Malik Profile Banner
Malik Profile
Malik

@DaveMollel

Followers
4,805
Following
1,187
Media
6,840
Statuses
74,735

Miner| Lawyer| Facilitator| MUFC | Yanga| Que Sera Sera ☯️ | Semper Fidelis #RecoveryPosse

Liberated , We Ain't Got Time
Joined August 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@DaveMollel
Malik
5 years
I blocked TBC with parental controls at my parent house and now my Mom keeps calling,asking why they can't watch their news program, and I truly believe this is how we can save our country.
167
158
2K
@DaveMollel
Malik
4 years
Tweet media one
4
110
1K
@DaveMollel
Malik
6 years
Kamati ya Saidia Taifa Stars Ishinde enzi za Rais Mwinyi. Unamkumbuka nani katika picha? @MariaSTsehai
Tweet media one
107
55
867
@DaveMollel
Malik
1 year
@ChelseaStanler @Geoffrey87Lea You know how long I've been on ya? Since Prince was on Apollonia, Since O.J. had Isotoners, Don't act like I never told ya...
Tweet media one
7
57
720
@DaveMollel
Malik
6 years
Mwenyekiti wa (PAC), Naghenjwa Kaboyoka, akikagua ubora wa lami katika eneo la Nkulabi, barabara ya Iringa-Dodoma (Km 260), wakati kamati hiyo ilipokagua barabara hiyo leo. Swali kwa wakandarasi; Hivi unaweza kukagua ubora wa barabara ya lami kwa kuiminya kama parachichi??
Tweet media one
261
110
681
@DaveMollel
Malik
5 years
Picha mashuhuri baada ya Malcom kushambuliwa ni ile ya mlinzi wake mkuu, Gene Roberts, akimpulizia pumzi mdomoni ili kumwokoa lakini baadae Ilikuja kubainika kuwa Gene mwenyewe alikuwa ni miongoni mwa mashushushu walioajiriwa kufuatilia nyendo za Malcom!
Tweet media one
41
129
654
@DaveMollel
Malik
4 years
Rest in Hell Nkurunziza, simu ilikwa kwa fundi.
46
17
603
@DaveMollel
Malik
5 years
Hongera Ndugu Nchemba. PS: Kafute Yale mawe uliyayachafua since 2015, Wewe ni mtu Mzima.
82
36
584
@DaveMollel
Malik
5 years
This days riot police have to be extra careful lest they confront a ninja rioter!👇👇🤣🤣
Tweet media one
Tweet media two
49
60
462
@DaveMollel
Malik
11 months
I blocked TBC with parental controls at my parent house and now my Mom keeps calling,asking why they can't watch their news program, and I truly believe this is how we can save our country.
@DaveMollel
Malik
11 months
Today I did my share in building the Nation.
4
6
21
72
118
446
@DaveMollel
Malik
5 years
Mnapoagiza Mabomu ya Machozi msisahahau na Magari Ya ZimaMoto.
17
62
419
@DaveMollel
Malik
5 years
@Diddy @CassieSuper Black Excellence 💪
Tweet media one
3
45
389
@DaveMollel
Malik
6 years
"Mimi nikianzisha kanisa watu wote wataokoka. Lakini sitaki watu wote waokoke maana tutakosa kodi.Tunapata kodi nyingi kwenye bia.Watu wakiokoka hawanywi bia." Charles Mwijage
Tweet media one
52
78
386
@DaveMollel
Malik
5 years
Zamani nilikuwa najua hawa jamaa wanaishi Dar.
Tweet media one
72
38
393
@DaveMollel
Malik
6 years
Yaani kila nikimuangalia Ndugu yetu Kaka Tundu Lissu naona rehema na Utukufu wa Mungu.
Tweet media one
16
29
383
@DaveMollel
Malik
5 years
Bilionea Rostam Aziz alimshauri Membe amuunge mkono Rais Magufuli 2020 kama ilivyo utaratibu wa CCM. Membe alimjibu Rostam: “Mwambieni Rostam tujadili uchumi. Kwa nini biashara zinafungwa na maisha yamekuwa magumu?” Kwa ujasiri na kujiamini kwake. Membe is a Man to watch 2020.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
15
34
395
@DaveMollel
Malik
5 years
"Kuvuruga Kilimo na Biashara ya Korosho ni kuhujumu uchumi,aliyevuruga biashara ya zao la Korosho kwa mtazamo wangu kafanya kosa la kuhujumu Uchumi kama wahujumu uchumi wengine"Jenerali Ulimwengu,16:5:2019
Tweet media one
8
50
352
@DaveMollel
Malik
5 years
This is not a picture of the FIFA World Cup Final, this picture is from The Holy Quran competition at Dar-es-salaam Stadium - Tanzania 🇹🇿
Tweet media one
16
51
340
@DaveMollel
Malik
6 years
Zitto Zuberi Kabwe anautoa Upinzani kimaso-maso katika mapito haya ya Awamu hii. To be honest this guy is on extra mile in Politics as whole. Kongole sana.
