinyume na sasa ambapo watu hukamatwa na kuwekwa ndani kwa miaka mingi bila kesi kuendelea #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
4
1
The wealth beneath our feet should propel us forward, not keep us trapped in a cycle of exploitation. #KataaEACOP #EACOPniTishio
0
1
0
Ikiwa mtu amekamatwa kwa madai ya kutenda kosa ana haki katika kufikishwa mahakamani mara ya kwanza baada ya kukamatwa, kufunguliwa mashtaka au kufahamishwa sababu ya kuendelea kuzuiliwa au kuachiliwa. Kusiwe na vikwazo vya dhamana #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
3
1
Utajiri ulio chini ya miguu yetu unapaswa kutusukuma mbele kimaendeleo, na sio kutuweka kwenye msururu wa unyonyaji. #KataaEACOP #EACOPniTishio
0
1
0
Maadamu rasilimali za Afrika zinavunwa kwa manufaa ya wengine, ndoto ya uhuru wa kweli inasalia kuwa upeo wa mbali. #KataaEACOP #EACOPniTishio
0
1
0
As long as Africa’s resources are harvested for the benefit of others, the dream of true independence remains a distant horizon. #KataaEACOP #EACOPniTishio
0
1
0
RT @ChademaTz: Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu ataongoza viongozi na wanachama katika mazishi ya aliyekuwa mwenyekiti wa Chama…
0
134
0
Kila raia mtu mzima ana haki ya kupiga kura lakini kunahitajika uboreshaji wa mfumo mzima uchaguzi na chombo chake pamoja na kuboresha sheria za uchaguzi kwa mujibu wa Katiba. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
3
1
#KatibaMpya inapaswa kuwa na haki ya mwananchi kutumia lugha na kushiriki katika maisha ya kitamaduni anayochagua, lakini hakuna mtu anayetumia haki hizi anaweza kufanya hivyo kwa njia inayoambana na kifungu cha Sheria ya Haki hizo. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
2
0
Haki ya uhuru wa kujumuika inapaswa kulindwa na #KatibaMpya , Katiba ya sasa haijwaweka ulinzi wa kutosha kwenye haki za watu, huru wa watu hauna ulinzi wa kutosha katiba yetu #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
2
0
Kila raia ana haki ya uchaguzi huru, wa haki na wa mara kwa mara kwa chombo chochote cha kutunga sheria kilichoundwa kwa mujibu wa Katiba. Usiochezewa kama ilivyo sasa #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
2
0
#KatibaMpya inatakiwa kusema wazi kuwa hakuna mtu anayeweza kufanywa mtumwa, au kupewa kazi kinyume na matakwa yake. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
1
0
Haki ya faragha ni muhimu ikalindwa na katiba ambayo inajumuisha haki ya kutopekuliwa nyumba, mali au mali zake kuchukuliwa au faragha ya mawasiliano ya wananchi kuingiliwa bila amri ya mahakama. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
1
0
Kila mtu kupitia #KatibaMpya anapaswa kuwa na haki ya uhuru wa dhamiri, dini, mawazo, imani na maoni ambao utasimamiwa na si kuwa haki kikatiba ambayo inavunjwa na dola kwa madaraka waliyonayo. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
1
0
#KatibaMpya itoe haki inayojumuisha kutonyimwa haki na kutoteswa kwa njia yoyote, au kuadhibiwa kwa njia ya kikatili, isiyo ya kibinadamu au ya kudhalilisha kwa mwananchi anapokuwa chini ya ulinzi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
0
1
Ni muhimu Maadhimisho ya kidini yafanywe katika taasisi za serikali au zinazosaidiwa na serikali, mradi tu maadhimisho hayo yanafuata sheria zinazotungwa na mamlaka zinazofaa za umma. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
0
0
2