Dain_tz Profile Banner
Dain tz✝️  Profile
Dain tz✝️ 

@Dain_tz

Followers
1K
Following
7K
Statuses
19K

LEGENDARY BORN IN MARCH @DAIN_TZ🇰🇪 YANGA💛MAN UTD❤️ ⚖️ 戴因

Dar es salaam
Joined March 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
5 hours
mwezi wa pili, siku ya kumi na nne ya mwezi, wakati wa jioni, wataishika; watamla pamoja na mikate isiyotiwa chachu na mboga za uchungu…✍️ Numbers 9:11 @africaneddo @Dain_tz
0
1
2
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
5 hours
RT @Dain_tz: mwezi wa pili, siku ya kumi na nne ya mwezi, wakati wa jioni, wataishika; watamla pamoja na mikate isiyotiwa chachu na mboga z…
0
1
0
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
5 days
RT @Dain_tz: Tumeingia mwezi wa kucheza na settings🤣😂🤣 @africaneddo @Dain_tz
0
1
0
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
5 days
Tumeingia mwezi wa kucheza na settings🤣😂🤣 @africaneddo @Dain_tz
0
1
1
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
6 days
RT @Dain_tz: Toka EX wangu aukatekate Moyo wangu vipande vipande kila kipande kinataka mtyu wake.✍️ @africaneddo @Dain_tz
0
1
0
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
6 days
Toka EX wangu aukatekate Moyo wangu vipande vipande kila kipande kinataka mtyu wake.✍️ @africaneddo @Dain_tz
0
1
3
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
10 days
RT @Dain_tz: Asante mungu 🙏 madeni yangu niliyokua nadaiwa na TRA yameungua.✍️ @dain_tz @africaneddo
0
1
0
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
10 days
Asante mungu 🙏 madeni yangu niliyokua nadaiwa na TRA yameungua.✍️ @dain_tz @africaneddo
0
1
2
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
10 days
RT @Dain_tz: ukichoka pumzika safari ya mafanikio haithamini wachovu.✍️ @Dalaliwacho👀 #dain_tz @mngepa
0
1
0
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
10 days
ukichoka pumzika safari ya mafanikio haithamini wachovu.✍️ @Dalaliwacho👀 #dain_tz @mngepa
0
1
1
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
13 days
RT @Dain_tz: Ujana wako ndio utaamua uzeeni utacheza golf au dratf🤣😂…✍️ @Dain_tz @africaneddo @Dalali wa macho👀
0
2
0
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
13 days
Ujana wako ndio utaamua uzeeni utacheza golf au dratf🤣😂…✍️ @Dain_tz @africaneddo @Dalali wa macho👀
0
2
3
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
16 days
RT @Dain_tz: #Mwanamke anaweza kutumia pesa zake zote kwenye matunzo ya ngozi na nywele ili awe kwenye mahusiano na mwanaume anayeoga mara…
0
1
0
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
16 days
#Mwanamke anaweza kutumia pesa zake zote kwenye matunzo ya ngozi na nywele ili awe kwenye mahusiano na mwanaume anayeoga mara moja kwa siku.✍️ #dain_tz #Dalali wa macho👀
0
1
2
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
21 days
RT @Dain_tz: Mzee wa makamo alisema linahitajika tabasamu moja la masikini ili matajiri waseme furaha sio pesa.. #eddo_teller® #dain_tz
0
1
0
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
21 days
Mzee wa makamo alisema linahitajika tabasamu moja la masikini ili matajiri waseme furaha sio pesa.. #eddo_teller® #dain_tz
0
1
1
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
24 days
RT @Dain_tz: mkumbushe mwanao kua hata kama awe nzi wa jikoni hawezi kutengeneza ASALI. sio kila fursa utaimudu.✍️ @africaneddo @Dain_tz
0
1
0
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
24 days
mkumbushe mwanao kua hata kama awe nzi wa jikoni hawezi kutengeneza ASALI. sio kila fursa utaimudu.✍️ @africaneddo @Dain_tz
0
1
1
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
25 days
RT @Dain_tz: Mkimuona mwambieni anaweza kuendelea kua mpishi bora kama atatumia mwiko mmoja kwa vyakula vyote.✍️ @africaneddo @Dain_tz
0
1
0
@Dain_tz
Dain tz✝️ 
25 days
Mkimuona mwambieni anaweza kuendelea kua mpishi bora kama atatumia mwiko mmoja kwa vyakula vyote.✍️ @africaneddo @Dain_tz
0
1
2