4
40
308
@DaveMollel
Malik
5 years
Monduli. 1224Hours 🍀🌿
Tweet media one
33
24
315
@DaveMollel
Malik
5 years
Kuna Mtaa Guangzhou, China unaitwa Chagga Street, wamejaa wao kama Kimara. Hustlers 101 🙌
@KakuruF
Comrade Truman
5 years
Sco pa tu manaa
Tweet media one
49
7
87
9
37
279
@DaveMollel
Malik
5 years
In just a moment...those kids are going to learn so many new words.
Tweet media one
36
56
279
@DaveMollel
Malik
7 years
Kuna mtu mmoja anaandika-: "Tulipofika Kuna watu wanataka wakikukanyaga utabasamu afu uwaambie, bwana mkubwa samahani 'mtukufu', mguu wangu umeingia chini ya mguu wako, kwani umeumia? Kiatu chako kimeumia? Ngoja nikuooshe soli" #ChangeTanzania
15
73
274
@DaveMollel
Malik
5 years
How did Europeans even manage to colonize us!? 🤔😂
Tweet media one
38
40
269
@DaveMollel
Malik
5 years
Kutoa ni moyo na wala sio Utajiri. Huyu Ndugu Peter Msangwa alipata ajali, gharama ya mguu wa bandia ni Milioni 3 ila yeye amepambana kapata 1.8M Tumshike mkono kufikia lengo tafadhali. Endapo Ukiguswa waeza kuwasiliana kwa Namba zake ni 0715109338 au 0784790213
Tweet media one
Tweet media two
5
126
263
@DaveMollel
Malik
5 years
Kuku Chiwawa. Wawili shilingi 800K. #NaneNaneFestival Arusha
Tweet media one
Tweet media two
91
39
233
@DaveMollel
Malik
5 years
Kuna Kiingereza cha Dada Joy Na English hii ya Dada @MariaSTsehai
28
17
229
@DaveMollel
Malik
5 years
You can beat or jail me or even kill me, but I am not going to be what you want me to be! - Steve "Bantu" Biko
Tweet media one
3
52
230
@DaveMollel
Malik
5 years
Natazama visa vya CCM kwa sasa, najiuliza, hizo sio tabia za kifo? Rais Magufuli anawatosa watu mahiri kisiasa, waliocheza mpira mgumu kumuingiza madarakani. Anawakumbatia ambao hawajui aliingiaje madarakani. Je, huo ni mwanzo wa kifo cha CCM?
28
19
202
@DaveMollel
Malik
6 years
Nilikuwa najaribu Kum-Photoshop Mwenezi then huo ujumbe ukajitokeza 🤔
Tweet media one
72
37
190
@DaveMollel
Malik
5 years
THREAD... The Dark side of Idi Amin 1. Documents that were uncovered inside Idi Amin's office and the notorious State Research Bureau after the overthrow of the Ugandan strongman, painted a picture of a regime directed by fear and paranoia.
Tweet media one
Tweet media two
8
50
186
@DaveMollel
Malik
6 years
When I grow up nataka niwe zaidi ya Lissu kimawazo. He’s a genius.
Tweet media one
5
13
182
@DaveMollel
Malik
5 years
Mwalimu Nyerere, on his favourite rocking chair at his Msasani Residence,talking to British overseas volunteers who had called on Him. In blue is Mwalimu's Personal Assistant, Joan Wicken. Photo: Adarsh Nayar.
Tweet media one
2
25
185
@DaveMollel
Malik
6 years
Ndipo Marekani na Ulaya yote wakamjia wakamuuliza;wewe ni Nyerere?Akajibu akasema "La". Wakamuuliza tena wakisema;wewe ni mmoja wa wapigania uhuru aliyefufuka?Akajibu "hasha". Akajibu akawaambia "mimi ni sauti ya mtu aliaye Ulaya itengenezeni njia ya ikulu inyoosheni katiba yake.
Tweet media one
12
18
179
@DaveMollel
Malik
5 years
Sir. Charles Njonjo is now 100 years old. He still swims, drives and take beer 🍻 daily.
