CHADEMAZANZIBAR Profile Banner
CHADEMA ZANZIBAR Profile
CHADEMA ZANZIBAR

@CHADEMAZANZIBAR

Followers
11K
Following
824
Statuses
4K

The Main Opposition Political Party in Tamzania

Zanzibar West, Tanzania
Joined September 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
16 hours
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara Mhe. Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake jijini Dar es salaam
Tweet media one
0
21
112
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
17 hours
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni. Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa. #StrongerTogether
Tweet media one
1
28
86
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
4 days
Maadhimisho siku ya Wanawake Duniani, Machi 08, 2025. Baraza la Wanawake Chadema @BawachaTaifa wataazimisha siku hiyo kitaifa Kanda ya Pwani.
Tweet media one
0
30
125
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
5 days
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara Mhe. @HecheJohn atapokelewa nyumbani Tarime, Mkoa wa Mara baada ya kuchaguliwa Januari 21, 2025. Mapokezi hayo yataambatana sherehe ya pongezi. #StrongerTogether
Tweet media one
1
30
149
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
5 days
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. @TunduALissu atapokelewa nyumbani Ikungi, Mkoa wa Singida baada ya kuchaguliwa Januari 21, 2025. Mapokezi hayo yataambatana sherehe ya pongezi. #StrongerTogether
Tweet media one
0
54
234
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
6 days
Happy birthday Katibu Mkuu @BawachaTaifa Mhe @Ladymaassay
Tweet media one
1
20
165
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
7 days
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu mapema leo, February 4, 2025 akiteta jambo na Maulida Komu, mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Chama. Kamati Kuu ya Chama imeketi leo Bagamoyo Mkoa wa Pwani. #StrongerTogether
Tweet media one
0
21
178
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
7 days
Wenyeviti wa Kanda wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wakuu wa Chama baada ya kikao cha Kamati Kuu ya Chama kilichoketi leo tarehe 04 Februari 2025 Bagamoyo Mkoa wa Pwani. #StrongerTogether
Tweet media one
4
31
209
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
7 days
Katibu Mkuu wa Chama Mhe. @jjmnyika akizungumza katika kikao cha Kamati Kuu ya Chama kilichoketi leo tarehe 04 Februari 2025 Bagamoyo Mkoa wa Pwani. #StrongerTogether
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
30
186
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
7 days
RT @ChademaTz: Katibu Mkuu wa Chama Mhe. @jjmnyika akizungumza katika kikao cha Kamati Kuu ya Chama kilichoketi leo tarehe 04 Februari 2025…
0
102
0
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
7 days
Tweet media one
0
0
1
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
11 days
Mwenyekiti Baraza la Wanawake @BawachaTaifa Mhe. @SharifaSul
Tweet media one
5
53
540
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
12 days
Makamu Mwenyekiti Zanzibar Mhe Said Mzee Said akikabizi kombo kwa washindi wa mashindano ya Nungwi Super CUP 2024 -2025 yaliozaminiwa na @CHADEMAZANZIBAR
1
29
166
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
12 days
Makamu Mwenyekiti Zanzibar Mhe. Said Mzee Said akiongea na wapenzi na mashabiki waliojitokeza katika mchezo wa fainal ya Nungwi Super CUP yalioratibiwa na Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Mhe Ali Ibrahim Juma nà kuzaminiwa na @CHADEMAZANZIBAR
4
75
346
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
12 days
Makamu Mwenyekiti Zanzibar Mhe Said Mzee Said akikabidhi zawadi kwa washindi mbali mbali katika fainal ya Nungwi Super CUP yalioandaliwa na Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Mhe. Ali Ibrahim Juma yaliomalizika leo katika kijiji cha Nungwi Mkoa Kaskazini Unguja.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
32
162
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
12 days
Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Mhe Ali Ibrahim Juma ambae ni mzamini mkuu wa mashindano ya Nungwi Super CUP 2024 - 2025 yaliomalizika leo katika kijiji cha Nugwi.
Tweet media one
Tweet media two
3
62
415
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
12 days
Fainal ya Nungwi Super CUP 🎶Naapa naahidi mbele ya Mungu Chadema nitakulinda mpaka kufa🎶 #StrongerTogether
4
47
199
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
12 days
Mashabiki ni wengi waliojitokeza kwenye mechi ya fainal ya Nungwi Super CUP yanayoratibiwa na Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Mhe Ali Ibrahim Juma.
Tweet media one
Tweet media two
1
33
189
@CHADEMAZANZIBAR
CHADEMA ZANZIBAR
12 days
Makamu Mwenyekiti Zanzibar Mhe Said Mzee Saidi akifatilia fanail za Nungwi Super CUP katika kijiji cha Nungwi Mkoa Kaskazini Unguja.
Tweet media one
Tweet media two
3
51
329