Tweet media one
20
25
175
@DaveMollel
Malik
5 years
"We are not out numbered, we're out organized." - Malcolm X
Tweet media one
3
58
176
@DaveMollel
Malik
6 years
Miaka 3 ya kifo cha Mchungaji Christopher Mtikila. Siasa za Tanzania zinamiss kitu kutoka kwako.
Tweet media one
6
22
166
@DaveMollel
Malik
3 years
2020 Kuna Mwehu anaitwa Le-Ngai alitumia hizi intentionally knowing that Diplomatic plates are for diplomatic missions and consular services and no Terrorism charges were pressed.
Tweet media one
0
22
174
@DaveMollel
Malik
1 year
Niwe mkweli tu,hamna mtu ananikubali kama MIMI. Najiona Mimi!
26
45
169
@DaveMollel
Malik
4 years
Y'all ever noticed people who dont tolerate lies, disrespect or deceit are always labeled difficult, crazy or bitter?
6
46
172
@DaveMollel
Malik
5 years
Kwenye mahojiano na @venusnyota Prof.Kabudi ametoa kauli nzuri 1. “Miongoni mwa nchi ambazo uhuru wa habari uko juu, unaheshimiwa na unalindwa, nikuhakikishie, ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!” 2. “Tz tuna magazeti 226 ya kila siku” Bahati mbaya kauli zote mbili si za kweli!
9
23
167
@DaveMollel
Malik
6 years
Mastermind J.K. Nyerere
0
30
164
@DaveMollel
Malik
5 years
Kuna siku niliwahi kumsikia Januari Makamba akijaribu kuunga- unga sentensi ngumu za kuhalalisha kutenguliwa kwa matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar. " ...Hizi ni tume mbili tofauti kabisa. Majukumu yake tofauti kabisa!" . Nakumbuka hayo tu mengine nimeyasahau. Gayo
2
15
157
@DaveMollel
Malik
5 years
CHATO STADIUM NI MAENDELEO AU UPENDELEO?
Tweet media one
36
14
156
@DaveMollel
Malik
6 years
Samora Machel akiwa na Solomon Mujuru na Vladimir Putin( sasa Rais wa Urusi), harakati mapambano kusaka Uhuru nchi za kijamaa. #ElimikaWikiendi
Tweet media one
Tweet media two
5
66
157
@DaveMollel
Malik
5 years
Mpaka waafrika watakapogundua kuwa hakuna watu wanaoweza kushinda vita bila kwanza kuwa na umoja, hadithi ya Malcom itaaendele kujirudia kwa muda mrefu. Gayo.
1
17
161
@DaveMollel
Malik
6 years
Every time Mwalimu Nyerere returned from an overseas trip he would have a brief chat with Amir Jamal, Minister for Finance, at the airport. Jamal always had this small framed photo on his desk.
Tweet media one
6
35
155
@DaveMollel
Malik
6 years
Fatima Bernawi the African woman who became the first female Palestinian guerrilla fighter and the first woman to join the armed struggle against Israel. Born in Jerusalem of Nigerian descent, she moved with her mother to Jordan in 1948, before returning to West Bank. ✊🏾
Tweet media one
5
60
147
@DaveMollel
Malik
5 years
Unapoteza 10K ya Mama yako. Anakuchapa, Baba naye akirudi toka kazini anakupiga pia. Baada ya kula ukienda kulala unaikuta pesa ilikuwa kitandani kwako. Kama mtoto mwema,Utairudisha kwa Wazazi?
Tweet media one
61
16
159
@DaveMollel
Malik
5 years
You can take the man from the village but you can not take the village out of the man.
@Kiganyi_
M A G I R I
5 years
Hivi huyu jamaa yuko serious?
238
47
837
11
20
153
@DaveMollel
Malik
5 years
Nachana kwa Kiingereza, Nachana kwa Kiswahili / Hata Jiggah haniwezi na-flow kwa lugha mbili... 6 years :( Rest Easy Langa
Tweet media one
6
27
158
@DaveMollel
Malik
6 years
Maji, mafuta, vitambaa, kadi Za Upako visikufanye uache kuomba; Kuomba hakuna mbadala; Amri ni moja tu Kesheni mkiomba na sio mkiombewa.
9
25
158
@DaveMollel
Malik
5 years
@humansofny Imagine a family so supportive of you that they give you a round of applause for getting laid👏🏽
2
10
143
@DaveMollel
Malik
6 years
Bondia wa Ki-Bongo usipokuwa makini Mkalimani anaweza kukuombea pambano na Undertaker bila kujijua!
12
19
138
@DaveMollel
Malik
4 years
Tupac said ; Any Friend that turns into an Enemy has been Hating from day one. #TupacShakur
Tweet media one
0
49
138
@DaveMollel
Malik
5 years
Damu ya Akwilina. Katuni kutoka Jarida la Kingo/ Mchoraji Yohana Mwenda
Tweet media one
4
32
134
@DaveMollel
Malik
5 years
Sio kila Mwanamke anayekuomba hela ana shida nazo. Mwingine anataka ushindwe kumpa muachane tu, for Good sake :)
14
15
134
@DaveMollel
Malik
6 years
Nimegundua Mzee Baba hajui kuwa Mchina ni Beberu tu kama au zaidi ya wengine.
10
9
134
@DaveMollel
Malik
5 years
Congratulations to General David Musuguri(right) of the Tanzanian People's Defence Forces (TPDF) also known as General 'Mutukula' for celebrating 100 years of living.
Tweet media one
6
20
133
@DaveMollel
Malik
5 years
The Rwandan transport system is very advanced.
Tweet media one
9
8
131
@DaveMollel
Malik
5 years
"When the War is over, we'll get married and the Earth will grow flowers like you, and your womb will carry the most Beautiful Girl in the Universe." A letter found in the pocket of one of the dead soldiers, 1939.
Tweet media one
2
40
134
@DaveMollel
Malik
5 years
Your pain Yet more my pain Shall suffocate oppression Your eyes Yet more my eyes Shall be speaking of revolt Your scars Yet more my scars Will be remembering the whip #100k4Erick #FreeErickKabendera
Tweet media one
0
34
126
@DaveMollel
Malik
1 year
Mungu anajaza kwenye wavu, unao wavu? Hujachelewa. Rev. Hananja.
2
47
130
@DaveMollel
Malik
4 years
Fact: Kufanya kazi nje ya Dar-es-salaam katika Miji kama Arusha, Dodoma,Moshi na Mtwara kunaongeza nafasi ya kukua sababu ya Akiba na punguzo la gharama ya Maisha. Life is more cheaper outside Dar-es-salaam.
37
8
130
@DaveMollel
Malik
11 months
📸 My Dar es Salaam.
Tweet media one
7
19
123
@DaveMollel
Malik
5 years
Visiting President Julius Nyerere listens to an English lesson given by Mr. Morris Kashero, a teacher at Railway Training School. Nyerere was guest of honour on Foundation Day of 29th June 1963.
Tweet media one
3
18
117
@DaveMollel
Malik
5 years
What a lesson! 🙌
Tweet media one
8
24
119
@DaveMollel
Malik
5 years
Kama hamtupi Taka, shimo hili mlichimba la nini?
Tweet media one
11
9
115
@DaveMollel
Malik
4 years
FORMER president Ali-Hassan Mwinyi,now in his mid 90s, running a charity marathon in Dar-es-Salaam,Tanzania. Mzee Rukhsa, as he is affectionately called, changed for the better the lives of his citizens during his 10 yrs tenure from 1985-95. We wish him good health and long life.
Tweet media one
3
13
117
@DaveMollel
Malik
5 years
August 2015. #Hatujasahau
Tweet media one
11
20
112
@DaveMollel
Malik
5 years
Raphael yupo Mikocheni Safe House, Mtaa wa 3, Nyumba namba inayoanzia 24..37 Upumbavu ni kwamba aliyesema ni coverts KBLBY.
@BwanaAnna
BintiBwana
5 years
Raphael ni Baba wa watoto wawili, Ni mume wa mtu, na ni Rafiki wa wengi katika TL yangu. Alichukuliwa juzi usiku na watu wasiojulikana mitaa ya masaki na hajaonekana wala kusikika toka kipindi hicho.
Tweet media one
32
136
383
6
22
112
@DaveMollel
Malik
6 years
Tweet media one
8
19
115
@DaveMollel
Malik
5 years
Elatim oo lkorianga Korianga Ceremony 🐆 #MaasaiWarrior
Tweet media one
15
18
111
@DaveMollel
Malik
6 years
My today's prayer Dear Lord, please protect our own son of the struggle Tundu Lissu from his tormentors/ enemies of a state, grant him a quick recovery that he gets back firmly on his feet and he starts from where he left off Amen 🙏🏾
Tweet media one
3
13
115
@DaveMollel
Malik
6 years
Kuna Kijana atavuliwa hadhi ya U-RC soon,na akikaa vibaya atavuliwa hadi hadhi ya Uzazi.
8
10
107
@DaveMollel
Malik
6 years
Happy Birthdate to our very own Pan-Africanist,Patriot,Political Maestro and Baba Wa Taifa Mwl. J.K Nyerere
Tweet media one
Tweet media two
1
18
113
@DaveMollel
Malik
5 years
State Prosecutor : But your own words demand for DIRECT CONFRONTATION,isn't that a demand for violence? Steve Biko : Well, you and I are now in confrontation, but I see no violence.
Tweet media one
2
28
112
@DaveMollel
Malik
5 years
“When we say that our economy has been growing, we should ask ourselves questions like; do more people now have clean water? Do they have electricity? Do citizens have access to banking services, decent Jobs, bank loans at good rates, security and stability?” President Kagame
Tweet media one
7
40
111
@DaveMollel
Malik
8 months
The last photo of my Mom na Mzee Lowassa after a certain accident(not political). #MemoriesBackThen
Tweet media one
2
7
105
@DaveMollel
Malik
5 years
Munich Germany.
Tweet media one
5
12
99
@DaveMollel
Malik
1 year
Extraordinary coaching talents who blessed the world of football. Prof. Nabi & Guardiola 🔰
Tweet media one
Tweet media two
1
6
104
@DaveMollel
Malik
7 years
Hivi huyu binti amekamatwa kwa kutangaza kuwa ni binti wa Lowasa au kwa kukana kuwa siyo binti yake? Alipotangaza ilikuwa shwari, alipokana polisi inasema amemdhalilisha sana mzee wa watu!
14
14
96
@DaveMollel
Malik
5 years
Mtanzania Digital wameripoti kuwa Serikali leo imesema ni marufuku kwa mtumishi wa Umma kudai nyongeza ya mshahara kwani ni serikali pekee ndiyo wanajua waongeze ama wasiongeze mshahara? #ChangeTanzania
7
5
99
@DaveMollel
Malik
6 years
Tuliwahi ambiwa 95% ya madini hupotea kupitia viwanja vya Ndege. Professorial Rubbish.
0
8
95
@DaveMollel
Malik
1 year
The 1st vice president of South Sudan Dr Riek Machar yesterday walked his daughter down the isle. The groom's family had made an offer of 500 cows to Machar for his daughter who works as a lawyer in London, but he turned it down and demanded only 11.
Tweet media one
4
8
101
@DaveMollel
Malik
1 year
Asanteni sana Wananchi, Picha ya Kibabe sana. 💚💚💚💛💛💛💪💪💪
Tweet media one
1
3
99
@DaveMollel
Malik
6 years
A dream doesn't become reality through magic; it takes sweat, determination and hard work. Ruge Mutahaba and Joseph Kusaga. 1997 @TanzaniaHistory
Tweet media one
4
29
91
@DaveMollel
Malik
5 years
Decade Challenge 2010 2019
Tweet media one
Tweet media two
4
9
93
@DaveMollel
Malik
5 years
The middle child is the most mature out of all siblings.
8
13
86
@DaveMollel
Malik
1 year
“Tumepunguza sumu, sasa kuleni”😂
Tweet media one
40
7
93
@DaveMollel
Malik
1 year
@smutoro @DStv_Kenya Cherish your people. Phone call, text, show up. Say I love you. Go to lunch. Just say I was thinking of you. It goes a long way. Don’t take people lightly. Call people without needing something from them. We all on this rock together. ❤️
1
16
87
@DaveMollel
Malik
5 years
Be free. Be kind. Be weird. Be loving. Be happy. Be honest. Be positive. Be different. Be ambitious. Be conscious. Be hardworking. Be open minded. Be your f/ckingself always.
5
14
87
@DaveMollel
Malik
5 years
@humansofny "They sell us poison so they can sell us pills." I felt that one.
1
10
91
@DaveMollel
Malik
5 years
This little boy wants everyone to see his painting. Please let's encourage him. 🙏🙏🙏 Artist :- Elton Clifford Senior The Jamaican Pride 🌹
Tweet media one
3
41
87
@DaveMollel
Malik
5 years
Kijani Kibichi.
Tweet media one
21
17
81
@DaveMollel
Malik
5 years
MAJOR-GENERAL Mrisho Sarakikya (left) commander of the Tanzanian Armed Forces with Eduardo Mondlane, founder president of FRELIMO, the liberation movement of Mozambique, in Dar es Salaam.
Tweet media one
3
27
84
@DaveMollel
Malik
3 years
@humansofny Diamonds are "rocks" placed under tremendous pressure; the pressure transforms them into something precious and beautiful. You, my dear, were meant to SHINE.
0
3
88